Concert ya kusaidia Albino!

November 6, 2009

image

In an effort to help my fellow Albinos in Tanzania improving their overall wellbeing; Nov 21st from 11pm, Tanzanian, Kenyan, and Zambian Artists from all over the states will be joining me for a BENEFIT CONCERT in Columbus, OH. All proceeds go to purchase sunscreens for kids ages 5-10 in an exertion to prevent skin cancer. Please Join us to make this happen!!!

By: Albino Fulani


Egypt 5-1 Taifa Stars!! Bado tuna safari ndefu…

November 5, 2009

Mchezo kati ya timu ya Taifa Stars na Egypt umemalizika huko Cairo huku timu ya Taifa ikiwa imebugizwa mabao 5-1.

Mchezo huo ambao ulikuwa wa kusisimua umeshuhudia timu yetu ikiendeleza wimbi la kufungwa huku timu ikionyesha ukomavu wenye ukame wa magoli.

Ssiwezi kusema hasa tatizo la Taifa Stars ni nini ila kwa mujibu wa mchezo wa leo kwa upande wangu naona beki ilikuwa inakatika sana na washambuliaji kutokuwa na coordination ambayo inawafanya wacheze kama timu zaidi.

Mpaka mapumziko Taifa Stars ilikuwa imeshakunywa jumla ya mabao 4-1 huku Wamisri wakiwa wanalishambulia lango la Taifa Stars vilivyo na kuufanya mchezo kuwa wa upande mmoja zaidi.

Mpaka kipyenga cha mwisho, Egypt 5-1 Taifa Stars


Elizabeth hatarini tena Big Brother!

November 5, 2009

Elizabeth ndani ya ‘Denja zone’
Mshiriki wa Tanzania Elizabeth Gupta ameingia kwenye ‘denja zone’ baada ya kuwekwa ndani ya mchujo, kitendo kinachoashiria huenda akaaga Jumba la BBA wiki hii (Jumapili).
Eliza ameingia ndani ya mchujo baada ya mkubwa wa jumba wiki hii, Edward kumuokoa rafiki yake kipenzi na mvuta sigara mwenzake Mzamo, ambaye alikuwa kwenye orodha ya mstari mwekundu. Kaka mkubwa wa jumba hilo aliwatangaza washiriki waliopigiwa kura wiki hii na kuingia kwenye mchujo kuwa ni Nkenna, Emma aliyenusurika kutoka wiki iliyopita na Mzamo ambaye ameokolewa na rafiki yake. Ishu ilikuwa ‘hoti’ pale Edward alipoitwa katika chumba cha mahojiano na Big Brother na kuulizwa ni nani anayetaka kumuokoa, bila kusita alimtaja rafiki yake Mzamo na kumweka Elizabeth aondoke badala yake. Kwa hatua hiyo, huenda Eliza akaaga Jumba la BBA wiki hii. Ili kumuokoa, mpigie kura kwa wingi ili aendelee kutesa na mwisho wa siku aibuke na ushindi.
Mpige kura Eliza kwa kuandika jina lake (VOTE ELIZABETH) kisha kutuma kwenda namba 15726.

Na GPL


Taifa Stars yazidi kuchechemea, Tumepata kamoja…

November 5, 2009

Mpira ni mapumziko na mabao ni egypt 4-1 Taifa Stars, Bao Lililofungwa na Makasy Kiggi. ila mhhh jamaa hawataki matani wallah

Tutawajulisha kadri muda unavyokwenda…


DJ Rico and the City

November 5, 2009

Don’t miss this new KIPINDI on the SWEET EAZY channel.
Every first FRIDAY of the month. Starting this week.
All your favourite TUNES, all your favourite FRIENDS and plenty of DRAMA.
See below flyer for details.
C ya.

image


HIP HOP AWARDS KENYA ..GOIN DOWN ON 11TH DEC,2009 AT ALLIANCE FRACAISE NAROBI

November 5, 2009

image

Kenya’s online hip hop magazine Rhyme FM organizes the first online Kenyan hip hop awards. Simply called Hip Hop Awards Kenya, the competition focuses on underground hip hop rather than the commercial acts that are usually picked to represent in the various Kenyan and African award shows
 

