Magari Yanauzwa

MERCEDES BENZ E200

Price: 6500 USD CIF Dar Es Salaam

Model Name: MERCEDES BENZ E200 AUTO

Registration Number: SJL3190H

Chassis Number: WDB2100352B158487

Year Manufactured: 2000

Engine Number: 11194212083681

Engine Capacity: 1998

Engine Type: Petrol

Registration Date (dd/mm/yyyy): 16/08/2000

Transmission: Auto

Color: SILVER

Features: Leather Seats, Electrical Seats, Twin Airbag, ABS, Aircon, Centre Lock, Power Window, Power Steering, Multi Function Steering Wheel, CD Changer, Metallic Paint, Radio / Cassette Player, Heater, Power Mirror, Alloy Rims

Inachukua siku 30 kusafirisha gari toka Singapore hadi Dar Es Salaam.

NB: Bei hiyo ni pamoja na Usafiri na Inspection

Gari zinasafirishwa kwenye Container.

Wasiliana nami kwa piusmicky@yahoo.co.uk or +60176452510

 

MERCEDES BENZ CLK320 COUPE AVANTGARDE (SUNROOF) USD 15,000 CIF DAR

Model Name: MERCEDES BENZ CLK320 COUPE AVANTGARDE (SUNROOF)

Registration Number: SFS736P

Chassis Number: WDB2093652F078392

Year Manufactured: 2003

Engine Number: 11295531628422

Engine Capacity: 3199

Engine Type: Petrol

Registration Date (dd/mm/yyyy): 21/10/2003

Transmission: Auto

Color: SILVER

Features: Leather Seats, Electrical Seats, Twin Airbag, ABS, Aircon, Centre Lock, Power Window, Power Steering, Multi Function Steering Wheel, CD Changer, Metallic Paint, Radio / Cassette Player, Heater, Power Mirror, Alloy Rims, Crystal Light, Sun Roof

692 Responses to Magari Yanauzwa

  1. HELLO NIMEONA TU BENZ LAKIN NILITAKA LANGE ROVER MANUAL AMA BENZ MANUAL SASA NAHITAJI SN KUJUA NA BEI ZAKE PIA
    AKSANTE
    ALICOM KUTOKA TANZANIA

  2. Neene says:

    Gari ni safi na nimeipenda ila uwezo wa kuinunua wala kuitunza ni tatizo.

    Nahitaji Lav4 ya milango mitatu – manual.

    Naomba bei ikiwa Dar es Salaam tafadhali.

    Kazi njema.

  3. piusmickys says:

    Nipe Email yako au nitumie kwa piusmicky@ahoo.co.uk nitakutumia

  4. Moses says:

    The car E200 looks superb sema natafuta kitu kama wizard isuzu hivi au 4wd bei ilotulia kidogo. mambo ya financial crisis mzee yanatuweka pabaya.

  5. gabriel says:

    nahitaji toyota dable coster nitumie bei na picha kwenye kikerero@yahoo.com

  6. dikson says:

    sasa tunashindwa na barabara zetu,mafuta yeto ilaa roho tunazo sana sema tumashindwa na mawazo ya bongo,sema nazidi kukutafuta we can meet

  7. Anonymous says:

    LAV4…………….., JAMANI RAV4, I HOPE U KNOW WHAT YOU WANT TO BUY

  8. anderson says:

    kula

  9. juma says:

    naweza kupata gali kubwa kubwa kama fuso??mdau Uholanzi

  10. Mdau says:

    Ebwana mambo vp? Nataka kujua kama una Toyota Spacio,sport rim iwe ya mwaka 2000 na kuendelea, naomba unitumie picha na bei zake, naihitaji haraka iwekanavyo. utanipata kwenye uhembe@yahoo.com

  11. emoney says:

    Gari nzuri lkn nilikua nahitaji isuzu troper bei yk

  12. Khalid says:

    mdau mimi nna trekta nauza.. Internation haijatumika Bongo bado safi…)0713474348

  13. DULLAH says:

    kaka magari na bei zako nimezipenda.Idea nzuri,komaa hivyo hivyo

  14. G G says:

    nayafuta isuzu journey 4bg1

  15. daniel ngumbuke says:

    well, thoz re nice cars , but ningependa kuapata cressida au cresta hiz new model…pia ningependa kufika show room yenu

  16. mayega says:

    hizo benzi zimeibiwa south africa.

  17. Kasoma says:

    Ur stuff seems so sweety, lakini mzee hiyo price mbona kidogo sana, inakuwaje? zisiwe zile za kupigwa, kesho tunakutana na police! I think u knw what i’m saying.
    Nitafutie Sprinter, iwe btn 1998-2000 year of manufacturing, picha, price na iwe CIF. Thanks

  18. rose says:

    hi Bro mimi nahitaji escudo suzuki iwe manual or automatic napenda iwe kuanzia 2000 na kuendelea japo bei tu .thaks.

  19. JOSEPH MSUMARI says:

    Naomba bei ya spacio 2000 CIF Dar

  20. Yayo says:

    mi na wonder;km unataka gari yanini uanze kuuliza limepigwa au la,ndo mambo hayo ya utandawazi mjomba,au we unataka ya bei kubwa? nenda mbele kachukue…..

  21. Macnab Alex says:

    kuna magari yapo kila aina ukihitaji niambie nikutume bei na picha , kuanzia Land Rover Ranger Rover 2007-2010 na Mazda BT-50 2008, iko na ISUZU KB 350, ipo Meg ML 350, Iko Rav 4 5D

    nitumie mail kisha nikupatia lakini kumbuka hii ni used ya South Africa not more that 120,000 Km

    Asanteni wandugu

  22. tias says:

    Kaka mambo vipi?

    mi nataka bajaj sa ndo inakuaje?

    au hata ukikosa basi niletee FIAT yale ya wasomali hata nije kuuza screpa tu nami niweke historia kuwa nilikuwa na gari,

  23. Thanks for your help to Tanzania people for importation the used car,

    Second our target is to buy Toyota Coaster,1HD engine,2000 to 2003 year,give us the cif value.and Toyota Prado SX model,8psgs,1995 to 1997,1kz engine model.

    Please repply to us soon as possible as per our email above.

    Thanks Mr Hubert
    Managing Director – Swanga

  24. Laurent - Lazanex says:

    Naweza kusaidia kuagiza gari toka Japan, nipe mahitaji ya gari lako , nami nitakutafutia gari kwa kadri ya uchaguzi. Toyota Noah, Mark 11, Rav 4, Spacio, Toyota Prado.

    Karibu tufanye biashara

  25. david says:

    hello nataffuta gari
    aina ya polo CIF dar
    Toyota SWIFT CIF dar

    • Laurent - Lazanex says:

      Hi David,

      Unataka ni Suzuki Swift au Toyota, kwa upande wa Toyota hakuna , ila suzuki zipo. Confirm..

  26. Ayo says:

    Nataka suzuki

  27. KRITTIKA says:

    mimi nina gari ya marsedes bens mimi nina penda sana gari ya marsedes bens

    ASANTA SANA MARSEDES BENS
    KWAHERE

  28. SHAO says:

    natafuta landcuser prado milango 5

  29. Barry. says:

    Sema mkuu?
    Naulizia TOYOTA Gaia full option ie TV,DVD,S/Roof,Back Camera,7 seat ect.Nitumie picha na bei kwenye email bmwaga2008@yahoo.com

  30. JUMA says:

    Nauza gari aina ya Subaru Forester a.k.a mnyama wa barabarani.Iko fresh kabisa if ur interested just reply the message we shall contact more.

  31. Ninawi says:

    Kazi nzuri.Hallo mi natafuta Toyota au Nissan P/up kati ya mwaka 1995-2000.Isizidi millioni nne na iwe registered hapa Tz.Kwa mwenyenayo,nicontact:crninawi@ymail.com

    • Allen says:

      nauza toyota hailax 4wd pikp ml 6 ipo mbeya inahitaji marekebisho kidogo ila inatembea Na nissan pikp engine sd 23 inatembea nitafute 0754032762

  32. Kaka mambo vipi naomba nitafutie toyota vitz ya bei nzuri mayembe85@yahoo.com

    • piusmickys says:

      Nipe Budget yako mi naweza kukuletea hadi hapa ukatoa mwenyewe au ukitaka nakutolea ila tuelewane bei.

      • Paula says:

        Kaka nahitaji Toyota Vitz Black bajeti already imported au used iliyokatika hali nzuri bajeti yangu ni Tshs. 5 mil. I am Paula nipo DSM reply to [paulajm82@yahoo.com]

      • thomas ihuya says:

        natafuta Gari milango mitano isiwe noah nina 5,ooo.ooo/= tuwasiliane 0763531579 niko mwanza

      • Lema says:

        Kaka habar. Nahitaj toyota IST bei isizidi 8mill… nipo Dar. If possilbe send me a picha. Nina cash

  33. NEEMA ANDREA says:

    I am looking for to buy Toyota Coaster,1HD/1KZ engine models ,any year,low milleage, Manual,GOOD running condition give me the CIF price at Dar

    Please repply to me soon as possible as per my email with attached photos

  34. rajabu says:

    mkuu nahitaji gari ndogo na ya bei nafuu sana kama vile Vits ,Staret nk yaani vya model hiyo

    • simon says:

      gari zipo nitafute tu wewe 0717577821

      • alfred simon says:

        nahitaji used car tax ya kijapan iliyo sajiliwa ikiwa DAR iwe manual au auto aina yeyote bei
        isizid 4.5 ,je naweza pata? naomba nitumie kwenye. mail yangu Niko si
        gida asnte

  35. KRISTIENSEN BANDIO says:

    NUTAKA KUJUA BEI YA PREMIO TO MPYA NA ILIYOTUMIKAYOTA

  36. Nanah says:

    Nahitaji kujua bei ya gari aina ya spacio na raum!Gharama za usafirishaji mpaka dar es salaam!

