Kama ambavyo si rahisi kwa mtu baki kuamini hata waliokuwa karibu na mwili wa marehemu Kanumba iliwawia vigumu kuamini kama kweli alikuwa amefariki, pichani jamaa wa karibu akiwa bado haamini kilichotokea huku mwili wa Steven Kanumba ukiingizwa Mortuary Muhimbili.
Maofisa wauguzi wakiuingiza mwili wa Marehemu Kanumba chumba cha Mauti katika hospitali ya Muhimbili.
Ray Kigosi mwenye kapelo akishuhudia mwili wa swahiba wake ukiingizwa chumba cha Maiti Muhimbili usiku huu.
Msanii ambaye kwa sasa anakuja juu kwa kasi JB akiwa na masikitiko makubwa ndani ya chumba cha maiti Muhimbili.
Mashabiki wakiwa wamekusanyika katika viunga vya hospitali ya Muhimbili. Habari za awali ambazo kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kinondoni Afande Kenyela amesema kuwa Kanumba alikuwa na kutoelewana kati yake na Mpenzi wake ambazo taarifa za awali zinasema waligombana na Kanumba alisukumwa na kugonga kichwa chini na mpenzi wake ambaye ametambuliwa kwa jina moja la Lulu.
Habari ambazo bado Spoti na Starehe haijazithibitisha zinasema kuwa Kanumba alikuwa akioga ili atoke na ndipo aliposikia mpenzi wake akiongea na simu na mtu mwingine alipotoka kumuuliza ndipo mzozo kati yao ukaanza na katika hali ya kusumunana Kanumba alisukumwa akaanguka na kugonga kichwa chini.
Afande Kenyela alisema alipigiwa simu na ndugu wa Kanumba ambaye walikuwa wakiishi pamoja na Kanumba na walipofika Pale walikuta tayari ameshakata roho ila bado inasubiriwa ripoti ya daktari.
Kamanda Kenyela pia amesema kuwa mpenzi wake Maerehemu Kanumba anashikiliwa na Polisi kwa uchunguzi zaidi. Lulu ambaye naye anag’aa kwenye tasnia ya Filamu amekuwa akigonga vichwa vya habari vya magazeti ya “udaku” kutokana na skendo za mara kwa mara za mahusiano ya kimapenzi, ni majuzi tu mwanadada huyu ametimiza miaka 18 tangu kuzaliwa.
Aidha nyumbani kwa marehemu Sinza kumejaa ndugu jamaa na marafiki kiasi barabara ya kwenda Lion kupitia Madukani inapitika kwa taabu.
Kanumba ambaye alizaliwa mwaka 1984 amefanikiwa kuzikonga nyoyo za mashabiki wa tasnia ya movie za Tanzania si tu kwa Tanzania bali hata nje ya nchi pia. Kwa mashabiki wa filamu za kibongo Kanumba alikuwa ni namba moja na kwa kiasi kikubwa aliweza kuweka viwango kwani alikuwa anafaa kwa kila kona kuanzia kuigiza mpaka kuvaa na adamu ya maisha tofauti na ma Super Star wengine hivyo kuwavutia watu wa rika lote.
Pia ndiye aliyewatoa watu kama Akina Wema Sepetu, Mtoto Sophia ambaye aliact kwenye Movie ya Big Daddy, pia ndiye aliyemtoa Patchou Mwamba na kumuingiza kwenye Movie Industry. Kanumba anamaliza kipindi chake cha miaka 28 akiwa ameacha kumbukumbu ambayo itaishi kwa muda mrefu.
Mashabiki kupitia mitandao ya kijamii wameonyesha masikitiko yao ambapo kufika saa tisa usiku habari zilikuwa zikisambaa kama moto nyikani kupitia Facebook, Twitter na Blogs ikiwemo hii ya Spoti na Starehe ambayo ilikuwa moja ya wa kwanza kupata habari.
Picha hii imepigwa na Shamim Mwasha nyumbani kwa marehemu asubuhi hii.
Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi – Ameni.
Inna lillahi waina ilayhi rajiuun,Mungu ailaze roho yake pema peponi.
Inalilah wainailahi rajiun
Bwana ametoa na bwana ametoa… Timpenda mungu kampenda zaidi” na ilaze pema peponi afufuke na bwana yesu AMINA
Hakika hatasaulika kijana huyu machon kwa walimwengu. Alifanya mengi sana katika jamii yetu. Kifo chake hakuna alie tegemea, yote n mapenzi ya Mungu. Nawaombea wanafamilia wote Mungu awape uvumilivu na ujasiri kwenye kipindi hiki kigumu.NYOTE POLENI SANA
ILA MMEZIDI WASANII KUFICHA MAMBO YENU SANA SASA HILI LIMEFICHUKA(MNAIGIZAGA AWAMU HII LULU NA KANUMBA SIO KUIGIZA TENA WAMEFANYA KWELI)FUNDISHO KWA WASANII WENGINE.LULU UPUNGUZE KUTEMBEA NA KAKA ZAKO UMEZIDI UTAKUFA NA NGOMA.
kwel kabisa lulu ache kutembea na wanaume atulie nammoja.