PROCESS
The awards hosts( RHYME FM) Kenya’s premiere 100% hip-hop station and a panel consisting reputable and experienced industry players( emcees, producers ,djs, ) .went through releases dating back 3yrs ,we sampled hip-hop play lists from players on the ground matatu ,mixtape djs, online archives ,plus direct submissions and came up with a list we thought deserved to be recognized for their contribution towards hiphop’s growth in the country. we also felt it was only fair we involved the hip-hop heads in the nomination process and to this cause a wild card category was set up ,this means under each and every group of nominees in the different categories. the streets will be allowed to vote in two wild cards(people thy believe ought to be added to the said group of nominees)

The final two most voted in wild cards will automatically make it to
the said category of nominees .

NOMINEES LIST RELEASE
On 12th sep t 2009. the nominees list from the board will be released.
The process of voting in wild cards officially kicks off and will
continue for one month till October 12th,2009. After tht the votes
will be tallied and the final list of nominees will be unveiled on
12th nov,2009.

VOTING PROCESS
The voting process will be conducted ONLINE on WWW.RHYMEFM.COM ,social networking sites such as FACEBOOK ( THE GROUP “ HIP HOP AWARDS KENYA 2009”) .MYSPACE , RHYME FM’S affiliate entertainment sites, direct email to vote@rhymefm.com. In addition there will be awareness shows taking place in different campuses, estates and fans will we be allowed to vote( courtesy our corporate sponsors)

THEME
The theme for this years ceremony is ‘ DO IT RIGHT” not only are we celebrating people for doing it right but also using them as
ambassadors to the different neighborhoods they represent on societal issues such as drugs, hiv/aids. ,unemployment and most importantly spreading the gospel of respect for arts as a source of employment ,youth empowerment, edutainment medium of voicing issues ,share experiences ,unity, peace,

CEREMONY DATE AND VENUE 11th DEC,2009 AT THE ALLIANCE FRACAISE

HOW TO VOTE
1. SMS NAME OF CATEGORY FOLLOWED BY WILCARD
i.e best hiphop mc male- YOUNG TO 0750 38 50 25
2. EMAIL NAME OF CATEGORY FOLLOWED BY WILDCARD’S NAME TO
vote@rhymefm.com

BEST PERFORMER
1.J .U.D.G.E
2.WAKAMBA WAWILI
3.KALAHARI
4.UKOO FLANI
5.POINT BLANK
6.WAFALME
7.ABBASS KUBAFF
8.BAFU CHAFU
9.BLACK MACHIZI
10.WENYEJI
11.K-FORCE

NEW HIPHOP MC(S) OF THE YEAR
1.KALAHARI
2.125TH STREET
3.I&I
4.WAFALME
5.MG
6.BERNADDY
7.RABBIT
8.KIMATHI
9.X-STATIC
10.SPAN ONE
11.NCHA KALI
12.MISTA REE
13.K-47
14.DIRA
15.UFO
16.MAREFAZZ
17.K-FORCE
18.PROJEKT
19. OCTOPIZZLE
20 CALIGRAPH

HIPHOP MC(S) OF THE YEAR MALE
1.POINT BLANK
2.MORROCO
3.JUDGE
4.WENYEJI
5.WAKAMBA WAWILI
6.KALAHARI
7.KIMYA
8.GAZA
9.SPAN ONE
10.KALAMASHAKA
11.KRAKX MASTAZ
12.WALANGUZI
13.  KANTAI
14.  CARNIBAL & SHARAMA
15. JEFRO

HIPHOP MC(S) OF THE YEAR FEMALE
1.X-STATIC
2.L-NESS
3.A-2
4.KADDAH
5. SPECFYD
6. MICHELLE
7. EASTLANDO

MOST PROMISING HIPHOP ACT
1.KENNAH & CHECKMATE
2.EETHUR
3.MCP
4.KINGSKO
5.MC FARAKAN
6. MC MHUBIRI
7. KAMLESH

HIPHOP PRODUCER OF THE YEAR
1.CHIZ N BRAIN
2.MANDUGU DIGITAL
3.NICK PUNK
4,KDAWG
5.MUSYOKA
6.KEVO(AWESOME MUSIC)
7.BIG MIKE
8.KAMI KAZI
9.RD(MUZIK PLANT)
10.DJ LOOP
11.KIZZY DAGGA
12.THE UNDERDAWG
13.JOS N FLO
14.KEN RING (SWEDEN)
15.ADEL CHIGGAH
16.HIRAM
17.TAKE OVER
18.OTHOLE
19.SAINT P
20. XAU-K

