MERCEDES BENZ E200
Price: 6500 USD CIF Dar Es Salaam
Model Name: MERCEDES BENZ E200 AUTO
Registration Number: SJL3190H
Chassis Number: WDB2100352B158487
Year Manufactured: 2000
Engine Number: 11194212083681
Engine Capacity: 1998
Engine Type: Petrol
Registration Date (dd/mm/yyyy): 16/08/2000
Transmission: Auto
Color: SILVER
Features: Leather Seats, Electrical Seats, Twin Airbag, ABS, Aircon, Centre Lock, Power Window, Power Steering, Multi Function Steering Wheel, CD Changer, Metallic Paint, Radio / Cassette Player, Heater, Power Mirror, Alloy Rims
Inachukua siku 30 kusafirisha gari toka Singapore hadi Dar Es Salaam.
NB: Bei hiyo ni pamoja na Usafiri na Inspection
Gari zinasafirishwa kwenye Container.
Wasiliana nami kwa piusmicky@yahoo.co.uk or +60176452510
MERCEDES BENZ CLK320 COUPE AVANTGARDE (SUNROOF) USD 15,000 CIF DAR
Model Name: MERCEDES BENZ CLK320 COUPE AVANTGARDE (SUNROOF)
Registration Number: SFS736P
Chassis Number: WDB2093652F078392
Year Manufactured: 2003
Engine Number: 11295531628422
Engine Capacity: 3199
Engine Type: Petrol
Registration Date (dd/mm/yyyy): 21/10/2003
Transmission: Auto
Color: SILVER
Features: Leather Seats, Electrical Seats, Twin Airbag, ABS, Aircon, Centre Lock, Power Window, Power Steering, Multi Function Steering Wheel, CD Changer, Metallic Paint, Radio / Cassette Player, Heater, Power Mirror, Alloy Rims, Crystal Light, Sun Roof
HELLO NIMEONA TU BENZ LAKIN NILITAKA LANGE ROVER MANUAL AMA BENZ MANUAL SASA NAHITAJI SN KUJUA NA BEI ZAKE PIA
AKSANTE
ALICOM KUTOKA TANZANIA
wewe Alicom Tumain,
Usiseme Lange Rover, Ni Range Rover Ukichoka sema RR
POPOTE ULIPO NAUZA MAGARI SAFI KUTOKA JAPANI GARI ZOTE ZIPO BEI NZULI OFISI IPO ZANZIBAR WAHI SASA KWA MAWASILIANO 0717577821 AU 0777806336 SIMON
kaka kwema naweza pata rva4 j milango 5 toleo la kuanzia 1995 hadi 2000 ofa yangu nina milioni 7.5
Naitaji gari Aina ya note isizd million 5
naomba kujua bei ya harriel mpk kufika dar
Nauza gari aina ya toyota surf 5L engine, ipo katika hali nzuri, contact me 0788633885
Nahitaji kujua bei ya ravfour abayo iko standard ya kuanzia mwk 2000 na kuendelea.
Nauza TOYOTA IST ya mwaka 2004 sh.10,000,000 iko Dar sim 0655303597
Ni sh. Ngapi, mileage ni kiasi ?
noamba kuona picha za noah zinazo uzwa
nauza noah TOYOTA nipo arusha ilikuwa ya kibiashara inapiga kazi ipo fresh sana ina miezi nane tangu niinunue mil 12Tshs
kwani bnz manual huna
Naweza kupata gali kwa kulipa kidogokigo mpaka namaliza.
Gali la milioni sita.
Gari ya million sita naomba niione napenda pikap
Naitwa Kelvin Nahitaji Gar Ist,Raum,Spaciol.Namba D Bei 6 Kushuka
Hey Kama unaweza nipatia Benz, 320 hapo zenji bei gani mm niko capecost iwe nyeusi nje ndani kaki Au brown.
Gari ni safi na nimeipenda ila uwezo wa kuinunua wala kuitunza ni tatizo.
Nahitaji Lav4 ya milango mitatu – manual.
Naomba bei ikiwa Dar es Salaam tafadhali.
Kazi njema.
gari zipo km unahitaji kweli tuwasiliane0 717577821
mercedes Benz hana, naomba RV4 Milango 4 mwaka 2005-2008, nipe garama zake ikiwa Dar.
Nahitaji gari rav 4 milango 5 la mwaka 2005 uniambie bei yake kwenye email yangu
Naitaji gari aina rav4 yamwaka 2000 Nabei yake niko iringa tz
Nahitaji Kujua Bei Ya Center Old Model 1998
nahitaji MARK II GRAND 110 nitumie picha na bei
naitaji Gari aina ya fuso fighter tani 7 bodi ambayo ni wazi nifamishe naipataje na bei yake ni sh ngap?
Gari la 3m yapo
Nahitaji gari kati ya hizi zifuatazo
IST,VITZ AU PASSO namba D nipo mwanza nitumiie picha na specification usisahau na bei kwenye jimmys90@yahoo.com au whatsapp no 0655501155
nenda kwenye http://www.cheki.co.tz afu fata maelekezo
nimependa matangazo yenu nsomba kujua starlet ni bei gani.
Natafuta mark11 ya mil 5
naweza kupata gari la mil 4
Nipe Email yako au nitumie kwa piusmicky@ahoo.co.uk nitakutumia
hii clk 320 ina milage ngapi na bado ipo please nijibu kwa email hiyo
Naitaji fuso mpya sh.ngapi..?
NATAKA KUJUA BEI YA GARI RAUM NWE MODEL
Nahitaji Noah ya kijapa mpya bei yake na sifa zake kwa ufupi.niko manyara naomba nitumie kwa email yangu ya farajasamo@gmail.com
Oya aje
verrosa used
The car E200 looks superb sema natafuta kitu kama wizard isuzu hivi au 4wd bei ilotulia kidogo. mambo ya financial crisis mzee yanatuweka pabaya.
Naiitaji gari Toyota its nyeusi no kiasi gani
nahitaji toyota dable coster nitumie bei na picha kwenye kikerero@yahoo.com
nahitaj landrover 109
ok
Nataka gar ya bei rahs kulikozote.
sasa tunashindwa na barabara zetu,mafuta yeto ilaa roho tunazo sana sema tumashindwa na mawazo ya bongo,sema nazidi kukutafuta we can meet
LAV4…………….., JAMANI RAV4, I HOPE U KNOW WHAT YOU WANT TO BUY
kula
naweza kupata gali kubwa kubwa kama fuso??mdau Uholanzi
gari fuso zipo km unahitaji niambie 0717577821
Fuso mpya sh ngapi nijibu fasta natoka mwanza naends dar
ntapata gar Carina
Bei gani fuso
njombe
NATAFUTA BAJAJI YA KUNUNUA YA 2000000
Ebwana mambo vp? Nataka kujua kama una Toyota Spacio,sport rim iwe ya mwaka 2000 na kuendelea, naomba unitumie picha na bei zake, naihitaji haraka iwekanavyo. utanipata kwenye uhembe@yahoo.com
Gari nzuri lkn nilikua nahitaji isuzu troper bei yk
mdau mimi nna trekta nauza.. Internation haijatumika Bongo bado safi…)0713474348
Ainagani Na beigani? Pia usisahau kutuma picha
kaka magari na bei zako nimezipenda.Idea nzuri,komaa hivyo hivyo
nayafuta isuzu journey 4bg1
jamani mnaotizama hili file magari yapo jamani km kuna watu mseme gari unayotaka zipo 0717577821
NITUMIE BEI YA OPA NA PICHA YAKE
nahitaji hiace iliyotumika
Nataka gari alteza no c nina ml 4.5
Mimi nauliza coaster toka japani ikingia dar inaghalimu kiasi gani ambayo imesajiliwa kabisa
Mimi nauliza coaster toka japani ikingia dar inaghalimu kiasi gani ambayo imesajiliwa kabisa
well, thoz re nice cars , but ningependa kuapata cressida au cresta hiz new model…pia ningependa kufika show room yenu
hizo benzi zimeibiwa south africa.
Ur stuff seems so sweety, lakini mzee hiyo price mbona kidogo sana, inakuwaje? zisiwe zile za kupigwa, kesho tunakutana na police! I think u knw what i’m saying.
Nitafutie Sprinter, iwe btn 1998-2000 year of manufacturing, picha, price na iwe CIF. Thanks
hi Bro mimi nahitaji escudo suzuki iwe manual or automatic napenda iwe kuanzia 2000 na kuendelea japo bei tu .thaks.
Naomba bei ya spacio 2000 CIF Dar
mi na wonder;km unataka gari yanini uanze kuuliza limepigwa au la,ndo mambo hayo ya utandawazi mjomba,au we unataka ya bei kubwa? nenda mbele kachukue…..
Nataka gari aina ya escudo bei gani na nitumie picha yake
kuna magari yapo kila aina ukihitaji niambie nikutume bei na picha , kuanzia Land Rover Ranger Rover 2007-2010 na Mazda BT-50 2008, iko na ISUZU KB 350, ipo Meg ML 350, Iko Rav 4 5D
nitumie mail kisha nikupatia lakini kumbuka hii ni used ya South Africa not more that 120,000 Km
Asanteni wandugu
Nitumie bei y Rav 4
habari yako mkaka, nahitaji kujua bei ya “free lender” na HIACE ‘super loof’ yabiashara.
mbona gari zipo wewe nitafute tu 0717577821
Nahitaji rav 4 milango 5 ya mwaka 2000 na kuendelea,ni2mie picha na bei yake.my email. elisante2012@yahoo.com
Habali za md huu naomba unitumie picha ya gari aina ya noa ile nzuri na bie yakee
nitumie bei ya toyota dabo coasta na picha yake kupitia haidolkelvin@gmail.com
nahitaji hiace van, naomba nijuze bei na picha tofauti totauti za hiace mbalimbali
Kaka mi nataka gari ya kutembelea ndogo iwe nzuri sichagui aina ila nitakayo ipenda tu ndo ntachukua cha msingi Fanya kunitumia picha na bei zake kupitia email yangu hiyo ili nicheki halafu tufanye biashara
Rav4 J 5doors.. i want to know the price.. nipo Dar
Kaka mambo vipi?
mi nataka bajaj sa ndo inakuaje?
au hata ukikosa basi niletee FIAT yale ya wasomali hata nije kuuza screpa tu nami niweke historia kuwa nilikuwa na gari,
Thanks for your help to Tanzania people for importation the used car,
Second our target is to buy Toyota Coaster,1HD engine,2000 to 2003 year,give us the cif value.and Toyota Prado SX model,8psgs,1995 to 1997,1kz engine model.
