Magari Yanauzwa

MERCEDES BENZ E200

Price: 6500 USD CIF Dar Es Salaam

Model Name: MERCEDES BENZ E200 AUTO

Registration Number: SJL3190H

Chassis Number: WDB2100352B158487

Year Manufactured: 2000

Engine Number: 11194212083681

Engine Capacity: 1998

Engine Type: Petrol

Registration Date (dd/mm/yyyy): 16/08/2000

Transmission: Auto

Color: SILVER

Features: Leather Seats, Electrical Seats, Twin Airbag, ABS, Aircon, Centre Lock, Power Window, Power Steering, Multi Function Steering Wheel, CD Changer, Metallic Paint, Radio / Cassette Player, Heater, Power Mirror, Alloy Rims

Inachukua siku 30 kusafirisha gari toka Singapore hadi Dar Es Salaam.

NB: Bei hiyo ni pamoja na Usafiri na Inspection

Gari zinasafirishwa kwenye Container.

Wasiliana nami kwa piusmicky@yahoo.co.uk or +60176452510

 

MERCEDES BENZ CLK320 COUPE AVANTGARDE (SUNROOF) USD 15,000 CIF DAR

Model Name: MERCEDES BENZ CLK320 COUPE AVANTGARDE (SUNROOF)

Registration Number: SFS736P

Chassis Number: WDB2093652F078392

Year Manufactured: 2003

Engine Number: 11295531628422

Engine Capacity: 3199

Engine Type: Petrol

Registration Date (dd/mm/yyyy): 21/10/2003

Transmission: Auto

Color: SILVER

Features: Leather Seats, Electrical Seats, Twin Airbag, ABS, Aircon, Centre Lock, Power Window, Power Steering, Multi Function Steering Wheel, CD Changer, Metallic Paint, Radio / Cassette Player, Heater, Power Mirror, Alloy Rims, Crystal Light, Sun Roof

231 Responses to Magari Yanauzwa

  1. HELLO NIMEONA TU BENZ LAKIN NILITAKA LANGE ROVER MANUAL AMA BENZ MANUAL SASA NAHITAJI SN KUJUA NA BEI ZAKE PIA
    AKSANTE
    ALICOM KUTOKA TANZANIA

  2. Neene says:

    Gari ni safi na nimeipenda ila uwezo wa kuinunua wala kuitunza ni tatizo.

    Nahitaji Lav4 ya milango mitatu – manual.

    Naomba bei ikiwa Dar es Salaam tafadhali.

    Kazi njema.

  3. piusmickys says:

    Nipe Email yako au nitumie kwa piusmicky@ahoo.co.uk nitakutumia

  4. Moses says:

    The car E200 looks superb sema natafuta kitu kama wizard isuzu hivi au 4wd bei ilotulia kidogo. mambo ya financial crisis mzee yanatuweka pabaya.

  5. gabriel says:

    nahitaji toyota dable coster nitumie bei na picha kwenye kikerero@yahoo.com

  6. dikson says:

    sasa tunashindwa na barabara zetu,mafuta yeto ilaa roho tunazo sana sema tumashindwa na mawazo ya bongo,sema nazidi kukutafuta we can meet

  7. Anonymous says:

    LAV4…………….., JAMANI RAV4, I HOPE U KNOW WHAT YOU WANT TO BUY

  8. anderson says:

    kula

  9. juma says:

    naweza kupata gali kubwa kubwa kama fuso??mdau Uholanzi

  10. Mdau says:

    Ebwana mambo vp? Nataka kujua kama una Toyota Spacio,sport rim iwe ya mwaka 2000 na kuendelea, naomba unitumie picha na bei zake, naihitaji haraka iwekanavyo. utanipata kwenye uhembe@yahoo.com

  11. emoney says:

    Gari nzuri lkn nilikua nahitaji isuzu troper bei yk

  12. Khalid says:

    mdau mimi nna trekta nauza.. Internation haijatumika Bongo bado safi…)0713474348

  13. DULLAH says:

    kaka magari na bei zako nimezipenda.Idea nzuri,komaa hivyo hivyo

  14. G G says:

    nayafuta isuzu journey 4bg1

  15. daniel ngumbuke says:

    well, thoz re nice cars , but ningependa kuapata cressida au cresta hiz new model…pia ningependa kufika show room yenu

  16. mayega says:

    hizo benzi zimeibiwa south africa.