HIPHOP GROUP OF THE YEAR
1.  SAFI CHAFU
2.  KRAKX MASTAZ
3.  K-FORCE
4.  KALAMASHAKA
5.  UKOO FLANI
6.  WENYEJI
7.  SPAN ONE
8.  WAKAMBA WAWILI
9.  UFO
10.  BLACK MACHIZI
11.  WAFALME
12.  NANOMA
13.  SMOGEEZ
14.  WASHAKIWA\
15.  WALANGUZI
16.  K-SOUTH
17.  CARNIBAL & SHARAMA
18.  SKANI FLANI
19.  MAKABURI
20.  ETERNAL MCS

LYRICSIT OF THE YEAR
1.K-SWISS
2.JOHNY KALAMASHAKA
3.MC DOUGHIE
4.MORROCO
5.JOHNY SPAN ONE
6. KAMAA K-SHAKA
7.ABBaS DOBEEZ

HIPHOP SONG OF THE YEAR
1.MARIA- GAZA FT KSWISS
2.AKINA NANI- MG FT KDAWG
3.RED,BLACK,GREEN- KSHAKA FT M-1
4.HAWATUEZI- NAKO 2 NAKO
5.HALLO BABE- CHIWAWA
6.JIPANGE- KIMYA FT JAYMO
7.RAFIKI- MC KAH
8.PRINCESS- GOREALLA FT PROJEKT
9.ONE 4 HIPHOP- ABASS KUBAFF
10.EASTLANDS ANTHEM- WALANGUZI
11.MTAA MENTALITY- JULIANI
12.CHINI YA JUA- GAS FYATU
13.ONE LOVE – UFO
14.ACCIDENT- MC DOUGHIE
15.WANABONGA TUU- KALAMASHAKA
16.ANGALIA SAA- KALAMASHAKA FT KSWISS
17.JUSTICE- MWAFRIKA FT MUKI GARANG
18.I SEE YO PAIN- 125TH STREET
19.FACTORY- KANTAI
20. NDIO HAO-  JUDGE FT CHIEF CHEF
21. AMEN – JEFRO FT JUDGE

HIPHOP EVENT OF THE YEAR
1.WAPI
2.URBAN MIRROR
3.MAD LOVE LOUNGE
HIPHOP ACTIVIST OF THE YEAR
1.WAKAMBA WAWILI( HIPHOP HALISI)
2.VOICE OF THE UNDERGROUND
3.NAI-RAW( MWAFRIKA DJ ZAK)
4.WAPI(BUDDAH BLAZE)
5.URBAN MIRROR(UKOO FLANI)
6.MAD LOVE LOUNGE  (MOVEMENT)

HIPHOP DJ OF THE YEAR
1.DJ STEEL
2.DJ JOEY
3.DJ ZAK
4.VOTU CREW
5.BIRDI INC
6.DJ FRANKIE
7.INFERNO CREW
8.HEPTA ENT
9.DJ MOZ
10.UGK CREW
11. DJ LAZRA
12. DJ GG
13.DJ SHOCK
14.DJ OTAVE

GRAPHITI ARTIST OF THE YEAR
1.BANKSLAVE
2.ESSIEN
3.UHURU
4.SMOKILLAH
5.PROJEKT
6.2000 BC
7. OBARTS
8. SWIFT
9. BHUPI

ALBUM OF THE YEAR
1.DANDORA BURINIG-UKOO FLANI MAU MAU
2.SIKU NJEMA-WENYEJI
3.HIPHOP ERA- KRAKX MASTAZ
4.MTAA MENTALITY-JULIANI
5.KUME KUCHA- BLAC DUO
6. NAIROBERRY- KSOUTH
7.ANGABANGA- DOBEEZ
8.SUBIRA-  MC KAH
9.MASHIFTA CLASSICS- MASHIFTA
10.KILIO CHA HAKI- UKOO MAU MAU