Please repply to us soon as possible as per our email above.
Thanks Mr Hubert
Managing Director – Swanga
Mr. Hubert ,
Ushapata hayo magari, kama sivyo ninaweza kukupa quote…
Hello,
Did you got the car that you had requested for.?!
Naweza kusaidia kuagiza gari toka Japan, nipe mahitaji ya gari lako , nami nitakutafutia gari kwa kadri ya uchaguzi. Toyota Noah, Mark 11, Rav 4, Spacio, Toyota Prado.
Karibu tufanye biashara
A/alay
Mimi ndugu yangu shida yangu ninahitaji pikipiki aina ya Honda 50 trail ninajuwa kuwa unaagiza magari lakini mimi shida yangu ni pikipiki kam uwezo upo nipe bei ili nikupe oda ya kuniagizia
nahitaji suzuki escudo,manual or automatic,4doors,probably ianzie 2000,tell me inasimama ngapi kwa tz.
huwa unaagiza kwa utaratib gan.
NAHITAJI ESCUDO MANUAL .BEI GANI HADI ITOKE BANDARINI?
nahitaji noah old model iliyotumika bei isizidi ml 8 nipigie 0715109019
hello nataffuta gari
aina ya polo CIF dar
Toyota SWIFT CIF dar
Hi David,
Unataka ni Suzuki Swift au Toyota, kwa upande wa Toyota hakuna , ila suzuki zipo. Confirm..
Nataka suzuki
Ninaweza kukupatia swift nzuri kabisa.
Nitumie email:
Lazanex@yahoo.com
suzuki swift mbona ipo ninayo ya 2001mpaka dar 11milioni safi imeingia majuzi kutoka japan
Nataka pikipiki ya kawasaki cc1200 naona nitumie picha zake
mimi nina gari ya marsedes bens mimi nina penda sana gari ya marsedes bens
ASANTA SANA MARSEDES BENS
KWAHERE
natafuta landcuser prado milango 5
gari hipo land cruser safi tu tuwasiliane 0717577821
hey bro i need toyota platz check with me on maembejr@gmail.com
Rav 2005, km 92,000. Imeingia tanzania julai 2014.cc 2000. Bei milion 20
Sema mkuu?
Naulizia TOYOTA Gaia full option ie TV,DVD,S/Roof,Back Camera,7 seat ect.Nitumie picha na bei kwenye email bmwaga2008@yahoo.com
Vipi ulishapata Toyota Gaia?
Nauza gari aina ya Subaru Forester a.k.a mnyama wa barabarani.Iko fresh kabisa if ur interested just reply the message we shall contact more.
Naomba unitumie picha na ni bei gani?
Kwa sasa niko safari naomba ntakutumia nikirudi toka safari.thanks
ntumie picha za Hiuo Subaru na bei yake
Kazi nzuri.Hallo mi natafuta Toyota au Nissan P/up kati ya mwaka 1995-2000.Isizidi millioni nne na iwe registered hapa Tz.Kwa mwenyenayo,nicontact:crninawi@ymail.com
nauza toyota hailax 4wd pikp ml 6 ipo mbeya inahitaji marekebisho kidogo ila inatembea Na nissan pikp engine sd 23 inatembea nitafute 0754032762
Kaka mambo vipi naomba nitafutie toyota vitz ya bei nzuri mayembe85@yahoo.com
Nipe Budget yako mi naweza kukuletea hadi hapa ukatoa mwenyewe au ukitaka nakutolea ila tuelewane bei.
Kaka nahitaji Toyota Vitz Black bajeti already imported au used iliyokatika hali nzuri bajeti yangu ni Tshs. 5 mil. I am Paula nipo DSM reply to [paulajm82@yahoo.com]
natafuta Gari milango mitano isiwe noah nina 5,ooo.ooo/= tuwasiliane 0763531579 niko mwanza
Kaka habar. Nahitaj toyota IST bei isizidi 8mill… nipo Dar. If possilbe send me a picha. Nina cash
I am looking for to buy Toyota Coaster,1HD/1KZ engine models ,any year,low milleage, Manual,GOOD running condition give me the CIF price at Dar
Please repply to me soon as possible as per my email with attached photos
nataka gari
Gari gani unataka
Hello Ms. Andrea,
Do you still wamt to.buy the coaster.?!
mkuu nahitaji gari ndogo na ya bei nafuu sana kama vile Vits ,Staret nk yaani vya model hiyo
gari zipo nitafute tu wewe 0717577821
nahitaji used car tax ya kijapan iliyo sajiliwa ikiwa DAR iwe manual au auto aina yeyote bei
isizid 4.5 ,je naweza pata? naomba nitumie kwenye. mail yangu Niko si
gida asnte
NUTAKA KUJUA BEI YA PREMIO TO MPYA NA ILIYOTUMIKAYOTA
Nahitaji kujua bei ya gari aina ya spacio na raum!Gharama za usafirishaji mpaka dar es salaam!
Habari kaka naomba no bei ya Noah na picha yake naitwa Joel WA manyara
Asante
habari za kazi kaka naomba unijulishe bei ya NOAH zilizopo hapo yenye maillage ndogo nitaipata kwa bei gani nitumie picha kwenye email yangu, pia ningependa kujua bei ya RAv4 manual na gharama za usafirishaji mpaka dar inakuwaje
habari mdada, Noah zipo kuanzia 11m iliyoingia mwezi huu September 2012 from Japan
Habari,naomba kujua kama ninaweza kupata gari aina ya Suzuki,grand vitara,inaumbo kidogo inataka kufanana na rav 4
mbona ningari niambie tu mda wowote 0717577821
mkuu napenda kujua gharama ya vits au toyota premio
gari zipo kamaunataka mkuu nitafute
Natafu toyota corolla ae 100. Nipe bei.
gari ipo kaka wewe nitafute tuwasiliane 0717577821
naitaji gar aina ya matrx au subaru manyu zote ziwe spdi zaid ya mia 200 na bei yake ntumie kwenye namba 0755143650
Ninakaribia kustaafu nahitaji Hiace ( used)kwa ajili ya kufanya bishara ya daladala ambayo itaweza kutembea kwa mfululizo wa miaka miwili bila matatizo.
gari ipo hiace wewe km upo tayali niambie 0717577821
naitaji vst mahana ninampango wa kuanzisha miladi midogo midogo vijini so kama nitapata nijulishe please
habari kaka,
ipo Nissan Homy super roof safi sana imeingia mwezi huu September 2012 kutokea Japan kwa bei njema sana, nipigie 0715364676 au EDGARIUSTZ@YAHOO.COM kwa picha na kuiona kabisa
Mkuu, I need Toyota Mark II GX110, tell me the CIF price to Dar es salaam. and please advice if it is pay first or at arrival?
gari zipo nzuli tu nitafute 0717577821
Nahitaji kujua gharama za double coaster ( varities).
Hi,
Nataka kununua Toyota Hiace aka Kipanya au Double Coaster. Petrol/Disel Engine mwaka 2000 na kuendelea
zipo gari tuwasiliane popote 0717577821
namba yangu 0754663819. naomba kupata suzuki grand vitara au rav 4 na kujua bei yake mkuu
ipo equivalent ya Hiace yaani Nissan Homy super roof kutoka Japan September 2012 kwa 18m fully paid piga 0715364676 au EDGARIUSTZ@YAHOO.COM
Habari,naomba kujua kama ninaweza kupata gari aina ya Suzuki,grand vitara,BEI 5M, MWENYE NAYO ANITAFUTE PLEASE na anitumie details za gari hilo shukranikyando@yahoo.com
Hi
Nipo china kwa sasa kwa mda wa miaka minne,kama kunamtu anahitaji chochote kile kutoka china high quality tuwasiliane,ila kwa wale mnao taka copy ya vitu sikotayari kufanya biashara hiyo
Ntaka kutangaza jina kwa kuleta vitu kutoka China vyenye ubora wa hali wa juu
karibuni, tumia engmtoleraibrahim@gmail.com
Nahitaji incubator controller ( thermostat) nitapata?
habari mie nahitaji car simulator kwa ajili ya driving school mawasiliano ni mussa_ramadhan@yahoo.co.uk
matangazo ya magari ingekuwa vema kuwe na picha za magari yenyewe.
Sawa tutafanya hivyo asante kwa ushauri. Pius
Natafta Gari Ndogo Ya Kutembelea Toyota Rav4 Kuanzia 7000000
Nina m6 naweza kupata toyota raum na itachukua muda gani kufika tanzania?
Nipe email yako
kaka naweza kupata dabo costa kwa mil 16 kama inapatrikana nitumie picha kupitia haidolkelvin@gmail.com
please naomba mnirushie kitu cha subaru forester
Vp unahitaji forester mnyama? Lete contacts zako.
I simply have to tell you that your write ups are really great. Twitter experts would like your blog. When I opened my lap top your website was loaded. I could not refrain from leaving a comment. This information is great.
Hi mi natakakujua bei ya Toyota Carina na picha yake Iwe ya 2009
Natafuta toyota vitz ya 2001 and on, isizidi 6.5ml. 0757478024
mimi mwenzangu nahitaji kujua bei ya gari ya vitz na starlet
ipo vitz nzuli mpaka dar milioni 7 tuwasiliane 0717577821
nina milioni 6 nataka gari
gari zipo nyingi tu km upo tayali niambie 0717577821
jamani mimi nauza Ssangyong Korando 4WD ya mwaka 1995, iko poa sana, nahitaji Tshs milioni 4 tu. 0717502550 au 0787239382
Weka picha tuione
Weka picha mi nikiona picha ntaichukua.
