MERCEDES BENZ E200
Price: 6500 USD CIF Dar Es Salaam
Model Name: MERCEDES BENZ E200 AUTO
Registration Number: SJL3190H
Chassis Number: WDB2100352B158487
Year Manufactured: 2000
Engine Number: 11194212083681
Engine Capacity: 1998
Engine Type: Petrol
Registration Date (dd/mm/yyyy): 16/08/2000
Transmission: Auto
Color: SILVER
Features: Leather Seats, Electrical Seats, Twin Airbag, ABS, Aircon, Centre Lock, Power Window, Power Steering, Multi Function Steering Wheel, CD Changer, Metallic Paint, Radio / Cassette Player, Heater, Power Mirror, Alloy Rims
Inachukua siku 30 kusafirisha gari toka Singapore hadi Dar Es Salaam.
NB: Bei hiyo ni pamoja na Usafiri na Inspection
Gari zinasafirishwa kwenye Container.
Wasiliana nami kwa piusmicky@yahoo.co.uk or +60176452510
MERCEDES BENZ CLK320 COUPE AVANTGARDE (SUNROOF) USD 15,000 CIF DAR
Model Name: MERCEDES BENZ CLK320 COUPE AVANTGARDE (SUNROOF)
Registration Number: SFS736P
Chassis Number: WDB2093652F078392
Year Manufactured: 2003
Engine Number: 11295531628422
Engine Capacity: 3199
Engine Type: Petrol
Registration Date (dd/mm/yyyy): 21/10/2003
Transmission: Auto
Color: SILVER
Features: Leather Seats, Electrical Seats, Twin Airbag, ABS, Aircon, Centre Lock, Power Window, Power Steering, Multi Function Steering Wheel, CD Changer, Metallic Paint, Radio / Cassette Player, Heater, Power Mirror, Alloy Rims, Crystal Light, Sun Roof

















HELLO NIMEONA TU BENZ LAKIN NILITAKA LANGE ROVER MANUAL AMA BENZ MANUAL SASA NAHITAJI SN KUJUA NA BEI ZAKE PIA
AKSANTE
ALICOM KUTOKA TANZANIA
wewe Alicom Tumain,
Usiseme Lange Rover, Ni Range Rover Ukichoka sema RR
POPOTE ULIPO NAUZA MAGARI SAFI KUTOKA JAPANI GARI ZOTE ZIPO BEI NZULI OFISI IPO ZANZIBAR WAHI SASA KWA MAWASILIANO 0717577821 AU 0777806336 SIMON
Gari ni safi na nimeipenda ila uwezo wa kuinunua wala kuitunza ni tatizo.
Nahitaji Lav4 ya milango mitatu – manual.
Naomba bei ikiwa Dar es Salaam tafadhali.
Kazi njema.
gari zipo km unahitaji kweli tuwasiliane0 717577821
mercedes Benz hana, naomba RV4 Milango 4 mwaka 2005-2008, nipe garama zake ikiwa Dar.
nenda kwenye http://www.cheki.co.tz afu fata maelekezo
Nipe Email yako au nitumie kwa piusmicky@ahoo.co.uk nitakutumia
hii clk 320 ina milage ngapi na bado ipo please nijibu kwa email hiyo
The car E200 looks superb sema natafuta kitu kama wizard isuzu hivi au 4wd bei ilotulia kidogo. mambo ya financial crisis mzee yanatuweka pabaya.
