JB mpiana aendeleza mashambulizi Rotterdam







Mdau wa BCBG Twaha Makau pamoja na wadau wengine wameomba kuona picha zaidi za Papa Cherry na kundi zima la BCBG walipokuwa Bruxells Belgium hivi karibuni nami sina hiana ipo stock ya kutosha tuu hata kutumiwa watumiwa.
Rio
JDL
Mwanamuziki wa Congo Ferre Gola (pichani) hivi karibuni alipata dhahma baada ya kitiwa nguvuni yeye pamoja na wanamuziki wa bendi yaki akiwa kwenye mpaka wa Belgium kuingia Ufaransa, akielekea kwenye shoo yake ambayo ilipangwa kufanyika Strasbourg ,inadaiwa kuwa Ferre alipata dhahma hiyo baada ya kutumia pasi za kusafiria ambazo zilikuwa zimekwisha muda wake, Akiongea nami mdau Mumuu Chizange alisema Kabla ya dhahma hiyo Ferre alifanya onyesho Belgium, onyesho ambalo linadaiwa kuwa na wahudhuriaji wachache sana hata baada ya kiingilio kushushwa toka Euro 30 hadi 10 bado hakupata watu, akizungumzia dhahma hiyo promota wa mwanamuziki huyo Lumba Bawu ambaye alikuwa akiratibu safari ya ke amesema kuwa kitendo alichofanya Ferre si cha kiungwana kwani alithubutu hata kudanganya pale alipoulizwa kuhusu Visa za Ufaransa akasema kuwa anazo ziko Valid hadi mwezi July, naye producer Fridolin Bokomo ambaye alikuwa akiratibu ziara ya mwanamuziki huyo Holland alisema kuwa Ferre amewatia hasara kwa ajili ya maandalizi ya maonyesho yake, Ina wezekana Ferre akapata adhabu kali kutokana na kitendo hicho kwani mwanamuziki Papa Wemba aliwahi kupata matatizo kama hayo pia.