  37. monica says:

    habari za kazi kaka naomba unijulishe bei ya NOAH zilizopo hapo yenye maillage ndogo nitaipata kwa bei gani nitumie picha kwenye email yangu, pia ningependa kujua bei ya RAv4 manual na gharama za usafirishaji mpaka dar inakuwaje

  38. mwalunangale@yahoo.com.sg says:

    Habari,naomba kujua kama ninaweza kupata gari aina ya Suzuki,grand vitara,inaumbo kidogo inataka kufanana na rav 4

  39. Nesta says:

    mkuu napenda kujua gharama ya vits au toyota premio

  40. Hamad Mfaume says:

    Natafu toyota corolla ae 100. Nipe bei.

  41. Josephine Bundala says:

    Ninakaribia kustaafu nahitaji Hiace ( used)kwa ajili ya kufanya bishara ya daladala ambayo itaweza kutembea kwa mfululizo wa miaka miwili bila matatizo.

  42. Michael says:

    Mkuu, I need Toyota Mark II GX110, tell me the CIF price to Dar es salaam. and please advice if it is pay first or at arrival?

  43. Michael says:

    Nahitaji kujua gharama za double coaster ( varities).

  44. Manoti Dibosed says:

    Hi,
    Nataka kununua Toyota Hiace aka Kipanya au Double Coaster. Petrol/Disel Engine mwaka 2000 na kuendelea

  45. Anonymous says:

    Habari,naomba kujua kama ninaweza kupata gari aina ya Suzuki,grand vitara,BEI 5M, MWENYE NAYO ANITAFUTE PLEASE na anitumie details za gari hilo shukranikyando@yahoo.com

  46. mtolera says:

    Hi
    Nipo china kwa sasa kwa mda wa miaka minne,kama kunamtu anahitaji chochote kile kutoka china high quality tuwasiliane,ila kwa wale mnao taka copy ya vitu sikotayari kufanya biashara hiyo
    Ntaka kutangaza jina kwa kuleta vitu kutoka China vyenye ubora wa hali wa juu
    karibuni, tumia engmtoleraibrahim@gmail.com

  47. matangazo ya magari ingekuwa vema kuwe na picha za magari yenyewe.

  48. Paul mboje says:

    Nina m6 naweza kupata toyota raum na itachukua muda gani kufika tanzania?

  49. Pius says:

    Nipe email yako

  50. sunday says:

    please naomba mnirushie kitu cha subaru forester

  51. Haji says:

    Hi mi natakakujua bei ya Toyota Carina na picha yake Iwe ya 2009

  52. Julieth says:

    Natafuta toyota vitz ya 2001 and on, isizidi 6.5ml. 0757478024

  53. mohamed says:

    mimi mwenzangu nahitaji kujua bei ya gari ya vitz na starlet

  54. Anonymous says:

    nina milioni 6 nataka gari

  55. hamad says:

    jamani mimi nauza Ssangyong Korando 4WD ya mwaka 1995, iko poa sana, nahitaji Tshs milioni 4 tu. 0717502550 au 0787239382

  56. DIODORUS DEO says:

    NAHITAJI TOYOTA CRESTA, LAKINI NITUMIE PICHA YAKE NA BEI YAKE YA TZ, TUMA MAJIBU KWENYE diodorusdeogratias@yahoo.com

  57. Paulina says:

    Natafuta Vitz Nyeusi iliyokatika hali nzuri nna sh. 5 mil Tshs.ambayo tayari ipo Dar es Salaam.

  58. manginary says:

    nahitji toyota chaser,mark2,cresta baloon iwe kwenye hali nzuri ndani na nje na iwe 4s ofa yangu ni 3ml naweza ongeza km itanivutia zaidi simu namba 0715,0784,0767, 977883 mangi

  59. mussa onesmo says:

    mussa says
    naombo nijue bei ya culorse mkonga na ikiwezekana na picha yake.

  60. Taha says:

    hi!i would like to knw whch car do u have in stock at the moment/can u email me on my email

  61. Estomih elias says:

    Natafuta toyota nadia mpya/used 8 seats nitumie bei yake ikiwa tz

  62. mabrouck masasi says:

    niaje mkuu,
    naulizia GX110 grand , rangi maroon au black iwe na hali nzuri. ntumie pic na bei kwenye mabrouckmasasi@rocketmail.com

  63. furaha mkutani says:

    NAWEZA KUPATA COROLA LIMITED NEW MODEL ILIYOTUMIKA KWA 3ML IKIWA TANZANIA?

  64. Hamisi says:

    Naomba kujua bei ya PREMIO G 1.8 CORONA used,STARLET used na TOYOTA RAV 4 used.email hkilugwe@yahoo.com

  65. Ibrahim says:

    Mr pius naitaji kujua bei ya toyota Noah town hiace and Corrola sprinter kwa Tz shilings!
    My email is imkonyi@yahoo.com

  66. Stephen Mwamengo says:

    Hallo Mr Pius
    Ninahitaji FUSO MIGNON (damper) ..garama zake hadi DAR..
    stephenmwamengo2005@yahoo.com

  67. Amos ngoli says:

    Magari nimeyaona ila mi nahitaji Honda CV-R Manual kwa bei ya daresalaam naomba bei

  68. Amos ngoli says:

    Magari nimeyaona ila mi nahitaji honda CV-R kwa bei ya dar.so naomba bei

  69. Anonymous says:

    nahitaji verossa nyeusi 4cylinder nipe bei na picha ikiwezekana nijibu ktk micha
    elngailo @yahoo.co

  70. MOSHA says:

    NAUZA LANDROVER 109 IKO ARUSHA CONTACT
    0753/O715-339177

  71. Hussein Omar says:

    Please can you assist me getting
    NISSAN BASSARA
    to Tanzania.
    it should be AWD {all wheel drive}
    please email me the details at my email ,
    husseinabdulsattar@hotmail.com
    hope to hear back soon from you

  72. josiah samwel says:

    naitaji caldina automatic, mwaka 2000 na kuendelea,,niambie bei likisha fika bongo na pia nitumie picha ya hilo gari.

  73. Anonymous says:

    nawza kupata gari ya milion 4? nzuri isiyochoka napenda suzuki escudo. Au kama vip waweza nishauri dizain nyingine nzuri.
    reply through edithadaniel@yahoo.com

  74. editha daniel says:

    nawza kupata gari ya milion 4? nzuri isiyochoka napenda suzuki escudo. Au kama vip waweza nishauri dizain nyingine nzuri.
    reply through edithadaniel@yahoo.com

  75. simon stuart says:

    nauza magari zanzibarbei nzuli na mapya kama carina,vitz,ipsum,escudo,noah,canter,fuso,discover,premio new model,gari nyingi sana anayetaka tuwasiliane 0717577821(simon)

  76. josiah samwel says:

    kaka mimi naitaji kujua bei ya starlet used mwaka 2000 to 2004.Na itanigarimu bei gani mpaka naanza kuitembelea bongo(ushuru na kila kitu)email yangu josiasamwel@yahoo.com

  77. Ditram kigahe says:

    Nimefurahi promotion zenu,pia nashauri mtoe magari aina tofauti na bei zake ili kila mhitaji aweze kujua vizuri kutokana kipato chake kwani wengi tunahitaji.Asante.

  78. njema says:

    nahitaji vitz used lakini bei isizidi 4m,na iwe na vvti au gari yoyote ndogo isiwe imechoka sana plz mawasiliano

  79. Anonymous says:

    bro mambo vipi mi nahitaji gari aina ya rov4 niambie bei ikiwa imetua bongo email yangu ni ekiumba@yahoo.com

  80. Anonymous says:

    Nahitaji rav4 ya mwaka 1999 na bei gani

  81. Anonymous says:

    Vitz inapatikana kwa bei gani

  82. ayubu says:

    Toyota Rav 4 5 door ya 2003 inauzwa haijatumika TZ bado,shilingi milioni 20.Tuwasiliane kwa email hii p.ayubu@yahoo.com au piga simu namba 0767212523

  83. freemoney says:

    kwa anaye itaji toyota vits milion 6.4 nyekundu bado mpya kabisa. tuwasiliane 0716-369299

  84. luck says:

    vp,naitwa luck,
    naweza kupata gari ndogondogo mil 4 ambayo haijachoka,lakin sio vitz au march,ambayo haipochin sana kutokana na maeneo ninayoishi,

  85. maryj says:

    hi…do you have a car worth just 5 million…if you do plzz let me know

  86. easytaker says:

    Nahitahi RAV 4 Ya mwaka 97/98 bei ianze 10mil hadi 12Mil iwe katika hari nzuri namba yake ianzie B nakuendelea picha muhimu..km itapatika plz cal me 0713529696

  87. freestress says:

    Naweza pata Rav ya mwaka 97 kwa Tsh 10Mil iliyo bomba..plz km itapatikana 0713819946..

  88. freestress says:

    masahihisho namba yangu sio 0713819946 ni 0713819646

  89. Anonymous says:

    Hi Naitwa bahati, nahitaj rav 4 mirango mitatu used,automatic ,ntapata kwa sh?ambayo bado haijachoka sana.