Aki Poleni Sana, Kwa Kufiwa Kwa Msanii Wetu Mpendwa
Mwenyenzi Mungu ailaze roho ya marehemu Kanumba mahala pema peponi.Amen
Inauma kwakweli yaani roho inaniuma sana tena sana aiseee
Its so painful
kifo chake hakina umuhimu
POLENI WAFIWA,KANUMBA ALIKUA MDAU MKUBWA WA MUZIKI WA LINGALA AMBAO HAPA NDIPO NYUMBANI KWAKE,BINAFSI SIJAWAHI KUKUTANA NA KANUMBA HATA SIKU MOJA NA PIA SIKUWAHI KUWA MPENZI WA MOVIE ZAKE ILA HAMUWEZI KUAMINI KANUMBA TULIJUANA NA KUWASILIANA SANA KUPITIA BARUA PEPE TUKISHARE MAMBO MBALI MBALI KUHUSU MUZIKI WA CONGO,NAKUMBUKA MARA YA MWISHO MWISHO NILIMTUMIA LINK YA WADADA WAWILI WA KIZAZI KIPYA KATIKA MUZIKI WA LINGALA,NAWAZUNGUMZIA CINDY LE COEUR WA KOFFI OLOMIDE NA MEJE 30 WA WA MAMA TSHALA MUANA,WAKIPERFORM LIVE STEJINI KWA NYAKATI TOFAUTI NA KUMTAKA ATIZAME KISHA APIME NANI MKALI,KANUMBA AKATIAZAMA NA KUNIAMBIA YEYE ANAWAKUBALI WOTE,PIA NIKAMTUMIA LINK YA KIBAO FIMBO YA BAKANDJA CHA MEJE 30,KANUMBA AKAFURAHI SANA AKANIMABIA ANAKIPATA IKO KIBAO NA KUONYESHA ANAKIJUA NA ANAKIPENDA AKANIAMBI IKO NAKIJUA MZEE,MAANA YAKE NI BAKORA YA BAKANDJA!BAADAE NIKAMPA USHAURI AMATAFUTE JENERALI ULIMWENGU AFANYE NAE MOVIE KABLA MWAKA HUU HAUJAISHA KWANI MZEE HUYO NI HAZINA KATIKA MOVIE INDUSTRY AMBAYO HAITUMIKI ANAWEZA KUONDOKA NDIO MKAJA KUMBUKA MMEMKOSA,USHAURI ALIUPOKEA AKANIAHIDI ATAJITAHIDI KUFANYA HIVYO,NASIKITIKA HAHDI HIYO HATAWEZA TENA KUITEKELEZA KANUMBA.
MARA YA MWISHO KABISA NILIMTUMIA LINK YA VIDEO YA KIBAO CHA WMMM KILICHOTUNGWA NA HERITIER “WATA” WATANABE,REMISE ET RAPRISE(TRESSOR MPUTU)….
R.I.P. KANUMBA THE GREAT,DAIMA NTAKUKUMBUKA SWAHIBA
Haki
Kweli kifo cha kanumba kimetusikitisha sana. Tumepoteza mtu muhimu katika jamii na Taifa kwa ujumla. Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi. Amen
Kanumba mingu akuulaze mahali pema peponi.
Lulu daaahhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh sina la zaidi ila pole kwayaliyo kukuta.Umelikoroga lazima ulinywe ila usijali sana ilikuwa nimipango ya mungu ilishafika ila sasa wewe ukawa kama kigezo.POLENI NDUGU WA MAREHE STEVEN KANUMBA.TUNAMUOMBEA MUNGU AIWEKE ROHO YA MAREHEMU MAHALI PEMA PEPONI AMINA.(BWANA AMETOA NA BWANA AMETWAA JINA LAKE LISHUKURIWE)
RIP Kanumba, upumzike kwa amani mkubwa.
O.M.G dah!dic can’t b serious…..R.I.P KANUMBA
Inalilah wainailah rajuun
dah!inna lillahi waiina ilahi rajiuun inshallah m.mungu mlaze panapostahili ktk makaazi mema kabisa
Dah kiukweli ts pain na sinahakika kama kuna actor bongo mwenye vision kma ya kanumba wte mawazo yao ni ya hapa hapa tu nilikuwa namfatilia xana kanumba intervew zke zte alionekana mtu mwenye msimamo na mapenzi nimeshangaa kusikia sababu ya kifo chake ni mapnz tena na msichana ambye ni lulu dah!
I like kanumba yote mapenzi ya mungu mungu kachukua alicho kileta tumshukulu
Mbona hamumzungumzii Lulu? Mnayaona mazuri tu ya huyo kanumba…nilini kaanza kulala na Lulu hatujui….sihukumu ila ni kifo cha aibu! tutakukumbuka ila ulikuwa na mengi nyuma ya Pazia.
R.I.P THE GREATEST KANUMBA WE WILL ALWAYS REMEMBER YOU.!
