Mchezaji wa Manchester United Cristiano Ronaldo akiwa ameshika zawadi yake ya “best forward award 2008/2009” kwenye shindano lililofanyika huko Monaco majuzi, August 28. Ronaldo alisema anaamini atarejea uwanjani karibuni na kukabiliana na changamoto ya kuendeleza kipaji chake kwenye mchezo wa kandanda hasa baada ya kufanyiwa upasuaji wa ankle.
Ronaldo bado anakula tuzo!
August 31, 2008Arsenal yainyoa Newcastle 3-0
August 31, 2008
Mchezaji wa Arsenal toka Togo Striker Emmanuel Adebayor (right) akigombea mpira na mchezaji wa Newcastle Mu-Argentinian Fabricio Coloccini wakati wa mchezo kati yao wa Premier League hapo jana katika uwanja wa Emirates Stadium, London, England, August 30. Arsenal won 3-0.
Mwaisa kama nakuona full shangwe!!
Mheshimiwa Kikwete katikati ya Game ya Kikapu.
August 30, 2008Rais Jakaya Mrisho Kikwete alipata kuhudhuria game ya wanawake WNBA kati ya Washington Mystics (75)vs Chicago Sky(79), game ambayo ilimalizika kwa Chicago Sky kushinda kwa vikapu 79 kwa 75. Game hii iliyofanyika jana hapa washington, d.c katika uwanja wa verizon center na kuhudhuliwa na mh JKPicha zote na Dan Machimu
P.Diddy alalamika kuhusu Bei ya wese!
August 30, 2008Mwanamuziki P Diddy alalamika kuhusu upandaji wa bei ya mafuta nchini marekani. Mwanamuziki huyo amesema kuwa kwa sasa anatumia ndege za wananchi kwenda safari zake kwasababu ya upandaji huo wa mafuta. Kwasasa hivi ameweka kando privet jet yake kwakuwa imekuwa ni gharama sana kuitumia. Akitumia ndege yake Inamgarimu dola za kimarekani 250,00 kwenda L.A na kurudi NY.
P Diddy karibu katika maisha yetu!
Kutoka umiss paka mgombea mwenza
August 29, 2008Governor wa Alaska ambaye amechaguliwa kuwa mgombea mwenza wa Mccain katika kinyanganyiro cha uraisi Marekani. Mnamo waka 1984 Sarah Palin alifanikiwa kuwa mshindi wa pili katika mashindano ya umiss huko Alaska. Huu ni mfano mzuri kwa mamiss wakitanzania….
Wengi wanasema kuwa uteuzi wa McCain kumchagua mama huyu ili awe vice president ni njia mojawapo ya kumkata miguu bwana Obama…. Wanategemea watu wengi kuunga mkono kuwa na mwanamke katika uongozi wa juu Marekani.
Chumba Cha joker chapanda dau
August 29, 2008KIPANYA jijini BERLIN
August 29, 2008Katuni ya kipanya imeshiriki maonyesho wa uchoraji huko berlin yalioenda kwa jina la Underground Exhibition. Katuni ya dying imependwa sana na watu… kwakutoa ujumbe mkubwa na utaalamu uliotumika kuchora katuni hiyo. Kipanya ni Katuni zinazochorwa na Mtanzania Ali Masoud. Kijana aliyevuka hatua kubwa sana katika usani wa uchoraji na pamoja na kujiingiza katika Mitindo na lebo yake ya KP. Hongera sana Kaka Masoud.