Madilu;Olobaki nini eee eh= unasema nini eee eh, Olobaki nini Mamou eeeh= (unasema nini eeh Mammou), Olobaki ngai nafundaka yo na Mobali nayo= (unasema mimi nafauta mumeo), Olobaki ngai nasalaka kisefe na libala na bino=(unasema mimi huwa nafanya umbea katika ndoa yenu).
Lwambo;
Madilu tika ye aloba,loba,loba,loba makambo ye asalaka ayebaka te = (Madilu muache aseme aseme aseme mambo ayafanyayo hayafamu). Ba balabala ye atambolaka bato bamonaka ye = (Barabara/mitaa yote anayopita watu humuona). Na bandako ye akotaka ba plafond ya ndako efundaka ye = (Na nyumba zote aingiazo dari za nyumba huwa zinashuhudia). Na bacoins nyoso ye atelemaka ba chauffer taxi bamonaka ye = (kila kona anayosimama madereva taxi humuona).
Bavedete ye akamataka banaimbwa bamonaka ye = (Kwenye kila meli anayoingia wavuvi humuona). Po yo nini apanza sango alobi yo osalaka kisefe = (kwa nini akufanyie kampeni ati unahatarisha ndoa yao). Ngai moto nakotelaka yo Mamouee = (Mimi ndio mtu nayekulinda Mamouee) Ngai moto nayebi basekele Mamou eeh=(Mimi ndio mtu nafamu siri Mamoueeh). Lelo nakomi moto mabe Mamoueeh = (Leo nimekua mtu mbaya Mamouee).
Oyebi tango engindaka Mamou eeh = (Fahamu wakati hubadilika Mamouee) Okokanisa ngai Mamou nakei yeyeye= (Utanikumbuka Mamou acha nijiondokee) . Ata ofingi ngai ndumba Mamoueeh= (Hata ukinitusi mimi malaya Mamou).
Lwambo Anaoongea; Oh Mamou, Kindumbu oyo oza kofinga ngai Mamou= (Eeh Mamou huu Umalaya unaonitukania Mamou). Kindumbu eza mosala provisoire te Mamou=(Umalaya si kibarua cha muda, mamou).
Ngai pe nazalaka na libala nayebi pasi ya Libala= (Hata mimi nilishaolewa nazifahamu shida za ndoa). Bongo, kindumba oyo oza kofinga ngai mamou =(Sasa,huu umalaya unakufanya unikashifu).
Omona ndumba abota bana te ?= (Ulishamuona malaya asiyezaa?) Omona nanu ndumba amata te? = (Hujamuona malaya aliyefaulu kimaisha).
Omona nanu ndumba akoma esika ya gateau te? = (Hujawahi kuona malaya amekua mtu muhimu) Te Mamou na souhaiter te = (Hakika Mamou sijataka kuwa Malaya).
Na yo pe mokolo ekoma osi okomi na esika oyo ya biso nakotuna yo = (Siku utakapokua malaya nitakuuliza).
Madilu; &n bsp; Eloko nini okolukaeeMamou eeehx2= (Kitu gani unachotaka/tafuta Mamoueeh) Signature osi ozua Mamoueeh = (Mamlaka ya kusaini hundi(cheque) umepewa mamou) Landa nzela ya libala Mamou= (Wajibika katika ndoa yako) Yango ekumisa yo na poto Mamou= (Umefika Ulaya kwa ajili ya Ndoa) Tika kokosa mobali na yo Mamou=(Acha kumdanganya mumeo) Soki atelephoner loba obimaka= (akikupigia simu mueleze huwa unatoka)
Lwambo; &n bsp; Mamou yo moko oyebisai ngai mobali nayo atinda yo na poto okende kobokolo bana= (Mamou mwenyewe ulinieleza mumeo alikutuma ulaya ukalee watoto).
Mokolo mosusu soki ngungi esui yo = (siku moja mbu alikuuma) Olobi mobali nayo atelephonaka yo 2x par jar = (Ulisema mumeo huwa anakupigia simu mara mbili kwa siku) Kutu apesa yo na carnet ya cheque = (Hata kitabu cha benki amekupa)
Mamou amona soki mobali naye atelephoner na yo =(Mamou akiona mumewe amempigia simu) Sourtout na minuit amoni likolo ekiti = (Ikifika saa sita Usiku yeye huwa anao kuwa pamekucha) Akoti na salle de bain, atuti monzele, abimi na salon = (ataingia bafuni,atajisafisha,atarudi sebuleni)
Akamati kisi ya bangungi apomper,apomper =(Atachukua dawa ya mbu atapulizia ndani) Po tango akobima mwana wana ayeba te que mama azongi =(Atakapotoka na kurudi mtoto asifahamu)
Akozonga pe lokola nyau, makolo nyamu nyamu = (atarudi kama Paka kwa kunyata) Papa pe kuna atilaki hoo du matin ekoki drrr,drrr = (inapotimu saa sita ya asubuhi anapiga simu drrr,drrr) Allo nani wana ? Ngai mamou Oyo nayoki azakoloba kuna nani = (allo nani wangu mimi mamou ni nani nayemsikia akizungumza)
Te ezaa radio radio tata =(Hiyo ni radio tu) Sala attention Mamou = (Tafadhali jihadhari Mamou) Vraiment batela personnalite na ngai kuna oza na poto = (kweli)