Nilikuwa nikimuona kanumba nafarijika kama namuona marehemu mume wangu jinsi wanavyofanan kama ndugu, kifo cha kanumba kimenipa maumivu mara mbili ya kifo cha mume wangu. R.I.P Kanumba the Great.
Eeh mwenyez Mungu amlaze mahali pema peponi, Amen..
its a shocking and devastating story! Only him and Lulu know the truth.
Kanumba 2tazidi kukuombea kwa mola ulale pema peponi
Yap dat ist
dah so painfull
polen sana kwa msiba wa anko JJ
R.I.P KANUMBA…..Kweli hili ni pigo kubwa….
Aende Mbinguni Salama
all is well…hakika.kifo hakina hodi.rest in peace kanumba.
mungu amlaze pema kaka yetu na kipenzi cha wengi ndugu yetu STEVE
Bwana alitoa na bwana ametwaa jina la bwana nilibakiwe
Kwakel nlish2ka sna nlipopata taarifa hii TBC1 dah ckuamin adi waliponyesha anaingizwa mochwar. Imeniuma sana. Aisha nipo Igunga, tabora.
Imeniuma sana siwezi hata kuelezea.mungu iweke roho ya marehemu mahali pema pepo amin
Inalilah wainailayh rjiuun. Daima tutamkumbuka na kufata nyayo zake
May his soul R.I.P. we have to accept God’s choice coz HE needs him more than us.atleast we will rem him 4 making tanzania famous worldwide through his action.once again i give my condolense 2 his family.
Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi.
mambo vp
may your soul rest in peace….!! we loved you KANUMBA…we will always miss you.
pole sana romana hayo ndo maisha
R.I.P kanumba
poleni sana ndugu na jamaa na marafiki kwa msiba wa kk yetu mpendwa katutoka katuachia majonzi makubwa mungu ailaze mahali pema pepon amen
kila nfs itaonja maut kazi ya mungu haina makosa
Hakika hatasaulika kijana huyu machon kwa walimwengu. Alifanya mengi sana katika jamii yetu. Kifo chake hakuna alie tegemea, yote n mapenzi ya Mungu. Nawaombea wanafamilia wote Mungu awape uvumilivu na ujasiri kwenye kipindi hiki kigumu.NYOTE POLENI SANA
Mungu amrehemu
ezi za uhuhai wa sajuki
mungu amrehemu the great kanumba
Inah lilah wa inah lilah lajuun may ur soul rest n peace dear brother stven charles kanumba.
KANUMBA WIVU UMEKUPONZA umefariki umemwacha lulu duhhhh.RAY,JB,CHENI,TINO DR.CLOUD NA WENGINE WENGI WASANII WA KIUME HILI NIFUNDISHO KWENU NA DADA ZENU MNAO IGIZA NAO.FANYENI KAZI, WIVU WANINI KWANI WEE NDO WAKWANZA KWAKE.wasanii mmezidi umalaya hadi kuuana
It pains alot watu mhimu wanapotutoka,amekuwa akiburudisha nyoyo zetu thru films.R.I.P Mdogo wngu
R I P KANUMBA.
rest in peace. KANUMBA
inah lilah wainalilah rajiun,,,,,,njia ya sote inshaallah mungu amuweke mahala pema pepon ameen,,,,,RIP KANUMBA
Ok Poa
4 sure inasikitisha sana na haiaminiki but tuseme Mungu ndiye mwamuzi na kumlaumu ha2wezi.cjui nisemeje.wanafamilia poleni sana na mwenyezi mungu awafariji.sitoacha kusema mungu ametoa na mungu ametwaa jina lake libarikiwe.AMEN!
nihabari ya kusikitika sana. pole sana wa tanzania mungu a muweke marehemu mahali pema
r.i.p
Tulikupenda anko JJ lakini mungu kakupenda zaidi nenda kapumzike kwa Amani KANUMBA
Tulikupenda sana kanumba lakini mungu kakupenda zaidi kampunzike kwa amani amina
anko JJ umetuachia pengo kubwa sana hatutakusahau kwa mambo uliyo yafanya kanumba kapumzike kwa amani amina
MAMBO
kanumba nakutakia safari njema ndugu yetu mpendwa tulikupenda sana lakini mungu kakupenda zaidi
Poleni sana familia ya kanumba mungu awatie ujasiri, but nimapema mno kututoka km the great alikuwa na usiano wa karibu naLULU walifanya siri kubwa Hadi inavuja usiku mungu ndiye ajuaye sisi ni wake na kwake tutarejea kila la kheli Kanumba we miss u
Is there anything else I could read to learn more about this? I simply have to tell you that your posts are great. Your work is so epic that my ears bleeds when I read it. Incredible. Thx again.
Hakika hatasaulika kijana huyu machon kwa walimwengu. Alifanya mengi sana katika jamii yetu. Kifo chake hakuna alie tegemea, yote ni mapenzi ya Mungu. Nawaombea wanafamilia wote Mungu awape uvumilivu na ujasiri kwenye kipindi hiki kigumu.NYOTE POLENI SANA.
On a scale from 1 to 10, You are an 11. I never discovered any attention-grabbing blog like yours. Your blog is so mind blowing that my ears bleeds when I read it.