nahitaji toyota dable coster nitumie bei na picha kwenye kikerero@yahoo.com
ok
sasa tunashindwa na barabara zetu,mafuta yeto ilaa roho tunazo sana sema tumashindwa na mawazo ya bongo,sema nazidi kukutafuta we can meet
LAV4…………….., JAMANI RAV4, I HOPE U KNOW WHAT YOU WANT TO BUY
kula
naweza kupata gali kubwa kubwa kama fuso??mdau Uholanzi
gari fuso zipo km unahitaji niambie 0717577821
Ebwana mambo vp? Nataka kujua kama una Toyota Spacio,sport rim iwe ya mwaka 2000 na kuendelea, naomba unitumie picha na bei zake, naihitaji haraka iwekanavyo. utanipata kwenye uhembe@yahoo.com
Gari nzuri lkn nilikua nahitaji isuzu troper bei yk
mdau mimi nna trekta nauza.. Internation haijatumika Bongo bado safi…)0713474348
kaka magari na bei zako nimezipenda.Idea nzuri,komaa hivyo hivyo
nayafuta isuzu journey 4bg1
jamani mnaotizama hili file magari yapo jamani km kuna watu mseme gari unayotaka zipo 0717577821
well, thoz re nice cars , but ningependa kuapata cressida au cresta hiz new model…pia ningependa kufika show room yenu
hizo benzi zimeibiwa south africa.
Ur stuff seems so sweety, lakini mzee hiyo price mbona kidogo sana, inakuwaje? zisiwe zile za kupigwa, kesho tunakutana na police! I think u knw what i’m saying.
Nitafutie Sprinter, iwe btn 1998-2000 year of manufacturing, picha, price na iwe CIF. Thanks
hi Bro mimi nahitaji escudo suzuki iwe manual or automatic napenda iwe kuanzia 2000 na kuendelea japo bei tu .thaks.
Naomba bei ya spacio 2000 CIF Dar
mi na wonder;km unataka gari yanini uanze kuuliza limepigwa au la,ndo mambo hayo ya utandawazi mjomba,au we unataka ya bei kubwa? nenda mbele kachukue…..
kuna magari yapo kila aina ukihitaji niambie nikutume bei na picha , kuanzia Land Rover Ranger Rover 2007-2010 na Mazda BT-50 2008, iko na ISUZU KB 350, ipo Meg ML 350, Iko Rav 4 5D
nitumie mail kisha nikupatia lakini kumbuka hii ni used ya South Africa not more that 120,000 Km
Asanteni wandugu
Nitumie bei y Rav 4
habari yako mkaka, nahitaji kujua bei ya “free lender” na HIACE ‘super loof’ yabiashara.
mbona gari zipo wewe nitafute tu 0717577821
Kaka mambo vipi?
mi nataka bajaj sa ndo inakuaje?
au hata ukikosa basi niletee FIAT yale ya wasomali hata nije kuuza screpa tu nami niweke historia kuwa nilikuwa na gari,
Thanks for your help to Tanzania people for importation the used car,
Second our target is to buy Toyota Coaster,1HD engine,2000 to 2003 year,give us the cif value.and Toyota Prado SX model,8psgs,1995 to 1997,1kz engine model.
Please repply to us soon as possible as per our email above.
Thanks Mr Hubert
Managing Director – Swanga
Mr. Hubert ,
Ushapata hayo magari, kama sivyo ninaweza kukupa quote…
Naweza kusaidia kuagiza gari toka Japan, nipe mahitaji ya gari lako , nami nitakutafutia gari kwa kadri ya uchaguzi. Toyota Noah, Mark 11, Rav 4, Spacio, Toyota Prado.
Karibu tufanye biashara
A/alay
Mimi ndugu yangu shida yangu ninahitaji pikipiki aina ya Honda 50 trail ninajuwa kuwa unaagiza magari lakini mimi shida yangu ni pikipiki kam uwezo upo nipe bei ili nikupe oda ya kuniagizia
nahitaji suzuki escudo,manual or automatic,4doors,probably ianzie 2000,tell me inasimama ngapi kwa tz.
huwa unaagiza kwa utaratib gan.
hello nataffuta gari
aina ya polo CIF dar
Toyota SWIFT CIF dar
Hi David,
Unataka ni Suzuki Swift au Toyota, kwa upande wa Toyota hakuna , ila suzuki zipo. Confirm..