  90. Anonymous says:

    nahtji kujua bei ya opa,carina ti,si,vista,nadia na gx 100 na gx110 sh ngapi hadi dar??ikibd na picha zake,nahtj plz

  91. frank says:

    kibidi wasiliana na mimi 0713787771

  92. frank says:

    nahtj kujua bei za magari carina,vista,gx 100 na 110.nadia na opa naweza kupata kwa sh.ngapi mojawapo kati hzi nipe bei zake plz. ikibdi nicheki hata kwa 4n 0713787771

  93. SakEdgar says:

    ninauza TOYOTA PROBOX YA 2005 NZURI SANA kwa matumizi ya familia na kubebea bidhaa za miradi ya kiuchumi mdogo mdogo viti vya kukunja na nimeileta TZ May 2012 fully duties paid kwa TShs. 8.9m nicheki 0767210628 au 0715364676

  94. warles says:

    Nahitaji kujua bei ya Toyota “Nadia type su” ya mwaka 2003, picha na mailage ni muhimu kama ikipatikana

  95. yonah says:

    nahitaji cresta baloon nina m4 je nitapata

  96. binslim says:

    Nahitaji gari ndogo ya vitz, raum, ist, carina SI, au spacio au cresta iliyo katika hali nzuri, nina bajeti ya m8 nalipa cash hakuna longolongo..nicheki 0768279627

  97. binslim says:

    sorry nasahihisha namba yangu ni 0768279623

  98. Anonymous says:

    hellow wadau naomba kujua bei ya coaster(ya abiria) kwa pesa ya tanzania inakua ngapi ikiwa bongo

  99. Sakaya says:

    25m piga 0715364676 nikujuze zaidi

  100. Jacob Mkoba says:

    Nahitaji Haice custum ilio kwenye hali nzuri bei isizidi 6mil

  101. Sakaya says:

    ninayo TOYOTA HIACE super custom maroon kwa 12m with 4wd, g-shock mneso neso kama wa Cadilacs kwenye movies nione @ 0784364676

  102. brightlight says:

    hbr nataka kujua bei ya noah na opah naomna nijulishe kwa email yangu. asante

  103. Anonymous says:

    habari ya kazi.naomba kujua bei ya modern rava4. thanks and regards

  104. Sakaya says:

    Rav4 modern ni 35m

  105. Sakaya says:

    Noah na Opa kwa 12m tu 0715364676

  106. Anonymous says:

    Nataka gari aina nissan x-trail ni bei gani?ikiwa hapa dar.nasubiri jibu plz

  107. Anonymous says:

    nina gari cheser avante bado mpya engine GX100. imetembea klm chache sana imesajiliwa na number T ..BJX .kama kuna anae itaji anitafute 0715 557984 gari ipo D.SM

  108. Anonymous says:

    nataka kujua bei ya cresta GX 100, new model hapo bongo. Nipigiwe kwa namba 0715378224,nahitaji kujua mapema kwani naitaji hiyo kabla ya decemba.

  109. Anonymous says:

    Natafuta Gari la 2.5 mil mwisho 3 mil toyota atakeye kuwa nayo tuwasiliane kupitia mail yangu tell_asia@yahoo.com niko tayari kulipa tarehe 26 mwezi october 2012

  110. Anonymous says:

    gari toyota harier mpya tsh ngapui?

  111. Hemed says:

    Habari ! Ninauza Toyota Coster Daladala in ruti ya Mwenge Bunju. Bei tsh Milioni 18 bei inapungua , Kwa mawasiliano zaidi piga 0715590859

  112. Frederick lucas says:

    Nipe bei ya hiyo gari.

  113. Anonymous says:

    nahitaja gari aina ya opa ni shilingi ngapi?

  114. Anonymous says:

    noah new model na opa sh.ngapi?email yangu ni http://www.nyembochomba@hotmail.com au accaunt yangu ya facebook nahrachomba.

    • Sakaya says:

      MAMBO NI VIPI KAKA, ninauza hizo gari hapo

      Noah 1997@10m ipo yadi haijatumika Tanzania kabisa tutafanya registration ukishalipia,

      Noah 1999@11m moja imeshasajiliwa na inatumika kidogo kwa kuendeea kazini na ingine inaingia wiki hii from Japan,

      Probox 2003@9m inafika tokea Japan wiki ijayo na hiyo Toyota Probox ni kama OPA sana na engine ni 1450cc.

      Seema mambo tufunge biashara namba zangu ni 0715364676.

  115. haggai says:

    NATAFUTA GARI NDOGO ENGINE CC 900 AU 1000 , TOYOTA MILANGO MINNE , IWE INATEMBEA , BAJETI YANGU MWISHO 3.5M

  116. MR EMANUEL MG says:

    Nahitaji toyota vitz isiyochoka bei isizidi 5mil. ni pm 0655006401 or send a message via emanuelmagembe@rocketmail.com

  117. MSAFIRI says:

    NAHITAJI GARI AINA YA TOYOTA STARLET AINA GARRAT VIP IPO?

  118. Exaud Minja says:

    Nahitaji Suzuki Kei 660 cc ya mwaka 2000, 2001, 2002 au 2004 ipo rangi White, naomba na bei

  119. Sakaya says:

    bei ni 7m kaka na punguzo lipo kidoogo utakavyo wahi mapema hii usikose mie nipo 0715364676 au 0767210628

  120. Anonymous says:

    habari, sorry naomba bei ya coaster toyota nzuri ya bei poa, naomba bei na picha yake. fa

  121. faraja joram says:

    habari, sorry naomba bei ya coaster toyota nzuri ya bei poa, naomba bei na picha yake. faraja.joram@yahoo.com

  122. Exaud Minja says:

    Kaka habari, nahitaji Suzuki Carry Truck, 660 cc kama unayo naomba kujua na bei, na ni ya mwaka gani na imetembea kilomita ngapi. Asante

  123. tulinave says:

    nahitaji toyota starlet kwa ml. 4 naweza kupata email yangu tlupembe2000@yahoo.com/my phone +255717421582

  124. DITRICK MBIFILE says:

    AINA YA GARI CANTER UKUBWA ENGEN 35,UREFU WA BODI FOOT 18 NI SHILINGI NGAPI HADI IFIKE TANZANIA BANDARI YA DAR ES SALAAM?

  125. Sakaya says:

    10m mpaka bandarini Dar es salaam

  126. Anonymous says:

    Naomba picha na bei za fuso fighter ulizonazo.

  127. Anonymous says:

    Naomba picha na bei za fuso fighter ulizonazo.paulojsph@gmail.com

  128. Anonymous says:

    kaka naomba kufahamu bei ya hoah au nadia kama unazo nadia isiwe d4, nataka bei ikiwa tayari kwa kutembea siyo tena mambo ya ushuru,

  129. Sakaya says:

    noah 10m na nadia bei moja

  130. Anonymous says:

    natafuta noa iliyo kwenye hali nzuri na bei yake. naomba tuwasiliane kwenye joazichaula@gmail.co

  131. Anonymous says:

    Naulizia bei ya suzuki swift ikiwa tayari dar es salaam na haijatumika

  132. maneno ntuma says:

    naomba mnipe bei toyota hilux

  133. Henrysawe says:

    Naitaji gari lisilozidi 6milioni,na pia nauza chesa manual milio
    4milion?

  134. rose says:

    Gari nzuri. Nimeipenda. Kama nataka kuinunua process inakuwaje

  135. rose says:

    Benzi nzuri. Nmezipenda. Kama nataka kununua process inakuwaje mpaka kupata.

  136. Mollen Mndelle says:

    Naomba namba yako ya simu na yangu ni 0755-461716

  137. Anonymous says:

    nahitaji gari ndogo ya matumizi binafsi, 4mil ipo tayari. email gango2012@gmail.com

    • joseph says:

      Toyota Rav4 for sell 12mil in Dar
      Automatic
      Registration 1999
      Five doors
      4wd
      Km 120000
      Condition excellent
      Call 0659197822
      No negotiate

      • joseph says:

        Toyota Rav4 for sell 9 mil
        Registration 1998
        Automatic
        Excellent condition
        5doors
        0659197822
        No negotiate

  138. joseph says:

    Starlet for sell 5mil
    City: Dar es Salaam
    Condition: used Year: 1998
    Engine Capacity: 1300
    Mileage: 165000
    Auto or Manual?: Auto
    0659197822
    No negotiate

  139. Sakaya says:

    Suzuki KEI 2000 to your place at only 7.5m non-talkative

  140. joseph says:

    Landrover discovery v8 kwa 12milion tu
    Km 125000
    5doors
    Automatic
    Regstration 2013
    Muonekano kama jipyaa
    0659197822

  141. godfrey says:

    naitaji corolla ae 111 na nina million nne

  142. bboy says:

    hello bro, nahitaji stalet ndogo au duet, naomba unitajie price na pics plz, thanks in advance

  143. Sakaya says:

    ninayo Suzuki KEI ipo kama duet au starlet kwa kuwa na 660cc, turbo na 4wd kwa 7.5m tu

  144. Anonymous says:

    Hi peoples!! nahitaj noar new model ambayo haijatumika tz, bei ni tz sh ngapi nipo morogoro tz, namba yangu ni 0754997971

  145. Anonymous says:

    Mi naitaji gari ina ya verosa new model na bbeiei zake pamoja na picha

  146. ombeni says:

    naitaj duet, au swift, au vitz kwayeyete alienayo iwe mpya au used isiwe 2000 below rang silver na bei isizid 6m tuwasiliane kwa 0786381070

    • I just saw your pages on Thursday. You have really opened my eyes to varying views on this topic with interesting and insightful content. Might you have any moreuseful hints? Might there be any well researched articles on this topic or any closely related subjects? I really love the type of writing. You might have just saved me a ton of work just now.