POLENI WAFIWA KWA MSIBA WA KANUMBA MUNGU AILAZE ROHO YA MALEHEMU PEPONI AME
Sometime nlikuwa nahic labda ataffuka tena 2endelee kumuona Kanumba lkn wapi! Ndoto zake zmezmka ka mshumaa, kazi zake nzuri alzotegemea kzitoa 2lzhtaji sana lakn ha2taziona. Mungu ailaze roho ya marehem mahar pema peponi amena!
tumuombe mungu amlaze mahali pema peponi,ila kama sisi wanadamu tukumbuke safari yetu ni moja ila inanjia nyingi tofauti za kupitia,tujifunze kwa maripo ya mwenyez mungu anayo yatoa duniani,tuna waomba wasanii wetu mtupe nafasi ya kujifunza yaliyo mema kutoka kwenu msije mkaweka giza kwenye mioyo ya watu.
Hakika naamini sasa kuwa hata mimi nitaozea kaburini. Mungu Mwenyezi,tunaomba umsamehe madhaifu yake ya kibinadam kijana Steven Kanumba ili apumzike kwa amani peponi.
mbele yko nyuma etuuu rest peace mr kanumba
I know you would love Arkansas. How many people could really believe in that sort of thing? How do you think it’s even possible that everything got to this point? I’ll like your other sites.
impala hotel arusha inawapa pole sana ngugu na jamaa wa karibu wa Kanumba. tunasema tulimpenda sana lakini Mungu alimpenda zaidi. Bwana ametoa bwana ametwaa jina lake lihimidiwa.
Poleni ndugu jamaa na marafiki wa kanumba kwa msiba mzito uliowakuta mungu kampenda zaidi yetu,ila kifo chake kinakia huruma naamini sheria itachukua mkondo wake ipasavyo.
pole mama kanumba huna budi kuikabili hali, Mungu akutie nguvu mama yangu. naumia juu yako, ila Mungu we2 hapungukiwi naamini hatakupungukia mama.
kanumba Mungu aiweke roho yako mahali pema baba.
oh! kanumba we! umekuwa ukikonga nyoyo za wa dada, sasa duhhh.
kanumba ww umetangulia ss 2nafuatanyuma
.
Incredible! Keep it up! It is hard to find good quality writing like yours these days. I have truly enjoyed browsing your blog posts. Your creative potential seems limitless.
wote tunapita,Mungu ailaze roho ya marehemu steven
kanumba mahali pema peponi,AMINA.
dah! hii ya R.I.P Kanumba inafanana na kile kifo cha Marehemu Mwanariadha wa kenya Samweli wanjiru, Mdogo kiumri,maarufu, kafia nyumbani ktk mazingira ya kutatanisha
R.I.P Kanumba de Great,W wl olwyz rmmber u..
Kwa kweli Tanzania imepoteza mtu muhimu sana. Kanumba ameweza kupeperusha bendera ya Taifa. Hivi leo, ukienda Nigeria wanamjua Kanumba na wanajua ni Mtanzania. Marekani, Ulaya hata bara la Asia, Kanumba anajulikana kwa kazi yake ya kipekee. Ametupa heshima kubwa. Kwa kiasi kikubwa, Kanumba ameweza kuwapa waigizaji wenzake changamoto na matumaini ambayo yamepelekea tasnia ya filamu Tanzania kufikia hapa ilipo.
Tutakukumbuka daima Steven Kanumba kwa ubunifu wako, kujiamini kwako na kipaji chako kwa ujumla. Mungu ailaze roho ya Marehemu Steven Kanumba mahali pema peponi.
AMEN!
Binafsi nimeguswa sana na msiba wa ndugu yetu ‘The great’kweli mapenzi balaa.Watanzania wenzangu tujifunze mengi kupitia hilo,sintomsahau kupitia crazy love.
Kiukweli ina pain sn kumpoteza super star km KANUMBA,,, kwan ni ngumu sn kumpata mwingine km yy ila haina jins tulimpenda lkn mungu amempenda zaid
mungu ailaze mahali pema roho ya kanumba. ila tanzania imepoteza mtu wa mahana sana
mungu ailaze mahali pema roho ya kanumba. ila tanzania imepoteza mtu wa mahana saaana jamani, inanitisha sana hali iyo
kanumba umeacha msiba mkubwa inaonyesha nijinsi gani watu walikuwa na upendo kwako.
na wewe lulu kifuatacho ni kunywa sumu ufe kabla watu hawajakuua
na risasi vidole hauwezi kuishi. kwani hata watoto wote watakuwa wakikusonta.
pole sana mdogo wangu haina jinsi zaidi kuiacha hii DUNIA ya musa.
Siamini kama kweli kanumba hamekufa
Kanumba the great hatutakusahau kipenzi na huyo lulu chake ni kifo tu hana nafasi hapa duniani
sio mtampigaje mwenzenu picha akiwa mochwari
Hiyo ya kumpiga picha imekaa vibaya tena sana tu.R.I.P KANUMBA.