  17. Kasoma says:

    Ur stuff seems so sweety, lakini mzee hiyo price mbona kidogo sana, inakuwaje? zisiwe zile za kupigwa, kesho tunakutana na police! I think u knw what i’m saying.
    Nitafutie Sprinter, iwe btn 1998-2000 year of manufacturing, picha, price na iwe CIF. Thanks

  18. rose says:

    hi Bro mimi nahitaji escudo suzuki iwe manual or automatic napenda iwe kuanzia 2000 na kuendelea japo bei tu .thaks.

  19. JOSEPH MSUMARI says:

    Naomba bei ya spacio 2000 CIF Dar

  20. Yayo says:

    mi na wonder;km unataka gari yanini uanze kuuliza limepigwa au la,ndo mambo hayo ya utandawazi mjomba,au we unataka ya bei kubwa? nenda mbele kachukue…..

  21. Macnab Alex says:

    kuna magari yapo kila aina ukihitaji niambie nikutume bei na picha , kuanzia Land Rover Ranger Rover 2007-2010 na Mazda BT-50 2008, iko na ISUZU KB 350, ipo Meg ML 350, Iko Rav 4 5D

    nitumie mail kisha nikupatia lakini kumbuka hii ni used ya South Africa not more that 120,000 Km

    Asanteni wandugu

  22. tias says:

    Kaka mambo vipi?

    mi nataka bajaj sa ndo inakuaje?

    au hata ukikosa basi niletee FIAT yale ya wasomali hata nije kuuza screpa tu nami niweke historia kuwa nilikuwa na gari,

  23. Thanks for your help to Tanzania people for importation the used car,

    Second our target is to buy Toyota Coaster,1HD engine,2000 to 2003 year,give us the cif value.and Toyota Prado SX model,8psgs,1995 to 1997,1kz engine model.

    Please repply to us soon as possible as per our email above.

    Thanks Mr Hubert
    Managing Director – Swanga

  24. Laurent - Lazanex says:

    Naweza kusaidia kuagiza gari toka Japan, nipe mahitaji ya gari lako , nami nitakutafutia gari kwa kadri ya uchaguzi. Toyota Noah, Mark 11, Rav 4, Spacio, Toyota Prado.

    Karibu tufanye biashara

  25. david says:

    hello nataffuta gari
    aina ya polo CIF dar
    Toyota SWIFT CIF dar

    • Laurent - Lazanex says:

      Hi David,

      Unataka ni Suzuki Swift au Toyota, kwa upande wa Toyota hakuna , ila suzuki zipo. Confirm..

  26. Ayo says:

    Nataka suzuki

  27. KRITTIKA says:

    mimi nina gari ya marsedes bens mimi nina penda sana gari ya marsedes bens

    ASANTA SANA MARSEDES BENS
    KWAHERE

  28. SHAO says:

    natafuta landcuser prado milango 5

  29. Barry. says:

    Sema mkuu?
    Naulizia TOYOTA Gaia full option ie TV,DVD,S/Roof,Back Camera,7 seat ect.Nitumie picha na bei kwenye email bmwaga2008@yahoo.com

  30. JUMA says:

    Nauza gari aina ya Subaru Forester a.k.a mnyama wa barabarani.Iko fresh kabisa if ur interested just reply the message we shall contact more.