Khamisbeka02@hotmail.com
NAHITAJI TOYOTA CRESTA, LAKINI NITUMIE PICHA YAKE NA BEI YAKE YA TZ, TUMA MAJIBU KWENYE diodorusdeogratias@yahoo.com
Natafuta Vitz Nyeusi iliyokatika hali nzuri nna sh. 5 mil Tshs.ambayo tayari ipo Dar es Salaam.
nahitji toyota chaser,mark2,cresta baloon iwe kwenye hali nzuri ndani na nje na iwe 4s ofa yangu ni 3ml naweza ongeza km itanivutia zaidi simu namba 0715,0784,0767, 977883 mangi
mussa says
naombo nijue bei ya culorse mkonga na ikiwezekana na picha yake.
hi!i would like to knw whch car do u have in stock at the moment/can u email me on my email
Natafuta toyota nadia mpya/used 8 seats nitumie bei yake ikiwa tz
niaje mkuu,
naulizia GX110 grand , rangi maroon au black iwe na hali nzuri. ntumie pic na bei kwenye mabrouckmasasi@rocketmail.com
NAWEZA KUPATA COROLA LIMITED NEW MODEL ILIYOTUMIKA KWA 3ML IKIWA TANZANIA?
Naomba kujua bei ya PREMIO G 1.8 CORONA used,STARLET used na TOYOTA RAV 4 used.email hkilugwe@yahoo.com
Mr pius naitaji kujua bei ya toyota Noah town hiace and Corrola sprinter kwa Tz shilings!
My email is imkonyi@yahoo.com
Hallo Mr Pius
Ninahitaji FUSO MIGNON (damper) ..garama zake hadi DAR..
stephenmwamengo2005@yahoo.com
Magari nimeyaona ila mi nahitaji Honda CV-R Manual kwa bei ya daresalaam naomba bei
Magari nimeyaona ila mi nahitaji honda CV-R kwa bei ya dar.so naomba bei
nahitaji verossa nyeusi 4cylinder nipe bei na picha ikiwezekana nijibu ktk micha
elngailo @yahoo.co
NAUZA LANDROVER 109 IKO ARUSHA CONTACT
0753/O715-339177
Bei gani hiyo land love 109
Please can you assist me getting
NISSAN BASSARA
to Tanzania.
it should be AWD {all wheel drive}
please email me the details at my email ,
husseinabdulsattar@hotmail.com
hope to hear back soon from you
naitaji caldina automatic, mwaka 2000 na kuendelea,,niambie bei likisha fika bongo na pia nitumie picha ya hilo gari.
nawza kupata gari ya milion 4? nzuri isiyochoka napenda suzuki escudo. Au kama vip waweza nishauri dizain nyingine nzuri.
reply through edithadaniel@yahoo.com
I am so glad I found your website. Spot on with this post. If you ever began a gang, I’d be first in line. good read. Nice read.
nawza kupata gari ya milion 4? nzuri isiyochoka napenda suzuki escudo. Au kama vip waweza nishauri dizain nyingine nzuri.
reply through edithadaniel@yahoo.com
ndio unaweza lkn ni m5.6
Mim lucky ,pls nitumie picha ya hiyo suzuk escudo kwa mil 5 au dizaini nyingine ambayo ni ya bei hiyo sio ya chin sana.
nauza magari zanzibarbei nzuli na mapya kama carina,vitz,ipsum,escudo,noah,canter,fuso,discover,premio new model,gari nyingi sana anayetaka tuwasiliane 0717577821(simon)
unauza vitz kwa bei gani?
vitz milioni 7.5
Nissan murano sh ngapi?
kaka mimi naitaji kujua bei ya starlet used mwaka 2000 to 2004.Na itanigarimu bei gani mpaka naanza kuitembelea bongo(ushuru na kila kitu)email yangu josiasamwel@yahoo.com
Nimefurahi promotion zenu,pia nashauri mtoe magari aina tofauti na bei zake ili kila mhitaji aweze kujua vizuri kutokana kipato chake kwani wengi tunahitaji.Asante.
nahitaji vitz used lakini bei isizidi 4m,na iwe na vvti au gari yoyote ndogo isiwe imechoka sana plz mawasiliano
bro mambo vipi mi nahitaji gari aina ya rov4 niambie bei ikiwa imetua bongo email yangu ni ekiumba@yahoo.com
Nahitaji rav4 ya mwaka 1999 na bei gani
zipo rav 4 milioni 13 nitafute 0717577821
ipo rav 4million 10.5
Vitz inapatikana kwa bei gani
ipo kwa million 6.2 ntafute 0716-369299
Toyota Rav 4 5 door ya 2003 inauzwa haijatumika TZ bado,shilingi milioni 20.Tuwasiliane kwa email hii p.ayubu@yahoo.com au piga simu namba 0767212523
kwa anaye itaji toyota vits milion 6.4 nyekundu bado mpya kabisa. tuwasiliane 0716-369299
vp,naitwa luck,
naweza kupata gari ndogondogo mil 4 ambayo haijachoka,lakin sio vitz au march,ambayo haipochin sana kutokana na maeneo ninayoishi,
yes unaweza pata camr nzuri sana, kama unaitaji nipigie kwenye 0716-369299 au tuma sms
Colour gan?
Pamoja na hiyo,siwez kupata model nyingine?Sijasema camr mbaya,nzuri lakini nipe option nyingine pia?
weka picha.
hi…do you have a car worth just 5 million…if you do plzz let me know
Nahitahi RAV 4 Ya mwaka 97/98 bei ianze 10mil hadi 12Mil iwe katika hari nzuri namba yake ianzie B nakuendelea picha muhimu..km itapatika plz cal me 0713529696
Naweza pata Rav ya mwaka 97 kwa Tsh 10Mil iliyo bomba..plz km itapatikana 0713819946..
masahihisho namba yangu sio 0713819946 ni 0713819646
Hi Naitwa bahati, nahitaj rav 4 mirango mitatu used,automatic ,ntapata kwa sh?ambayo bado haijachoka sana.
gari rav 4 3 door ipo wewe tuwasiliane 0716-369 299
Rav 4 3 door what price? 0714618007
nahtji kujua bei ya opa,carina ti,si,vista,nadia na gx 100 na gx110 sh ngapi hadi dar??ikibd na picha zake,nahtj plz
kibidi wasiliana na mimi 0713787771
nahtj kujua bei za magari carina,vista,gx 100 na 110.nadia na opa naweza kupata kwa sh.ngapi mojawapo kati hzi nipe bei zake plz. ikibdi nicheki hata kwa 4n 0713787771
ninauza TOYOTA PROBOX YA 2005 NZURI SANA kwa matumizi ya familia na kubebea bidhaa za miradi ya kiuchumi mdogo mdogo viti vya kukunja na nimeileta TZ May 2012 fully duties paid kwa TShs. 8.9m nicheki 0767210628 au 0715364676
Nahitaji kujua bei ya Toyota “Nadia type su” ya mwaka 2003, picha na mailage ni muhimu kama ikipatikana
nahitaji cresta baloon nina m4 je nitapata
Nahitaji gari ndogo ya vitz, raum, ist, carina SI, au spacio au cresta iliyo katika hali nzuri, nina bajeti ya m8 nalipa cash hakuna longolongo..nicheki 0768279627
ninayo FunCargo jamii ya hizo IST, VITZ, SPACIO kwa 8mil sio mbaya
________________________________
Beans kaka mm nahitaji Harrier Lexus pls nitumie bei na picha isiwe gali sana bro
sorry nasahihisha namba yangu ni 0768279623
hellow wadau naomba kujua bei ya coaster(ya abiria) kwa pesa ya tanzania inakua ngapi ikiwa bongo
25m piga 0715364676 nikujuze zaidi
Nahitaji Haice custum ilio kwenye hali nzuri bei isizidi 6mil
ninayo TOYOTA HIACE super custom maroon kwa 12m with 4wd, g-shock mneso neso kama wa Cadilacs kwenye movies nione @ 0784364676
hbr nataka kujua bei ya noah na opah naomna nijulishe kwa email yangu. asante
habari ya kazi.naomba kujua bei ya modern rava4. thanks and regards
Rav4 modern ni 35m
Noah na Opa kwa 12m tu 0715364676
Nataka gari aina nissan x-trail ni bei gani?ikiwa hapa dar.nasubiri jibu plz
nina gari cheser avante bado mpya engine GX100. imetembea klm chache sana imesajiliwa na number T ..BJX .kama kuna anae itaji anitafute 0715 557984 gari ipo D.SM
tsh ngapi>?
nataka kujua bei ya cresta GX 100, new model hapo bongo. Nipigiwe kwa namba 0715378224,nahitaji kujua mapema kwani naitaji hiyo kabla ya decemba.
Natafuta Gari la 2.5 mil mwisho 3 mil toyota atakeye kuwa nayo tuwasiliane kupitia mail yangu tell_asia@yahoo.com niko tayari kulipa tarehe 26 mwezi october 2012
gari toyota harier mpya tsh ngapui?
Habari ! Ninauza Toyota Coster Daladala in ruti ya Mwenge Bunju. Bei tsh Milioni 18 bei inapungua , Kwa mawasiliano zaidi piga 0715590859
Nipe bei ya hiyo gari.
nahitaja gari aina ya opa ni shilingi ngapi?
noah new model na opa sh.ngapi?email yangu ni http://www.nyembochomba@hotmail.com au accaunt yangu ya facebook nahrachomba.