  147. Anonymous says:

    nahitaji Toyota Coaster, email yangu ni kijijini@ymail.com. Nieleze nitalipa sh. Dar es salaam

  148. Jafari Haji says:

    Hi
    kaka nilikuwa nahitaji canter tipper mita 6 manual.zinapatikana na bei gan,na Nissan safari 3door engen model ya1998.

    • mwalemi says:

      asanten nimewaona nina gari aina ya nissan patrol safari ya mwaka 1994 milango 5 iko poa bei 14ml phone 0712 222705

  149. ZAWADI says:

    NATAKA KUINUNUA GAR ILIYO ONYESHWA HAPO JUU KTK PICHA NATAKA KUJUA BEI YAKE NI DOLA NGAPI

  150. Anonymous says:

    Nahitaji gar aina ya harier colour hiwe black na nahitaj kujua bei yake kwa pesa ya kitanzania nijibu kwa e-ma4l yangu “katembo.goodluck@yahoo.com”

  151. emmanuel says:

    naomba kujua gari ya bei ndogo kuliko zote mahana nilipo me hapaitaji gari ya galama please nijulishe ili niweze kupata usafili huo

  152. Anonymous says:

    utaweza kupata kwa million 4.5 gari amboyo bado ipo kwenye hali nzuri.

  153. Frederick lucas says:

    Naitaji gari la biashara yaani tx, iwe corona au mark 2 au inanyingine, nitapata kwa sh ngapi?

  154. John says:

    Nahitaji Toyota Premio au Carina Ti, naomba kujua bei zake.

  155. Mcgregor says:

    NAUZA GARI LANGU AINA YA HONDA CRV NYEUSI NILIIGIZA MWENYEWE FROM JAPAN 2011 BUT BADO KAMA MPYA TU,ina AC, FIVE DOORS, MANUAL , na nimeshailipia kila kitu KWA 11 MILION tu. SABABU YA KUUZA NIMETUMIWA GARI NYINGINE TUWASILIANE 0659197822 FROM DARESSALAAM AFRICANA

  156. jesca says:

    napenda sana gari aina Range rover nataka kujua bei?

  157. Thomas says:

    nauza corolla toyota limited imetumika Tanzania. hali nzuri 7M maelewano yapo

  158. Lyepepe says:

    nahitaji gari aina ya RAV4 au suzuki escudo iliyotumika hapa Tz lakini iko kati hali nzuri budget yangu ni kat ya mil 3.5 mpaka 4 iwe milango 5 na iwe auto

    • Anonymous says:

      Nimeongeza Budget yangu ni mpaka mil5 nataka RAV4 au Escudo milango 5 iliyotumika TZ lakini iwe katika hali nzuri hasa body yake rangi yoyote.

  159. Anonymous says:

    Gari nzuri lakini mimi nata vx v8 spea tairi iwe iwe kwenye mlango wa nyuma sio chini malicki

  160. I just could not go away your site before suggesting that I
    extremely enjoyed the usual info a person provide in your visitors?
    Is going to be again regularly to check out new posts

  161. feruz says:

    Mimi natafut pikipii mbiri kwa sh 2 Mr 6 rak

  162. isa says:

    naweza kupata noah kwa 5ml mipe jibu

  163. raymond shimiyu says:

    nauza gali mark 2 mil 4 colour ni white….automatic

  164. Frank says:

    Natafuta Suzuki Swift Old Model Black, Mileage iwe chini ya 80,000

    Bajeti yangu 7.5 Mil i will pay in Cash. Check me my email address fkiure@gmail.com.

  165. Anonymous says:

    Natafuta gari ya million 6 tafadhali naomba ushauri ni gari ipi nzuri na ambayo i can afford.

  166. Anonymous says:

    natafuta ist au vitz kwa bei nzuri na bageti yangu 5 to 6m

  167. Edgar says:

    ninayo Vitz kwa 7m na Kei kwa 7m pia nipigie 0715364676 au 0767210628

  168. ANDULILER says:

    IM BUYING THIS CAR

  169. Anonymous says:

    naulizia bei ya NOAH

  170. Damian says:

    Natafuta PASSO suzuki toka JP ni bei gani ???

  171. mzale says:

    natafuta rav4 ya 1998 hadi 2000 yenye hali nzuri, five door. ofa ni m. 8

  172. Jacobo brown says:

    Nimeipenda gari aina ya benz naitaji inataka beigani naomba mnijulishe.

  173. Nase says:

    nauza Rav 4 milango mitano iko kwenye hali nzuri nauza sababu nimenunua gari nyingine

  174. mr paul says:

    naomba picha na bei ya suzuki carry ikifika hadi dar

  175. Anonymous says:

    MR MHAIKI naomba picha ya CALINA CI NA bei yake.

  176. Anonymous says:

    naomba kujuwa kuhusu magari aina ya hamana garama zake

  177. jeremiah says:

    mimi naitwa jeremiah nahitaji gari aina yeyote ile yenye kufyonza mafuta kidogo kama starlet kwa bei ya m 2.5.kama kuna uwezekano nijulishe niko mwanza barua pepe sittajeremiah@yahoo.com nipe taarifa mapema zaidi

  178. Anonymous says:

    Nahitaji colora ya mil 5 kama ipo nipigie 0764969676 ila iwempya

  179. Anonymous says:

    nahitaji gari aina ya vits iwe katika hali nzuri ni sh ngapi

  180. mass says:

    Nahitaji gari yoyote yenye kufyonza mafuta kidoga, nina 3ml wasiliana nami mass2011@hotmail.com

  181. mohamedihalifa-mob 0752767976 says:

    NATAFUTA GARI MODEL ESCUDO AU RAV 4J YAMWAKA 1999 AU 19998.BAJETIYANUGU 7.M

  182. Anonymous says:

    TUPENI NAMBA ZA CM

  183. Anonymous says:

    I m Selling Toyota Harrier 1998 Model Reg B Looking 17mil

  184. Elisante says:

    Nahitaji Rav 4 milango 5 la mwaka 2005 na kuendelea niambie bei yake.email. elisante2012@yahoo.com

  185. benny says:

    hellow hebu niangalizie kwenye mtandao wako bei za suzuki escudo 2000 au chini na funcargo 2000 hadi 2002, kama bei nitaimuda ntachukua yote au moja majibu kwa sms 0713079787

  186. Emma ritte says:

    Naitaji gari gaia na R.4 milango 5 naomba bei

  187. meshack says:

    nahitaji gari aina ya carina
    picture and prize me at my email.
    cashmeshack@yahoo.com

  188. John says:

    5.5 milioni hadi 6.Nahitaji Carina Ti,Si au Corona premio hakikisha iwe nzuri.No 0713713497

  189. Billal says:

    Nauza TOYOTA SPACIO
    Namba yangu ni 0714080007 nipo dar
    Rangi: Blue
    Uwezo wa injini:1580
    Ina sport lims, lights ina TV yenye uwezo wa kuplay DVD, Flash, external hdd etc.

    Lina Open roof

    Lipo katika hali nzuri sana na limelipiwa kila kitu bei ya mwisho kabisa ni m.5.5 haishuki zaid ya hapo

  190. Anonymous says:

    PROBOX

  191. Anonymous says:

    Naitaji toyota spacio bajet yangu 5m mwenye nayo anijulishe kwa email yangu pdsonda@gmail.com

  192. edward lupondije says:

    mie nataka gari ndogo ya familia watu watano RAV 4 ya mwaka 2010

  193. kadome jm kadome says:

    nahitaji gari ndogo ya kutembelea bajeti yangu m3.5 iwe na hali nzuri

  194. Thomas JM. says:

    Nahitaji mitsubishi junior milango mitatu iwe na top carier, front guide,sport light,TV screen,DVDplayer. Good condition with low milage.Bei tafadhali.

  195. Thomas JM. says:

    Nahitaji Mitsubishi Junior milango Iwe na Top Carier,Front guide sport light, tv screen,DVD player(navigation systeam)Good condition and low millage.Beei tafadhali.-0766249113

  196. oluoch tinga says:

    Naomba picha na bei ya RAv4 new modal milango5 au toleo la 1999

  197. Anonymous says:

    Naomba kujua bei ya Toyota IST kuanzia 2004. Anna kutoka Tanzania

    • Anonymous says:

      nina IST mpya ya 2004. ina alloy rims na accessories zote. 58000km tu. number yake CQR. imelipiwa kodi zote. wasiliana nami bei ni 11m. 0655668960

  198. Renatta says:

    Nahitaji gari dogo aina ya vitz, spacio, au IST, popote pale. Bei iwe nzuri. Mi Niko Mwanza..Dada Renatta…

    • Anonymous says:

      nina IST mpya ya 2004. ina alloy rims na accessories zote. 58000km tu. number yake CQR. imelipiwa kodi zote. wasiliana nami bei ni 11m. 0655668960

    • dula ali says:

      dada yangu mm nnayo ist nyeus y mwaka 2004.newmodel.ina siku nne ata namba bdo sijatia nasubir j tatu ndio naipatia namba.wasiliana n mm kwa no.0683.554584.

    • Anonymous says:

      Toyota Spacio New Model ipo sports rim mwaka 2004 ipo vzr check me 0753 754189 Tuwasiliane Renata

  199. Mohamedi says:

    Nahitaji kujua bei ya Canter ambayo imetumika miaka isiyopungua miaka miwili hapa Tz.

