Foundation Solomon Kalou, Thank you..

Huwa nasikia raha sana ninapoona mtu mweusi anapata mafanikio katika shughuli zake halafu anaamua kurudisha sehemu ya kile alichokipata kwa watu wake. Leo tumtizame mwanandinga Solomon Kalou wa timu ya soka ya Chelsea ya Uingereza anapoamua kushare kile alichokipata kupitia kipaji chake na watu wake wa nyumbani kwao alikozaliwa Ivory Coast kwa kuzindua Foundation yake kwa ajili ya watu wa Ivory Coast.

Hafla ya uzinduzi wa foundation hiyo ilifanyika katika jiji la Abidjan na kuhudhuriwa na watu mbali mbali mashughuli wa Ivory Coast ambapo ulikua ni usiku mzuri sana uliombatana na burudani kibao… pata picha ya kilichojiri kwa uchache na hii iwe ni changamoto kwa watu wote wa hapa nyumbani wanapopata mafanikio makubwa ya kimaisha na kiuchumi kujaribu ku share mafanikio yao hayo na jamii inayowazunguka..

One Response to Foundation Solomon Kalou, Thank you..

  1. Tonya Jammer says:

    Its my excellent pleasure to go to your blog site and also to get pleasure from your good posts here. I like it lots. I can come to feel that you just paid considerably focus for anyone posts, as all of them make sense and therefore are incredibly helpful.

Leave a comment