HUSTLA OF THE YEAR
1.C-ALI(SAFI CHAFU)
2.KINGSKO
3.MC SHENZY
4.MC FARAKAN
5.GAS FYATU
BEST HIPHOP SHOW
1.NAIRAW
2.HIPHOP HALISI
3.LIVE WITH SHENZY(RHYME FM)
4.INFERNO
5.THE SOURCE- NICK NDEDA

ALTERNATIVE CONCIOUS ACT
1.GRANDMASTA MASESE
2.OBALLA DAN
3.ERIC WAINAINA
4. LEVYSILL
5.PEPE HAZE
6. GFLOW
7. BLACK SKILLZ
8. SPECFYD
9. NUMBER

HIPHOP SITE OF THE YEAR
1.AFRICANHIPHOP.COM
2.BENEATHDASURAFACE.COM
3..RHYMEFM.COM
4.VOTURADIO.CO.NR
5.MANUFESTO.BLOGSPOT.COM

VIDEO PRODUCER OF THE YEAR
1.HANSKILLZ
2.PRO-DICKY
3.MOUSE
4.KEN MAPROMO
5.SKUBBI
6. FYU WORKS(ALLAN)

HIPHOP ACT TANZANIA
1.NAKO 2 NAKO SOLDIERS
2.JOE MAKINI
3.KALAPINA
4.KIKOSI CHA MZINGA
5.WATENGWA
6.JAYMO
7.FID Q
8.PROFESSA JAY
9.MR 2
10.RADDO
11.X- PLATAZ
12. STOPPAH
13. LA FAMILIA

HIPHOP VIDEO OF THE YEAR
1ANGALIA SAA- KAMMA FT KSWISS
2.AKINA NANI- MG FT KDAWG
3.MIZANI- WENYEJI
4.EXAMPLE –SMOGEES
5.MSANII – JUDGE FT LNESS
6.DODOMA- RABBIT
7. AMEN- JEFRO
8. BICEPS- JULIANI
  

MATATU  HOUSE
1. DIZE
2.MOHA GRAPHIX
3.DODI
4.PERFECTION CLASSIC
5.PERFECTION AUTO
6. PAK SOUNDS
7. KICHIMBI

KINGDOM  HIP HOP  (GOSPEL)
1.JEFRO
2.KAMLESH
3.EKO DYDA
4.JULIANI
5. MR T
6.XPO
7. MC MHUBIRI
8.N0. 8
9. THE ADVOCATE
10.OTHOLE
11.MC DICE
12. HOLYDAVE
13. SAINT P
14. TREBBLE
15. KAMA ( B4C)
16. A-STAR
17. RIGGAH
18. EDU EYE

LIFE TIME ACHIEMENT AWARD GOES TO
1.WANGARI MAATHAI
2. MAMA CEE
 

REGARDS,
MC SHENZY
HIPHOP AWARDS KENYA/RHYME FM
http://www.rhymefm.com


Siku zahesabika Kombe la Dunia kutua Tanzania

November 3, 2009

BADO SIKU 17 KOMBE LA DUNIA KUTUA TANZANIA
Kombe la dunia
BADO SIKU 17 KOMBE LA DUNIA KUTUA TANZANIA
Ramani ya ziara kamili ya kombe hilo
BADO SIKU 17 KOMBE LA DUNIA KUTUA TANZANIA
Ndege aina ya Boeing 737 inayosafirisha kombe hilo


VETO kuzinduliwa rasmi usiku wa Krismas

November 3, 2009

image

Mwanamuziki wa kizazi kipya nguli wa siku nyingi kwenye fani Mr II aka Sugu amesema kuwa uzinduzi wa albamu yake ya VETO utafanyika siku ya mkesha wa sikukuu ya Christmass jijini Dar Es Salaam katika ukumbi wa Diamond Jubelee.

