Habari zilizotufikia zinasema kuwa Muigizaji nguli Steven Kanumba amefariki dunia. Aidha habari zinasema kuwa Kanumba amefariki ghafla saa tisa usiku huu baada ya kudondoka ghafla. Aidha habari zinasema kuwa Kanumba alikuwa na Girl Friend wake ambapo kulitokea kutoelewana kati yako na Kanumba alisukumwa na kuanguka na kupiga kichwa chini.
Mungu ailaze Roho ya Marehemu
pema Peponi – Ameni
Innalillah wainna ilaih rajiuuun,
R.I.P kanumba
Innalillah wainna ilaih rajiuuun, kwakwel majonz ni nakubwa sana kwa kuondokewa na kipenz chetu.4 sure Kanumba was ma fvryt act,my his saul rest in peac,amen
dah! Nmefkiria sna naona kma amekosea ila mungu mwenyewe ndo alyepanga sina budi kusema innah lilah wainnah ilaih rajiun
Nimewaza sn,ukweli nachojifunza kupitia kanumba n kuwa tayari wakati wowote pale(kumrudia mungu)
Tanzania imeingiwa na balidi kubwa isiyoweza kuondoleka kwa koti wala sweta kwa kuondokewa na muigizaji mashughuli nchini (stevin kanumba) mungu amlazemahali panapo stahili..
Duh,ukweli mi hata c amini vile!
Kiuhalisia siyo rahisi kwa mtu yeyote kuamin, ila Mungu alitoa na Mungu ame twaa,Mungu ailaze roho ya marehem peponu ame
May his soul rest in peace, Amen. Poleni sana wanafamilia, wasanii na nchi nzima
mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi amen.
mungu ailaze roho yake mahali pemapeponi
Tunasikitika sana kumpoteza kiungo wetu msanii steven kanumba mungu amlaze mahali pema peponi
Kifo cha kanumba kimeshtusha mashabiki kwa kweli maana ni kama ndoto bali tukubaliane na hali halisi na tunapata fundisho hususani kwa vijana tujiandae maisha ya duniani na mbinguni ili nasi tutakapoitwa na bwana tuweze kufika kwake Mungu ailaze roho ya Maremu Kanumba katika uzima wa milele! Na apumzike kwa amani Amina!
Mungu amlaze maali pema
Kweli dunia mapito na dhahiri mapenz yanarun dunia mungu amlaze KANUMBA pema.Siku ngumu sana kwa Watanzania.
Kama ndoto vile, ila ndo kazi ya mungu hainaga makosa sku zote. R.I.P kanumba!!!!
Poleni sana wadau wote wa filamu nchini tz Mungu ailaze roha ya marehemu mahali pema peponi.
Asante Spoti na Starehe hakika Kila nafsi itaonja mauti.
IS OUR JOURNEY, YEYE AMETANGULIA NA SISI MTUTAFUATIA.
TUMEKUJA KWA UDONGO TUTARUDI KWA UDONGO. ASHUKULIWE MUNGU KWA KILA JAMBO KWANI YEYE NDIO MPANGAJI WA YOTE.
Our best actor kanumba rest in piss.
Tulikupenda ila yeye ndiye muamuzi wa yote…..nitakukumbuka daima nakutakia heri ya milele!.
daah hii dunia kweli ni tambala mbovu ,na sisi wanadamu ni maua tu hukua na kustawi baadae hunyauka na kupotea kabisa Mungu ameamua sisi hatuna kupinga ila tukubali hapa duniani tunapita tu
bwana ametoa,bwana ametwaa, jina lake liinuliwe
ee bwana umpokee katika nuru ya uso wako.
amen.
Kweli wote tuko safarini hatujui muda wala saa, MUNGU ailaze roho ya marehemu Kanumba mahali pema peponi AMEN,
Kazi ya Mungu haina makosa inatakiwa tumludie Muumba
siku mbili zimepita nilimwambia kwa habari za kuokoka na kumrudia Mungu yaani Yesu kristo kama mwokozi wake alisema atafanya jumapili hii kanisani, leo yako wapi tujifunzeni watu wote hatujui saa wala siku.
mch
kweli inasikitisha sana na tupoteza muigizaji mzuri sanaa mungu amlaze mahali pema pepono
demu si lulu kicheche 4 the great has become the poor
Kila lenye mwanzo alikosi kua na mwisho,eemungu tunakuomba umpe pepo ndugu yetu kanumba
hakika mpango wa mungu hakuna wakupinga.mungu atusaidie
nimsiba mkubwa sana wa kihistoria maana alikua anaitambulisha sanaa film tz mpaka nje.sina buti kusema bwana ameleta bwana ametwa alazwe mahali pema peponi
Kanumba The Great,Kufa ni wajibu lakini kifo hakizoeleki,Ni kanumba nyota iliyong’ara na kuzimika ghafla,Na imani utafanyika uchunguzi wa kina na hatimaye Umma ukafahamishwa juu kifo cha nyota huyu ambaye alikuwa kioo cha Jamii,Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi Amina.
Baada ya kifo mengi husemwa, sio vibaya lakini mimi nadhani siowakati wa kuzungumza ambalo haulijui sawasawa,ni vyema tukasubiri ripoti kamili ndipo tuwe ktk nafasi nzuri ya kuzungumza zaidi. pole mama kanumba, Wema Sepetu, nawengine wengi, huyu jamaa kweli ni mtu wa watu, nimsiba wetu sote. nawaomba sana ktk hili tusimtaje mtu tusubiri. kaka jay tbt
Dah sisitulimpenda lakini Mungu amempenda zaidi mengi yatasemwalkn ukweli utabaki Kanumba hatukonae tena Polenisana watanzania by machange fmly
Mungu kakupenda zaidi, na upumzike kwa amani
May the lord rest the soul of the best and beloved actor of bongo movies in peace.we loved him but the lord loved him most.may he rest in peace.@AMEN@
Ameniuma saaaaaana!! Bado siamini. Lakini ndo mapenzi ya Mungu,tumshukuru kwa kila jambo. Pumzika kwa amani mpendwa wetu Kanumba.
RIP Steven Kanumba, Mungu ni mwema siku zote. Amen.
Kennedy
Innalillah wainna ilaih rajiuuun
Unauhakika kama kanumba kafa.
Nawaomba endeleeni kutufundisha
This piece of writing will assist the internet viewers for building up new web site or even
a weblog from start to end.
Msijali a akini lavi sana kanumba
kanumba kafa tuliobaki tujiandae
Tuta.kukumbuka.daima.kanumba
I think this is an informative submit and it really is educated and really beneficial. I would like to thank you to the efforts you may have created in creating this informative article.