MAMBO NI VIPI KAKA, ninauza hizo gari hapo
Noah 1997@10m ipo yadi haijatumika Tanzania kabisa tutafanya registration ukishalipia,
Noah 1999@11m moja imeshasajiliwa na inatumika kidogo kwa kuendeea kazini na ingine inaingia wiki hii from Japan,
Probox 2003@9m inafika tokea Japan wiki ijayo na hiyo Toyota Probox ni kama OPA sana na engine ni 1450cc.
Seema mambo tufunge biashara namba zangu ni 0715364676.
ndugu napenda kujua bei ya subaru forrester, nadia na spacio
NATAFUTA GARI NDOGO ENGINE CC 900 AU 1000 , TOYOTA MILANGO MINNE , IWE INATEMBEA , BAJETI YANGU MWISHO 3.5M
Vitz 990cc kwa 7m vipi tuongee 0715364676 au 0767210628 nikupunguzie
Nahitaji toyota vitz isiyochoka bei isizidi 5mil. ni pm 0655006401 or send a message via emanuelmagembe@rocketmail.com
Vitz 990cc kwa 7m vipi tuongee 0715364676 au 0767210628 nikupunguzie inaingia Tz mwisho wa November hii
NAHITAJI GARI AINA YA TOYOTA STARLET AINA GARRAT VIP IPO?
ipo nicheki on 0716-369299
Nahitaji Suzuki Kei 660 cc ya mwaka 2000, 2001, 2002 au 2004 ipo rangi White, naomba na bei
suzuki Kei ninazo 3 na zipi njiani kutokea Japan zinaingia Dar next two weeks. rangi ni silver mpauko na mkolezo moja inayo turbo, mbili ni manual na moja auto.
miaka yao ni 1999, 2002 na 2003
Naomba bei ya Dar niangalie uwezo wangu kabla hazijafika.
NATAKA GARI AINA SUZUKI ESCUDO KILOMITA 100 HADI 130 CHINI YA MIL SITA MANUAL 0762522998/0784744002/0714529233
Bei gani hizo?
bei ni 7m kaka na punguzo lipo kidoogo utakavyo wahi mapema hii usikose mie nipo 0715364676 au 0767210628
Nashukuru nimekuelewa.
Najitahidi kujazia. Asante
Nikinunua naanza kutumia? Au kuna gharama zingine tofauti na hiyo bei?
habari, sorry naomba bei ya coaster toyota nzuri ya bei poa, naomba bei na picha yake. fa
habari, sorry naomba bei ya coaster toyota nzuri ya bei poa, naomba bei na picha yake. faraja.joram@yahoo.com
Kaka habari, nahitaji Suzuki Carry Truck, 660 cc kama unayo naomba kujua na bei, na ni ya mwaka gani na imetembea kilomita ngapi. Asante
Suzuki Carry naweza kukuuzia kwa 8.5mil ukiweka order
nahitaji gari subaru forester sh ngap ikiwa dar nitumie saivi
nahitaji toyota starlet kwa ml. 4 naweza kupata email yangu tlupembe2000@yahoo.com/my phone +255717421582
AINA YA GARI CANTER UKUBWA ENGEN 35,UREFU WA BODI FOOT 18 NI SHILINGI NGAPI HADI IFIKE TANZANIA BANDARI YA DAR ES SALAAM?
10m mpaka bandarini Dar es salaam
Naomba picha na bei za fuso fighter ulizonazo.
Naomba picha na bei za fuso fighter ulizonazo.paulojsph@gmail.com
kaka naomba kufahamu bei ya hoah au nadia kama unazo nadia isiwe d4, nataka bei ikiwa tayari kwa kutembea siyo tena mambo ya ushuru,
noah 10m na nadia bei moja
natafuta noa iliyo kwenye hali nzuri na bei yake. naomba tuwasiliane kwenye joazichaula@gmail.co
Naulizia bei ya suzuki swift ikiwa tayari dar es salaam na haijatumika
naomba mnipe bei toyota hilux
Naitaji gari lisilozidi 6milioni,na pia nauza chesa manual milio
4milion?
Gari nzuri. Nimeipenda. Kama nataka kuinunua process inakuwaje
Benzi nzuri. Nmezipenda. Kama nataka kununua process inakuwaje mpaka kupata.
Naomba namba yako ya simu na yangu ni 0755-461716
nahitaji gari ndogo ya matumizi binafsi, 4mil ipo tayari. email gango2012@gmail.com
Toyota Rav4 for sell 12mil in Dar
Automatic
Registration 1999
Five doors
4wd
Km 120000
Condition excellent
Call 0659197822
No negotiate
Toyota Rav4 for sell 9 mil
Registration 1998
Automatic
Excellent condition
5doors
0659197822
No negotiate
Starlet for sell 5mil
City: Dar es Salaam
Condition: used Year: 1998
Engine Capacity: 1300
Mileage: 165000
Auto or Manual?: Auto
0659197822
No negotiate
Suzuki KEI 2000 to your place at only 7.5m non-talkative
Landrover discovery v8 kwa 12milion tu
Km 125000
5doors
Automatic
Regstration 2013
Muonekano kama jipyaa
0659197822
naitaji corolla ae 111 na nina million nne
niko tanga naitaji corolla 111 ambayo ipo kwenye hali nzuri kabisa
corolla 111 nina manual imo Poa kabisa…..niches 2ongee 0717073710
hello bro, nahitaji stalet ndogo au duet, naomba unitajie price na pics plz, thanks in advance
ninayo Suzuki KEI ipo kama duet au starlet kwa kuwa na 660cc, turbo na 4wd kwa 7.5m tu
Hi peoples!! nahitaj noar new model ambayo haijatumika tz, bei ni tz sh ngapi nipo morogoro tz, namba yangu ni 0754997971
Mi naitaji gari ina ya verosa new model na bbeiei zake pamoja na picha
naitaj duet, au swift, au vitz kwayeyete alienayo iwe mpya au used isiwe 2000 below rang silver na bei isizid 6m tuwasiliane kwa 0786381070
I just saw your pages on Thursday. You have really opened my eyes to varying views on this topic with interesting and insightful content. Might you have any moreuseful hints? Might there be any well researched articles on this topic or any closely related subjects? I really love the type of writing. You might have just saved me a ton of work just now.
nahitaji Toyota Coaster, email yangu ni kijijini@ymail.com. Nieleze nitalipa sh. Dar es salaam
Hi
kaka nilikuwa nahitaji canter tipper mita 6 manual.zinapatikana na bei gan,na Nissan safari 3door engen model ya1998.
asanten nimewaona nina gari aina ya nissan patrol safari ya mwaka 1994 milango 5 iko poa bei 14ml phone 0712 222705
NATAKA KUINUNUA GAR ILIYO ONYESHWA HAPO JUU KTK PICHA NATAKA KUJUA BEI YAKE NI DOLA NGAPI
Nahitaji gar aina ya harier colour hiwe black na nahitaj kujua bei yake kwa pesa ya kitanzania nijibu kwa e-ma4l yangu “katembo.goodluck@yahoo.com”
naomba kujua gari ya bei ndogo kuliko zote mahana nilipo me hapaitaji gari ya galama please nijulishe ili niweze kupata usafili huo
utaweza kupata kwa million 4.5 gari amboyo bado ipo kwenye hali nzuri.
Naomba kutafutiwa Suzuki Jimmy watsap 0684100666
Naitaji gari la biashara yaani tx, iwe corona au mark 2 au inanyingine, nitapata kwa sh ngapi?
Nahitaji Toyota Premio au Carina Ti, naomba kujua bei zake.
NAUZA GARI LANGU AINA YA HONDA CRV NYEUSI NILIIGIZA MWENYEWE FROM JAPAN 2011 BUT BADO KAMA MPYA TU,ina AC, FIVE DOORS, MANUAL , na nimeshailipia kila kitu KWA 11 MILION tu. SABABU YA KUUZA NIMETUMIWA GARI NYINGINE TUWASILIANE 0659197822 FROM DARESSALAAM AFRICANA
napenda sana gari aina Range rover nataka kujua bei?
nauza corolla toyota limited imetumika Tanzania. hali nzuri 7M maelewano yapo
nahitaji gari aina ya RAV4 au suzuki escudo iliyotumika hapa Tz lakini iko kati hali nzuri budget yangu ni kat ya mil 3.5 mpaka 4 iwe milango 5 na iwe auto
Nimeongeza Budget yangu ni mpaka mil5 nataka RAV4 au Escudo milango 5 iliyotumika TZ lakini iwe katika hali nzuri hasa body yake rangi yoyote.
escudo ipo ila ni kwa mil6 kama utakua tyr tuwasiliane kwa namba 0657 309679(TINO)
Gari nzuri lakini mimi nata vx v8 spea tairi iwe iwe kwenye mlango wa nyuma sio chini malicki
I just could not go away your site before suggesting that I
extremely enjoyed the usual info a person provide in your visitors?
Is going to be again regularly to check out new posts
Mimi natafut pikipii mbiri kwa sh 2 Mr 6 rak
naweza kupata noah kwa 5ml mipe jibu
nauza gali mark 2 mil 4 colour ni white….automatic
Vp ulishaiuza au bado kama bado naomba nitumie picha
VP usha uza kama bado nipigie sm 0766816248 tuwasiliane
Natafuta Suzuki Swift Old Model Black, Mileage iwe chini ya 80,000
Bajeti yangu 7.5 Mil i will pay in Cash. Check me my email address fkiure@gmail.com.