Akizungumza na Spoti na Starehe jioni hii Sugu amesema kuwa uzinduzi huo unaandaliwa na kampuni ya Deiwaka na ameomsema pia mpaka sasa hakuna mdhamini ila jitihada zinafanywa na muitikio si mbaya.

Mr II ambaye anatamba sasa na single yake inayokwenda kwa jina la Hold On ambayo ni moja ya vibao vya moto katika albamu nzima ya VETO. Aidha Sugu ametanabaisha kuwa wanamuziki kadhaa wanaowika kwenye medani ya muziki huu watashiriki kwenye usiku huo wa kufa mtu “…kumbuka ni miaka mitano tangu nimeperform dar show yangu mara mwisho ilikuwa hapo hapo diamond jubilee mwaka 2004” alisema Sugu. “pia hii show sio tu uzinduzi wa album yangu ya kumi…pia nasherehekea miaka 15 kama recording artist…yaani tangu nianze kurekodi albums” aliongeza.

Spoti na Starehe inakupa big up na pia ni moja ya wadhamini wa Usiku huo hivyo basi wadhamini zaidi wanaombwa kujitokeza.


Waliomuua Albino kunyongwa hadi kufa

November 1, 2009

Watuhumiwa wa Mauaji ya Albino waliohukumiwa kunyongwa na Mahakama Kuu ya Shinyanga jana.

Watu wanne wamehukumiwa kunyongwa hadi kufa baada ya kukutwa na hatia ya mauaji ya kukusudia dhidi ya albino Lyaku Willy (50) yaliyotokea Bariadi mkoani hapa, Desemba mwaka jana.

Hiyo ni hukumu ya pili kutolewa kwa washtakiwa wa mauaji ya albino baada ya watatu kuhukumiwa kunyongwa Septemba mwaka huu kwa kosa la kumuua Matatizo Dunia, albino aliyekuwa akiishi Bukombe.

Waliotiwa hatiani jana na Mahakama Kuu Shinyanga ni Mboje Mawe, Chenyenye Kishiwa, Sayi Gamaya na Sayi Mafizi, ambao walihusika kumkata mapanga mlemavu huyo na kuufunga mwili wake kwenye sandarusi kisha kuutupa Mto Kidamlida.

Akitoa hukumu hiyo, Jaji aliyekuwa anasikiliza kesi hiyo kutoka Mahakama Kuu Tabora, Gab Mjemasi, alisema ameridhika na ushahidi wa upande wa mashtaka pamoja na vielelezo 11 vilivyotolewa mahakamani hapo. Habari kwa hisani ya http://www.habarileo.co.tz/

*****************************************************

Ingawa habari hii si ya ki spoti ila kwangu ni habari ya faraja na wale wanachama wa ile forum yetu. Jiunge nasi katika kubadilishana mawazo juu ya swala hili, kwa wale wenye kurasa za Facebook wanaweza kutupata kwa kutafuta kundi linaitwa “Say no to Albino killings in Tanzania”.

Mhariri


Simba 1-0 Yanga

October 31, 2009

Mpira umekwisha na Simba wameishinda kwa Taabu kwa 1-0.

Nitawaletea habari zaidi baadaye.


RWANDA KUPATA WAWAKILI WA MISS EAST AFRICA 2009 JUMAMOSI!!

October 29, 2009
 

Hawa ni baadhi ya warembo wa Rwanda watakaowania kushiriki Miss East Africa 2009.

Warembo watakaoiwakilisha Nchi ya Rwanda katika mashindano ya kimataifa ya MISS EAST AFRICA 2009 watapatikana wiki hii katika mashindano yanayosubiliwa kwa hamu kubwa Nchini humo.
Mashindano hayo ya Rwanda yanaayoandaliwa na kampuni ya Rwanda Events Limited ya Nchini humo yatafanyika siku ya Jumamosi wiki hii jijini Kigali.
Washindi wawili wa mashindano hayo wataiwakilisha Nchi ya Rwanda katika fainali za mashindano ya MISS EAST AFRICA 2009 yatakayofanyika tarehe 18 Desemba, 2009 jijini Dar es salaam, Tanzania.
Wawakilishi wa Rwanda katika mashindano ya Miss East Africa mwaka jana yaliyofanyika Bujumbura, Burundi walikuwa ni Kaneza Brigitte na Idmulisa Dominique from RWANDA

