Nairobi hapatoshi weekend hii

4_003

Eve E akiwa amepozi kiaina. Ujio wa wanamuziki hawa akiwemo Shaggy na Cabo Snoopy umefanikishwa na Prime Time Promotion ya jijini Dar Es Salaam na kudhaminiwa na kampuni ya Bia ya EABL kupitia kinywaji chake cha Tusker. (Picha zote na Blog ya Jiachie)

 

9

Mwanamuziki kutoka nchini Jamaica,anaefanya kazi zake za kimuziki nchini Marekani,Orville Richard Burrell a.k.a Shaggy akiwa amepozi mara baada ya kutia saini bango lenye tangazo la kampeni mpya ya East African Breweries Ltd, iliozinduliwa hivi karibuni kwa ajili ya kuielimisha jamii kuhusiana na suala la ulevi wa kupindukia ijulikanayo kama “Unywaji pombe kistaarabu” ama ” RESPONSIBLE DRINKING CAMPAIGN”

 

8_002

Msanii mmojawapo wa Tusker All Stars 2011 akitia saini kwenye bango lenye tangazo la kampeni mpya ya East African Breweries Ltd,iitwayo “Unywaji pombe kistaarabu” ama ” RESPONSIBLE DRINKING CAMPAIGN”

 

 

3_003

Baadhi ya wanamuziki waliojitokeza kuunga mkono kampeni mpya ya EABL-Kenya ( RESPONSIBLE DRINKING CAMPAIGN),wakiwa wamepozi picha pamoja kwenye baadhi ya Tax zenye kuhamasisha kampeni hiyo jijini Nairobi,kulia ni Davies,Eve E,Peter Msechu,Cabo Snoop pamoja na Shaggy.

 

10_002

Mmoja wa Wakurugenzi wa Clouds Entertainment,Ruge Mutahaba pichani kulia akizungumza jambo na Shaggy leo mchana nje ya hoteli ya Kimataifa,Serena,jijini Nairobi.

 

1_002

Pichani kulia ni Mkurugenzi wa Masoko wa EABL-Kenya,Caroline Ndungu sambamba na baadhi ya wafanyakazi wa kampuni hiyo wakiwa na wanamuziki watakaotumbuiza kesho kwenye tamasha la Tusker All Stars 2011,wakitoka nje ya hoteli ya Serena,iliopo katikati ya jiji la Nairobi,Kenya mapema leo mchana kwa ajili ya kuunga mkono kampeni mpya ya Unywaji pombe kistaarabu ” RESPONSIBLE DRINKING CAMPAIGN”,ambayo nchini Tanzania ilizinduliwa hivi karibuni (kwa picha ya tukio hilo bofya hapa).

2 Responses to Nairobi hapatoshi weekend hii

  1. As soon as I imagined about things like: why such facts is free of charge right here? When you write a book then at least on selling a book you receive a percentage, due to the fact. Thank you and fantastic luck on informing persons more about this.

  2. Appreciating the time and effort you put into your blog and detailed information you offer. It’s nice to come across a blog every once in a while that isn’t the same outdated rehashed material. Great read! I’ve saved your site and I’m including your RSS feeds to my Google account.

Leave a comment