  200. mohamed says:

    naweza kupata gari toyota ipsum, cc 1000-2000,iwe na 4WD nyeusi isiozidi miaka kumi tangu kutengenezwa

  201. kwimba says:

    Nahitaji icarus – kumbakumba. lile lenye tela la kukata kama kiuno hivi. nijuze bei kwnza tafadhali.

  202. Anonymous says:

    Nataka kujua fuso tipper design zote pamoj na bei

  203. Nyumba says:

    Can I get the cheapest car

  204. Anonymous says:

    nahitaji toyota ipsum ya mwaka 2009 nahtaji bei

    mmarigodslove@yahoo.co

  205. papaa says:

    nina toyota rush nyeusi ya mwaka 2007, mileage 67,000kms tu. iko kwenye hali nzuri sana, imeingia nchini july 2013, bei 27m tu maongezi yapo. call 0713706799

  206. Mike says:

    Nahitaji spacio au Ipsum au IST bei isizidi 6m, iwe na good condition, mwenye nayo ani sms kwenye 0782690660. nipo Dar

  207. Hanifu buyombo says:

    Nahitaji gari la kisasa

  208. TITUS DONNE says:

    naitaji gari la thamani

  209. Anonymous says:

    nahtaji gari ya bei ndogo isyozd ml 3 namba yangu n 0755335731

  210. Kombania says:

    Starlet inahitajika.. offer price tshs 3.5M

  211. Chrispin Stanslaus says:

    Natafuta Rav4 five Doors(4wD)1998-200 …offer ni Mil.5 lakini ikiwa zaidi nitaomba nilipe kwa awamu mbili (80% then 20%).

  212. khalfan says:

    habar,nataka gari na bei zake,mark gx110,alteza,nadia pamoja na spacio,asante

  213. Ahmed says:

    Nahitaji p/up Land rover 109-Nissan-Toyota – long base/Single cabin ! price 4 mil ! 0757487611

  214. Anonymous says:

    Hbari za kazi, je! Toyota Stalet zinauzwa bei gani? na je, gharama za kusafirisha hadi Dar zikoje? Na je, ikifika Dar inalipiwa tena ushuru au?

  215. Anonymous says:

    Habari za kazi. Je Toyota Stalet zinauzwaje huko Zanzbar? Na je, gharama za kuisafirisha hadi Dar ikoje? Na kuna ushuru wowote gari ikifika huku Dar? Nisaidie tafadhali. Mimi ni Filbert. E-mail yangu ni: felkitz@yahoo.com

  216. Anonymous says:

    NATAKA CARINA TI NINAMILION SITA

  217. TINO says:

    Nauza suzuki swift mpya bei ni 7.5m kwa anayehitaji tuwasiliane kupitia namba 0657 309679 au barua pepe “augustinojohanes100@yahoo.com

  218. TINO says:

    suzuki escudo ya mwaka 1996,engine capacity:1990,city capacitor 5,colour ni blue silver,imported from Japan inapatikana kwa TSH 7.5mil.Atakayehitaji anitafute kwa namba 0657 309679 au kwa e-mail “augustinojohanes100@yahoo.com”

  219. Anonymous says:

    mak2 gx 110 itanikosti ngapi

  220. Sunday Moshi says:

    Nina hitaji gar aina ya prado 4piston ya petrol nyeupe shling ?

  221. Goligota says:

    BEI magari ya mzigo

  222. chrispin staanslaus says:

    rav4 ipo kama bado hujapata nipigie kwenye 0765057976 tuongee

  223. Jerome says:

    suzuki escudo used inapatikana kwa mil 6,tuwasiliane kwa 0657 309679(negotiable)

  224. NJONDWE says:

    NATAFATA GARI YA KUNUNUA AINA HAIC MWENYE NAYO AWEKE KWENYE MTANDO NIONE AMBATANISHE PAMOJA NA BEI YAKE.

  225. mwambatiles says:

    nahtajt kujua bei ya gar iliyotumika BMW kwa shilingi sio dola

  226. TINO says:

    BMW ipo km unahitaji nicheck kwny augustinojohanes100@yahoo.com

  227. Anonymous says:

    ninauza premio no ya sim 0715760010

  228. Anonymous says:

    gari kama hilo shingap likifika dar es salam

  229. Zawadi says:

    Ukweli gali ya pili nzuli

  230. tungwe says:

    Tungwe says
    Mwenye LandRover 110 P/up iliyotumika kidogo bei isizidi 4m

  231. Anonymous says:

    natafuta toyota noah iliyotumika kidogo, tuwasiliane 0755250528 Mahmoud kutoka kahama

  232. Salum Saidi says:

    Napenda kujuwa bei za gari Prado

  233. Anonymous says:

    mambo vp,naomba kujua bei ya carina ti silver na je hizo gharama ni kila kitu au.thanks in advance ma email deezle23@yahoo.com

  234. gaudence says:

    Magari ni mazuri na bei ni nzuri

    Ila nashauri muweke gari aina mbalimbali!!

  235. Anonymous says:

    Naitwa sunday Moshi wa Tanzania ninahtaji gar prado 4slida petrol milango mitano

    • edyson says:

      Ndgu prado ninayo kama uko sirias nichek kwa no 0713979798

      • Learn Belize says:

        A BIG hello from Delaware! Try to make the guest write up as great as possible by promoting and dropping links. Our mind is not designed to create happiness, as much as we might wish it were so. Your website is so awesome that my ears starts bleeding when I read it. This has been such a really great experience!

    • I’ve been really distracted, to say the least, by all of these reminders. Thank you for sharing this interesting website with us. What is the secret formula for creating a happy life? You’ve really changed my way of thinking on more than a few topics that I’ve believed were true for most of my adult life. Their short, simple Youtube videos have turned her into one of the top influencers online.

  236. Anonymous says:

    samahan ndugu nahtaj noah new model nitumie picha na bei zake kk.junior@yahoo.com

  237. Hamza kanyika says:

    naomba kutumiwa bei ya noah kwa sasa bei gani.

  238. JAMES TOKA MBEYA says:

    HI KAKA NINA HITAJI OPAR AU CARINA AU PRIMIO IWE KWENYE HALI NZURI BEI ISIZIDI MILION 5

  239. amani says:

    naomba picha zaid za Hii gar na bei yake in tsh amanimmary1@gmail
    .com

  240. Prezee wilbald says:

    Naomba kama naweza pasta Suzuki jimny na ni being gani naomba pics na bei kupitia watsap 0684100666

  241. Anonymous says:

    Naitaji fuso fihter engene 3t gearbox kubwa naweza kuipata nipe na bei mpaka inafika dar

  242. Mnete says:

    Naitaji fuso engene 3t geabox kubwa nitajie na bei mpaka dar isiwe mayai

  243. kajembe says:

    habari?nahitaji kufahamu bei ya noah new modal,0787461797

  244. shabani ngabuja says:

    naomba bei ya gari aina ya SUZUKI

  245. Anonymous says:

    BEI

  246. Anonymous says:

    Habari, nahitaji gari aina ya rav 4 milango 5 silver. 1996-1999
    nipe bei 0753454542

  247. andrew says:

    i like scania

  248. ramadhani says:

    nadhani watu pia wangekuwa wanatupa pcha ya gazi wanazouza ingekuwa vizuri zaidi

  249. quaresma says:

    natafuta cresta gx 100 vvti mostly bt hata 1g kama ipo safi ntachukua 4.5-6.0 million iliyo kataka khali nzuri sana 0752092886

  250. Anonymous says:

    kaka naomba kujua bei ya virosa nipo msumbiji

  251. CHARLES KANYONI says:

    NATAFUTA GARI TOYOTA LAND CLUSER, BEI M3

  252. Max says:

    Bro nitafutie kagari ka M3.5

  253. Joseph Pius says:

    mkuu nataka gari aina ya suzuki escdo yenye muundo wa kama mdern mpya ya rava 4

    • Joseph Pius says:

      nataka gari lenye muundo wa suzuki escudo iwe black in colur muundo kama rava 4 morden for more informatino contact 0763283562

  254. Anonymous says:

    OK GARI NIMEZIKUBALI ZIKO POA, NATAKA KUJUA BEI ZA RAV 4 AINA ZOTE.

  255. Anonymous says:

    Nahitaji gari aina ya smart forfour je spea zake naweza kuzipata au zinaingiliana na gari gani
    contact mamjohce@yahoo.com

    • Cbd Cream says:

      I am sure a lot of people don’t believe this information but I can assure people reading this blog that what’s written here is absolutely correct. Other then that, awesome article! This stuff is awesome. The people who you love are really lucky to have you in their lives. But I sometimes miss the old days.

  256. NAHITAJI GARI YA GHARAMA NAFUU.AINA YA BMW

  257. mwanasendelema says:

    nahitaji coaster 1hz engine na hiace 5l engine

  258. Edgar says:

    mwanasendelema, ninayo Nissan Caravan 2005 kama Hiace nipe email nikutumie picha

  259. Zacharia says:

    natafuta used Toyota Hilux flatbody, ambayo haijatembea sana

  260. natafuta scooter honda mwenye nayo anicheki kwa [samberjr@yahoo.com] au whatsapp 0719933377

  261. amadissa says:

    ikiwa.imeisha.ripiwanaushuru.nishiringi.ngapi

  262. joshua says:

    kaka naomba bei ya vitz 2005.toyota sienta,nissan note na mazda demio nahitaji kununua moja kati ya hizo mwezi july

  263. BEST A SEME says:

    mi askari magereza naitaji vits au atalet au corola used but
    iwe safi na inatembea.Nina millioni tatu kamili tuwasiliane whatsaap 0713 080708

  264. deogratius says:

    nataka kujua gari aina ya isuzu inayo tumia petrol na inayobeba mizigo midogomidogo

    .