Mashindano ya Miss East Africa mwaka huu yanatarajiwa kushirikisha warembo 28 kutoka Nchi 14 ambazo ni pamoja na wenyeji Tanzania, Kenya, Uganda, Rwanda, na Burundi. Zingine ni Ethiopia, Eritrea, Djibouti, Somalia, Madagascar, Seychelles, Mauritius, Comoros, na Re union,Mashindano ya Kimataifa ya Miss East Africa yanaandaliwa na kumilikiwa na kampuni ya Rena Events Limited ya jijini Dar es salaam.

Wakati huohuo droo ya kila mwezi ya bahati nasibu ya Miss East Africa imefanyika jana na washindi kutangazwa. Washindi hao wa droo ndogondogo za kila mwezi wamejishindia zawadi mbalimbali zenye thamani ya shillingi million mbili ikiwa ni pamoja na pesa taslimu, simu za mkononi, ticketi za VIP za kuangalia fainali ya mashindano ya Miss East Africa, n.k.

Zawadi kubwa katika bahati nasibu hiyo inayoendelea Nchi nzima ni Gari aina ya Range Rover Sport, kutoka CMC Automobile Ltd. Ili kushiriki bahati nasibu hiyo unatakiwa kununua ticketi kutoka kwa wauzaji wa Magazeti Nchini, au kutuma SMS ya neno “SHINDA” kwenda namba 15567 kwa kutumia simu ya mkononi.


Penang Marathon 09

October 29, 2009

penang

Siku zimeisha!, Nimeambiwa wakenya wamechangamkia mbio hizi ambazo zinakatiza kwenye daraja refu kuliko yete ulimwenguni likiwa na Kilomter zipatazo 15 ndani ya bahari likiunganisha Penisula Malaysia na kisiwa cha Penang. Natumai watanzania hamjachelewa kwa habari na kujiandikisha gonga hapa. Tafadhali zingatia kumaliza hatua zote 7 katika kujiandikisha.


Shikito kupamba shoo ya Ferre Gola Dar

October 29, 2009

 

Kombo ‘Shikito’

MWIMBAJI nyota chipukizi wa Kongo Makinu Kombo ‘Shikito’ anatarajiwa kuongozana na mkali wa bolingo kutoka nchini humo, Ferre Gola Batangire, akiwa miongoni mwa wanamuziki 17 watakaokuja nchini kwa mwaliko wa New Habari(2006)Ltd.

“Katika orodha ya wanamuziki 17 ambao Ferre ametutumia majina yake, yupo pia Shikito lakini mtoto mwingine aitwaye Ilunga hatakuja kwenye msafara huu,” alisema.Aziza Aliwataja wanamuziki wengine wanaokuja na Ferre kuwa ni pamoja naFreddy Makola Linakasi, Nikodeni Kanday Ngoy, Olenga Makiese, ClizoKalonda Lopeta, Sungu Mbobolo, De Gaule Matima Makitela, Guy NgolaMawesele na Awulu Wala Tshipanga Wale.

Wengine ni Ngwanzu Bavuidibio Gaza, DebosSunguesabena wa Kayembe, Mabiala Mobele, Mchele Mkelele Kitongo naChristian Solo Kabongo Muyambi.Wengine ni Vicky Moleka Leta, Patricia Isako Apakati, Renate KungaMuwangu, Nancy Mbemba-Lohuma.

Shikito ni kijana mdogo ambae amejichukulia umaarufu mkubwa sana ndani nanje ya Kongo kwa kuwa mwimbaji mahiri mwenye umri mdogo zaidi katika anga ya muziki wa dansi afrika.

Habari kwa niaba ya Michuzi


Agassi akiri kutumia dawa za nguvu

October 28, 2009

image

Andre Agassi amekiri kupitia tawasifu yake mpya, alidanganya kwa waendesha mchezo wa tennis kuhusu kutumia dawa za kuongeza nguvu ili kukwepa kufungiwa.

Agassi aliyestaafu mwaka 2006, amesema alitumia dawa hiyo mwaka 1997 alipokuwa na msaidizi wake wa zamani ‘Slim’.