Natafuta gari ya million 6 tafadhali naomba ushauri ni gari ipi nzuri na ambayo i can afford.
natafuta ist au vitz kwa bei nzuri na bageti yangu 5 to 6m
ninayo Vitz kwa 7m na Kei kwa 7m pia nipigie 0715364676 au 0767210628
IM BUYING THIS CAR
naulizia bei ya NOAH
Natafuta PASSO suzuki toka JP ni bei gani ???
natafuta rav4 ya 1998 hadi 2000 yenye hali nzuri, five door. ofa ni m. 8
Nimeipenda gari aina ya benz naitaji inataka beigani naomba mnijulishe.
nina benz c 200 nyeusi ninauza tuwasiliane 0718302270
nauza Rav 4 milango mitano iko kwenye hali nzuri nauza sababu nimenunua gari nyingine
i want to buy it how much and pictures please email.cashmeshack@yahoo.com
naomba picha na bei ya suzuki carry ikifika hadi dar
MR MHAIKI naomba picha ya CALINA CI NA bei yake.
naomba kujuwa kuhusu magari aina ya hamana garama zake
mimi naitwa jeremiah nahitaji gari aina yeyote ile yenye kufyonza mafuta kidogo kama starlet kwa bei ya m 2.5.kama kuna uwezekano nijulishe niko mwanza barua pepe sittajeremiah@yahoo.com nipe taarifa mapema zaidi
umeshapata gari? kama bado nitumie email kupitia agizamagari@yahoo.com
Nahitaji colora ya mil 5 kama ipo nipigie 0764969676 ila iwempya
nahitaji gari aina ya vits iwe katika hali nzuri ni sh ngapi
Nahitaji gari yoyote yenye kufyonza mafuta kidoga, nina 3ml wasiliana nami mass2011@hotmail.com
NATAFUTA GARI MODEL ESCUDO AU RAV 4J YAMWAKA 1999 AU 19998.BAJETIYANUGU 7.M
TUPENI NAMBA ZA CM
I m Selling Toyota Harrier 1998 Model Reg B Looking 17mil
Nahitaji Rav 4 milango 5 la mwaka 2005 na kuendelea niambie bei yake.email. elisante2012@yahoo.com
hellow hebu niangalizie kwenye mtandao wako bei za suzuki escudo 2000 au chini na funcargo 2000 hadi 2002, kama bei nitaimuda ntachukua yote au moja majibu kwa sms 0713079787
Dani .naulizia bei ya Noah super extra limited nijibu kwa sms
Naitaji gari gaia na R.4 milango 5 naomba bei
nahitaji gari aina ya carina
picture and prize me at my email.
cashmeshack@yahoo.com
5.5 milioni hadi 6.Nahitaji Carina Ti,Si au Corona premio hakikisha iwe nzuri.No 0713713497
Nauza TOYOTA SPACIO
Namba yangu ni 0714080007 nipo dar
Rangi: Blue
Uwezo wa injini:1580
Ina sport lims, lights ina TV yenye uwezo wa kuplay DVD, Flash, external hdd etc.
Lina Open roof
Lipo katika hali nzuri sana na limelipiwa kila kitu bei ya mwisho kabisa ni m.5.5 haishuki zaid ya hapo
hiyo gari bado unayo?
Kama spacio yako unayo tuwasiliane
Kwaiyo haipungui me naitaj nitumie pcha zake whatsp 0789926283
PROBOX
Naitaji toyota spacio bajet yangu 5m mwenye nayo anijulishe kwa email yangu pdsonda@gmail.com
mie nataka gari ndogo ya familia watu watano RAV 4 ya mwaka 2010
nina toyota rush nyeusi ya mwaka 2007, mileage 67,000kms tu. iko kwenye hali nzuri sana, imeingia nchini july 2013, ni ya watu 5 pia kama rav4. nichec 071370679
nichec kwenye 0713706799 au pngoda@yahoo.ca
nahitaji gari ndogo ya kutembelea bajeti yangu m3.5 iwe na hali nzuri
Nahitaji mitsubishi junior milango mitatu iwe na top carier, front guide,sport light,TV screen,DVDplayer. Good condition with low milage.Bei tafadhali.
Nahitaji Mitsubishi Junior milango Iwe na Top Carier,Front guide sport light, tv screen,DVD player(navigation systeam)Good condition and low millage.Beei tafadhali.-0766249113
Naomba picha na bei ya RAv4 new modal milango5 au toleo la 1999
Naomba kujua bei ya Toyota IST kuanzia 2004. Anna kutoka Tanzania
nina IST mpya ya 2004. ina alloy rims na accessories zote. 58000km tu. number yake CQR. imelipiwa kodi zote. wasiliana nami bei ni 11m. 0655668960
Nahitaji gari dogo aina ya vitz, spacio, au IST, popote pale. Bei iwe nzuri. Mi Niko Mwanza..Dada Renatta…
nina IST mpya ya 2004. ina alloy rims na accessories zote. 58000km tu. number yake CQR. imelipiwa kodi zote. wasiliana nami bei ni 11m. 0655668960
dada yangu mm nnayo ist nyeus y mwaka 2004.newmodel.ina siku nne ata namba bdo sijatia nasubir j tatu ndio naipatia namba.wasiliana n mm kwa no.0683.554584.
Toyota Spacio New Model ipo sports rim mwaka 2004 ipo vzr check me 0753 754189 Tuwasiliane Renata
Nahitaji kujua bei ya Canter ambayo imetumika miaka isiyopungua miaka miwili hapa Tz.
naweza kupata gari toyota ipsum, cc 1000-2000,iwe na 4WD nyeusi isiozidi miaka kumi tangu kutengenezwa
Nahitaji icarus – kumbakumba. lile lenye tela la kukata kama kiuno hivi. nijuze bei kwnza tafadhali.
Nataka kujua fuso tipper design zote pamoj na bei
nina fuso lorry ya 1997. in a very good conditions. only for office use. ina double chasis original. bei 40m.
call me 0655668960 tuongee
Can I get the cheapest car
nahitaji toyota ipsum ya mwaka 2009 nahtaji bei
mmarigodslove@yahoo.co
nina toyota rush nyeusi ya mwaka 2007, mileage 67,000kms tu. iko kwenye hali nzuri sana, imeingia nchini july 2013, bei 27m tu maongezi yapo. call 0713706799
Nahitaji spacio au Ipsum au IST bei isizidi 6m, iwe na good condition, mwenye nayo ani sms kwenye 0782690660. nipo Dar
Nahitaji gari la kisasa
GAR
naitaji gari la thamani
nahtaji gari ya bei ndogo isyozd ml 3 namba yangu n 0755335731
Starlet inahitajika.. offer price tshs 3.5M
starlet ipo kama bado hujapata tuwasiliane namba zangu ni 0657309679
Natafuta Rav4 five Doors(4wD)1998-200 …offer ni Mil.5 lakini ikiwa zaidi nitaomba nilipe kwa awamu mbili (80% then 20%).
habar,nataka gari na bei zake,mark gx110,alteza,nadia pamoja na spacio,asante
kama bado unaitaji gari nicheki kwenye 0716-369299
Nahitaji p/up Land rover 109-Nissan-Toyota – long base/Single cabin ! price 4 mil ! 0757487611
Hbari za kazi, je! Toyota Stalet zinauzwa bei gani? na je, gharama za kusafirisha hadi Dar zikoje? Na je, ikifika Dar inalipiwa tena ushuru au?
Habari za kazi. Je Toyota Stalet zinauzwaje huko Zanzbar? Na je, gharama za kuisafirisha hadi Dar ikoje? Na kuna ushuru wowote gari ikifika huku Dar? Nisaidie tafadhali. Mimi ni Filbert. E-mail yangu ni: felkitz@yahoo.com
NATAKA CARINA TI NINAMILION SITA
Nauza suzuki swift mpya bei ni 7.5m kwa anayehitaji tuwasiliane kupitia namba 0657 309679 au barua pepe “augustinojohanes100@yahoo.com
suzuki escudo ya mwaka 1996,engine capacity:1990,city capacitor 5,colour ni blue silver,imported from Japan inapatikana kwa TSH 7.5mil.Atakayehitaji anitafute kwa namba 0657 309679 au kwa e-mail “augustinojohanes100@yahoo.com”
mak2 gx 110 itanikosti ngapi
Nina hitaji gar aina ya prado 4piston ya petrol nyeupe shling ?
BEI magari ya mzigo
rav4 ipo kama bado hujapata nipigie kwenye 0765057976 tuongee
Natafuta RV4 nina ml 4 je naweza kupata ambayo imetumika lkn bado ina hali nzuri
suzuki escudo used inapatikana kwa mil 6,tuwasiliane kwa 0657 309679(negotiable)
NATAFATA GARI YA KUNUNUA AINA HAIC MWENYE NAYO AWEKE KWENYE MTANDO NIONE AMBATANISHE PAMOJA NA BEI YAKE.
Nichek kwenye dc email edwinemonyo@gmai.com thn nikutumie pcha kwnye watsup
Nichek kwenye dc email edwinemonyo@gmail.com thn nikutumie pcha kwnye watsup
nahitaj Noah,, hiace,TOYOTA hillux ziwe made kuanzia 2000-2007. ikiwa mpya poa na used isiwe saana,, nitumie 3D pictures kwa nampapatasalumu@gmail.com
nahtajt kujua bei ya gar iliyotumika BMW kwa shilingi sio dola
BMW ipo km unahitaji nicheck kwny augustinojohanes100@yahoo.com
ninauza premio no ya sim 0715760010
gari kama hilo shingap likifika dar es salam
Ukweli gali ya pili nzuli
Tungwe says
Mwenye LandRover 110 P/up iliyotumika kidogo bei isizidi 4m
natafuta toyota noah iliyotumika kidogo, tuwasiliane 0755250528 Mahmoud kutoka kahama
Napenda kujuwa bei za gari Prado
mambo vp,naomba kujua bei ya carina ti silver na je hizo gharama ni kila kitu au.thanks in advance ma email deezle23@yahoo.com
Magari ni mazuri na bei ni nzuri
Ila nashauri muweke gari aina mbalimbali!!
Naitwa sunday Moshi wa Tanzania ninahtaji gar prado 4slida petrol milango mitano
Ndgu prado ninayo kama uko sirias nichek kwa no 0713979798
A BIG hello from Delaware! Try to make the guest write up as great as possible by promoting and dropping links. Our mind is not designed to create happiness, as much as we might wish it were so. Your website is so awesome that my ears starts bleeding when I read it. This has been such a really great experience!