Nataka suzuki
Ninaweza kukupatia swift nzuri kabisa.
Nitumie email:
Lazanex@yahoo.com
suzuki swift mbona ipo ninayo ya 2001mpaka dar 11milioni safi imeingia majuzi kutoka japan
Nataka pikipiki ya kawasaki cc1200 naona nitumie picha zake
mimi nina gari ya marsedes bens mimi nina penda sana gari ya marsedes bens
ASANTA SANA MARSEDES BENS
KWAHERE
natafuta landcuser prado milango 5
gari hipo land cruser safi tu tuwasiliane 0717577821
Sema mkuu?
Naulizia TOYOTA Gaia full option ie TV,DVD,S/Roof,Back Camera,7 seat ect.Nitumie picha na bei kwenye email bmwaga2008@yahoo.com
Vipi ulishapata Toyota Gaia?
Nauza gari aina ya Subaru Forester a.k.a mnyama wa barabarani.Iko fresh kabisa if ur interested just reply the message we shall contact more.
Naomba unitumie picha na ni bei gani?
Kwa sasa niko safari naomba ntakutumia nikirudi toka safari.thanks
Kazi nzuri.Hallo mi natafuta Toyota au Nissan P/up kati ya mwaka 1995-2000.Isizidi millioni nne na iwe registered hapa Tz.Kwa mwenyenayo,nicontact:crninawi@ymail.com
Kaka mambo vipi naomba nitafutie toyota vitz ya bei nzuri mayembe85@yahoo.com
Nipe Budget yako mi naweza kukuletea hadi hapa ukatoa mwenyewe au ukitaka nakutolea ila tuelewane bei.
Kaka nahitaji Toyota Vitz Black bajeti already imported au used iliyokatika hali nzuri bajeti yangu ni Tshs. 5 mil. I am Paula nipo DSM reply to [paulajm82@yahoo.com]
I am looking for to buy Toyota Coaster,1HD/1KZ engine models ,any year,low milleage, Manual,GOOD running condition give me the CIF price at Dar
Please repply to me soon as possible as per my email with attached photos
mkuu nahitaji gari ndogo na ya bei nafuu sana kama vile Vits ,Staret nk yaani vya model hiyo
gari zipo nitafute tu wewe 0717577821
NUTAKA KUJUA BEI YA PREMIO TO MPYA NA ILIYOTUMIKAYOTA
Nahitaji kujua bei ya gari aina ya spacio na raum!Gharama za usafirishaji mpaka dar es salaam!
habari za kazi kaka naomba unijulishe bei ya NOAH zilizopo hapo yenye maillage ndogo nitaipata kwa bei gani nitumie picha kwenye email yangu, pia ningependa kujua bei ya RAv4 manual na gharama za usafirishaji mpaka dar inakuwaje
habari mdada, Noah zipo kuanzia 11m iliyoingia mwezi huu September 2012 from Japan
Habari,naomba kujua kama ninaweza kupata gari aina ya Suzuki,grand vitara,inaumbo kidogo inataka kufanana na rav 4
mbona ningari niambie tu mda wowote 0717577821
mkuu napenda kujua gharama ya vits au toyota premio
gari zipo kamaunataka mkuu nitafute
Natafu toyota corolla ae 100. Nipe bei.
gari ipo kaka wewe nitafute tuwasiliane 0717577821
Ninakaribia kustaafu nahitaji Hiace ( used)kwa ajili ya kufanya bishara ya daladala ambayo itaweza kutembea kwa mfululizo wa miaka miwili bila matatizo.
gari ipo hiace wewe km upo tayali niambie 0717577821
naitaji vst mahana ninampango wa kuanzisha miladi midogo midogo vijini so kama nitapata nijulishe please
habari kaka,
ipo Nissan Homy super roof safi sana imeingia mwezi huu September 2012 kutokea Japan kwa bei njema sana, nipigie 0715364676 au EDGARIUSTZ@YAHOO.COM kwa picha na kuiona kabisa
Mkuu, I need Toyota Mark II GX110, tell me the CIF price to Dar es salaam. and please advice if it is pay first or at arrival?
gari zipo nzuli tu nitafute 0717577821
Nahitaji kujua gharama za double coaster ( varities).