Chama cha mchezo wa tennis kwa wachezaji wa kulipwa (ATP) kimesema kinachunguza kukiri huko kwa Agassi.

Katika tawasifu huo uliopatikana na gazeti la Times, Aggasi ameandika "Slim" alimtilia kiasi kidogo cha unga wa dawa hiyo kwenye kahawa.

Na BBC


Kutana na Giuliano Stroe, Baunsa mtoto wa miaka mitano aliyevunja Rekodi ya dunia.

October 28, 2009

juliana

Anaitwa Giuliano Stroe toka Romania, ana miaka mitano tu na tayari ana miraba 6 tumboni mwake (6 pax) na ameshaingia kwenye kitabu cha kumbukumbu cha walivunja rekodi cha Guiness.

akiwa na umri wa kuanza shule Giuliano Stroe aliingia kwenye kitabu cha Guiness mapema mwaka huu baada ya kutembea kwa mikono umbali wa mita 10 akiwa na mpira wenye uzito kati ya miguu yake. Tangu hapo video yake ya dakika 4 imekuwa na hit za ajabu na kuikonga dunia huku kila mtu akitaka kujua kulikoni na kupelekea mtoto huyu kupamba vichwa vya habari mbali mbali duniani. Bonyeza player kupata ushuhuda.


Filandu na Wenge Musica BCBG

October 28, 2009

 

Kuna mdau wangu kwa jina la Baraka ameniomba kuandika Historia ya Wenge Musica tangu ianze mpaka sasa na kila kundi lilipo na wanafanya nini, nakuahidi tu mdau wangu niko nakusanya facts ili nitoke na unachokitaka. Napenda kukujulisha kuwa habari hiyo itatoka wiki ijayo hivyo tega sikio. Kwa leo pata burudani ya kibao Filandu ambacho kiliundwa na Engineer Blaise Bulla wakati hui walipotoka na Albamu ya Pentagone.

Kwa wanaomjua Blaise Bulla wanajua kwa nini aliitwa Engineer, kwa faida ya wadau, Blaise Bulla ndiye alikuwa na kazi ya kupanga mtiririko mzima wa waimbaji katika wimbo kuwa Ataanza nani na nani afuate, na ndiye yeye aliyekuwa na uwezo wa hata kusema ubeti huu ukiimbwa na Werason utapendeza zaidi na wa Werason uimbwe na Dominguez, basi ilimradi kuleta raha na ndio maana alipewa jina la Engineer.


Kroenke akaribia kumiliki club ya Arsenal

October 28, 2009

image

Mkurugenzi wa Arsenal Stan Kroenke  (pichani) amepiga hatua moja zaidi ambapo anaweza kujitolea kununua hisa zote za club hio.

Tajiri huyo wa Kimarekani amenunua hisa kumi zaidi kwa pauni £8,500 kila moja na kupandisha mchango wake katika hisa kufikia asili mia 28.9%.

Hiyo ina maana kwamba Bw. Kroenke ndiye mwenye hisa nyingi zaidi ya wengine, akimshinda tajiri kutoka Uzbekistan Alisher Usmanov, mwenye asili mia 24%. Bw. Kroenke anakaribia kiwango cha juu cha 29.99% ambapo itambidi atangaze nia ya kununua hisa zilizosalia.

Hata hivyo hisa zilizosalia zinashikiliwa na Wakurugenzi wanaozishikilia kwa mkono wa chuma. Bw.Kroenke anayemiliki club ya NBA huko Marekani Denver Nuggets amekua akinunua hisa za club ya Arsenal taratibu mwaka huu akidokoa kila fursa inayojitokeza kutoka kwa wanaotaka kuuza.

Pamoja na Bw.Kroenke, wengine wenye kifua katika kumiliki hisa kubwa ni Bw.Usmanov, Danny Fiszman na Lady Bracewell Smith. Hata hivyo haijaeleweka kama Bw.Kroenke ana nia ya kununua hisa zilizosalia kwa nia ya kuimiliki club nzima ya Arsenal au amenunua hisa hizo kwa ajili ya faida ya uwekezaji wa mda mrefu.