I’ve been really distracted, to say the least, by all of these reminders. Thank you for sharing this interesting website with us. What is the secret formula for creating a happy life? You’ve really changed my way of thinking on more than a few topics that I’ve believed were true for most of my adult life. Their short, simple Youtube videos have turned her into one of the top influencers online.
samahan ndugu nahtaj noah new model nitumie picha na bei zake kk.junior@yahoo.com
naomba kutumiwa bei ya noah kwa sasa bei gani.
HI KAKA NINA HITAJI OPAR AU CARINA AU PRIMIO IWE KWENYE HALI NZURI BEI ISIZIDI MILION 5
Niko na opa no a cheki kwa dc no nikitumie picha kwa watsup 0713979798
naomba picha zaid za Hii gar na bei yake in tsh amanimmary1@gmail
.com
naitaji gari ya kutembelea bi isizidi m4
Naomba kama naweza pasta Suzuki jimny na ni being gani naomba pics na bei kupitia watsap 0684100666
Naitaji fuso fihter engene 3t gearbox kubwa naweza kuipata nipe na bei mpaka inafika dar
Naitaji fuso engene 3t geabox kubwa nitajie na bei mpaka dar isiwe mayai
habari?nahitaji kufahamu bei ya noah new modal,0787461797
naomba bei ya gari aina ya SUZUKI
BEI
Habari, nahitaji gari aina ya rav 4 milango 5 silver. 1996-1999
nipe bei 0753454542
i like scania
nadhani watu pia wangekuwa wanatupa pcha ya gazi wanazouza ingekuwa vizuri zaidi
natafuta cresta gx 100 vvti mostly bt hata 1g kama ipo safi ntachukua 4.5-6.0 million iliyo kataka khali nzuri sana 0752092886
kaka naomba kujua bei ya virosa nipo msumbiji
NATAFUTA GARI TOYOTA LAND CLUSER, BEI M3
Bro nitafutie kagari ka M3.5
mkuu nataka gari aina ya suzuki escdo yenye muundo wa kama mdern mpya ya rava 4
nataka gari lenye muundo wa suzuki escudo iwe black in colur muundo kama rava 4 morden for more informatino contact 0763283562
c
OK GARI NIMEZIKUBALI ZIKO POA, NATAKA KUJUA BEI ZA RAV 4 AINA ZOTE.
Nahitaji gari aina ya smart forfour je spea zake naweza kuzipata au zinaingiliana na gari gani
contact mamjohce@yahoo.com
I am sure a lot of people don’t believe this information but I can assure people reading this blog that what’s written here is absolutely correct. Other then that, awesome article! This stuff is awesome. The people who you love are really lucky to have you in their lives. But I sometimes miss the old days.
NAHITAJI GARI YA GHARAMA NAFUU.AINA YA BMW
nahitaji coaster 1hz engine na hiace 5l engine
mwanasendelema, ninayo Nissan Caravan 2005 kama Hiace nipe email nikutumie picha
natafuta used Toyota Hilux flatbody, ambayo haijatembea sana
toyota hilux inapatikana hapa http://www.magaribeipoa.net/413171015
natafuta scooter honda mwenye nayo anicheki kwa [samberjr@yahoo.com] au whatsapp 0719933377
ikiwa.imeisha.ripiwanaushuru.nishiringi.ngapi
kaka naomba bei ya vitz 2005.toyota sienta,nissan note na mazda demio nahitaji kununua moja kati ya hizo mwezi july
mi askari magereza naitaji vits au atalet au corola used but
iwe safi na inatembea.Nina millioni tatu kamili tuwasiliane whatsaap 0713 080708
nataka kujua gari aina ya isuzu inayo tumia petrol na inayobeba mizigo midogomidogo
.
mambo vipi kaka naomba unitumie bei ya AUDI A4 na kama unazo niambie
Shilingi Ngapi
natafuta toyota speciol kwa 6m,rangi silver,nipe jibu kupitia email
TOYOTA RAV4 YA KUANZIA 1998 HADI 2000
NAHITAJI BEI YAKE ITAKUWA NGAPI NATAKA ILIYOLIPIWA KILA KITU
kuna gx 110 in adaiwa motor vehicle ya mwaka 2000 na ukubwa wa ingineni cc 1999
HATA TOYOTA HIACE SUPER ROOF DIESEL NAYO KAMA IPO NIFAHAMISHE BEI NA MWAKA
gx 110 kwa 6.5 milion usedat kinondoni fast buyer is needed
gx 110 for the lower price at 6.5 milion at kinondoni dar es salaam fast buyer is needed you can call me with this no 0712851975 or 0766092535
Hellow, nahitaji Toyota Rava 4 new model ya kati ya 2007 na 2010 milango mitano, bajeti yangu ni milioni 18 nitapata? advice me also
Blessing bado unahitaji Rav4 new model? Jisajili http://goo.gl/g8vNqt upate gari zuri
Nauza silver Mitsubish Space Wagon. Ipo kwenye condition nzuri. Kwa anayehitaji tuwasiliane kupitia email (hemedomary44@gmail.com) ili nikutumie picha, bei yake 7.5 million.
nahitaji pikipiki baja 250 xlr nichek 0658 795500
nahtaj noah,toyota hillux ,,0786502012
nimeona Benz tu nataka Suzuki carry
Valeria jisajili http://goo.gl/g8vNqt watakusaidia kutafuta suzuki carry
nahitaji collora limited mwenye nayo anitafute
nahitaji corolla limited ambayo ipo oda mwenye nayo anitafute whats 0758559358
Jisajili http://goo.gl/g8vNqt watakusaidia kutafuta
Natafuta noah
nataka gari Noah
Jisajili http://goo.gl/g8vNqt pia watakusaidia kutafuta
Toyota pro box 2007 being gani nijulishe Niko dar
nahitaji noah old model,rangi nyeusi,kilomita zisizid mia moja,niipokelee dar es salaam ikiwa imeshatolewa bandarin, naomba bei tafadhal pamoja na picha.
NAHITAJI GARI AINA YA TOYOTA HILUX D-4D TOLEO LA MWAKA JANA USED N TSHS NGAPI NA JIPYA N BEI GANI?
Nauza Gari yangu CHASER BALLOON GX90
Toyota CHASER BALLOON, GX90, Rangi NYEUSI, CC1990, SIX CYLINDER
7,000,000/-
Gari ipo katika hali nzuri sana, Tairi zote mpya, Motor Vehicle na Bima hadi 2015, Engine ukiiendesha itakupa majibu yenyewe, Haitumii mafuta mengi.
Naiuza ili niongezee pesa ninunue HIACE.
Iringa au Dar-es-salaam
Abubakkar
0783-761777, 0753-493089
ajseico2000@hotmail.com
I’m selling a Mini Mitsubishi (manual transmission), it looks like a range rover on the outset
The car is new and it is in very excellent condition. Has a road license valid until 21/07/2015, comprehensive insurance valid until 23/07/2015.
Engine size 650cc very economical interms of fuel consumption, Turbo, 4WD, A/C, Air Bag, Power Steering, Power Window, Back Tire.
price is 9000000
call me 0659281681 and I will send you the pictures, or visit
https://tz.mitikaz.com/nizol1/public/nick
Nataka kununua gari mpya kutoka Japan au America. Gari la biashara aina ya Isuzu pickup 4×4 single cabin au Toyota pickup. Bei zake zikoje hadi kufika dar? Naweza kupata kwa 8m? my email is kasyomejustin@mail.com
mh! ndugu yangu kutoka America nawasiwasi but Japan maybe japo kwa bei hiyo linaweza kuwa halina hali nzuri. Maana hiyo yaweza kuwa gharama ya manunuzi Japan (FOB)
Habari nahitaji gari aina ya suzuki escudo, ikiwa katika hali nzuri au Vits nina 4ml. Pia kuna ndugu yangu anahitaji engine ya canter 33 four corner kama utakuwa na sehemu yenye uhakika mpaka kutoa guarantee.
Jisajili pia http://goo.gl/g8vNqt kwa msaada zaidi
Nahitaj altezza 4 cylnder vvt-i rangi ya silva
Mambo? kama hujapata hiyo Altezza tuwasiliane magaripoa@gmail.com
sorry! email ni magaribeipoa@gmail.com
habari, natafuta kadi ya nadia ya namba c, kama kuna mtu ana gari imepata ajali haifai aniuzie, gari yangu haina kadi, nilinunua tukiwa shared na baba watoto wangu na tulivyotengana akaitaifisha.
email me on conrym.conrym@gmail.com
Ukitaka gari nzuri be poa tembelea
http://goo.gl/g8vNqt
Naitaji gar kati Allex au ST plz nijulishe naweza kupataje.tumia email
townace truck bei gani?
Mitsubishi pajero inauzwa. Mil. 8
Call 0789627466
Mm mwanafunzi nataka gari ndogo tu ya bei nzur so kwa muuza magari yyte mwenye gari ndogo nzur anichek 0713415806
kwa wanaohitaji magari kutoka japan kama fuso,coaster,canter,landcruiser,prado na nyengine zote mimi ninaagizia moja kwa moja kutoka japan.
je naweza pata gari ndogo ya kutembelea bei 4m
kwa magari ya bei poa tembelea http://goo.gl/g8vNqt
Magari poa, bei poa! RAV4 Shs 8.2m, SUZUKI SWIFT 4.65m, Mitsubish Pajero Shs 6.5m, Nissan Safari 13.5m, Toyota NADIA Shs 8m
Tembelea http://goo.gl/g8vNqt
Je naweza kupata PREMIO au pkup au RAV4 5D ambayo bado nzuri kwa bei isiyozidi ml 5.jb mouricejohn4@gmail.com
Toyota Verossa ya mwaka 2001 na Toyota JZX100 zinauzwa bei poa.