Hi,
Nataka kununua Toyota Hiace aka Kipanya au Double Coaster. Petrol/Disel Engine mwaka 2000 na kuendelea
zipo gari tuwasiliane popote 0717577821
ipo equivalent ya Hiace yaani Nissan Homy super roof kutoka Japan September 2012 kwa 18m fully paid piga 0715364676 au EDGARIUSTZ@YAHOO.COM
Habari,naomba kujua kama ninaweza kupata gari aina ya Suzuki,grand vitara,BEI 5M, MWENYE NAYO ANITAFUTE PLEASE na anitumie details za gari hilo shukranikyando@yahoo.com
Hi
Nipo china kwa sasa kwa mda wa miaka minne,kama kunamtu anahitaji chochote kile kutoka china high quality tuwasiliane,ila kwa wale mnao taka copy ya vitu sikotayari kufanya biashara hiyo
Ntaka kutangaza jina kwa kuleta vitu kutoka China vyenye ubora wa hali wa juu
karibuni, tumia engmtoleraibrahim@gmail.com
matangazo ya magari ingekuwa vema kuwe na picha za magari yenyewe.
Sawa tutafanya hivyo asante kwa ushauri. Pius
Nina m6 naweza kupata toyota raum na itachukua muda gani kufika tanzania?
Nipe email yako
please naomba mnirushie kitu cha subaru forester
Vp unahitaji forester mnyama? Lete contacts zako.
Hi mi natakakujua bei ya Toyota Carina na picha yake Iwe ya 2009
Natafuta toyota vitz ya 2001 and on, isizidi 6.5ml. 0757478024
mimi mwenzangu nahitaji kujua bei ya gari ya vitz na starlet
ipo vitz nzuli mpaka dar milioni 7 tuwasiliane 0717577821
nina milioni 6 nataka gari
gari zipo nyingi tu km upo tayali niambie 0717577821
jamani mimi nauza Ssangyong Korando 4WD ya mwaka 1995, iko poa sana, nahitaji Tshs milioni 4 tu. 0717502550 au 0787239382
Weka picha tuione
Weka picha mi nikiona picha ntaichukua.
Khamisbeka02@hotmail.com
NAHITAJI TOYOTA CRESTA, LAKINI NITUMIE PICHA YAKE NA BEI YAKE YA TZ, TUMA MAJIBU KWENYE diodorusdeogratias@yahoo.com
Natafuta Vitz Nyeusi iliyokatika hali nzuri nna sh. 5 mil Tshs.ambayo tayari ipo Dar es Salaam.
nahitji toyota chaser,mark2,cresta baloon iwe kwenye hali nzuri ndani na nje na iwe 4s ofa yangu ni 3ml naweza ongeza km itanivutia zaidi simu namba 0715,0784,0767, 977883 mangi
mussa says
naombo nijue bei ya culorse mkonga na ikiwezekana na picha yake.
hi!i would like to knw whch car do u have in stock at the moment/can u email me on my email
Natafuta toyota nadia mpya/used 8 seats nitumie bei yake ikiwa tz
niaje mkuu,
naulizia GX110 grand , rangi maroon au black iwe na hali nzuri. ntumie pic na bei kwenye mabrouckmasasi@rocketmail.com
NAWEZA KUPATA COROLA LIMITED NEW MODEL ILIYOTUMIKA KWA 3ML IKIWA TANZANIA?
Naomba kujua bei ya PREMIO G 1.8 CORONA used,STARLET used na TOYOTA RAV 4 used.email hkilugwe@yahoo.com
Mr pius naitaji kujua bei ya toyota Noah town hiace and Corrola sprinter kwa Tz shilings!