  265. Anonymous says:

    mambo vipi kaka naomba unitumie bei ya AUDI A4 na kama unazo niambie

  266. Michael Mgaza says:

    Shilingi Ngapi

  267. natafuta toyota speciol kwa 6m,rangi silver,nipe jibu kupitia email

  268. GERALD says:

    TOYOTA RAV4 YA KUANZIA 1998 HADI 2000
    NAHITAJI BEI YAKE ITAKUWA NGAPI NATAKA ILIYOLIPIWA KILA KITU

  269. GERALD says:

    HATA TOYOTA HIACE SUPER ROOF DIESEL NAYO KAMA IPO NIFAHAMISHE BEI NA MWAKA

  270. Anonymous says:

    gx 110 kwa 6.5 milion usedat kinondoni fast buyer is needed

  271. Anonymous says:

    gx 110 for the lower price at 6.5 milion at kinondoni dar es salaam fast buyer is needed you can call me with this no 0712851975 or 0766092535

  272. Blessing says:

    Hellow, nahitaji Toyota Rava 4 new model ya kati ya 2007 na 2010 milango mitano, bajeti yangu ni milioni 18 nitapata? advice me also

  273. Seller Wagon says:

    Nauza silver Mitsubish Space Wagon. Ipo kwenye condition nzuri. Kwa anayehitaji tuwasiliane kupitia email (hemedomary44@gmail.com) ili nikutumie picha, bei yake 7.5 million.

  274. twaha says:

    nahitaji pikipiki baja 250 xlr nichek 0658 795500

  275. nahtaj noah,toyota hillux ,,0786502012

  276. valerian ngowi says:

    nimeona Benz tu nataka Suzuki carry

  277. Anonymous says:

    nahitaji collora limited mwenye nayo anitafute

  278. Anonymous says:

    nahitaji corolla limited ambayo ipo oda mwenye nayo anitafute whats 0758559358

  279. Baraka says:

    Natafuta noah

  280. Baraka says:

    nataka gari Noah

  281. abdallah says:

    Toyota pro box 2007 being gani nijulishe Niko dar

  282. Anonymous says:

    nahitaji noah old model,rangi nyeusi,kilomita zisizid mia moja,niipokelee dar es salaam ikiwa imeshatolewa bandarin, naomba bei tafadhal pamoja na picha.

  283. ALCADO CHALLO says:

    NAHITAJI GARI AINA YA TOYOTA HILUX D-4D TOLEO LA MWAKA JANA USED N TSHS NGAPI NA JIPYA N BEI GANI?

  284. Abubakkar Juma Seif says:

    Nauza Gari yangu CHASER BALLOON GX90

    Toyota CHASER BALLOON, GX90, Rangi NYEUSI, CC1990, SIX CYLINDER

    7,000,000/-

    Gari ipo katika hali nzuri sana, Tairi zote mpya, Motor Vehicle na Bima hadi 2015, Engine ukiiendesha itakupa majibu yenyewe, Haitumii mafuta mengi.
    Naiuza ili niongezee pesa ninunue HIACE.

    Iringa au Dar-es-salaam

    Abubakkar

    0783-761777, 0753-493089

    ajseico2000@hotmail.com

  285. nick says:

    I’m selling a Mini Mitsubishi (manual transmission), it looks like a range rover on the outset

    The car is new and it is in very excellent condition. Has a road license valid until 21/07/2015, comprehensive insurance valid until 23/07/2015.

    Engine size 650cc very economical interms of fuel consumption, Turbo, 4WD, A/C, Air Bag, Power Steering, Power Window, Back Tire.

    price is 9000000

    call me 0659281681 and I will send you the pictures, or visit

    https://tz.mitikaz.com/nizol1/public/nick

  286. Justin says:

    Nataka kununua gari mpya kutoka Japan au America. Gari la biashara aina ya Isuzu pickup 4×4 single cabin au Toyota pickup. Bei zake zikoje hadi kufika dar? Naweza kupata kwa 8m? my email is kasyomejustin@mail.com

    • Reuben says:

      mh! ndugu yangu kutoka America nawasiwasi but Japan maybe japo kwa bei hiyo linaweza kuwa halina hali nzuri. Maana hiyo yaweza kuwa gharama ya manunuzi Japan (FOB)

  287. Christopher Mkondya says:

    Habari nahitaji gari aina ya suzuki escudo, ikiwa katika hali nzuri au Vits nina 4ml. Pia kuna ndugu yangu anahitaji engine ya canter 33 four corner kama utakuwa na sehemu yenye uhakika mpaka kutoa guarantee.

  288. Anonymous says:

    Nahitaj altezza 4 cylnder vvt-i rangi ya silva

  289. Anonymous says:

    habari, natafuta kadi ya nadia ya namba c, kama kuna mtu ana gari imepata ajali haifai aniuzie, gari yangu haina kadi, nilinunua tukiwa shared na baba watoto wangu na tulivyotengana akaitaifisha.

    email me on conrym.conrym@gmail.com

  290. Reuben says:

    Ukitaka gari nzuri be poa tembelea
    http://goo.gl/g8vNqt

  291. joyna says:

    Naitaji gar kati Allex au ST plz nijulishe naweza kupataje.tumia email

  292. Anonymous says:

    townace truck bei gani?

  293. Lilian says:

    Mitsubishi pajero inauzwa. Mil. 8
    Call 0789627466

  294. aiwen says:

    Mm mwanafunzi nataka gari ndogo tu ya bei nzur so kwa muuza magari yyte mwenye gari ndogo nzur anichek 0713415806

  295. jabou says:

    kwa wanaohitaji magari kutoka japan kama fuso,coaster,canter,landcruiser,prado na nyengine zote mimi ninaagizia moja kwa moja kutoka japan.

  296. Reuben says:

    kwa magari ya bei poa tembelea http://goo.gl/g8vNqt

  297. Reuben says:

    Magari poa, bei poa! RAV4 Shs 8.2m, SUZUKI SWIFT 4.65m, Mitsubish Pajero Shs 6.5m, Nissan Safari 13.5m, Toyota NADIA Shs 8m

    Tembelea http://goo.gl/g8vNqt

  298. Reuben says:

    Toyota Verossa ya mwaka 2001 na Toyota JZX100 zinauzwa bei poa.

    Nenda http://www.mybizbase.com/magariyanauzwa.html

  299. mtanzania says:

    FOR SALE/EXCHANGES WITH VIRTZ

    MAKE: TOYOTA NADIA
    YEAR: 1999
    MODEL: TOYOTA NADIA
    MODEL NO: GF-SXM10
    TYPE: 5 Doors
    ENGINE CAPACITY: 1998CC
    MILEAGE: 140,500 kms
    COLOUR – Red (Very clean)
    REGISTRATION NO: T—ASQ

    PRICE: 5.8ML
    Call: 0682 134 488

  300. Anonymous says:

    naomba bei ya noah town hice 2009

  301. Latifa says:

    Nahitaji gari aina ya passo ni sh ngapi

  302. Anonymous says:

    Tunawaomba mtuweke age beizenu

  303. Anonymous says:

    nishidaaaa

  304. Anonymous says:

    nilikuwa nataka gali ain ya kosta mayai naitwa mr.pancho ningeomba picha kwanz nabei pia

  305. Ahmed Abdoul says:

    Nataka gari aina ya noah ya kisasa toleo jipya la mwisho mm nipo Zanzibar. Naomba unitumie picha zake sasa hivi kwenye email yangu na bei zake

  306. Natafuta gari la kununua la kutembelea aina ya benzi

  307. Rose Peter says:

    habari? nina 4.5 m nahitaji gari ndogo ya kutembelea, iwe katika hali nzuri….. vitz or swift is more preferably. email yangu ni rosepeters42@yahoo.com

  308. Masoud Binswedi says:

    Tafadhali naweza kupata Toyota Mark II Grande 110 kwa Tsh Ngapi?
    Email binswedi@gmail.com.

    • joseph says:

      nahitaji vitz ambayo imetumika ya 2005 mwaka! amvayo ipo kwenye hali nzuri, ni tsh ngapi? tuwasiliane kwa namba 0766589969.

  309. paschal renatus majebere says:

    hiyo benZ nimeiona je waweza nisaidia bei yake ikiwa dar es salaam

  310. Anonymous says:

    jaman naweza pata picha za hiyo suzuki swift inayouzwa 4.65 m?…. nahitaji kuiona please and add me more info abt that car via my email

  311. Anonymous says:

    kuna gari nauza Corolla DX (mchomoko) ya 1998,iko poa na katika hali nzuri,kwa yeyote atakayehitaji tuwasiliane kupitia email.yuskeb.yk@gmail.com

  312. Anonymous says:

    hallow naomab mnipatiee bei ya toyota harrier tafadhari!!!?

  313. Anonymous says:

    Bei Poa! Toyota Rav4, Suzuki Swift, Suzuki Vitara, Lexus RX300
    kwa melezo zaidi tuandikie magaribeipoa@gmail.com au piga simu 0655766446

  314. philemon says:

    I wanna like to know the saray in Tsh

  315. Whow much do you sell it?

  316. ebeneza says:

    nahitaji gari yoyote isizidi 3 millions.nipo arusha.