Dah. R.I.P. KANUMBA THE GREAT. We will always miss you but only God knows the truth.
Bwana ametoa na bwana ametwaa,jina bwana nalihimidiwe.
Hard to beleave that the man is no mre. I loved him soo much but God loved him better. Now, this is a challenge to the teens. Work hard for better future. Truly, this guy was a hard working.
Rest in peace Kanumba. I will nit forget you
NISIKU 2 ZIKIFIKA HUA HAZIZIDI WALA SIO UMALAYA VIFO VINGI VINATOKEA LAKI HAVISABABISHWI NA UMALAYA MUNGU AMPUNGUZIE AZABU WABINLAHI TAUFIQ
Basi, kaka na ndugu yetu Kanumba, Mungu akupokee.
am not ok for deth of kanumba but my comment is to sympanty those who love the great thank my name is seneda andrew at bunda mara also my hope i need 2 be more than thegreat so jesus help us those who need 2 be a aactors
Mungu ailaze roho ya kinara wetu wa films by nick
jamani jamani ukickia maumivu basi ndo haya!cdhani kama msaniii atakaefikia level ya kanumba atakuja tokea !bwana alitoa na bwana emetwaa, jina lake lihimidiwe
I pinch my self haaaaard may be am wake up at this bad 9yt mare, now am realize this is not a mare is true u a real gone 4 real our Kanumba, i love u more and more up now am feel deeply pain…..ooooooh God give the stregth and wisdom of all overcoming dis pain…..R.I.P STEVE!!!!!!
MASHABOY A.K.A YEGO WA SAFARINI BURUNDI. MIMI NAANZA KWAKUSEMA KWAKUTOA POLE KWA WATANZANIA WOTE KUHU KIFO KANUMMBA
NAWAPA POLE SANA WATANZANIA WOTE MASHABIKI WA KANUMBA THE GREAT.MUNGU AILAZE ROHO YAKE MAHALI PEMA PEPONI,AMEN
Tutakukumbuka daima milele ulale pema uko ulipo nasi njia yetu ni hiyo hiyo
poleni saaana wasani!!
Man proposes,God disposes rest in peace Kanumba and God bless you for all doned under the sun before youare resting.
dah! that is how life goes bro R.I.P we all pray for you that your sins may be forgiven .
I loved as much as you’ll receive carried out right here. The sketch is attractive, your authored subject matter stylish. nonetheless, you command get bought an edginess over that you wish be delivering the following. unwell unquestionably come further formerly again as exactly the same nearly very often inside case you shield this hike.
kanumba kauliwa na nani?Nakama kauliwa na lulu ushahidi mmepata wapi?
Kifo ni mpango wa mungu hakuna anaejua atakufaje. Rest in peace kanumba
Rest In Peace Steven Kanumba,we will always remember 4ur lovely movies!
kapumzike pema kanumba
r.i.p kanumba
Picha
Mmmmmh binadamu c kamili””yake yamrkwisha tusubiri yetu
Kanumba awezi kusaharika..katika msanii wa filam hapa bonge nilie kuwa namkubari zaidi ni Kanumba..kazi zake bado zinaheshimika na zipo juu..mungu amlaze mahari pema pepon ndugu Siteven Kanumba.
kanumba hana kitu kwa m/mungu
R.I.P KANUMBA we miss you. by DERICK DRC
R I P my brother kanumba
tulikupenda sana kaka yetu bado pengo lipo
Kwakweli inasikitisha
Tunakaribia mwaka sasa tangu tumpoteze the great na bado machungu yapo vlevle kwel kanumba ni wa pekee R.I.P kaka
Pengo halita zibika R.I.P
Mimi sinamengi yakusema nawapapole sana kwakutokwa na msanii tuliempenda steven kanumba:
mpaka leo nafsi yngu inaniuma sana kila nikimkumbuka, nampenda sana Kanumba. Pumzika kwa amani!
Upumzike kwa amani mfalme wa bongo movie moyoni mwangu nimejenga msingi kwamba hata tokea kama kanumba
Hatuta msahau kanumba (alalepema pepon,ame)
SO
Pole familia na daima 2ta mkumbuka rìp stve
mungu ailaze pepon roho ya kanumba
mungu aulaze mwili wa stivine kanumba mahara pema peponi amina
I blog quite often and I genuinely appreciate your content.
The article has really peaked my interest.
I’m going to bookmark your website and keep checking for new information about once a week. I opted in for your Feed as well.
Hey! Would you mind if I share your blog with
my myspace group? There’s a lot of people that I think would really enjoy your content. Please let me know. Thank you
Do you have a spam issue on this site; I also am
a blogger, and I was curious about your situation; we have created some
nice procedures and we are looking to exchange strategies with others,
be sure to shoot me an email if interested.
Today, while I was at work, my sister stole my iphone and tested to see if it can survive a 40 foot drop, just so she can be a youtube
sensation. My iPad is now destroyed and
she has 83 views. I know this is entirely off topic but I had to share it with
someone!
I enjoy what you guys are up too. Such clever work and exposure!
