JB Mpiana kutumbuiza ZENITH Dec 21

baada ya kimya kirefu mwanamuziki JB Mpiana na kundi la Wenge BCBG watatumbuiza kwenye onyesho kubwa la Zenith Dec 21, kwa mujibu wa Rodger Ngandu mipango ya awali ya onyesho hilo imeshafanywa na kwa sasa walikuwa wameshapata VISA za wanamuziki kadhaa na nyingine zinashughulikiwa.

JB Mpiana na Wenge watatumbuiza katika onyesho la kujitolea ambalo nia yake ni kuchangia waathirika wa vita vinavyopiganwa Mashariki mwa Kongo, “….ni onyesho la kuchangia waathirika wa vita mashariki mwa Congo kwani ndugu zetu wanapata taabu, watoto wameachwa yatima, akinamama wamebakwa na wote wanahitaji msaada wetu” alisema Ngandu. Onyesho hilo ambalo limeitwa Tamasha la Amani nia yake kubwa ni kusambaza ujumbe wa amani.

Kwa muda mrefu JB Mpiana na kundi la Wenge BCBG walikuwa hawajafanya onyesho lolote Tshengen iwe Ufaransa au Ubelgiji wakihofia vitisho toka kwa kundi linalojulikana kama Bana Congo (Lecombatent) ambalo linapingana na siasa za Rais Laurent Kabila likitaka mageuzi nchini Congo. Kwa mujibu wa habari za ndani inasemwa hii ni baada ya kufanyika makubaliano kati ya waandaaji, Uongozi wa BCBG na Bana Congo na kukubaliana kimsingi kuwa JB Mpiana anaweza kufanya Show hiyo.

inatazamiwa onyesho hili litakuwa kubwa na mashabiki toka jumuiya ya Ulaya.  kwa sasa Wenge BCBG wanafanya mazoezi ya onyesho hilo huku wakimalizia albamu yao mpya ya Balle de match.

Naomba nikukumbushe kidogo onyesho la Zenith 2009 lilivyokuwa.

9 Responses to JB Mpiana kutumbuiza ZENITH Dec 21

  1. Anonymous says:

    Jb mpiana ni noma

  2. Papa Kasapira says:

    the king of live music ,once again historia lazima ijirudie

  3. Anonymous says:

    Mi ni miongon mwa washabiki wa JB Mpiana tunaomba aje tena TZ…J4 TANZANIA

  4. We absolutely love your blog and find nearly all of your post’s to be just what I’m looking for. Would you offer guest writers to write content in your case? I wouldn’t mind writing a post or elaborating on many of the subjects you write related to here. Again, awesome blog!

  5. Its my excellent pleasure to visit your web site and to take pleasure in your fantastic posts right here. I like it quite a bit. I can feel that you simply paid significantly awareness for all those posts, as all of them make sense and therefore are pretty useful.

  6. We absolutely love your blog and find nearly all of your post’s to be just what I’m looking for. can you offer guest writers to write content in your case? I wouldn’t mind writing a post or elaborating on a lot of the subjects you write regarding here. Again, awesome blog!

  7. Through my observation, shopping for electronic devices online may be easily expensive, but there are some tips and tricks that you can use to help you get the best offers. There are constantly ways to uncover discount specials that could make one to come across the best technology products at the lowest prices. Great blog post.

  8. I am really enjoying the theme/design of your web site. Do you ever run into any web browser compatibility issues? A handful of my blog audience have complained about my blog not operating correctly in Explorer but looks great in Safari. Do you have any suggestions to help fix this issue?

Leave a reply to clement mkungile Cancel reply