X Plastaz represent Africa at BET Hip Hop Awards 2009

October 26, 2009

America’s annual ‘gathering of giants’ pays tribute to Tanzanian hip hop

image

Gsan in action at the BET cypher

Rapper Gsan of the group X Plastaz from Arusha, Tanzania, is representing Africa in this year’s edition of the BET Hip Hop Awards, broadcast on October 27 on BET (Black Entertainment Television) in the USA. Meanwhile, X Plastaz’ dj/producer Threesixty is heard all around the world through his production for major hip hop artist Redman (Def Jam).

The annual BET Hip Hop Awards are watched by millions of hip hop fans across the United States. Especially the part of the show in which Gsan participates, titled the BET Hip Hop Awards cypher, is highly anticipated as it’s a true gathering of giants in rap music. The cypher, in which the artists go back to the raw essence of hip hop, sees legendary dj/producer Premier team up with emcees such as Mos Def, Black Thought, Eminem and Joe Budden. The section in which BET pays tribute to the growing popularity of hip hop from East Africa by including Gsan has the Arusha-born rapper performing alongside veteran rapper KRS One along with newcomers Wale and Nipsey Hussle.

The inclusion of X Plastaz in this year’s BET Hip Hop Awards came about when BET contacted X Plastaz, after seeing their music video ‘Nini dhambi kwa mwenye dhiki’ on the Youtube website. ‘Nini dhambi’ which has drawn over 400.000 views is one of the most popular East African music videos on the web. Gsan flew out to Brooklyn, New York where the cypher was pre-recorded in an empty factory building. His contribution was a rap in Swahili over an old school loop, cut up by dj Premier. While Swahili language hip hop was something new for the other artists, KRS One and Premier were full of love for the African input into this year’s cypher.

After recording the cypher, Gsan attended the Awards ceremony which took place in Atlanta on October 10, and which will finally be broadcast next tuesday, October 27.

image

Gsan posing with dj Premier and rapper KRS One

Says Gsan in an interview with Emcee Africa presenter Lee Kasumba: "Well, the Cypher segment was recorded in New York before the actual award ceremony. For me, it was just amazing to be there with people like Eminem, KRS One, DJ Premier playing the beats, and being able to showcase what I had. Many people were blown away with what I did and asked me why I rhymed in Swahili ‘cause they wanted to understand. I was just like ‘English is not my first language, I speak it, I love it but you will be able to mess me up if I rhyme in English’. There were emcees from all over the world in one setting, and I was happy to represent for Africa. I wasn’t starstruck, just glad to showcase what I did and could do with my American counterparts. I mean, think of it, we really have the same names, just one word changes, African American and African, do you understand what that means?"

Also this week, X Plastaz dj Threesixty (real name: Bamba Nazar) is being hailed as a breath of fresh air in hip hop as his production for Def Jam-artist Redman was distributed across the internet. The beat reminds of the energetic old school sound of the late 1970’s and is a sureshot dancefloor filler. The song, titled ‘Coc Back’, is the first single off Redman’s long awaited new album titled ‘Reggie Noble 9.5′ which will be released in December. The video for ‘Coc Back’ will be out this week.

Watch Gsan from X Plastaz in the BET Hip Hop Awards cypher on tuesday, October 27 at 8 pm (EDT) on BET. Outside of USA the cypher can be watched on Youtube from the day after the Awards show.

Official BET Hip Hop Awards website: http://www.bet.com/specials/hiphopawards09

X Plastaz website: http://www.xplastaz.com

Dj Threesixty website: http://www.bambanazar.com

Also see this clip in which dj Premier announced the participants of this year’s BET Hip Hop Awards cypher (mispronouncing Gsan as ‘Anson’):

http://www.youtube.com/watch?v=BLWOtZ-wwzY&feature=player_embedded


Manchester mbende mbende kwa Liverpool

October 25, 2009

Yalala 2-0

image

Matokeo ya leo:

matokeo

 

Msimamo baada ya matokeo ya leo

msim


Sheria Ngowi

October 25, 2009

image

”Sheria Ngowi Designs”

For More Pictures:
Click Here