Nenda http://www.mybizbase.com/magariyanauzwa.html
FOR SALE/EXCHANGES WITH VIRTZ
MAKE: TOYOTA NADIA
YEAR: 1999
MODEL: TOYOTA NADIA
MODEL NO: GF-SXM10
TYPE: 5 Doors
ENGINE CAPACITY: 1998CC
MILEAGE: 140,500 kms
COLOUR – Red (Very clean)
REGISTRATION NO: T—ASQ
PRICE: 5.8ML
Call: 0682 134 488
naomba bei ya noah town hice 2009
Nahitaji gari aina ya passo ni sh ngapi
nina Passo, niandikie email magaribeipoa@gmail.com upate picha na bei zake.
Vipi umeisha pata hiyo gari unalo hitaji?
passo zipo milion 6 mpaka 8 nitext watsapp 0655766446
Tunawaomba mtuweke age beizenu
nishidaaaa
nilikuwa nataka gali ain ya kosta mayai naitwa mr.pancho ningeomba picha kwanz nabei pia
Nataka gari aina ya noah ya kisasa toleo jipya la mwisho mm nipo Zanzibar. Naomba unitumie picha zake sasa hivi kwenye email yangu na bei zake
Natafuta gari la kununua la kutembelea aina ya benzi
habari? nina 4.5 m nahitaji gari ndogo ya kutembelea, iwe katika hali nzuri….. vitz or swift is more preferably. email yangu ni rosepeters42@yahoo.com
Tafadhali naweza kupata Toyota Mark II Grande 110 kwa Tsh Ngapi?
Email binswedi@gmail.com.
nahitaji vitz ambayo imetumika ya 2005 mwaka! amvayo ipo kwenye hali nzuri, ni tsh ngapi? tuwasiliane kwa namba 0766589969.
hiyo benZ nimeiona je waweza nisaidia bei yake ikiwa dar es salaam
jaman naweza pata picha za hiyo suzuki swift inayouzwa 4.65 m?…. nahitaji kuiona please and add me more info abt that car via my email
suzuki swift ya 4.65m imeshanunuliwa hata haikukaa baada ya kutangazwa! ipo nyingine kwa 5.5m ambayo ni nzuri na ni bei poa kwa gari ya aina hii! niandikie mail magaribeipoa@gmail.com nikutumie picha. thanks!
kuna gari nauza Corolla DX (mchomoko) ya 1998,iko poa na katika hali nzuri,kwa yeyote atakayehitaji tuwasiliane kupitia email.yuskeb.yk@gmail.com
hallow naomab mnipatiee bei ya toyota harrier tafadhari!!!?
Bei Poa! Toyota Rav4, Suzuki Swift, Suzuki Vitara, Lexus RX300
kwa melezo zaidi tuandikie magaribeipoa@gmail.com au piga simu 0655766446
kwa magari tembelea https://www.facebook.com/Magaribeipoa
I wanna like to know the saray in Tsh
Whow much do you sell it?
nahitaji gari yoyote isizidi 3 millions.nipo arusha.
For Sale: 2003 Toyota Duet Shs 5,500,000/=(not negotiable!) registration CVJ
Click link for pictures http://www.magaribeipoa.net/412782135
or cantact me through 0655766445 for more details regarding the Toyota Duet
SORRY ABOVE PHONE NUMBER IS INCORRECT!
IT’S 0655766446
Toyota MarkII GX110 zianuzwa, gari mbili usajili ni namba D na moja usajili namba B. Bei ni Shs 11,000,000/=; Shs 13,500,000/= na Shs 7,700,000/=!
Gari zipo vizuri sana call me 0655766446 kwa mawasiliano zaidi. Ni rahisi kwangu kutuma picha kwa email au facebook (https://www.facebook.com/Magaribeipoa)
gali ninzuli sana nimeipe sana ,nitumieni bei za gali zenu
Yesaya tafadhari tembelea http://www.magaribeipoa.net/ utaona magari yote na bei zake.
Toyota Landcruiser Prado inauzwa bei poa! tazama picha na maelezo hapa http://www.magaribeipoa.net/413316269
nahitaji noah extra limo ni bei gani? na escudo milango 5 nipe bei na rav 4 toleo la kwanza nipe bei
nataka Toyota Prado.yamwaka 2000.nitumie bei zake na Picha kwa emaili hiyo
Hiyo ni zuri inauzwa shingap?
natafuta gari aina ya Spacio au IST used. +255659481201 Dar Es Salaam
natafuta gari toyota spacio au Ist used nzuri namba yangu ni 0783434048
ukitaka usipitwe na magari ya bei poa jisajili hapa http://magaribeipoa_0.gr8.com/
kuona picha na bei ya Toyota Noah bofya hapa http://www.magaribeipoa.net/412671993 (wasiliana nasi maelewano yapo)
ntafuta gari aina ya suzuki kei kwa m4
ya mwaka 2000
kama ipo tuwasiliane through my email: lmjames@acaciamining.com
Nataka kujua bei halisi ya gari ya kutembelea kamq tax nk.
nahitaji kujua bei ya toyota spacio ikifika Tanzania ni sh.ngap.pliz nandkie kwene email yangu
nahitaji gali aina ya toyota Vitz ya 2002, ni sh.ngapi hadi hapa Tanzania mi kuipata?
nauza gari toyota mark 11 (baloon) bei million 4 iko katika hali nzuri tuwasiliane 0713224913
nauza gari aina ya Toyota alteza ipo vizuri bei ni milioni 8 ataehitaji nitafute kwenye 0786043003
naomba kuiona start Amazon kutota bukoba
magari ya bei nafuu yapo https://www.facebook.com/Magaribeipoa
album ya magari http://goo.gl/XdovyZ
nauza Toyota Noah model 1998 na Nissan Safari short chasis model 1990 bei nafuu! nipigie au watsapp 0655766446 upate picha
beigani
Noah Tshs 8,500,000/= Nissan Safari Tshs 11,500,000/=
Hi!nahitaji gari toyota faturner ni shilingi ngapi?
Toyota Fortuner nzuri ipo, nipigie/watsapp 0655766446 upate picha na maelezo zaidi
nataka kujua bei ya gari aina ya Raum new model kiasigani na Spacio new modal kiasigani tuwasiane kwa Email tumu1@hotmail.com
Nissan March nzuri inauzwa Tshs 5.7m, maongezi yapo! Gari ya mwaka 2003
kuona picha bofya http://www.magaribeipoa.net/414667960
FOR SALE: 2003 Toyota Wish (TRD specs)
>Petrol,1800CC, 78,000KM, Automatic, Tshs 11,500,000/=
> very good condition! for more details call/watsapp 0655766446
to see pictures visit https://www.facebook.com/Magaribeipoa
BMW nilikuwa natajkaa ambayo ni automatc PF&DENIS…FROM..TZD
O
Natafta mart x mpya namb 0657182412
Natafuta trela na jembe disc tano kwa ajiliya trekta Ford 7500 six cylinder. Pliz tuwasiliane kwa moddyguyz@yahoo.com au 0787519910
jisajili uwe wa kwanza kupata taarifa za magari ya bei poa!
jaza fomu hapa http://www.magaribeipoa.net/412640928
kwema ndugu nahitaji suzuki carry au escodo ya bei poa tuma email yangu
kwema ndugu nahitaji suzuki carry au escodo ya bei poa tuma email yangu nitapata 4mil nijulishe
kwa sasa ipo rav4 kwa 4.5mil, piga simu/watsapp 0655766446 upate picha
Nahitaji engine ya canter 33 filter moja ya nje mayai
DISCOUNT! 2004 Toyota Brevis kwa Tshs 6,500,000/= tu (hii ni kwa muda maalum, inaweza kuondolewa wakati wowote).
Unaweza kutazama picha za gari hili hapa: http://www.magaribeipoa.net/413541505
au piga simu/watsapp 0655766446
gari hili limeshauzwa!
natafuta premio d4 offa yangu ni kati ya 3.5 na 4 kamili 0759445664
Nataka Noah yenye muundo wa vox
Na bei yke. Watsap 0754090278. Nipo serious
natafuta gari toyot
Criss toyota zipo nyingi, taja aina ipi
toyota cresta gx 100 one G kavu
jipatie taarifa za magari ya bei poa BURE hapa http://goo.gl/nLi2CX
nimeona gari zenu naitaji noah au i s t nabei naomba
niandikie watsapp 0655766446 upate picha na bei zake
Surf Toyota for sale 13m
nataka kunua gali ila labei lahis
niandikie watsapp 0655766446 nikutumie picha na bei za magari
magali aina mlango mmoja shingapi
Nahitaji gari ya kutembelea aina ya rv4 naomba bei ya mpya na ya iliyotembea.
Nahitaji gari ya kutembelea aina ya rv4 naomba bei ya mpya na ya iliyotembea.
ist
magari yanauzwa Tsh ngapi
Nagari nimeyaona ila nivzr ukanindikia kwa being za kitnzania maana hizo zinanichanganya naitaji benzi au Prado au nipate aina kama 20 kwa bei tofauti tofauti
ukitaka kujua magari yanayouzwa kwa bei nafuu jisajili hapa http://goo.gl/nLi2CX
naomba kujua being ya stalet au vitz in shilingi ngapi
kuna vitz manual safi namba B kwa milioni 4.7, nicheck watsapp 0655766446
Now I feel stupid. I shared this on Blog.
nahitaji gari ndogo aina ya carrina kwa bei ya sh milioni tano rangi ya silva au nyeusi je naweza kupata naomba nitumie kwenye whatsaap namba 0784059259
Magari ni mazuri bei ndio cjaona
Kiongozi nina Suzuki Escudo 5DR ipo safi kwa aliye serious
anicheki fb Ajent Mtoto2015
TOYOTA VITZ INAUZWA 5,000,000. iPO KATIKA HALI NZURI SANA. SANA, RANGI YA SILVER. MAWASILIANO: 0658 123 689
husu hiyo Gari sina swali ningependa kuuliza bei tuu
Natafuta gari harya ml 5 nyeusi nitapata?
Hi there!