My email is imkonyi@yahoo.com
Hallo Mr Pius
Ninahitaji FUSO MIGNON (damper) ..garama zake hadi DAR..
stephenmwamengo2005@yahoo.com
Magari nimeyaona ila mi nahitaji Honda CV-R Manual kwa bei ya daresalaam naomba bei
Magari nimeyaona ila mi nahitaji honda CV-R kwa bei ya dar.so naomba bei
nahitaji verossa nyeusi 4cylinder nipe bei na picha ikiwezekana nijibu ktk micha
elngailo @yahoo.co
NAUZA LANDROVER 109 IKO ARUSHA CONTACT
0753/O715-339177
Please can you assist me getting
NISSAN BASSARA
to Tanzania.
it should be AWD {all wheel drive}
please email me the details at my email ,
husseinabdulsattar@hotmail.com
hope to hear back soon from you
naitaji caldina automatic, mwaka 2000 na kuendelea,,niambie bei likisha fika bongo na pia nitumie picha ya hilo gari.
nawza kupata gari ya milion 4? nzuri isiyochoka napenda suzuki escudo. Au kama vip waweza nishauri dizain nyingine nzuri.
reply through edithadaniel@yahoo.com
nawza kupata gari ya milion 4? nzuri isiyochoka napenda suzuki escudo. Au kama vip waweza nishauri dizain nyingine nzuri.
reply through edithadaniel@yahoo.com
ndio unaweza lkn ni m5.6
Mim lucky ,pls nitumie picha ya hiyo suzuk escudo kwa mil 5 au dizaini nyingine ambayo ni ya bei hiyo sio ya chin sana.
nauza magari zanzibarbei nzuli na mapya kama carina,vitz,ipsum,escudo,noah,canter,fuso,discover,premio new model,gari nyingi sana anayetaka tuwasiliane 0717577821(simon)
unauza vitz kwa bei gani?
vitz milioni 7.5
kaka mimi naitaji kujua bei ya starlet used mwaka 2000 to 2004.Na itanigarimu bei gani mpaka naanza kuitembelea bongo(ushuru na kila kitu)email yangu josiasamwel@yahoo.com
Nimefurahi promotion zenu,pia nashauri mtoe magari aina tofauti na bei zake ili kila mhitaji aweze kujua vizuri kutokana kipato chake kwani wengi tunahitaji.Asante.
nahitaji vitz used lakini bei isizidi 4m,na iwe na vvti au gari yoyote ndogo isiwe imechoka sana plz mawasiliano
bro mambo vipi mi nahitaji gari aina ya rov4 niambie bei ikiwa imetua bongo email yangu ni ekiumba@yahoo.com
Nahitaji rav4 ya mwaka 1999 na bei gani
zipo rav 4 milioni 13 nitafute 0717577821
ipo rav 4million 10.5
Vitz inapatikana kwa bei gani
ipo kwa million 6.2 ntafute 0716-369299
Toyota Rav 4 5 door ya 2003 inauzwa haijatumika TZ bado,shilingi milioni 20.Tuwasiliane kwa email hii p.ayubu@yahoo.com au piga simu namba 0767212523
kwa anaye itaji toyota vits milion 6.4 nyekundu bado mpya kabisa. tuwasiliane 0716-369299
vp,naitwa luck,
naweza kupata gari ndogondogo mil 4 ambayo haijachoka,lakin sio vitz au march,ambayo haipochin sana kutokana na maeneo ninayoishi,
yes unaweza pata camr nzuri sana, kama unaitaji nipigie kwenye 0716-369299 au tuma sms
Colour gan?