  31. Ninawi says:

    Kazi nzuri.Hallo mi natafuta Toyota au Nissan P/up kati ya mwaka 1995-2000.Isizidi millioni nne na iwe registered hapa Tz.Kwa mwenyenayo,nicontact:crninawi@ymail.com

  32. Kaka mambo vipi naomba nitafutie toyota vitz ya bei nzuri mayembe85@yahoo.com

    • piusmickys says:

      Nipe Budget yako mi naweza kukuletea hadi hapa ukatoa mwenyewe au ukitaka nakutolea ila tuelewane bei.

      • Paula says:

        Kaka nahitaji Toyota Vitz Black bajeti already imported au used iliyokatika hali nzuri bajeti yangu ni Tshs. 5 mil. I am Paula nipo DSM reply to [paulajm82@yahoo.com]

  33. NEEMA ANDREA says:

    I am looking for to buy Toyota Coaster,1HD/1KZ engine models ,any year,low milleage, Manual,GOOD running condition give me the CIF price at Dar

    Please repply to me soon as possible as per my email with attached photos

  34. rajabu says:

    mkuu nahitaji gari ndogo na ya bei nafuu sana kama vile Vits ,Staret nk yaani vya model hiyo

  35. KRISTIENSEN BANDIO says:

    NUTAKA KUJUA BEI YA PREMIO TO MPYA NA ILIYOTUMIKAYOTA

  36. Nanah says:

    Nahitaji kujua bei ya gari aina ya spacio na raum!Gharama za usafirishaji mpaka dar es salaam!

  37. monica says:

    habari za kazi kaka naomba unijulishe bei ya NOAH zilizopo hapo yenye maillage ndogo nitaipata kwa bei gani nitumie picha kwenye email yangu, pia ningependa kujua bei ya RAv4 manual na gharama za usafirishaji mpaka dar inakuwaje

  38. mwalunangale@yahoo.com.sg says:

    Habari,naomba kujua kama ninaweza kupata gari aina ya Suzuki,grand vitara,inaumbo kidogo inataka kufanana na rav 4

  39. Nesta says:

    mkuu napenda kujua gharama ya vits au toyota premio

  40. Hamad Mfaume says:

    Natafu toyota corolla ae 100. Nipe bei.

  41. Josephine Bundala says:

    Ninakaribia kustaafu nahitaji Hiace ( used)kwa ajili ya kufanya bishara ya daladala ambayo itaweza kutembea kwa mfululizo wa miaka miwili bila matatizo.

  42. Michael says:

    Mkuu, I need Toyota Mark II GX110, tell me the CIF price to Dar es salaam. and please advice if it is pay first or at arrival?

  43. Michael says:

    Nahitaji kujua gharama za double coaster ( varities).

  44. Manoti Dibosed says:

    Hi,
    Nataka kununua Toyota Hiace aka Kipanya au Double Coaster. Petrol/Disel Engine mwaka 2000 na kuendelea

  45. Anonymous says:

    Habari,naomba kujua kama ninaweza kupata gari aina ya Suzuki,grand vitara,BEI 5M, MWENYE NAYO ANITAFUTE PLEASE na anitumie details za gari hilo shukranikyando@yahoo.com

  46. mtolera says:

    Hi
    Nipo china kwa sasa kwa mda wa miaka minne,kama kunamtu anahitaji chochote kile kutoka china high quality tuwasiliane,ila kwa wale mnao taka copy ya vitu sikotayari kufanya biashara hiyo
    Ntaka kutangaza jina kwa kuleta vitu kutoka China vyenye ubora wa hali wa juu
    karibuni, tumia engmtoleraibrahim@gmail.com

  47. matangazo ya magari ingekuwa vema kuwe na picha za magari yenyewe.

  48. Paul mboje says:

    Nina m6 naweza kupata toyota raum na itachukua muda gani kufika tanzania?