Keep up the awesome works guys I’ve included you guys to blogroll.
Good day! This is kind of off topic but I need some help from an
established blog. Is it difficult to set up your own blog?
I’m not very techincal but I can figure things out pretty quick. I’m
thinking about making my own but I’m not sure where to start. Do you have any points or suggestions? Many thanks
Useful information. Fortunate me I found your website by accident, and I am surprised why this twist of fate did not
happened earlier! I bookmarked it.
This design is steller! You obviously know how to keep a reader entertained.
Between your wit and your videos, I was almost moved
to start my own blog (well, almost…HaHa!) Excellent job.
I really loved what you had to say, and more than that, how you presented it.
Too cool!
Video za mazishi ya kanumba
ha2wez kukusahau man kanuuumbaaaaaaaaa
Generally I do not read article on blogs, but I would like to say that
this write-up very compelled me to check out and do so! Your writing taste has been surprised me.
Thanks, quite great article.
Pretty! This has been an incredibly wonderful article.
Many thanks for providing this info.
Hello There. I found your blog using msn.
This is a very well written article. I’ll be sure to bookmark it and return to read more of your useful info. Thanks for the post. I’ll
certainly comeback.
Hi there, always i used to check web site posts here in
the early hours in the break of day, as i love to learn more and more.
I leave a response when I appreciate a post on a blog or if I have something to
valuable to contribute to the conversation. It’s triggered by the sincerness communicated in the post I read. And after this article Picha za Mwili wa Kanumba ukiingizwa Chumba cha Maiti Muhimbili. | Spoti na Starehe. I was actually moved enough to drop a comment 🙂 I do have some questions for you if you do not mind. Is it simply me or does it seem like a few of the responses look like they are written by brain dead visitors? 😛 And, if you are writing on other social sites, I would like to follow you. Could you list all of your public sites like your Facebook page, twitter feed, or linkedin profile?
Oya daudi umeshajua kuhusu kifo cha kanumba au bado
daaaaaaah’ i wil neva 4get him in my lyf
Du co utan yatisha.
Mambo rafiki mzima
Dawso Kilolo wa tegeta.
Hiv ngear alikuwa mke. kama alikuwa naye itakuwaje kuhusu maisha yake?
RIP Mangwear- mungu alitoa,mungu mungu ametwaa tuseme “AMINA”‘
MUNGU AILAZE LOO YAMALEHEMU STIVIN KANUMBA MAALI PEMA TUTAMKUMBUKA KWAKAZI ZAKE DUNI.
0684740445
Hii mitandao kutuma picha zaajabu zinaifundisha nini jamii
Mungu ibariki roho yakanumba
Tutakukumbuka Daima Jembe La Kazi R.I.P.
Why Brother K Hujatuaga
R.I.P. JEMBE
rest in peace bestbest
Yote kwa yote achen kumlaum lulu kwan no one is perfect except sir god.R.I.P KANUMBA.
tangu alipo kufa bingwa filamu steven kanumba sasa hivi wanatunga utumbo mtupu filamu hazina mvuto kabisa
Polen xana wa t.z na lulu uombe xana ivyo vilio kwa ulimwengu mzima ni laana omba hakuna dhambi isiosamehewa
Ni mipango ya mungu lakini lulu kuwa ukiomba mungu wako ucku na mchana
mungu ailaze roho ya kanumba mahali pema peponi,amen
amen
Kanumba lilikua jembe la filam za tz nafasi yake haitazibika mungu aibariki roho yake.
mbele yake nyuma yeu,
kazi ya mungu haina makosa.
USIZUNGUMZE KITU AMBACHO HUNA HUAKIKA NACHO
Siamini Macho Ya Ngu
Ckilizen ki2 nimekaa kimya muda mref ili huo uchungu ucyo na mcng uishe mi nasema hv huyu kanumba amekufa na pombe na zinaa ndiyo alikua kaz yake kubadl wanawake alkua ktomb nmtu ambae ange pelekea maambukz ya umwk hana mana hata rob bora kuna wa2 wangap wa mana na muhm wanakufa.
Bitch what do u gain/loose by his presence/death???
Ili2guxa xana RIP brother
sija ipenda kufa kanumba
Mungu ailaze roho ya marehem mahala pazur
jaman inauma sana kumpoteza mkonga myoyo ya wa2
pole sana mama kanumba
MIMI SIELEWI HAMNA YAKUSEMA MBONA HADI LEO PCHA ZA MUWILI WAKANUMBA BADO ZIPO
SAMSON NIAJE TZ
hivi kwanin mnapenda kumuonyesha picha zake baada ya kumuombea dua marehemu
kiukwel pengo la kanumba halitazbika
No one lk kanumba
Marehem tulimpenda lakin mungu kampenda zaidi. Amen
This wrld iz nt our hom
Hakika hakuna linalopingwa mbele za Mungü, akiongea ameongea and no 1 can stay 4rever 4this world 2muombe xana Múngúد kwan ha2jui n lin ck ye2 kwan yey hachagui Màskiní wala tajir …..Daíma 2tamkumbuka Ndugu ye2 mpendwa Steven Kañumbá.. R.I.P
Alyoyapanga Mwenyeenz hakuna wa kuyapinga…. Mungu mtangulie Mwanao Kanumba…. U2samehe na cc maovu ye2 .In Gód~ we Trùst<..