  317. Reuben says:

    For Sale: 2003 Toyota Duet Shs 5,500,000/=(not negotiable!) registration CVJ

    Click link for pictures http://www.magaribeipoa.net/412782135

  318. Reuben says:

    Toyota MarkII GX110 zianuzwa, gari mbili usajili ni namba D na moja usajili namba B. Bei ni Shs 11,000,000/=; Shs 13,500,000/= na Shs 7,700,000/=!

    Gari zipo vizuri sana call me 0655766446 kwa mawasiliano zaidi. Ni rahisi kwangu kutuma picha kwa email au facebook (https://www.facebook.com/Magaribeipoa)

  319. gali ninzuli sana nimeipe sana ,nitumieni bei za gali zenu

  320. Toyota Landcruiser Prado inauzwa bei poa! tazama picha na maelezo hapa http://www.magaribeipoa.net/413316269

  321. Abisalim Msuya says:

    nahitaji noah extra limo ni bei gani? na escudo milango 5 nipe bei na rav 4 toleo la kwanza nipe bei

  322. joseph.kunguru says:

    nataka Toyota Prado.yamwaka 2000.nitumie bei zake na Picha kwa emaili hiyo

  323. Anonymous says:

    Hiyo ni zuri inauzwa shingap?

  324. venance says:

    natafuta gari aina ya Spacio au IST used. +255659481201 Dar Es Salaam

  325. Anonymous says:

    natafuta gari toyota spacio au Ist used nzuri namba yangu ni 0783434048

  326. Ben says:

    ukitaka usipitwe na magari ya bei poa jisajili hapa http://magaribeipoa_0.gr8.com/

  327. Ben says:

    kuona picha na bei ya Toyota Noah bofya hapa http://www.magaribeipoa.net/412671993 (wasiliana nasi maelewano yapo)

  328. Anonymous says:

    ntafuta gari aina ya suzuki kei kwa m4
    ya mwaka 2000
    kama ipo tuwasiliane through my email: lmjames@acaciamining.com

  329. Godfrey Mwaki says:

    Nataka kujua bei halisi ya gari ya kutembelea kamq tax nk.

  330. Godfrey Mwaki says:

    nahitaji kujua bei ya toyota spacio ikifika Tanzania ni sh.ngap.pliz nandkie kwene email yangu

  331. Anonymous says:

    nahitaji gali aina ya toyota Vitz ya 2002, ni sh.ngapi hadi hapa Tanzania mi kuipata?

  332. Anonymous says:

    nauza gari toyota mark 11 (baloon) bei million 4 iko katika hali nzuri tuwasiliane 0713224913

  333. Anonymous says:

    nauza gari aina ya Toyota alteza ipo vizuri bei ni milioni 8 ataehitaji nitafute kwenye 0786043003

  334. amza idrisa says:

    naomba kuiona start Amazon kutota bukoba

  335. Reuben says:

    nauza Toyota Noah model 1998 na Nissan Safari short chasis model 1990 bei nafuu! nipigie au watsapp 0655766446 upate picha

  336. alleni mahenge says:

    beigani

  337. Urioh J says:

    Hi!nahitaji gari toyota faturner ni shilingi ngapi?

  338. Anonymous says:

    nataka kujua bei ya gari aina ya Raum new model kiasigani na Spacio new modal kiasigani tuwasiane kwa Email tumu1@hotmail.com

  339. Ben says:

    Nissan March nzuri inauzwa Tshs 5.7m, maongezi yapo! Gari ya mwaka 2003

    kuona picha bofya http://www.magaribeipoa.net/414667960

  340. Ben says:

    FOR SALE: 2003 Toyota Wish (TRD specs)
    >Petrol,1800CC, 78,000KM, Automatic, Tshs 11,500,000/=
    > very good condition! for more details call/watsapp 0655766446

    to see pictures visit https://www.facebook.com/Magaribeipoa

  341. Anonymous says:

    BMW nilikuwa natajkaa ambayo ni automatc PF&DENIS…FROM..TZD
    O

  342. Ulaya says:

    Natafta mart x mpya namb 0657182412

  343. Mohamed Rajabu says:

    Natafuta trela na jembe disc tano kwa ajiliya trekta Ford 7500 six cylinder. Pliz tuwasiliane kwa moddyguyz@yahoo.com au 0787519910

  344. Ben says:

    jisajili uwe wa kwanza kupata taarifa za magari ya bei poa!

    jaza fomu hapa http://www.magaribeipoa.net/412640928

  345. Boniphace david says:

    kwema ndugu nahitaji suzuki carry au escodo ya bei poa tuma email yangu

  346. Boniphace david says:

    kwema ndugu nahitaji suzuki carry au escodo ya bei poa tuma email yangu nitapata 4mil nijulishe

  347. christopher says:

    Nahitaji engine ya canter 33 filter moja ya nje mayai

  348. Ben says:

    DISCOUNT! 2004 Toyota Brevis kwa Tshs 6,500,000/= tu (hii ni kwa muda maalum, inaweza kuondolewa wakati wowote).

    Unaweza kutazama picha za gari hili hapa: http://www.magaribeipoa.net/413541505

    au piga simu/watsapp 0655766446

  349. NICKSON says:

    natafuta premio d4 offa yangu ni kati ya 3.5 na 4 kamili 0759445664

  350. DEOGRATION says:

    Nataka Noah yenye muundo wa vox
    Na bei yke. Watsap 0754090278. Nipo serious

  351. criss says:

    natafuta gari toyot

  352. Anonymous says:

    jipatie taarifa za magari ya bei poa BURE hapa http://goo.gl/nLi2CX

  353. Anonymous says:

    nimeona gari zenu naitaji noah au i s t nabei naomba

  354. Allan says:

    Surf Toyota for sale 13m

  355. nataka kunua gali ila labei lahis

  356. magali aina mlango mmoja shingapi

  357. Thomas.r. masalu says:

    Nahitaji gari ya kutembelea aina ya rv4 naomba bei ya mpya na ya iliyotembea.

  358. Anonymous says:

    Nahitaji gari ya kutembelea aina ya rv4 naomba bei ya mpya na ya iliyotembea.

  359. Anonymous says:

    magari yanauzwa Tsh ngapi

  360. grace richard says:

    Nagari nimeyaona ila nivzr ukanindikia kwa being za kitnzania maana hizo zinanichanganya naitaji benzi au Prado au nipate aina kama 20 kwa bei tofauti tofauti

  361. Ben says:

    ukitaka kujua magari yanayouzwa kwa bei nafuu jisajili hapa http://goo.gl/nLi2CX

  362. malilah says:

    naomba kujua being ya stalet au vitz in shilingi ngapi

  363. Ben says:

    kuna vitz manual safi namba B kwa milioni 4.7, nicheck watsapp 0655766446

  364. hamisi ngaluma says:

    nahitaji gari ndogo aina ya carrina kwa bei ya sh milioni tano rangi ya silva au nyeusi je naweza kupata naomba nitumie kwenye whatsaap namba 0784059259

  365. Anonymous says:

    Magari ni mazuri bei ndio cjaona

  366. Ajent Mtoto says:

    Kiongozi nina Suzuki Escudo 5DR ipo safi kwa aliye serious
    anicheki fb Ajent Mtoto2015

  367. Anonymous says:

    TOYOTA VITZ INAUZWA 5,000,000. iPO KATIKA HALI NZURI SANA. SANA, RANGI YA SILVER. MAWASILIANO: 0658 123 689

  368. husu hiyo Gari sina swali ningependa kuuliza bei tuu

  369. Natafuta gari harya ml 5 nyeusi nitapata?

  370. Khalfan.M.Mwamnyanyi says:

    Hi there!

    Naitaji Gari ya kununua Good Condition Carina Ti Bei kati ya Million 3 mpaka 5 lakini iwe katika hali nzuli. My Cell Number +255718919879 or Email khalfanmohamed@gmail.com. Shukran

  371. Ben says:

    pata taarifa za magari ya bei poa hapa http://www.magaribeipoa.net/412640928

  372. Abby says:

    Nataka escudo

  373. Jack kikoti says:

    Nahitaji gari aina ya canter kabla ya mwezi wa 9 kwa anayeuza awasiliane nami kwa namba 0763531814

  374. yohana nathani says:

    natakagar lexus rm 300 milango 2 nitumie picha 3 zikionyesha mbele,ubavuni na nyuma pia nijue behi ikiwa dare salama

  375. Anonymous says:

    me nahitaji kujua bei ya noah automatic na picha zake

  376. Anonymous says:

    nataka canter ton 3 being gan

  377. Anonymous says:

    Habari zenu naomba kujua bei ya probox na nohar

  378. Ben says:

    Probox ipo namba D kwa milioni 9.5

  379. Ben says:

    like page https://www.facebook.com/Magaribeipoa usipitwe na gari za bei poa

  380. Ben says:

    1999 Toyota Carina Si
    engine: 1760 CC; 73,000KM; Automatic; Registration DCM
    Price: Tshs 8,000,000/= bofya hapa chini kuona picha👇🏿

  381. sigy says:

    natafuta engine ya Toyota dyna used t3 nijibu kwenye e-mail yangu being name picha

  382. gari aina ya range volvo shiling ngapi

  383. Ben says:

    Jisajili hapa kupata taarifa za magari ya bei nafuu ==>http://www.magaribeipoa.net/412640928

  384. Ashura S. Mdoe says:

    Naomba nisaidie hiyo lasso kwa mil. 5.5 naihitaji nijulishe steps to follow

  385. Ashura S. Mdoe says:

    Naomba nisaidie hiyo passo kwa mil. 5.5 naihitaji nijulishe steps to follow

  386. oresta says:

    Naomba bei ya spasho mpya ikifika Dsm

  387. Nahitaji gari ya kukodi je,nitapata?

  388. ELIUD KASAGALA says:

    nahitaji gari aina ya toyota harrie na bei yake

  389. Anonymous says:

    Nahitaji Toyota Rav 4 ya mwaka 1998 or 1999…

  390. alex nkonya says:

    nitapata incubtor control (thermostat, humidity control nk. all in one) kwa Dar es salaam?

