Wimbo wake JB Mpiana- Sultan De Bruneil Kaskinto ilikuwa kwenye albamu ya Tojou Humble au TH, ikiwa ni majibu kwa mwanamuziki Werason alipotoa Albamu ya Solola Bien akimwambia JB Mpiana sema tena na JB akamjibu mi ni mnyenyekevu daima.
Katika Wimbo huu ambapo JB alitaka kujifananisha na Mfalme wa Brunei na kuwapa shavu baadhi ya washabiki wake huko Nchini Brunei hali haikuwa hivyo kwani ni mwaka jana tuu wananchi waliandamana na kutumia picha za wimbo huo kwa kile walichotafsiri wao ni muonekano wa familia ya kifalme kwani familia ya Kifalme inalaumiwa kwa kuponda starehe na kutumia mamilion ya dola za walipa kodi kwa ajili ya maisha yao binafsi, hasa mtoto wa kiume wa mfalme huyo ambaye anajulikana kwa kuponda maraha na mkali wa wanawake jambo ambalo ni kinyume kwa wananchi wa nchi hiyo ambao wengi wao ni wadini.
Awali akiongea nami kwa njia ya email mmoliki wa blog ya Papar Demokrasi (asubuhi ya Demokrasia) Saifudin Alhadawi alitaka nimwambie maana ya wimbo huu. “Ni mfalme wetu, hatujui mnasema nini juu yake, mbona kuna wanawake wanacheza nusu uchi? ilihoji sehemu ya email hiyo ndefu iliyoandikwa kwa Kiingereza na Bahasa Malayu ambayo ni lugha inatumika huko.
Baada ya kupitia Blog ile nikaona picha za maandamano ambazo nilizichapisha kwenye Blog yangu ya kwanza ambayo ilifungwa na Google pamoja na akaunti yangu ya Youtube.
Baada ya kutafuta maana ya wimbo ule na kuwasiliana na Saifudin akaniambia Blog yake haiko hewani ila tafsiri ile waliitumia kwenye gazeti la Borneo Bulletin.
Akijibu kupitia kwa webmaster wake Guy Guy Mpeye, JB alinijibu kuwa hakuwa na leo hilo kabisa kwani yeye alifananisha maisha ambayo mfalme wa Brunei anaishi na huku ikifahamika kuwa Brunei wananchi wake wanaishi kwa raha kwa sababu ya hazina ya mafuta iliyo nayo.
Leo nakuletea tafsiri ya Wimbo huo kama ilivyokokotolewa na Wenge BCBG die hard member Mwambungu nakati ya Tunduma.
Wimbo: Sultan De Bruneil
Mtunzi: JB M’piana
Album: TH
Bendi: Wenge BCBG
Yela no nga bolingo nayo
Oyo ezali lokola mbuma
Elengi Oyo ezanga mokuwa
Lokola mbinzo oyo etonda
Saveur Le sultan de Bruneil
Ooh Kas Kaskito mobali ya
Malonga.
Unipe mapenzi yako laini kama tunda
tamu lisilo na mfupa kama jongoo
aliyezidishwa ladha jina lake Sultan
wa Brunei Kas Kaskito mwanamume
mtanashati
Mokolo Kaskito abengaki ngai
il faut omona presence ya Kaskin
teint d’ ebene, sourire eclatant na
ba frime mobali ya solo jeune homme
a` louer Aaah jeune homme elegant
Siku kaskito aliniita mara ya kwanza
muonekano wake ulikua wa pekee
rangi ya ngozi yake mti wa mpingo
tabasamu inayovutia pia
mwanamume mwenye maringo
Ba proposition nyonso basalaki ngai
pe ya sango oo peau elegant na
carisme ya ba amoureux ee
Maombi mapenzi niliyopewa na
na Kaskin Kaskito mobali ya tembe
Kaskin Kaskito mwanaume
mwenye sifa nyingi na mvuto wa
mapenzi.
Po ba professeur bayebisaki
Ngai soki mokolo abengi yo il
Faut otelema
IL faut oyoka nano, tango
Mosusu okotinda yo, il se
Peut ako kabela yo
Po mwana etinda akufaka
nzala te eloba bakulutu uu
Maman.
Walimu walinifahamisha kama
ukiitwa na mtu mzima inabidi
kusimama inatakiwa kumsikiliza
kwanza wakati mwingine anaweza
akakutuma au akakupa zawadi
kwamba mtoto anayekubali
kutumwa hawezi kufa njaa
mababu walisema.
Eeeh aaah toi c’est moi, moi
c’est ton remede d’amour (2x)
Eeeh aaah wewe ndio mimi, mimi
ndio dawa yako ya mapenzi
Chorus:
Ba banda bolingo batika
Miso etondaka te nakolula
eluli ye, iya olele
Eluli kaskito iya olele
Bolingo kwitikwiti imaole
Iya olele
Bolingo kwitikwiti imaole
Iya olele (2x)
Kwitikwiti kwitikwiti
Walioanza kupenda hawajachoka
Kolinga teo, iya olele
kupenda, iya olele
Macho hayachoki kupenda
yamechagua, iya olele
Yamemchagua Kaskito, iya olele
Mapenzi ni ulevi imaole iya olele
Mapenzi ni ulevi imaole iya olele
ulevi ulevi
Shai Ngenge
Que je me pende Lisette
Menga pour te prouver
que je t’aime
Wawa Mbula, Lucien Katanga
Hugue Mazomba
Que je me plonge dans le feu
Pour te prouver que je t’aime
Sabena Wanani, Didi Ongwari
Kijokolo
Nijiue Lisette Menga ili uamini ya
kama nakupenda
Wawa Mbula, Lucien Katanga
Hugue Mazomba
Nijitupe motoni ili uamini ya kama
nakupenda
Sabena Wanani, Didi Ongwari
Kijokolo
JB M’piana
Non non non non moi je t’aime
Oh Mimi Kas, Papy Kas I love you
Pusana pembeni nga natala kitoko
nayo
Papa leki Carly moi je t’aime oh seka
moke nga natala nzela ya mino nayo
aa aa aa aa koloba na moto te
RPT Chorus
kweli kweli mimi nakupenda
mimi Kas, Papy Kas nawapendeni
sogea karibu nione uzuri wako
Baba mdogo Carly mimi nakupenda
cheka kidogo nione mwanya
wako aa aa aa usimwambie mtu yeyote
aisee umetulia! ahahah mwe na ukazua zogo! duniani vituko
mbona wana muziki wa Congo wanatoa video wakicheza na nguo ambazo ziko na label ya duka?
Namkubari sana Papa chery JB
Hiyo tumeipata ndugu yangu ila naomba kama utaweza nisaidie hili,turudi zamani kidogo ningependa unitafsirie nyimbo inaitwa OMINGA ya kwake ABBY SURYA akishirikiana na MBILIA BEL. NAHITAJI MSAADA WAKO SANA KWENYE HII NYIMBO HUWA INANIPA HISIA KALI MNO KILA NIKIISIKILIZA.NA PIA KAMA KUNA UWEZEKANO ANZISHA PAGE ITAKAYOKUWA INAHUSU TAFSIRI YA NYIMBO ZA KIKONGO NI USHAURI NIMEKUPA
I believe what you said was actually very reasonable.
However, what about this? what if you were to create a awesome post title?
I am not saying your content is not good., however
suppose you added a headline that grabbed folk’s attention? I mean Sultan De Bruneil Kaskinto wimbo wa JB Mpiana ulisababisha mtafaruku Brunei | Spoti na
Starehe is kinda plain. You should glance at Yahoo’s home page and see how they create post titles to
grab viewers interested. You might try adding a video
or a related picture or two to grab people excited
about everything’ve got to say. In my opinion, it
would make your blog a little bit more interesting.
Pretty! This has been an extremely wonderful article.
Many thanks for providing this info.
Hello, I believe your blog might be having web browser compatibility problems.
When I look at your website in Safari, it looks fine
however, when opening in I.E., it has some overlapping issues.
I simply wanted to give you a quick heads up! Other than that, wonderful site!
fantastic points altogether, you just received a logo new reader. What may you suggest about your put up that you made some days ago? Any sure?
At this time it looks like WordPress is the preferred blogging platform out there right now. (from what I’ve read) Is that what you’re using on your blog?
We stumbled over here by a different website and thought I might check things out. I like what I see so now i am following you. Look forward to looking at your web page again.
Its my good pleasure to go to your blog site and also to take pleasure in your great posts right here. I like it a lot. I can feel you paid significantly consideration for anyone articles or blog posts, as all of them make sense and are quite valuable.
Once I thought about items like: why such facts is at no cost right here? When you write a book then no less than on offering a book you get a percentage, for the reason that. Thank you and fantastic luck on informing men and women a lot more about it.
Thanks for your personal marvelous posting! I quite enjoyed reading it, you might be a great author.I will be sure to bookmark your blog and will often come back from now on. I want to encourage that you continue your great writing, have a nice day!