Pamoja na hiyo,siwez kupata model nyingine?Sijasema camr mbaya,nzuri lakini nipe option nyingine pia?
weka picha.
hi…do you have a car worth just 5 million…if you do plzz let me know
Nahitahi RAV 4 Ya mwaka 97/98 bei ianze 10mil hadi 12Mil iwe katika hari nzuri namba yake ianzie B nakuendelea picha muhimu..km itapatika plz cal me 0713529696
Naweza pata Rav ya mwaka 97 kwa Tsh 10Mil iliyo bomba..plz km itapatikana 0713819946..
masahihisho namba yangu sio 0713819946 ni 0713819646
Hi Naitwa bahati, nahitaj rav 4 mirango mitatu used,automatic ,ntapata kwa sh?ambayo bado haijachoka sana.
gari rav 4 3 door ipo wewe tuwasiliane 0716-369 299
Rav 4 3 door what price? 0714618007
nahtji kujua bei ya opa,carina ti,si,vista,nadia na gx 100 na gx110 sh ngapi hadi dar??ikibd na picha zake,nahtj plz
kibidi wasiliana na mimi 0713787771
nahtj kujua bei za magari carina,vista,gx 100 na 110.nadia na opa naweza kupata kwa sh.ngapi mojawapo kati hzi nipe bei zake plz. ikibdi nicheki hata kwa 4n 0713787771
ninauza TOYOTA PROBOX YA 2005 NZURI SANA kwa matumizi ya familia na kubebea bidhaa za miradi ya kiuchumi mdogo mdogo viti vya kukunja na nimeileta TZ May 2012 fully duties paid kwa TShs. 8.9m nicheki 0767210628 au 0715364676
Nahitaji kujua bei ya Toyota “Nadia type su” ya mwaka 2003, picha na mailage ni muhimu kama ikipatikana
nahitaji cresta baloon nina m4 je nitapata
Nahitaji gari ndogo ya vitz, raum, ist, carina SI, au spacio au cresta iliyo katika hali nzuri, nina bajeti ya m8 nalipa cash hakuna longolongo..nicheki 0768279627
ninayo FunCargo jamii ya hizo IST, VITZ, SPACIO kwa 8mil sio mbaya
________________________________
Beans kaka mm nahitaji Harrier Lexus pls nitumie bei na picha isiwe gali sana bro
sorry nasahihisha namba yangu ni 0768279623
hellow wadau naomba kujua bei ya coaster(ya abiria) kwa pesa ya tanzania inakua ngapi ikiwa bongo
25m piga 0715364676 nikujuze zaidi
Nahitaji Haice custum ilio kwenye hali nzuri bei isizidi 6mil
ninayo TOYOTA HIACE super custom maroon kwa 12m with 4wd, g-shock mneso neso kama wa Cadilacs kwenye movies nione @ 0784364676
hbr nataka kujua bei ya noah na opah naomna nijulishe kwa email yangu. asante
habari ya kazi.naomba kujua bei ya modern rava4. thanks and regards
Rav4 modern ni 35m
Noah na Opa kwa 12m tu 0715364676
Nataka gari aina nissan x-trail ni bei gani?ikiwa hapa dar.nasubiri jibu plz
nina gari cheser avante bado mpya engine GX100. imetembea klm chache sana imesajiliwa na number T ..BJX .kama kuna anae itaji anitafute 0715 557984 gari ipo D.SM
tsh ngapi>?
nataka kujua bei ya cresta GX 100, new model hapo bongo. Nipigiwe kwa namba 0715378224,nahitaji kujua mapema kwani naitaji hiyo kabla ya decemba.
Natafuta Gari la 2.5 mil mwisho 3 mil toyota atakeye kuwa nayo tuwasiliane kupitia mail yangu tell_asia@yahoo.com niko tayari kulipa tarehe 26 mwezi october 2012
gari toyota harier mpya tsh ngapui?
Habari ! Ninauza Toyota Coster Daladala in ruti ya Mwenge Bunju. Bei tsh Milioni 18 bei inapungua , Kwa mawasiliano zaidi piga 0715590859
Nipe bei ya hiyo gari.
nahitaja gari aina ya opa ni shilingi ngapi?
noah new model na opa sh.ngapi?email yangu ni http://www.nyembochomba@hotmail.com au accaunt yangu ya facebook nahrachomba.