  49. Pius says:

    Nipe email yako

  50. sunday says:

    please naomba mnirushie kitu cha subaru forester

  51. Haji says:

    Hi mi natakakujua bei ya Toyota Carina na picha yake Iwe ya 2009

  52. Julieth says:

    Natafuta toyota vitz ya 2001 and on, isizidi 6.5ml. 0757478024

  53. mohamed says:

    mimi mwenzangu nahitaji kujua bei ya gari ya vitz na starlet

  54. Anonymous says:

    nina milioni 6 nataka gari

  55. hamad says:

    jamani mimi nauza Ssangyong Korando 4WD ya mwaka 1995, iko poa sana, nahitaji Tshs milioni 4 tu. 0717502550 au 0787239382

  56. DIODORUS DEO says:

    NAHITAJI TOYOTA CRESTA, LAKINI NITUMIE PICHA YAKE NA BEI YAKE YA TZ, TUMA MAJIBU KWENYE diodorusdeogratias@yahoo.com

  57. Paulina says:

    Natafuta Vitz Nyeusi iliyokatika hali nzuri nna sh. 5 mil Tshs.ambayo tayari ipo Dar es Salaam.

  58. manginary says:

    nahitji toyota chaser,mark2,cresta baloon iwe kwenye hali nzuri ndani na nje na iwe 4s ofa yangu ni 3ml naweza ongeza km itanivutia zaidi simu namba 0715,0784,0767, 977883 mangi

  59. mussa onesmo says:

    mussa says
    naombo nijue bei ya culorse mkonga na ikiwezekana na picha yake.

  60. Taha says:

    hi!i would like to knw whch car do u have in stock at the moment/can u email me on my email

  61. Estomih elias says:

    Natafuta toyota nadia mpya/used 8 seats nitumie bei yake ikiwa tz

  62. mabrouck masasi says:

    niaje mkuu,
    naulizia GX110 grand , rangi maroon au black iwe na hali nzuri. ntumie pic na bei kwenye mabrouckmasasi@rocketmail.com

  63. furaha mkutani says:

    NAWEZA KUPATA COROLA LIMITED NEW MODEL ILIYOTUMIKA KWA 3ML IKIWA TANZANIA?

  64. Hamisi says:

    Naomba kujua bei ya PREMIO G 1.8 CORONA used,STARLET used na TOYOTA RAV 4 used.email hkilugwe@yahoo.com

  65. Ibrahim says:

    Mr pius naitaji kujua bei ya toyota Noah town hiace and Corrola sprinter kwa Tz shilings!
    My email is imkonyi@yahoo.com

  66. Stephen Mwamengo says:

    Hallo Mr Pius
    Ninahitaji FUSO MIGNON (damper) ..garama zake hadi DAR..
    stephenmwamengo2005@yahoo.com

  67. Amos ngoli says:

    Magari nimeyaona ila mi nahitaji Honda CV-R Manual kwa bei ya daresalaam naomba bei

  68. Amos ngoli says:

    Magari nimeyaona ila mi nahitaji honda CV-R kwa bei ya dar.so naomba bei

  69. Anonymous says:

    nahitaji verossa nyeusi 4cylinder nipe bei na picha ikiwezekana nijibu ktk micha
    elngailo @yahoo.co

  70. MOSHA says:

    NAUZA LANDROVER 109 IKO ARUSHA CONTACT
    0753/O715-339177

  71. Hussein Omar says:

    Please can you assist me getting
    NISSAN BASSARA
    to Tanzania.
    it should be AWD {all wheel drive}
    please email me the details at my email ,
    husseinabdulsattar@hotmail.com
    hope to hear back soon from you

  72. josiah samwel says:

    naitaji caldina automatic, mwaka 2000 na kuendelea,,niambie bei likisha fika bongo na pia nitumie picha ya hilo gari.

