Kama una maoni yeyote unaweza kuandika hapa na tutajitahidi kadri ya uwezo wetu kuyafanyia kazi.
Maoni yawe yakujenga na tutumie lugha ambayo haitomkwaza mwingine.
Pius – Mhariri
piusmicky@yahoo.co.uk
Mob: +60176452510
+255 713 666616
Ken Damansara Condo
SS 2/72 - Darul Ehsan
47400 Selangor
Petalling Jaya
Kuala Lumpur - Malaysia
candyxtreo on Soleil Wanga alia na Binti wa… | |
Lola6666 on Fimbo ya Bakadja; Mapenzi yana… | |
Anonymous on Tutu Kaludji aokoka, ageukia M… | |
Anonymous on Tour Eiffel ya Wenge BCBG na W… | |
mntangi on Wimbo(Nzembo)-Champion Kapanga… |
M | T | W | T | F | S | S |
---|---|---|---|---|---|---|
1 | 2 | 3 | 4 | 5 | ||
6 | 7 | 8 | 9 | 10 | 11 | 12 |
13 | 14 | 15 | 16 | 17 | 18 | 19 |
20 | 21 | 22 | 23 | 24 | 25 | 26 |
27 | 28 | 29 | 30 | 31 |
kaka huwa unatuwambia tubonyeze prea.harafu hatuoni kitu vip. unatunyima huondo kaka.turetee prea kweri nihayo tu. mimi.mudy toka lstamburi.turuky
Nilitaka tu ili ni wa pongeze na kazi nzuri hamboyo munaifanya. Nawatakia mafanikiyo mazuri katika kazi yenu na mzidi kutupa habari motomoto kutoka AFRICA
hongereni kwa habari nzuri za michezo na burudani. pia nawaombeni mjitahidi kuandika habari za ndani ya nchi yetu na sio kila siku kuandika habari ya ligi za wenzetu ulaya . mbona wao hawa andiki habari kuhusu ligi yetu ya bongo.
Dear Tanzania
It my pleasure to write to you and introduce our lodge based in Karatu Tanzania
“Endoro Lodge is the cradle for integration with nature that lies at the foot of the Ngorongoro Highland Forest. Surrounded by natures haven, a mystical environment with a sense of calmness beyond words. It is located along the fire line of the Ngorongoro Conservation Authority; 5.5km from the town of Karatu, 0.5km from the Endoro Gate, 20km from the Ngorongoro Main Gate, and 28km from the Manyara National Park.
The lodge has 18 spacious cottages, designed to incorporate the surrounding culture within the vicinity of the greater Ngorongoro highland forest area. At all times the cottages face the Ngorongoro wilderness that presides before the lodge guarding and observing the wild as they exist before the summit where there is access of integration with nature.
The facilities are a personalized restaurant and bar, a comfortable traditional lounge, a massage boma, a swimming pool and free internet. The restaurant and bar provide a magnificent view of the Ngorongoro Highlands Forest Fire line into the Ngorongoro Conservation Area.
Due to the surrounding forest the location has the freshest misty rich air and unexploited land. Imagine how fresh and pure the air can be in the jungle so beautiful, green, and peaceful. How a wilderness feels like, even words can’t compare and describe this feeling.
It is our aim to provide the right exposure in the quiet home of abundant luxury where our joy is the dream that you live in for just a moment. This majestic lodge has outstanding integration with nature techniques created for all kinds of guests.
Cultural Tours: visit the natives of the Ngorongoro Forest Highlands and learn how their forefathers migrated to the area and survived side-by-side with the wild for centuries before the founding of the Ngorongoro Conservation Area. Cultural Dance will be performed by a group of iraqw ladies, and the tinga tinga painting art where the guests shall have the opportunity to select a few of their choice. The guests will have the opportunity of learning about the Iraqw people, their lifestyle and livelihood.
Endoro Trail is a 2 hour nature walk into the Ngorongoro Conservation Area. Elephant caves have been created by elephants seeking for salty minerals in the soil that they eat to help with digestion. Endoro Falls are formed by a river whose origin is from the underground springs at the Crater Rim.
The Ngorongoro is accessible in the Northern side of the by walking trails that are provided also for our guests to explore. Where you get to see the Endoro River and the magnificent “Tembo” Caves.
Alfred Mlaki
+255786190009
Arusha- Tanzania
M2 WANGU WEWE MKALI SANA UNAWEZA GAME LA BONGO
SHAVU LANGU KWAKO NI KUKUPA MOYO NA MUSIC WA HIP HOP NIKISIKILIZA NYIMBO ZAKO ZOTE ZINANIPA NAMI KUWA MWANAMUSIC MFANO:NAUZA KURA YANGU,MTI WENYE MATUNDA,NAONAMIMI KWAMACHO YANGU.BROTHER MIMI NAKUKUBALI SANA. NAOMBA TUWE2NACHATI ZAIDI NA KUNITAMBULISHA NYIMBO ZAKO MPYA TUFAMIANE ZAIDI A.K.A.MOCAKUBWA.
Hongereni sana kwa kazi nzuri ya kuandika habari za michezo.pia na waomba mjitahidi kuandika habari kuhusu ligi yetu ya ndani nasio kila siku kuandika habari kuhusu ligi za wenzetu ULAYA mbona wao hawa andiki habari kuhusu ligi yetu ya bongo? . from mtwango sec school p.o box 370 njombe IRINGA
http://www.arushatravelagency.com
Pole sana mkuu lakini ina cheza kwa wengine kunweza kuwa ni sababu ya Vitu viwili.
1. Labda hauna Flash Player kwenye MAchine yako au unahitajika ku update.
2. Kama unatumia Kaspersky Anti virus basi huwa inakataa kuruhusu player ya Google au Youtube, cha kufanya ni kuiruhusi Google na Youtube au ku Pause au Stop ile Kasper kila ukitaka kucheza Google Movie au Youtube Movie.
Hongera husein machozi kwa kazi zako nzuri za music .ila ninacho kuomba kaza buti kijana wa ngu kwanigame limetaiti ile mbaya. nimependa song zako za ukweli kama vile promise kafia gheto kwa ajili yako maji yaki mwagika fullshangwe na hello
kaka mimi nishabiki wko nanimpezi wa webu yako toka lreyazamani mpaka hii ya sasa hivi rakini kira hukireta prea sizipati mbona zingine nazipata kama za haki ngoi,bongo5,bongo serebret, lstiafrikayoutbe.nk.yako tu ndio lnakataa.hatapicha sikunzingine huweki tunaona maandishi tuu. turekebishie kaka prea zako. tuzipate. nimimi mdogo wako kutoka lstamburi turuky
kaka video ya aminata hakuna wara prea zako sisi huku hatuzioni umeacha sehemu wazi tu. mbona prea zingine tunaziona kama vire ya bongoserebureti.hakingoi.bongo5.nk.yako tu.ndio lnamatatizo.au wewe unatumia prea gani?nimimi mdogowako pamoja na wadau wezangu kutoka lstamburi turkye
Kaka naomba u download hii flash player labda itasaidia
http://www.adobe.com/shockwave/download/download.cgi?P1_Prod_Version=ShockwaveFlash
Pius
Mkuu ulianza kwa kutupa habari za BBA imekuwaje tena?
Tulikuwa tunapenda uchambuzi wako wengine hatupati wasaa wa kuona na kutembelea vyombo mbalimbali tunapenda kupata kila kitu kwa wakati mmoja hata weka mara 2 tu kwa wiki ili useme itakuwa lini na lini.
Ni hayo tuu vingenevyo kazi nzuri sana kuanzia muonekano hadi content.
Umekuja kwa kasi na umekubalika.
Ndise Mkanjala.
Indiana Polis
Naungana na Ndise jamani tujulisheni basi walau mara mbili kwa wiki yatosha jamani au hata fanya kila ijumaa tuu una compile ya wiki nzima.
Sameer UAE
kaka bora uturudishe kwenye blog yetu ya zamani sasa hivi ndio imezidi hata picha hatuoni umeziweka eksi.kama prea.tunaona maadishi tu.yureyure mdau wako.wa lstamburi
Kaka kuna msomaji alijaribu kukusahihisha kuhusu post ya “SERENA APOTEZA US OPEN”, Imekuwaje mbona ndo umeitoa kabisa….mkweli ni yeye au wewe na taarifa yako kuwa kapoteza US OPEN?
Ndugu Colibry Salaam!
Nashukuru kwa kuniandikia na zaidi kwa kunitembelea,
Kimsingi nilipaswa kuomba msahama kwa Post ile kwani niliupdate Blog kupitia Simu yangu na matokeo yalikuwa sio ya mwisho, ilikuwa ni ile set ambayo Serena alipoteza.
Samahani mdau kwa kosa lile la kiufundi na wengine wote ambao walikwazwa na kosa lile.
nahitaji kuchati na wewe personal kama hutojali
vipi uko tayari
piusmicky@yahoo.co.uk au text me at +60176452510 haiko noma mkuu!
kaka mbona utupi matokeo yaligi ya tz asa kwasisi tuliombali na nyumbani.pamoja na matukio asa yanga na simba.pamoja namsimamo wote waligi unavyo enda.nani anaongoza ligi.kwaniaba ya wa bongo tulio uturkey tuna omba kuwakilisha
kaka wewe huwa unatumia prea gani ebu tufahanishe ili tupate hizi video zako na sisi uliniambia nidarodi prea uliyı nitumia nimefanya hivyo kama ulivyo niambia lakini haichezi hata kidogo kwanza mimi hata prea sisioni tunaona patupu tu chini ndio tunaona mandishi tu kuwa boyeza hapo kusikiliza kwakifupi hatuoni kitu zidi ya wewe umecha nafasi tu nihayo tu 1UNATUMİA PREA GANİ?
nataka kukutumia picha za miss burundi lakini sioni email yako
tuma kwa piusmicky@yahoo.co.uk
Nitashukuru sana
Mdam naomba msaada kwenye tuta kidogo wa kunitangazia hii blog yangu ya michezo.
http://worldspoti.blogspot.com
Shukran
Aisee tuwasiliane niko hapa Japan , Nataka kuja huko Kutembea
Simu Yako Nilipoteza , tumia hiyo Mail Nitumie simu Yako
Sonda Shukran Robert
High Shukrani
HV wewe ndio ownwer wa plot fulana iliyopo bahari beach Dsm?
Kuna some details zinafanana na jina lako
Tafadhali niandikie email au nipigie 0754 089544 kuna issue ya kudiscuss kidogo
au motumie namba yako yako nikupigie
Ni very urgent
KAKA HII IPO SAWA KWELI?
TUNAPOKWENDA SIO KAMA KWELI HII NI KAQULI YA MH.PINDA
MDAU THESSALONIKI,UGIRIKI)
Kutoka mtandao wa gazeti la Mwananchi)
Date::1/23/2009
Pinda ataka jino kwa jino
Na Victor Kinambile, Tabora
KATIKA hali ya isiyo ya kawaida, Waziri Mkuu Mizengo Pinda jana aliwaambia wananchi kuwa wanaoua watu wenye ulemavu wa ngozi (albino) pamoja vikongwe ni hawana budi kuuawa kwa kuwa wakisubiri mahakama kuwahukumu, watakuwa wanakosea.
Waziri Pinda, ambaye ameanza ziara katika mikoa ya Kanda ya Ziwa yenye lengo la kuhamasisha vita dhidi ya mauaji ya vikongwe na albino, aliutaka Umoja wa Vijana wa CCM kuongoza vita hiyo, akisema lina jeshi zuri.
Mauaji ya albino yamekuwa ni tatizo kubwa nchini na hasa katika mikoa ya Kanda ya Ziwa.
Pamoja na serikali kutangaza hatua kadhaa za kupambana na wauaji hao, bado matukio ya kuuawa kwa watu hao wenye ulemavu wa ngozi yamekuwa yakiendelea kuripotiwa, lakini Waziri Pinda ameenda mbali zaidi katika kukabiliana na tatizo hilo alipotaka wauaji hao wauawe badala ya kufikishwa mbele ya vyombo vya sheria.
Kauli ya Pinda, ambayo inaweka maswali katika suala la utawala bora, imekuja wakati ambao wananchi wamekuwa wakijichukulia sheria mkononi na kuua vikongwe kutokana na imani za uchawi.
Akihutubia wakati wa kufungua mkutano wa 16 wa Shirikisho la Vyama vya Kuweka na Kukopa (SCCULT) kwenye ukumbi wa Chuo cha Utumishi Umma mkoani hapa, Waziri Pinda alisema iwapo wananchi wataendelea kuwahurumia wauaji hao ambao wanatafuta viungo vya albino wakitegemea mahakama itatenda haki huku nao wakiongeza kasi ya mauaji kwa Watanzania, watakuwa wanakosea.
Hivyo alisema kwamba kuanzia sasa mtu yeyote atakayemuona mtu amemkata shingo au mkono mweziwe basi naye auawe papo hapo hii itakuwa ndiyo dawa kwani vingozi wote tumechoka na mauji hayo.
“Mkimuona mtu akamkata mwingine shingo naye muueni kwani sasa viongozi wote tumechoka… no more, I can’t tolerate anymore (imetosha, siwezi kuvumilia tena),” alisema Pinda huku akiwaacha watu midomo wazi.
Aliviomba vyama vya siasa kushirikiana na wananchi kuhakikisha suala hili la mauji linakwisha kwani wauji “tunaishi nao na ni rahisi kulimaliza iwapo tutakuwa kitu kimoja katika kuondoa kashifa hii ambayo imekuwa mbaya kwa nchi yetu”.
Aliuagiza Umoja wa Vijana wa CCM kuhakikisha mauaji hayo yanatokomezwa kabisa, akisema kuwa ni jeshi zuri ambalo likiamua kutokomeza kabisa mauaji ya vikongwe na ndugu zetu maalbino inawezekana.
“Umoja wa vijana mna jeshi zuri ambalo naamini mkiamua mnaweza kutokomeza mauaji ya wazee wetu pmoja na ndugu zetu maalbno na kazi hiyo nawaagiza muanze leo msisubri auawe mwingine tena,” alisema waziri mkuu.
Baada ya kumalizika kwa mkutano huo, baadhi ya watu wanaoonekana kuwa ni wa “serikali” waliwafuata baadhi ya waandishi wa habari, akisihi suala hilo lisiripotiwe magazetini kwa madai kuwa kauli hiyo ya Waziri Pinda inaweza kusababisha matatizo.
Rais Jakaya Kikwete, ambaye pia amekuwa mstari wa mbele kupiga vita mauaji hayo, alitofautiana na Waziri Pinda katika moja ya hotuba zake aliposema kuwa adhabu ya kuua haitofautishi muuaji wa albino na muuaji mwingine na kwamba watakaopatikana na hatia ya kuua albino, atakabiliana na adhabu ya kifo kama ilivyo kwa muuaji mwingine.
Waziri Pinda alionekana kukerwa na mauaji ya albino wakati alipopata taarifa kwamba kuna mama mwingine aliuawa usiku wa kuamkia juzi.
“Nimeambiwa kuwa juzi wilayani Sengerema kuna mama mmoja ambaye ni mlemavu wa ngozi amekatwa mkono na wauaji wakaondoka na mkono huo na tayari mama huyo amekufa,” alisema Pinda na kusisitiza kushughulikia wauaji hao.
Akitoa takwimu za mauaji ya vikongwe na malbino alisema mwaka 2003 waliuwawa vikongwe 517, mwaka 2004 waliuawa vikongwe 444, mwaka 2005 (494), 2006 (vikongwe 386), mwaka 2007 (vikongwe 526) na albino sita na mwaka 2008 (vikongwe 526 na albino 28).
Alisema tayari mwaka huu wameuawa albino watatu hivyo kufanya albino na vikongwe waliouawa kufikia kuwa jumla 2,900.
Waziri mkuu ameanza ziara ya siku nne kutembelea mikoa ya Shinyanga, Tabora na Mwanza ili kuhamasisha wananchi watokomeze vitendo vya mauaji ya vikongwe na watu weye ulemavu wa ngozi.
Tuma maoni kwa Mhariri
kaka ulituweka shindano la kumtafuta mchezaji bola kiafrica natukapiga kura zetu vipi matokeo yake nan, kashinda au bado bbc hawajatoa matokeo naomba kuwakilisha
Your posts really makes me think. What you typed was very logical. What a highly descriptive and well written article.
PAPA nimekutana na hii mtandao wa NIFAHAMISHE nngependa kuchangia na wadau……
jinsi nilivyokipokea kifo cha Jose Maina ‘Mbunge wa Mkuzi’
Marehemu Jose Maina, ‘Mbunge wa Mkuzi’ Friday, February 20, 2009 9:00 PM
‘Ghafla namsikia Maina akitupa mashairi yenye maneno mazito ‘Lakini kumbuka Ndugu Sama, using’ang’anie mtu asiyekupenda, iliyobaki, oa mwingine’Wakati Maina anaimba mashairi hayo, Moshi William anamchagiza kwa kumuita Jose Maina, Mbunge wa Mkuzi’
NI saa sita mchana niko ofisini mara simu yangu ya mkononi inaita na ninapoiangalia nakutana na jina la Hassan Moshi.
“Vipi baba” Hasani ananisalimia mara baada ya mimi kupokea simu.
“Salama sijui wewe” nami namjibu.
“Mimi Salama. Vipi umepata habari za Maina?” ananiuliza.
“Hapana, kwani vipi?” namjibu na kumuuliza.
“Maina amefariki leo asubuhi”.
“Amekufa?” namuuliza
“Ndiyo, amekufa ghafla kwenye daladala maeneo ya Temeke Mikoroshini wakati akiwa anaelekea studio. Leo tulikuwa tunakwenda kurekodi” alizungumza Hassan na kukata simu.
Wakati Maina anakutwa na umauti, wanamuziki wenzake walikuwa wanamsubiri studio ili akaingize sauti katika nyimbo mbili kati ya sita za albamu yao mpya.
Nyimbo hizo ni Kimya Kingi uliotungwa na Papa Upanga na Nyumba ya Urithi uliotungwa na mpiga rhythim wa bendi hiyo, Uluka Uvuruge. Nyimbo ambazo tayari zilisharekodiwa ni Mama Cossy uliotungwa na Maina, Suzana (Mabela), Kiapo (Hussein Jumbe) na Cheo ni Dhamana (Eddo Sanga)
Taarifa hiyo inanishtua na haraka haraka nawapasha habari wafanyakazi wenzangu, Mawazo Lusonzo, Jimmy Chika na Said Mmanga ambao pia ni wadau wakubwa wa muziki wa Kitanzania.
Wakati mjadala unaanza ofisini juu ya kifo cha Maina, mimi najikuta mawazo yangu yakihama pale ofisini na kuelekea moja kwa moja kwenye ukumbi wa Amana uliopo Ilala Dar es Salaam ambako bendi ya Msondo Ngoma iliutumia kama ukumbi wake wa nyumbani na kutumbuiza kila siku ya jumapili.
Kwa sasa bendi hiyo inautumia ukumbi wa Afri Centre uliopo maeneo ya Mchikichini, jijini Dar es Salaam.
Nakumbuka miaka mingi nyuma siku za jumapili, nikiwa nimekaa upande wa kushoto wa stejini ya ukumbi huo nikiwa na wadau mbalimbali wa muziki baadhi yao wakiwa wanahabari wenzangu ambao ni wakereketwa wa bendi ya Msondo Ngoma tangu ilipokuwa inamilikiwa na Jumuia ya Wafanyakazi nchini (JUWATA) na hata pale ilipoanza kumilikiwa na wanamuziki wenyewe.
Namuona Angetile Osiah, Masoud Masoud, Muhidin Issa Michuzi na mwanadada Suzy ambao wote ni wana habari, wapo pia makocha SyllerSaid Mzirai na Jamhuri Kihwelo kila mmoja wetu akiwa kama yuko dunia nyingine, kutokana na kunogewa na muziki mzito unaoporomoshwa na bendi hiyo kongwe.
Ghafla wote tunapagawa zaidi pale mpiga solo mahiri wa bendi hiyo, Abdu Ridhiwani Pangamawe, anaposhuka jukwaani na kuja kati kati yetu na kuanza kucharaza gita lake kwa umahiri wa hali ya juu, huku akituchezesha.
Macho yangu yanatoka pale tulipo, na kuangalia karibu na mlango wa kuingilia, pamoja na ukumbi kufurika, lakini namuona Boniface Wambura ambaye mara nyingi ulikuwa huhitaji kuhaha kumtafuta kutokana na urefu wake pamoja na tabia yake ya kupenda kusimama kipindi chote cha shoo. We angalia tu ukiona mtu mrefu kuliko wote ujue ni yeye.
Namuona Wambura akiwa mwenye tabasamu lenye kila aina ya furaha, huku macho yake akiwa ameyaelekeza jukwaani.
Haraka haraka nayarudisha macho yangu jukwaani, na naiona safu ya mbele ya uimbaji ya Msondo Ngoma, ikiwa imepambwa na mijibaba mitano iliyojaa vyema jukwaani. Namuona Othumani Momba, Suleimani Mbwembwe, Tx Moshi William, Joseph Maina na Muhidin Maalimu Gurumo.
Safu hiyo kwa pamoja, inalishambulia jukwaa vilivyo kwa sauti zao tamu na zilizopangiliwa vyema katika kila nyimbo wanayopiga, huku wakichagizwa vilivyo na wapiga ala, Said Mabela, Pangamawe, Zahoro Bangwe, na Uluka Uvuruge ‘Smart Boy’.
Ghafla namsikia Maina akitupa mashairi yenye maneno mazito “Lakini kumbuka Ndugu Sama, using’ang’anie mtu asiyekupenda, iliyobaki, oa mwingine”.
Wakati Maina anaimba mashairi hayo, Moshi William anamchagiza kwa kumuita “Jose Maina, Mbunge wa Mkuzi”.
Tx Moshi alikuwa anapenda kumtania Maina kwa kumuita Mbunge wa Mkuzi, akiwa na maana kuwa mwanamuziki huyo alikuwa anawawakilisha vyema wakazi wa Mkuzi Wilayani Korogwe mkoani Tanga katika medani ya muziki. Kwa hiyo alikuwa ni sawa na Mbunge wa Mkuzi kama kungewepo na bunge la wanamuziki.
Maneno hayo yanapopenya masikioni mwangu yananikumbusha uchungu mkubwa, kwani leo hii nayakumbuka, kwa kumbukumbu mbaya ya kupoteza moja kati ya nguzo mbili muhimu zilizobaki ndani ya safu ya uimbaji ndani ya Msondo.
Nguzo ya kwanza kung’oka ndani ya safu hiyo ambayo ilikuwa haina mpinzani kwa bendi za Kitanzania, alikuwa Suleiman Mbwembe na kufuatiwa na Othuman Momba na kisha Tx Moshi William, na sasa Maina.
Nadiriki kusema kuwa marehemu Maina ilikuwa nguzo muhimu katika safu ya waimbaji wa bendi ya Msondo Ngoma, kwani mbali ya kutegemewa zaidi katika uimbaji kwa sasa, lakini pia alikuwa anategemewa katika suala zima la upangaji wa muziki.
Ingawa sauti yake haisikiki katika baadhi ya nyimbo, lakini ukweli ni kwamba nyuma ya pazia, alishiriki vyema katika kila nyimbo na kila hatua ya maendeleo ya bendi hiyo.
Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi, Bwana ametwa jinalake libarikiwe Amin
Na kaimanzila, Nifahamishe Dar
SAMAHANI SANA KAKA PIUS NA POLE SANA KWA KAZI,MIMI NI MDAU MKUBWA SANA WA BLOG YAKO NA NAKUPAPONGEZI SANA KWA KAZI NZURI UNAYOIFANYA KWA KWELI TUNAINJOI SANA.SASA,MIMI NI MSHABIKI MKUBWA SANA WA NYIMBO ZA KICONGO HASA ZA ZAMANI KAMA WEWE VILE.SASA NILIKUWA NAOMBA UNISAIDIE KITU KIMOJA,KINA NYIMBO MOJA ILIIMBWA MUDA KIDOGO NA HUYU JAMAA ANAITWA KING KESTER EMENEYA,INAITWA “ZINZI”.KWA KWELI HII NYIMBO NAIPENDA SANA NA INANIKUMBUSHA MBALI SANA,SASA MIMI NILIKUWA NAOMBA UNISAIDIE KUTAFUTA TAFSIRI YA HUU WIMBO A;AFU UNIWEKEE KATIKA HII BLOG YETU YA JAMII KAKA TAFADHALI,WE IWEKE TU NITAISOMA KWANI NAPITIA SANA HII BLOK KILA WAKATI HAINA HAJA YA KUNITUMIA KWENYE MAIL KWANI NATAKA WATU WENGINE WAIFAIDI PIA.NAMAANISHA TAFSIRI YA MASHAIRI YA HII NYIMBO KWA KISWAHILI KWANI IMEIMBWA KIZAIRE,NAMI NAIPENDA BUT SIIELEWI NA NASIKIA INA TAFSIRI NZURI SANA.
NATEGEMEA USHIRIKIANO WAKO KAKA,NA MUNGU AIZDI KUKUBARIKI.
Sawa mdau ngoja nifanye kazi ya kuitafuta kwenye Library yangu na nitaifanyia kazi.
Nashukuru kwa kuwa unasoma Blog yangu pia usisite kuniambia unapenda habari gani zaidi.
Pius
ukitaka kila aina ya DVD /CD ya mziki wakincongo please go to my website and send me your mailing address na utaipata in few days .
Kaka vp mambo vipi naweza kuwasiliana na wewe record za miziki ya congo
kaka masoud tunaomba historia za hao washiriki maana tumeisikia ya adluli na efransia tu, kipindi ni kizuri tulikuwa tunapenda kuangalia live tokea asubuhi lakini….
NASHUKURU SANA KAKA PIUS KWA KUJIBU,MAOMBI YANGU.NATEGEMEA KUTIMIZIWA HILO OMBI LANGU KAMA ULIVYONIAHIDI.
POLE SANA KWA USUMBUFU KAKA.
Kwanza pole sana kwa kazi kaka Pius
mimi ni mpenzi wa blog yako nakupongeza kwa kazi yako ya kuelimisha watu kwani uko juu zaidi kaza buti kakaangu usikate tamaa kwa kuwaelimisha watu
hivi yule mrembo afransia mangii,yeye ndio hajapata kazi? msaidieni jamani, kama mlivyomsaidia huyo mganda putiri,nae msaidieni ajisikie faraja. hiyo maisha plus iwe kuibua vipaji na kuvisaidia vipaji hivyo.
kaka pius, naomba kujua prea ni nini? nami nadhani nitaomba unisaidie kuwapelekea jamaa wako nje wananiomba miziki ya taarab
Niambie miziki gani wanataka nitafanya hivyo
kaka pius, naomba kujua prea ni nini? nami nadhani nitaomba unisaidie kuwapelekea jamaa wako nje wananiomba miziki ya taarab
VIP KIPINDI CHA MAISHA PLUS NI KIZURI ILA MBONA SIJA ONA ALBINO HATA MMOJA SI WATAONA KAMA WAMETENGWA NA WATANZANIA WENZAO? NINGE PENDA WAWEPO KWA KWELI
NIVIGEZO GANI MNAVYO TUMIA KUWATOA WASHIRIKI,NINGE PENDA PIA MTOE MAELEZO MAFUPI KUHUSU MAISHA PLUS KWANI WATU WENGINE HAWAJUI MAANA YAKE!!!!!!!
kamusi Kindamba yazinduliwa Dar
Huwezi kuutamalaki utamaduni mahalia kama hujui lugha ya wenyeji. Pengine hili ndilo limemsukuma Agathon Kipandula kuandika kamusi hii ambayo ameizundua leo katika ukumbi wa hoteli moja ya Mery’s iliyopo mtaa wa Jamhuri Dar es salaam.mwenyewe anasema wazi kwamba yeye hafanyi kwa sababu ya fedha lakini kutunz aklugha ambayo inaonekana kutoweka, lugha za wenyewe. Pengine wengi tungeunga mkono kazi yake kwa kuangalia pia vitu vingine vya kuhifadhi kwa vizazi vijavyo.
kwa maneno yake mwenyewe Kipandula ambaye ni ofisa wa benki na mtaalamu wa masuala ya mifedhaameandika ili kusaidia watafiti wa ndani na nje ya nchi wanaofanya kazi katika Bonde la Mto Kilombero na Rufiji, mkoani Morogoro.
Amesema aliamua kutoa kamusi hiyo ikiwa ni mchango wake kwa jamii husika kwa vizazi vijavyo.
“Lengo kuu watoto wetu wajue lugha yao, kama unavyojua hivi sasa u-mjini unatusahaulisha lugha za asili, pamoja na kwamba tuna Kiswahili lakini ukweli unabaki kuwa tuna lugha zetu hivyo ni zawadi kwa jamii yangu,” alisema Ofisa huyo.
Kipandula alisema imemchukua miaka miwili kuandaa kitabu hicho cha kamusi kiitwacho ‘Chindamba, Kamusi ya Kindamba’ kutokana na kuhitaji muda mrefu wa maandalizi uliyomuwezesha kuitoa ikiwa na maneno 6,000 katika ukurasa 138.
Alisema kamusi hiyo ilimezingatia kutunza utamaduni kuliko biashara. kava yake inapendeza inaonyesha utamu wa maeneo ya malinyi, samaki.
NIAJE MASOUD NA KAKA BONDA?KIPINDI CHA MAISHA PLUS NI KIZURI NA KINAELIMISHA JAMII ILA HUYO MODESTA ANABOA KUPEWA UANGALIZI WA STORE ANAONA KAMA KAPATA MILIONI 10 HAFAI KUBAKI KIJIJINI,MLIPO NIFURAHISHA NIPALE CHAZ NA STIVU WALIPORUDI KAMBINI HONGERENI KWA HILO.
Mimi nafurahia sana kipindi cha maishaplus mara zote nimekuwa mfuatiliaji na mpiga kura mzuri. Mpaka sasa hivi nampigia debe charles yuko juu, ila kazi mnayotuonyesha watanzania iko safi. Napenda tu kuwaomba hao watoto wanapoona kitu kama ile irizi wasiwe wepesi wa kusema ni ya nani kwani watajenga uhasama
kipindi ni kizuri tena sana, nategemea mwakani kitakuwa kizuri zaidi mkiongeza ufanisi na ubunifu zaidi, ila kitu kimoja kilichoniuzi kupita kiasi ni huu uchawi ulionyeshwa na upendo na kundi lake tunajifunza nini watanzania kutoka kwake? kwanini amekitia dosari kubwa kipindi chako kaka Masound na Bonde? ila nampa bigup sana Abdul na mungu amsaidie awe mshindi wa Maisha plus
hi kaka kipanya na bonda,kazi mnayoifanya nzuri sn,nauliza inamana hao wengine hawtpata hata sent tano yakifuta jasho,pia nikipiga kura kwa charles mbona haziongezeki.
pia hivi hizi kura 2nazopiga zinahesabiwa pamoja na zile za sms ya mitandao mingine ya voda,tigo,zain?
Hongereni kwa ubunifu mzuri watanzania wenzangu.Je maoni tunayo toa kwa washiriki wa maisha plus, Huwa wanayasoma ili kujirekebisha walipokosea haswa Pendo na Wambea Wenzake?
Hello Maoni ya Maisha Plus huwa na Compile na yanakwenda kwa wenyewe huwa nampatia Masoud Kipanya kwani wao ndio waandaaji.
Asanye nashukuru kwa kunitembelea
Kaka mambo vp!
Nimekuona kwenye blog yako unatisha kaka
kaka ebu niwekee haka ka blog kangu ukapigie promo japo kidogo ndo kibiashara chetu kingine na wewe unahusika kaka,na kama kuna marekebisho nikutumie user name na password urekebishe na uweke na wewe hayo magari yako unayoyauza huko,si unajua tena riziki ya mbwa iko miguuni mwake!!
http://www.showroomautoaccesories.blogspot.com
Regards,
Japh E.M
mjomba nimeomba tuwe tunawasilian na unasema nibonyeze pale nahapa lakini ni .0-00000000000000000000
Niambie kaka wasiliana na mimi kupitia 0713666616 au piusmicky@yahoo.co.uk
dear friends,
i real like this as it may subjected as room of chatting,exchanging some idears like vijanaz,
Would like to let you know about our new propaerty which located at Ngorongoro, next to Gibsfarm, to the fireline of ngorongoro highland forest!
unfortunately this couldnt be a right place to announce! but still we can talks about other jobs, opportunities, etc.
i m a good in poems, english/swahili, writing a stories/movies and ………..
for any anybody interesting with the above…… please karibu.
find me to the website with Masai cover in a local marriege but ……………….. funy one!!!!
hope to get back soon… nakuja,,,,,, subiri
KAribu na akama unalolote tuwasiliane kwa piusmicky@yahoo.co.uk
Vipi mwandishi kama wewe,tena wa siku nyingi kidogo,lakini lugha bado inakupiga chenga.Utawezaje kuandika “hairisha”badala ya “ahirisha”rejea habari yako hapo juu,imuhusuyo yule dada mwandishi,aliehukumiwa kupigwa viboko.