MAMBO NI VIPI KAKA, ninauza hizo gari hapo
Noah 1997@10m ipo yadi haijatumika Tanzania kabisa tutafanya registration ukishalipia,
Noah 1999@11m moja imeshasajiliwa na inatumika kidogo kwa kuendeea kazini na ingine inaingia wiki hii from Japan,
Probox 2003@9m inafika tokea Japan wiki ijayo na hiyo Toyota Probox ni kama OPA sana na engine ni 1450cc.
Seema mambo tufunge biashara namba zangu ni 0715364676.
NATAFUTA GARI NDOGO ENGINE CC 900 AU 1000 , TOYOTA MILANGO MINNE , IWE INATEMBEA , BAJETI YANGU MWISHO 3.5M
Vitz 990cc kwa 7m vipi tuongee 0715364676 au 0767210628 nikupunguzie
Nahitaji toyota vitz isiyochoka bei isizidi 5mil. ni pm 0655006401 or send a message via emanuelmagembe@rocketmail.com
Vitz 990cc kwa 7m vipi tuongee 0715364676 au 0767210628 nikupunguzie inaingia Tz mwisho wa November hii
NAHITAJI GARI AINA YA TOYOTA STARLET AINA GARRAT VIP IPO?
ipo nicheki on 0716-369299
Nahitaji Suzuki Kei 660 cc ya mwaka 2000, 2001, 2002 au 2004 ipo rangi White, naomba na bei
suzuki Kei ninazo 3 na zipi njiani kutokea Japan zinaingia Dar next two weeks. rangi ni silver mpauko na mkolezo moja inayo turbo, mbili ni manual na moja auto.
miaka yao ni 1999, 2002 na 2003
Naomba bei ya Dar niangalie uwezo wangu kabla hazijafika.
bei ni 7m kaka na punguzo lipo kidoogo utakavyo wahi mapema hii usikose mie nipo 0715364676 au 0767210628
Nashukuru nimekuelewa.
Najitahidi kujazia. Asante
habari, sorry naomba bei ya coaster toyota nzuri ya bei poa, naomba bei na picha yake. fa
habari, sorry naomba bei ya coaster toyota nzuri ya bei poa, naomba bei na picha yake. faraja.joram@yahoo.com
Kaka habari, nahitaji Suzuki Carry Truck, 660 cc kama unayo naomba kujua na bei, na ni ya mwaka gani na imetembea kilomita ngapi. Asante
Suzuki Carry naweza kukuuzia kwa 8.5mil ukiweka order
nahitaji toyota starlet kwa ml. 4 naweza kupata email yangu tlupembe2000@yahoo.com/my phone +255717421582
AINA YA GARI CANTER UKUBWA ENGEN 35,UREFU WA BODI FOOT 18 NI SHILINGI NGAPI HADI IFIKE TANZANIA BANDARI YA DAR ES SALAAM?
10m mpaka bandarini Dar es salaam
Naomba picha na bei za fuso fighter ulizonazo.
Naomba picha na bei za fuso fighter ulizonazo.paulojsph@gmail.com
kaka naomba kufahamu bei ya hoah au nadia kama unazo nadia isiwe d4, nataka bei ikiwa tayari kwa kutembea siyo tena mambo ya ushuru,
noah 10m na nadia bei moja
natafuta noa iliyo kwenye hali nzuri na bei yake. naomba tuwasiliane kwenye joazichaula@gmail.co
Naulizia bei ya suzuki swift ikiwa tayari dar es salaam na haijatumika
naomba mnipe bei toyota hilux
Naitaji gari lisilozidi 6milioni,na pia nauza chesa manual milio
4milion?
Gari nzuri. Nimeipenda. Kama nataka kuinunua process inakuwaje
Benzi nzuri. Nmezipenda. Kama nataka kununua process inakuwaje mpaka kupata.
Naomba namba yako ya simu na yangu ni 0755-461716
nahitaji gari ndogo ya matumizi binafsi, 4mil ipo tayari. email gango2012@gmail.com
Toyota Rav4 for sell 12mil in Dar
Automatic
Registration 1999
Five doors
4wd
Km 120000
Condition excellent
Call 0659197822
No negotiate
Toyota Rav4 for sell 9 mil
Registration 1998
Automatic
Excellent condition
5doors
0659197822
No negotiate
Starlet for sell 5mil
City: Dar es Salaam
Condition: used Year: 1998
Engine Capacity: 1300
Mileage: 165000
Auto or Manual?: Auto
0659197822
No negotiate
Suzuki KEI 2000 to your place at only 7.5m non-talkative
Landrover discovery v8 kwa 12milion tu
Km 125000
5doors
Automatic
Regstration 2013
Muonekano kama jipyaa
0659197822
naitaji corolla ae 111 na nina million nne
niko tanga naitaji corolla 111 ambayo ipo kwenye hali nzuri kabisa
hello bro, nahitaji stalet ndogo au duet, naomba unitajie price na pics plz, thanks in advance
ninayo Suzuki KEI ipo kama duet au starlet kwa kuwa na 660cc, turbo na 4wd kwa 7.5m tu
Hi peoples!! nahitaj noar new model ambayo haijatumika tz, bei ni tz sh ngapi nipo morogoro tz, namba yangu ni 0754997971
Mi naitaji gari ina ya verosa new model na bbeiei zake pamoja na picha
naitaj duet, au swift, au vitz kwayeyete alienayo iwe mpya au used isiwe 2000 below rang silver na bei isizid 6m tuwasiliane kwa 0786381070
nahitaji Toyota Coaster, email yangu ni kijijini@ymail.com. Nieleze nitalipa sh. Dar es salaam
Hi
kaka nilikuwa nahitaji canter tipper mita 6 manual.zinapatikana na bei gan,na Nissan safari 3door engen model ya1998.
asanten nimewaona nina gari aina ya nissan patrol safari ya mwaka 1994 milango 5 iko poa bei 14ml phone 0712 222705
NATAKA KUINUNUA GAR ILIYO ONYESHWA HAPO JUU KTK PICHA NATAKA KUJUA BEI YAKE NI DOLA NGAPI
Nahitaji gar aina ya harier colour hiwe black na nahitaj kujua bei yake kwa pesa ya kitanzania nijibu kwa e-ma4l yangu “katembo.goodluck@yahoo.com”
naomba kujua gari ya bei ndogo kuliko zote mahana nilipo me hapaitaji gari ya galama please nijulishe ili niweze kupata usafili huo
utaweza kupata kwa million 4.5 gari amboyo bado ipo kwenye hali nzuri.
Naitaji gari la biashara yaani tx, iwe corona au mark 2 au inanyingine, nitapata kwa sh ngapi?
Nahitaji Toyota Premio au Carina Ti, naomba kujua bei zake.
NAUZA GARI LANGU AINA YA HONDA CRV NYEUSI NILIIGIZA MWENYEWE FROM JAPAN 2011 BUT BADO KAMA MPYA TU,ina AC, FIVE DOORS, MANUAL , na nimeshailipia kila kitu KWA 11 MILION tu. SABABU YA KUUZA NIMETUMIWA GARI NYINGINE TUWASILIANE 0659197822 FROM DARESSALAAM AFRICANA
napenda sana gari aina Range rover nataka kujua bei?
nauza corolla toyota limited imetumika Tanzania. hali nzuri 7M maelewano yapo
nahitaji gari aina ya RAV4 au suzuki escudo iliyotumika hapa Tz lakini iko kati hali nzuri budget yangu ni kat ya mil 3.5 mpaka 4 iwe milango 5 na iwe auto
Nimeongeza Budget yangu ni mpaka mil5 nataka RAV4 au Escudo milango 5 iliyotumika TZ lakini iwe katika hali nzuri hasa body yake rangi yoyote.