  73. Anonymous says:

    nawza kupata gari ya milion 4? nzuri isiyochoka napenda suzuki escudo. Au kama vip waweza nishauri dizain nyingine nzuri.
    reply through edithadaniel@yahoo.com

  74. editha daniel says:

    nawza kupata gari ya milion 4? nzuri isiyochoka napenda suzuki escudo. Au kama vip waweza nishauri dizain nyingine nzuri.
    reply through edithadaniel@yahoo.com

  75. simon stuart says:

    nauza magari zanzibarbei nzuli na mapya kama carina,vitz,ipsum,escudo,noah,canter,fuso,discover,premio new model,gari nyingi sana anayetaka tuwasiliane 0717577821(simon)

  76. josiah samwel says:

    kaka mimi naitaji kujua bei ya starlet used mwaka 2000 to 2004.Na itanigarimu bei gani mpaka naanza kuitembelea bongo(ushuru na kila kitu)email yangu josiasamwel@yahoo.com

  77. Ditram kigahe says:

    Nimefurahi promotion zenu,pia nashauri mtoe magari aina tofauti na bei zake ili kila mhitaji aweze kujua vizuri kutokana kipato chake kwani wengi tunahitaji.Asante.

  78. njema says:

    nahitaji vitz used lakini bei isizidi 4m,na iwe na vvti au gari yoyote ndogo isiwe imechoka sana plz mawasiliano

  79. Anonymous says:

    bro mambo vipi mi nahitaji gari aina ya rov4 niambie bei ikiwa imetua bongo email yangu ni ekiumba@yahoo.com

  80. Anonymous says:

    Nahitaji rav4 ya mwaka 1999 na bei gani

  81. Anonymous says:

    Vitz inapatikana kwa bei gani

  82. ayubu says:

    Toyota Rav 4 5 door ya 2003 inauzwa haijatumika TZ bado,shilingi milioni 20.Tuwasiliane kwa email hii p.ayubu@yahoo.com au piga simu namba 0767212523

  83. freemoney says:

    kwa anaye itaji toyota vits milion 6.4 nyekundu bado mpya kabisa. tuwasiliane 0716-369299

  84. luck says:

    vp,naitwa luck,
    naweza kupata gari ndogondogo mil 4 ambayo haijachoka,lakin sio vitz au march,ambayo haipochin sana kutokana na maeneo ninayoishi,

  85. maryj says:

    hi…do you have a car worth just 5 million…if you do plzz let me know

  86. easytaker says:

    Nahitahi RAV 4 Ya mwaka 97/98 bei ianze 10mil hadi 12Mil iwe katika hari nzuri namba yake ianzie B nakuendelea picha muhimu..km itapatika plz cal me 0713529696

  87. freestress says:

    Naweza pata Rav ya mwaka 97 kwa Tsh 10Mil iliyo bomba..plz km itapatikana 0713819946..

  88. freestress says:

    masahihisho namba yangu sio 0713819946 ni 0713819646

  89. Anonymous says:

    Hi Naitwa bahati, nahitaj rav 4 mirango mitatu used,automatic ,ntapata kwa sh?ambayo bado haijachoka sana.

  90. Anonymous says:

    nahtji kujua bei ya opa,carina ti,si,vista,nadia na gx 100 na gx110 sh ngapi hadi dar??ikibd na picha zake,nahtj plz

  91. frank says:

    kibidi wasiliana na mimi 0713787771

  92. frank says:

    nahtj kujua bei za magari carina,vista,gx 100 na 110.nadia na opa naweza kupata kwa sh.ngapi mojawapo kati hzi nipe bei zake plz. ikibdi nicheki hata kwa 4n 0713787771

  93. SakEdgar says:

    ninauza TOYOTA PROBOX YA 2005 NZURI SANA kwa matumizi ya familia na kubebea bidhaa za miradi ya kiuchumi mdogo mdogo viti vya kukunja na nimeileta TZ May 2012 fully duties paid kwa TShs. 8.9m nicheki 0767210628 au 0715364676

  94. warles says:

    Nahitaji kujua bei ya Toyota “Nadia type su” ya mwaka 2003, picha na mailage ni muhimu kama ikipatikana

  95. yonah says:

    nahitaji cresta baloon nina m4 je nitapata

  96. binslim says:

    Nahitaji gari ndogo ya vitz, raum, ist, carina SI, au spacio au cresta iliyo katika hali nzuri, nina bajeti ya m8 nalipa cash hakuna longolongo..nicheki 0768279627

  97. binslim says:

    sorry nasahihisha namba yangu ni 0768279623

  98. Anonymous says:

    hellow wadau naomba kujua bei ya coaster(ya abiria) kwa pesa ya tanzania inakua ngapi ikiwa bongo

  99. Sakaya says:

    25m piga 0715364676 nikujuze zaidi

  100. Jacob Mkoba says:

    Nahitaji Haice custum ilio kwenye hali nzuri bei isizidi 6mil

  101. Sakaya says:

    ninayo TOYOTA HIACE super custom maroon kwa 12m with 4wd, g-shock mneso neso kama wa Cadilacs kwenye movies nione @ 0784364676

  102. brightlight says:

    hbr nataka kujua bei ya noah na opah naomna nijulishe kwa email yangu. asante

  103. Anonymous says:

    habari ya kazi.naomba kujua bei ya modern rava4. thanks and regards

  104. Sakaya says:

    Rav4 modern ni 35m

  105. Sakaya says:

    Noah na Opa kwa 12m tu 0715364676

  106. Anonymous says:

    Nataka gari aina nissan x-trail ni bei gani?ikiwa hapa dar.nasubiri jibu plz

  107. Anonymous says:

    nina gari cheser avante bado mpya engine GX100. imetembea klm chache sana imesajiliwa na number T ..BJX .kama kuna anae itaji anitafute 0715 557984 gari ipo D.SM

  108. Anonymous says:

    nataka kujua bei ya cresta GX 100, new model hapo bongo. Nipigiwe kwa namba 0715378224,nahitaji kujua mapema kwani naitaji hiyo kabla ya decemba.

  109. Anonymous says:

    Natafuta Gari la 2.5 mil mwisho 3 mil toyota atakeye kuwa nayo tuwasiliane kupitia mail yangu tell_asia@yahoo.com niko tayari kulipa tarehe 26 mwezi october 2012

  110. Anonymous says:

    gari toyota harier mpya tsh ngapui?

  111. Hemed says:

    Habari ! Ninauza Toyota Coster Daladala in ruti ya Mwenge Bunju. Bei tsh Milioni 18 bei inapungua , Kwa mawasiliano zaidi piga 0715590859

  112. Frederick lucas says:

    Nipe bei ya hiyo gari.

  113. Anonymous says:

    nahitaja gari aina ya opa ni shilingi ngapi?

  114. Anonymous says:

    noah new model na opa sh.ngapi?email yangu ni http://www.nyembochomba@hotmail.com au accaunt yangu ya facebook nahrachomba.

    • Sakaya says:

      MAMBO NI VIPI KAKA, ninauza hizo gari hapo

      Noah 1997@10m ipo yadi haijatumika Tanzania kabisa tutafanya registration ukishalipia,

      Noah 1999@11m moja imeshasajiliwa na inatumika kidogo kwa kuendeea kazini na ingine inaingia wiki hii from Japan,

      Probox 2003@9m inafika tokea Japan wiki ijayo na hiyo Toyota Probox ni kama OPA sana na engine ni 1450cc.

      Seema mambo tufunge biashara namba zangu ni 0715364676.

  115. haggai says:

    NATAFUTA GARI NDOGO ENGINE CC 900 AU 1000 , TOYOTA MILANGO MINNE , IWE INATEMBEA , BAJETI YANGU MWISHO 3.5M

  116. MR EMANUEL MG says:

    Nahitaji toyota vitz isiyochoka bei isizidi 5mil. ni pm 0655006401 or send a message via emanuelmagembe@rocketmail.com

  117. MSAFIRI says:

    NAHITAJI GARI AINA YA TOYOTA STARLET AINA GARRAT VIP IPO?