2chukulie mfano kwa kaka ye2 huyu,,,اDunia ina mwisho wake….Ni more than païñ@
Oyooo!
Roho ínáüma xanaáá…Eè دMungú 2saídíe cc wánáó …..R.i.P big brother
I WILL LOVE KANUMBA FOREVER EVER
jaman 2sihuzunike sana coz mungu alitoa na mungu ametwaa jina lake lihimidiwe amen
Tumekukumbuka kwel Kanumba, mungu akulaze pema peponi the gret.
polen xana watanzania coz mwenyez mungu amechukua mali yake
oh niaje omy nieshiwa pozi kwa ajal hii
jamani nirikuwa nasema usupa star unakuja kutokana nakazi yako nzuri nasio kimadawa kama kanumba mshahara ndouwo sasa kapata nini kakosa vyote duniani
Ninataka prado piston4yamwaka 2006nyeupe ya petrol shilling ngap?
Polen sana
Welaaaa
siwez kumsahau kanumba kilahs mana nikiziangalia hata picha zake lo inaniuma sana ila lulu namuombea mabaya dunian
RIP STEVENE KANUMBA “GOD PROTECT YOU WHERE YOUR
R.I.P tutakukumbuka milele
Ts almst two yearz since t hav gone. I wl never 4get u, u wl 4rever live. Rest In Peace bro
Polesana,enyiwatanzaniawote.VIpichamachenu?JEnifa~Patricke
R.I.P
vp mambo yak uko poa kbs nipe habar
oyaa lala salm wote tunakuj huk tu ndio sehem yetu wote
kanumba nipigo kubwa kwa taifa le2 kwani sioni kama kutatokea msanii wa kuweza kumsahau kanumba
mungu ailaze roho ya marehem pema pepon
mungu ametoa na mungu ametwaa
bwana ametoa na bwana ametwaa
ukweli mwanadam ni maua….tunatakiwa kuwa tayari wakati wote…tatizo sio kufa kwa kanumba, bali ni kifo cha kanumba…ndiyo chenye machungu sana kwa watanzania…na maswali mengi ambayo hayana majibu…tumwachie MUNGU mwenye haki. pengo lake halitazibika kwa kweli.
Duh!!!! bad ha2jamsahau jemb l2
innalilah wainnalih rajiun,hakika allah subuhanah wataara kashasema kila nafsi itaonja umaut na ama hakika atabaki ye2 allah subuhanah wataara,sina budi kuwapa pole ndugu na jamaa kwa msiba wa ndugu ye2 stephen kanumba pole saaana ila ni kazi ya allah.
Dah! Bado Xijaamin Kabixa
Mungu amuongoze marehemu kanumba alikuwa na marafiki wengu waliyo mupenda kupitia tansinia ya filamu lakin lulu naye ci auwawe shelia inaxema m2 akimuua mwenzake naye hauwawe lakini mahakana inamuachia kama hawawezi kazi wafukwuze mara moja by beza platinumz
R I P
kanumba afanye kazi yake kwa shetani wake fri.masoni vizuri tuu
tulikupenda sana mungu kakupenda zaidi RIP brother
yote maisha
kweli kanumba alitisha
ITC TRUE WE CAN SEF NOTHING AT 9T
ITC TRUE WE CAN SEE NOTHING BUT SOMEHOW AT 9T by thadei
MAISHA YA EWAI
Dar majanga
Du freemason noma.
Poreni sana wanandugu
sote tutakukumbuka
Mungu akueke sehemu salama
Nitaendle kumkumbk kanumba
Nitaendle kumkumbk kanumba By frank kogo
bwana ametoa bwana ametwaa jina la bwana libarikiw
kama kufani kwenda mbingu bac wanao kufa mungu awe pamoja nao
MUNGU AILAZE ROHO YAKEA MALI PEMA PEPON AMIN
mhi!!!!!!!
r.i.p kanumba tulikupenda pia tulikuitaji kipenzi cha watanzania na afrika kwa ujumla but mungu alikupemda zaidi mungu akupe mapumziko mema ya milele amina: by dotto nyarutu .com@:
moyo wangu unauma sna kanumba kutokuwepo kwenye tasinia ya bongo movie mungu amuweke mahalipema pepon amne. kutoka kwa juma 4 goha!
JAMANI ACHENI KANUMBA ALALE MAHALI PEMA.
kweli kanumba nialiku masoon
Arazwe pema pepon my bro…..by khamic almas.
kanumba pole sans mungu akulanze mahali pema peponi
Kifo cha kanumba kimeacha pengo kubwa sana kwenye tasnia ya filmu bongo.hakika mungu ailaze pema roho ya marehem.amen
picha za mwili wa kanumba
Poleni Famiria Ya Kanumba Ila Lulu Unatakiwa Kutambua Kua Ni Mitihan Ya Dunia
Sitaisahau siku hiyo kanumba alipo tutoka
enock
am hapy ma lovely lulu kaachiwa…!lala pema kanumba
emugu. musamehe kanumba huko Marko.
poleni sana bana kato bwana katwaa
D
so vizuri kuningania mtu,ata kwasasa ivi mimi si jamini kwamba msanii kanumba amesha tuacha,kweli ni vigumu kwakuelewa siri ya mwenyezi mungu,tumuachiye yote molah ndo ana juwa ukweli wa maisha ya binadamu
kwakwel mimi nashangaa mtu mnamuombea dua mtu ambaye ni kafiri hajamkubal muumba mbingu saba pasina nguzo huyo ni moton
rest in peace kunumba
rest in peace kanumba
polen
Inauma Kishezi
ni amshaaaa&
Rip The great 🇹🇿
KTK MAISHA YA MWANADAMU MWENYEZI MUNGU ANAJUA KILA KITU nina toa pole kwa ndugu wa marehemu steven kanumba mm na kanumba tulikuwaga marafiki wa kujati na mm baada ya kifo chake nilimwambia nna penda kuigiza na mm nilikuwa nimesha adika story nyingi sana kwenye kauta book na nikamwaidi kuigiza nna weza sana na akanikubaria siku moja nilimtumia story ya maisha ya vijana watatu ndugu masikin wakafanikisha waka msaau mama yao na story marehemu kanumba aliipenda sana na akadai atanitafuta na nikimaliza kidato cha nne ananipeleka chuo cha uingizaji kaole na akadai atanisaidia ktk maisha yangu siku ya mwisho kuzungumza nae marehem kanumba siku moja baada ya kifo chake alida atanisaidia na akanishauli mwenyewe alipo pitia na maisha aliyo pitia magumu akaniambia nisikate tamaa ktk maisha na mm nikamkubaria na mungu amulaze maari pema peponi rafiki yangu steven kanumba ameni na atutakuona kamwe daima rafiki yangu mpenda ? na mtu atakaro ziba pengo la kanumba ktk dunia hii ni mm rafiki yake mpenda na aliniachia mkono w
kila nafsi itaonja umaut
mbele yake nyuma yetu
Mungu ailaze pema pepon roho ya kanumba.
Namkumbuka Xana xitamxahau
bado namkumbuka kanumba
Yani ulichokfanya bc tu.
Tutaendelea kumkumbuka msanii wetu daima
I cnt realy believe kanumba is dead, he was and stil is my favourite actore in Tanzania, my ur soul rest in peace steve.
mungu ailaze roho ya marehemu pepon amen.
Tutakuku mbuka sana br
PUMNZIKA DOGO HUKO HULIKO NDO KWENYE HAKI
kwanini kamumba alikufa
kazi yamungu aina makosa bwana ametoa na ametwaa sisi wote niwakupita navyote nivyaku pita
Kilamtu amepangiwa sikuyake ya kutoeka duniani yote mipango ya mungu
duh
Pollen
kanumba alikuwa fremaison
Mungu ailaze loho ya marehemu kanumba mahari pema peponi
wasanii tnapaswa kfata nyayo za kanmba
INASIKITISHA SANA
no.
kwanini kanumba akufe bila mtoto?
jamani tumezika wa ngapi sembuse hicho kijikanumba acheni maswala ya kufirwa na maiti
B
gari nyumba na pesa
Alale Pema PePon
mungu amlaze peponi nasisi tunakufatia yuma yako
waah! ya mungu n mengi cna la ziada ila nawaomba 2 mkaze nyoyo znu wpnz wa kanumba mtktna naye cku moja.R.I.P BIG DADDY!?
ina lillahi wainailayhi rajiuun, mw mungu akurehemu ishaallah
Jamani mungu awaweke mahali pema peponi amy!!!.
ina niuma sana kifo cha kanumba
ni kweli kanumba ame fariki na sikitika nikiona mshezo wake
omari naishi mjini kindu nina shida yakuwa mwanachama 0977013892
haionyesh pouw hzo photo
Hae Mm N Collins Ktka Kenya Polen Xana
da mungt ndo muweza wa yote
Inalilah wainalilah rajihhun
kueni pole
tulimpenda watanzania wote lakini mungu kampenda zaidi mungu ailaze nahali pema peponi
tulimpenda watanzania wote lakini mungu kampenda zaidi mungu ailaze nahali pema peponi
rents Bikes
Picha za Mwili wa Kanumba ukiingizwa Chumba cha Maiti Muhimbili. | Spoti na Starehe
Clique aqui
Picha za Mwili wa Kanumba ukiingizwa Chumba cha Maiti Muhimbili. | Spoti na Starehe
I have bookmark your website and also include rss.
Thanks for your personal marvelous posting! I genuinely enjoyed reading it, you might be a great author.I will ensure that I bookmark your blog and may come back in the future. I want to encourage yourself to continue your great posts, have a nice morning!
KWA NI NI KA NU MBA,ALIE NDA
KU ZIMU NI ?
LET GOD BE WITH YOU FOREVER.
Pole