  391. Anonymous says:

    ntapat dyna namilioni sira

  392. Ben says:

    Inauzwa Toyota Funcargo kwa Tshs 6,500,000/=. Picha za gari hili unaweza kuziona hapa https://www.facebook.com/Magaribeipoa/photos/pcb.1006061026113285/1006060442780010/?type=3&theater

  393. Elikana says:

    Natafuta gari aina ya toyota Raum, Spacio au IST, registration D au C nina tsh 6.5m. Tuwasiliane 0766219268

  394. Ben says:

    tuwasiliane 0655766446

  395. Erick julius says:

    Nataka Prado two Ya MIL 15 iliyotumika

    • Alex S. says:

      Hurumia fedha yako,
      Kwa hio sio rahisi kupata, na hata ukipata watakuuzia bovu ambalo utatumiakwa kipindi kifupi sana.

  396. Anonymous says:

    JAMANI NA MILIONI 4 NAWEZA KUPATA VITZ DAR ES SALAAM

  397. Razak Muyinga says:

    Nahitaji canter Mitsubishi tan 3.5 ambayo imetumika kidogo bongo itakuwa bei gani

  398. hamza says:

    toyota ist inauzwa shngp

    • Weepo says:

      This is just what I was searching for. Your work is so mind blowing that my eyes bleeds when I look at it. I am bored to death at work so I decided to browse your blog on my iphone during lunch break. This stuff is great.

  399. Janny says:

    Bei zenu ni nzuri nataka gari aina ya Noah ni bei gani???

    Asante

  400. suna kipanzi says:

    NAITAJI TOYOTA CANTAR TANI 2 HADI 3 BEI GANI? NIPO DAR

  401. nataka rover4old model milango mitano Toledo kuanzia mwaka 2000nitajie bei

  402. Nassoro says:

    Naitaji youthong bus abiria 60 nipe bei shilingi ngapi hapa bongo

  403. Ben says:

    Toyota Vitz inauzwa kwa Tshs 4,700,000/= tu! Kama ni gari ambayo ungependa kununua ni vema kufanya mawasiliano ya haraka. Picha zake zipo hapa

    https://drive.google.com/folderview?id=0B8WUpL9OfpV7Z0NqRjVBZGZKTEU&usp=sharing&tid=0B8WUpL9OfpV7c1NwSW83MG00WEE

  404. Immanuel says:

    Nahitaj SUBARU FOTESTER mpya nipatie bei.tumia email yangu.emmanuelamin62@gmail.com

  405. Immanuel says:

    ntumie picha za Hiuo Subaru na bei yake

  406. I need a car like opa

  407. BUNGOMOLA KISHOSHA says:

    BEI GANI

  408. kelvin samwel Mbwilo says:

    nimeyapenda matangazo yenu

  409. Allen says:

    nauza toyota hailax 4wd pikp ml 6 ipo mbeya inahitaji marekebisho kidogo ila inatembea

  410. gerwin says:

    Nahitaji suzuki escudo 2005 na kuendelea au rav4 pia kuanzia 2005 nipo singida nijulishekwa email yangu gerwin.mniko@gmail.com

  411. Ben says:

    usipitwe na magari ya bei nafuu! Download na uiweke Magari Bei Poa App katika kifaa/simu yako ya Android

    https://play.google.com/store/apps/details?id=com.wMagariBeiPoa

  412. Beatrice says:

    Nissan murano ni sh ngapi?

  413. MIMI NAHITWA METHODI NAMBA 0652729438 says:

    NAHITAJI GARI HHI

  414. Mrishi says:

    Muna patikana wap

  415. Simon says:

    Nahitaji gari old model kama forfour na bei yake bila kujali

  416. Nely Mwita says:

    mi nataka kuwa agent nipo Tanzania mbeya

  417. mohamed says:

    Nauza Nissan daladala IPO njiani 8.5m nicheki 0626744668

  418. Daud Mgwabi says:

    Nahitaji Toyota Forester ya mwaka 2000 au 2001 Manual isiyo being ya juu sana CIF ngapi

  419. Alex says:

    Ninahitaji gari, pick up. Bei isizidi Tshs 2.5m
    Ombeni Mponji
    0755854277

  420. BR Solutions says:

    kwa mahitaji yote ya gari jipya au lilitoyumika @brsolutionstz.com .pia kwa wale wote wanaotaka kupost magari yao yanayouzwa kwenye website yetu wasiliana nasi 0754308178

  421. tafuta hirux picurp for by for ya sh 600000 double cabin

  422. Gwakisa Mwalusako says:

    Natafuta gari ndogo aina ya suzuki jimy /swift /toyota vits iliyotumika kidogo hapa Tz na nzuri bei iwe 5.5 ml

  423. Anonymous says:

    Natafuta gari Nissan Xtrail, kuanzia number C had current, hapa TZ yenye bei ya 8Ml

  424. GODSON MINJA says:

    nauza gari GX 100 MODEL YA 1998 IMETEMEA KM 116500 BEI TSH 5,500,000/= KWA MAWASILIANO PIGA 0715 676451

  425. Raphael mnanka says:

    Natakaverosaa yenye kilomita Chini ya elfu ishirini je ni bei gani hadi dar?

  426. Albert Simon Lufungulo says:

    I want Toyota Noah sr 40 or 5

  427. David Haule says:

    Naomba kujua being ya Toyota premio ya 2005 used

  428. bahati says:

    Bahati

  429. fredy says:

    nahitaji suzuki eskudo ni bei gan

  430. John says:

    Mambo niaje mkumbwa mm naitaji fuso tipa ilanataka nijuwe bei ni shilingi

  431. Rama mwanga says:

    Nataka gar centa tani mbili na nusu nitapata kweli nitumi pich WhatsApp namba yangu 0769441873

  432. SHIBIDE says:

    Ninahitaji gari aina ya hiace ya kubebea vyakula. Je nitapata kwa bei gani? na kama inawezekana kulipia kidogo kidogo nifahamishe please..

  433. Noel says:

    Naitaji gari aina ya Suzuki every offer yangu 6m
    ..kama naweza pata nitumie picha za gari husika katika watsap 0714230064

  434. Edsoni says:

    nahitaji gari ndogo ndogo ambayo bado ipo vizuli isiyozidi milioni mbili iwe new moderi

  435. STANLEY NOEL says:

    KUNA SUZUKI SWIFT INAUZWA MILION 3 NET, INA VIBALI FULL,AC,MUSIC SYEM NZURI, BLACK, namba B

    INAHITAJI GEAR BOX MPYA, ANAEHITAJI ANICHEK

    0718899459

  436. Magnificent website. A lot of helpful info here. I am sending it to several pals ans also sharing in delicious. And of course, thanks to your effort!

    • Thank you for this post, I found it to be very encouraging. What a highly descriptive and well written article. Your blog is always mentioned when I talk with people about this topic. Your blogs make me think a lot. You are an outstanding story teller. My boyfriend told me they might want to be a paid expert in this field some day.

  437. stephen Haule says:

    nahitaji bodi ya Gari aina ya toyota carina si

  438. chile faya says:

    nahitaji rav 4 ya mill. 7

  439. KELVIN says:

    Toyota Voltz mwaka kuanzia 2001 hadi 2005 bei gani?

  440. isaya says:

    naweza kupata gar ya milion 2 iliyo tumika

  441. Teckla says:

    nahitaji gari aina ya rav4 nina million nane

  442. I want you to thank for the time of this amazing study!

  443. Tina says:

    Nahtaj gari aina ya hizi Toyota rav4,au Nadia

  444. jafal zambi says:

    natafuta gari aina ya carina ti yenye thamani ya milion 4.5

  445. Mohd says:

    Mimi ni Mzanzibari nipo nnje inawezekana tukashusha freezer bei poa na washing machine hapo Zanzibar ndani ya September mzigo wote unafanya kazi mashine mpya zina mwaka na miezi kutumika bei kuanzia 450000,550000 na 600000.
    Na washing machine pia ni bei poa karibuni mpya zote zinafanya kz kuanzia 350000, 450000 na 500000.
    Magari ya gharama yapo lkn msukani kushoto.
    Uliza Honda awe mteja wa uhakika akiagizia kitu na baiskeli.

  446. Hi there! This is my first visit to your blog! We are a team of volunteers and starting a new project in a community in the same niche. Your blog provided us beneficial information to work on. You have done a outstanding job!

  447. KWELI JAMANI MAISHA NI DUNIA BILA DUNIA TUSINGEISHI GARI KAMA HII MI NITANUNUA TU

  448. MSELLE Victor says:

    Nahitaji pick-up ,mitsubish double cabin, ni bei gani?

  449. Ernest says:

    Nahutaji kujua bei ya RAUM, naona no gari nzuri

  450. Absalum says:

    Bei ya Noah mpya

  451. Godlove says:

    Naomba kuuliza bei ya probox., manual & automatic

  452. Frank tito says:

    Kwa gharama ya chini ni shingapi

  453. Anonymous says:

    Naweza pata corolla 111

Leave a reply to Ben Cancel reply