  118. Exaud Minja says:

    Nahitaji Suzuki Kei 660 cc ya mwaka 2000, 2001, 2002 au 2004 ipo rangi White, naomba na bei

    • Sakaya says:

      suzuki Kei ninazo 3 na zipi njiani kutokea Japan zinaingia Dar next two weeks. rangi ni silver mpauko na mkolezo moja inayo turbo, mbili ni manual na moja auto.
      miaka yao ni 1999, 2002 na 2003

  119. Sakaya says:

    bei ni 7m kaka na punguzo lipo kidoogo utakavyo wahi mapema hii usikose mie nipo 0715364676 au 0767210628

  120. Anonymous says:

    habari, sorry naomba bei ya coaster toyota nzuri ya bei poa, naomba bei na picha yake. fa

  121. faraja joram says:

    habari, sorry naomba bei ya coaster toyota nzuri ya bei poa, naomba bei na picha yake. faraja.joram@yahoo.com

  122. Exaud Minja says:

    Kaka habari, nahitaji Suzuki Carry Truck, 660 cc kama unayo naomba kujua na bei, na ni ya mwaka gani na imetembea kilomita ngapi. Asante

  123. tulinave says:

    nahitaji toyota starlet kwa ml. 4 naweza kupata email yangu tlupembe2000@yahoo.com/my phone +255717421582

  124. DITRICK MBIFILE says:

    AINA YA GARI CANTER UKUBWA ENGEN 35,UREFU WA BODI FOOT 18 NI SHILINGI NGAPI HADI IFIKE TANZANIA BANDARI YA DAR ES SALAAM?

  125. Sakaya says:

    10m mpaka bandarini Dar es salaam

  126. Anonymous says:

    Naomba picha na bei za fuso fighter ulizonazo.

  127. Anonymous says:

    Naomba picha na bei za fuso fighter ulizonazo.paulojsph@gmail.com

  128. Anonymous says:

    kaka naomba kufahamu bei ya hoah au nadia kama unazo nadia isiwe d4, nataka bei ikiwa tayari kwa kutembea siyo tena mambo ya ushuru,

  129. Sakaya says:

    noah 10m na nadia bei moja

  130. Anonymous says:

    natafuta noa iliyo kwenye hali nzuri na bei yake. naomba tuwasiliane kwenye joazichaula@gmail.co

  131. Anonymous says:

    Naulizia bei ya suzuki swift ikiwa tayari dar es salaam na haijatumika

  132. maneno ntuma says:

    naomba mnipe bei toyota hilux

  133. Henrysawe says:

    Naitaji gari lisilozidi 6milioni,na pia nauza chesa manual milio
    4milion?

  134. rose says:

    Gari nzuri. Nimeipenda. Kama nataka kuinunua process inakuwaje

  135. rose says:

    Benzi nzuri. Nmezipenda. Kama nataka kununua process inakuwaje mpaka kupata.

  136. Mollen Mndelle says:

    Naomba namba yako ya simu na yangu ni 0755-461716

  137. Anonymous says:

    nahitaji gari ndogo ya matumizi binafsi, 4mil ipo tayari. email gango2012@gmail.com

    • joseph says:

      Toyota Rav4 for sell 12mil in Dar
      Automatic
      Registration 1999
      Five doors
      4wd
      Km 120000
      Condition excellent
      Call 0659197822
      No negotiate

      • joseph says:

        Toyota Rav4 for sell 9 mil
        Registration 1998
        Automatic
        Excellent condition
        5doors
        0659197822
        No negotiate

  138. joseph says:

    Starlet for sell 5mil
    City: Dar es Salaam
    Condition: used Year: 1998
    Engine Capacity: 1300
    Mileage: 165000
    Auto or Manual?: Auto
    0659197822
    No negotiate

  139. Sakaya says:

    Suzuki KEI 2000 to your place at only 7.5m non-talkative

  140. joseph says:

    Landrover discovery v8 kwa 12milion tu
    Km 125000
    5doors
    Automatic
    Regstration 2013
    Muonekano kama jipyaa
    0659197822

  141. godfrey says:

    naitaji corolla ae 111 na nina million nne

  142. bboy says:

    hello bro, nahitaji stalet ndogo au duet, naomba unitajie price na pics plz, thanks in advance

  143. Sakaya says:

    ninayo Suzuki KEI ipo kama duet au starlet kwa kuwa na 660cc, turbo na 4wd kwa 7.5m tu

  144. Anonymous says:

    Hi peoples!! nahitaj noar new model ambayo haijatumika tz, bei ni tz sh ngapi nipo morogoro tz, namba yangu ni 0754997971

  145. Anonymous says:

    Mi naitaji gari ina ya verosa new model na bbeiei zake pamoja na picha

  146. ombeni says:

    naitaj duet, au swift, au vitz kwayeyete alienayo iwe mpya au used isiwe 2000 below rang silver na bei isizid 6m tuwasiliane kwa 0786381070

  147. Anonymous says:

    nahitaji Toyota Coaster, email yangu ni kijijini@ymail.com. Nieleze nitalipa sh. Dar es salaam

  148. Jafari Haji says:

    Hi
    kaka nilikuwa nahitaji canter tipper mita 6 manual.zinapatikana na bei gan,na Nissan safari 3door engen model ya1998.

    • mwalemi says:

      asanten nimewaona nina gari aina ya nissan patrol safari ya mwaka 1994 milango 5 iko poa bei 14ml phone 0712 222705

  149. ZAWADI says:

    NATAKA KUINUNUA GAR ILIYO ONYESHWA HAPO JUU KTK PICHA NATAKA KUJUA BEI YAKE NI DOLA NGAPI

  150. Anonymous says:

    Nahitaji gar aina ya harier colour hiwe black na nahitaj kujua bei yake kwa pesa ya kitanzania nijibu kwa e-ma4l yangu “katembo.goodluck@yahoo.com”

  151. emmanuel says:

    naomba kujua gari ya bei ndogo kuliko zote mahana nilipo me hapaitaji gari ya galama please nijulishe ili niweze kupata usafili huo

  152. Anonymous says:

    utaweza kupata kwa million 4.5 gari amboyo bado ipo kwenye hali nzuri.

  153. Frederick lucas says:

    Naitaji gari la biashara yaani tx, iwe corona au mark 2 au inanyingine, nitapata kwa sh ngapi?

  154. John says:

    Nahitaji Toyota Premio au Carina Ti, naomba kujua bei zake.

  155. Mcgregor says:

    NAUZA GARI LANGU AINA YA HONDA CRV NYEUSI NILIIGIZA MWENYEWE FROM JAPAN 2011 BUT BADO KAMA MPYA TU,ina AC, FIVE DOORS, MANUAL , na nimeshailipia kila kitu KWA 11 MILION tu. SABABU YA KUUZA NIMETUMIWA GARI NYINGINE TUWASILIANE 0659197822 FROM DARESSALAAM AFRICANA

  156. jesca says:

    napenda sana gari aina Range rover nataka kujua bei?

  157. Thomas says:

    nauza corolla toyota limited imetumika Tanzania. hali nzuri 7M maelewano yapo

  158. Lyepepe says:

    nahitaji gari aina ya RAV4 au suzuki escudo iliyotumika hapa Tz lakini iko kati hali nzuri budget yangu ni kat ya mil 3.5 mpaka 4 iwe milango 5 na iwe auto

    • Anonymous says:

      Nimeongeza Budget yangu ni mpaka mil5 nataka RAV4 au Escudo milango 5 iliyotumika TZ lakini iwe katika hali nzuri hasa body yake rangi yoyote.

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out / Change )

Twitter picture

You are commenting using your Twitter account. Log Out / Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out / Change )

Connecting to %s

Follow

Get every new post delivered to your Inbox.

Join 70 other followers

%d bloggers like this: