Wakati inatoka Kibuisa Mpimpa binafsi nilikuwa bado sijaamua niwe upande gani baada ya Wera na Jb Mpiana kutengana.
Wimbo huu unaitwa Un Prince au Congo ni wimbo maalum kwa mtu maalum, aliutunga kwa ajili ya Alici Baba nfanyabiashara mwenyebpesa zake ambaye alijulikana kwa kupenda maisha fulani na alijipenda sana na kupachikwa jina la Prince wa Congo.
Ukisikiliza muziki huu unapata ule u “beeceebeegeeque” kabisa bado walikuwa na composition ya Wenge 4×4.
Pata rubudani hahahha


















nimetokwa na machozi mbali sanaaaaaa
Reading this made me spit up soda on my computer. I would like to browse a lot more of your blogs but I literally have no cell phone reception where I am right now. Would you suggest using this within a work place setting? This website looks just like my old one. This really answered my question.