Naitaji Gari ya kununua Good Condition Carina Ti Bei kati ya Million 3 mpaka 5 lakini iwe katika hali nzuli. My Cell Number +255718919879 or Email khalfanmohamed@gmail.com. Shukran
pata taarifa za magari ya bei poa hapa http://www.magaribeipoa.net/412640928
Nataka escudo
Nahitaji gari aina ya canter kabla ya mwezi wa 9 kwa anayeuza awasiliane nami kwa namba 0763531814
natakagar lexus rm 300 milango 2 nitumie picha 3 zikionyesha mbele,ubavuni na nyuma pia nijue behi ikiwa dare salama
me nahitaji kujua bei ya noah automatic na picha zake
nataka canter ton 3 being gan
Habari zenu naomba kujua bei ya probox na nohar
Probox ipo namba D kwa milioni 9.5
like page https://www.facebook.com/Magaribeipoa usipitwe na gari za bei poa
1999 Toyota Carina Si
engine: 1760 CC; 73,000KM; Automatic; Registration DCM
Price: Tshs 8,000,000/= bofya hapa chini kuona picha👇🏿
natafuta engine ya Toyota dyna used t3 nijibu kwenye e-mail yangu being name picha
gari aina ya range volvo shiling ngapi
RR how much
Jisajili hapa kupata taarifa za magari ya bei nafuu ==>http://www.magaribeipoa.net/412640928
Naomba nisaidie hiyo lasso kwa mil. 5.5 naihitaji nijulishe steps to follow
Naomba nisaidie hiyo passo kwa mil. 5.5 naihitaji nijulishe steps to follow
Naomba bei ya spasho mpya ikifika Dsm
Nahitaji gari ya kukodi je,nitapata?
nahitaji gari aina ya toyota harrie na bei yake
zipo harrier za milioni 15.5 mpaka 14.5 zote four cylinder usajili namba C
Nahitaji Toyota Rav 4 ya mwaka 1998 or 1999…
nitapata incubtor control (thermostat, humidity control nk. all in one) kwa Dar es salaam?
Toyota Noah ya bei poa ona picha hapa==>http://www.magaribeipoa.net/412623981/3088784/posting/toyota-noah-inauzwa
ntapat dyna namilioni sira
Inauzwa Toyota Funcargo kwa Tshs 6,500,000/=. Picha za gari hili unaweza kuziona hapa https://www.facebook.com/Magaribeipoa/photos/pcb.1006061026113285/1006060442780010/?type=3&theater
Natafuta gari aina ya toyota Raum, Spacio au IST, registration D au C nina tsh 6.5m. Tuwasiliane 0766219268
tuwasiliane 0655766446
Hello
Picha na bei
Nataka Prado two Ya MIL 15 iliyotumika
Hurumia fedha yako,
Kwa hio sio rahisi kupata, na hata ukipata watakuuzia bovu ambalo utatumiakwa kipindi kifupi sana.
JAMANI NA MILIONI 4 NAWEZA KUPATA VITZ DAR ES SALAAM
nicheck whatsapp 0655766446 kuna vitz nzuri kwa Tshs 4.5m
https://www.facebook.com/Magaribeipoa/photos_stream
Nahitaji canter Mitsubishi tan 3.5 ambayo imetumika kidogo bongo itakuwa bei gani
toyota ist inauzwa shngp
This is just what I was searching for. Your work is so mind blowing that my eyes bleeds when I look at it. I am bored to death at work so I decided to browse your blog on my iphone during lunch break. This stuff is great.
Bei zenu ni nzuri nataka gari aina ya Noah ni bei gani???
Asante
Noah angalia hapa http://www.magaribeipoa.net/413541505
NAITAJI TOYOTA CANTAR TANI 2 HADI 3 BEI GANI? NIPO DAR
gari za bei poa check hapa https://www.facebook.com/Magaribeipoa
nataka rover4old model milango mitano Toledo kuanzia mwaka 2000nitajie bei
Naitaji youthong bus abiria 60 nipe bei shilingi ngapi hapa bongo
yapo ya milioni 190
Toyota Vitz inauzwa kwa Tshs 4,700,000/= tu! Kama ni gari ambayo ungependa kununua ni vema kufanya mawasiliano ya haraka. Picha zake zipo hapa
https://drive.google.com/folderview?id=0B8WUpL9OfpV7Z0NqRjVBZGZKTEU&usp=sharing&tid=0B8WUpL9OfpV7c1NwSW83MG00WEE
Nahitaj SUBARU FOTESTER mpya nipatie bei.tumia email yangu.emmanuelamin62@gmail.com
ntumie picha za Hiuo Subaru na bei yake
I need a car like opa
Nahitaj passo new model na bei zake
BEI GANI
nimeyapenda matangazo yenu
nataka gari nauliza office za be forward mwanza zipo sehemu gani? nielekeze kwa mail emalisa@stamigold.co.tz
nauza toyota hailax 4wd pikp ml 6 ipo mbeya inahitaji marekebisho kidogo ila inatembea
Nahitaji suzuki escudo 2005 na kuendelea au rav4 pia kuanzia 2005 nipo singida nijulishekwa email yangu gerwin.mniko@gmail.com
usipitwe na magari ya bei nafuu! Download na uiweke Magari Bei Poa App katika kifaa/simu yako ya Android
https://play.google.com/store/apps/details?id=com.wMagariBeiPoa
Nissan murano ni sh ngapi?
NAHITAJI GARI HHI
Muna patikana wap
Nahitaji gari old model kama forfour na bei yake bila kujali
mi nataka kuwa agent nipo Tanzania mbeya
Nauza Nissan daladala IPO njiani 8.5m nicheki 0626744668
Nahitaji Toyota Forester ya mwaka 2000 au 2001 Manual isiyo being ya juu sana CIF ngapi
Ninahitaji gari, pick up. Bei isizidi Tshs 2.5m
Ombeni Mponji
0755854277
kwa mahitaji yote ya gari jipya au lilitoyumika @brsolutionstz.com .pia kwa wale wote wanaotaka kupost magari yao yanayouzwa kwenye website yetu wasiliana nasi 0754308178
tafuta hirux picurp for by for ya sh 600000 double cabin
Natafuta gari ndogo aina ya suzuki jimy /swift /toyota vits iliyotumika kidogo hapa Tz na nzuri bei iwe 5.5 ml
Natafuta gari Nissan Xtrail, kuanzia number C had current, hapa TZ yenye bei ya 8Ml
nauza gari GX 100 MODEL YA 1998 IMETEMEA KM 116500 BEI TSH 5,500,000/= KWA MAWASILIANO PIGA 0715 676451
Mary john Mimi ninataka kununua GARI aina ya raum ya bei poa Ya used je bei gani
Natakaverosaa yenye kilomita Chini ya elfu ishirini je ni bei gani hadi dar?
I want Toyota Noah sr 40 or 5
Naomba kujua being ya Toyota premio ya 2005 used
Bahati
nahitaji suzuki eskudo ni bei gan
Mambo niaje mkumbwa mm naitaji fuso tipa ilanataka nijuwe bei ni shilingi
Nataka gar centa tani mbili na nusu nitapata kweli nitumi pich WhatsApp namba yangu 0769441873
Ninahitaji gari aina ya hiace ya kubebea vyakula. Je nitapata kwa bei gani? na kama inawezekana kulipia kidogo kidogo nifahamishe please..
Naitaji gari aina ya Suzuki every offer yangu 6m
..kama naweza pata nitumie picha za gari husika katika watsap 0714230064
pia zipo gari hapa http://www.magaribeipoa.net
nahitaji gari ndogo ndogo ambayo bado ipo vizuli isiyozidi milioni mbili iwe new moderi
KUNA SUZUKI SWIFT INAUZWA MILION 3 NET, INA VIBALI FULL,AC,MUSIC SYEM NZURI, BLACK, namba B
INAHITAJI GEAR BOX MPYA, ANAEHITAJI ANICHEK
0718899459
Magnificent website. A lot of helpful info here. I am sending it to several pals ans also sharing in delicious. And of course, thanks to your effort!
Thank you for this post, I found it to be very encouraging. What a highly descriptive and well written article. Your blog is always mentioned when I talk with people about this topic. Your blogs make me think a lot. You are an outstanding story teller. My boyfriend told me they might want to be a paid expert in this field some day.
nahitaji bodi ya Gari aina ya toyota carina si
nahitaji rav 4 ya mill. 7
Toyota Voltz mwaka kuanzia 2001 hadi 2005 bei gani?
naweza kupata gar ya milion 2 iliyo tumika
check http://www.magaribeipoa.net
nahitaji gari aina ya rav4 nina million nane
I want you to thank for the time of this amazing study!
Nahtaj gari aina ya hizi Toyota rav4,au Nadia
https: //www.facebook.com/Magaribeipoa
natafuta gari aina ya carina ti yenye thamani ya milion 4.5
Mimi ni Mzanzibari nipo nnje inawezekana tukashusha freezer bei poa na washing machine hapo Zanzibar ndani ya September mzigo wote unafanya kazi mashine mpya zina mwaka na miezi kutumika bei kuanzia 450000,550000 na 600000.
Na washing machine pia ni bei poa karibuni mpya zote zinafanya kz kuanzia 350000, 450000 na 500000.
Magari ya gharama yapo lkn msukani kushoto.
Uliza Honda awe mteja wa uhakika akiagizia kitu na baiskeli.
Hi there! This is my first visit to your blog! We are a team of volunteers and starting a new project in a community in the same niche. Your blog provided us beneficial information to work on. You have done a outstanding job!
KWELI JAMANI MAISHA NI DUNIA BILA DUNIA TUSINGEISHI GARI KAMA HII MI NITANUNUA TU
Nahitaji pick-up ,mitsubish double cabin, ni bei gani?
Nahutaji kujua bei ya RAUM, naona no gari nzuri
Bei ya Noah mpya
Naomba kuuliza bei ya probox., manual & automatic
Kwa gharama ya chini ni shingapi
Naweza pata corolla 111