Ni aibu kwa Mtanzania kutokujua vizuri Kiswahili.
Na ndio maana unaruhusu wachangiaji wengi tu,wanaandika utumbo,lafudhi mbovu lakini wewe unatoa upuuzi wao humu kwenye globu yako.Weka mkakati,lugha mbovu,hurushi ujumbe.
Balozi Dola – Ndani ya video kali ya Youtube “Connect”
*WATCH IN HQ FULL SCREEN* New Video Comic directed by 3rdi featuring Regime Change (NYC/Haiti), Negus World Order (Haiti/France), Saba Saba (Uganda), Narcy (Iraq), Dola from (Tanzania)
As I would not be a slave, so I would not be a master. This expresses my idea of democracy. Whatever differs from this, to the extent of the difference, is no democracy.” Abraham Lincoln
Thereupon I concluded: As I would not be a dhimmi, so I would not be a Muslim.
hongera sana ndg mhariri na safu nzima ya majira usikatishwe tamaa na maoni ya baadhi ya watu wasio wastaarabu ni haki yao kusema chochote binafsi nawafagilia kwa saaaaaaaaanaaaaaaaaaaaaaaa.from K.S.A
Mdau, pole na majukumu….kuna tangazo hapo la biashara la Isamilo lakini lina makosa kidogo kwenye hiyo logo badala ya kuandika LODGE wameandika LODEGE au ni luganyingine mbadala ya lodge?
Kaka mbona contact info zako haziko wazi… tunashindwa kukutumia habari
Samahani kaka email yangu ni piusmicky@yahoo.co.uk na nimeiweka hapo mbele, Nashukuru kwa ushauri.
The fight is so big that no one business can be expected to tackle it alone. I found this blog by luck. I know old school Instagram pros would agree with your website. It is a real pity you do not have a donate button! You have really changed my mind on more than a few topics that I have believed were true for most of my adult life.
Kaka heshima yako. Ninaomba uniangalie gari zuri Rav-4 milango iliyo nzuri kibei na kihali. majibu hapa hapa kaka. Asante sana.
Kaka habari ya kazi! mimi naomba utufanyie kitu kipya washabiki wako, tuwekee sehemu ya matangazo ya nafasi za kazi. kama unavyojua graduates wamekuwa wengi na upatikanaji wa taarifa unakuwa mgumu. sijui unalionaje hilo.
Mkuu kuna post moja umetuwekea umeipa jina tangazo,sasa hili tangazo linatukwaza bwana maana linakwenda mbio sana picha zake,halafu weka japo link yake kama ipo,si unajua tena wadau wako tunapenda mambo ya magari.ebu lifanyie kazi.
Mkuu kumbe husomagi maoni yetu sisi wadau?
Mdau Fadh nashukuru kwa mapendekezo yako nitayafanyia kazi na kuona ni kwa jinsi gani zoezi hilo litawezekananika.
Ila nashukuru kwa mtazamo wa haraka linawezekana.
Mdau wa Tunduma niliweka link angalia pale kwenye Tangazo utaiona.
Mdau wakati mwingine huwa napitiwa tuu kama binadamu lakini huwa najitahidi kujibu hoja kwa hoja.
Samahani sana
G.morning kaka minashukuru sana kupata news kutoka kwako lakini naomba nikushauri kama mtanzania mwezangu nineona mablog kibao yanatangaza biashara lakini sijawahi kuona blog yoyote tanzania ikitangaza kutangaza nafasi za kazi so kama mtanzania naomba utusaidie kwa hilo
mh!
its evening again! this is the day that my son Given brought from the land of my grand ma! yes it ………
from the
who says there is love before marriage?
who think that tomorrow will coming today?
who worried to do some mistakes in life?
And who called spade a big spoon!!!!??
who!!!!!!
will want to know if is you or its your friend!!!!
please tell him/her that……
Only wise can dance melody of love in a marriage and……..things of today must be done today as tomorrow will not coming today….however mistakes are rooms of having new steps in life! thus why we have to call spade a spade and not a big spoon @ that its look like spoon!!!!! open your eyes
Asif asante sana kwa Ujumbe wako basi nitalifanyia kazi hilo ili nione ni kwa kiasi gani nitaweza kumudu kuweka matangazo hayo.
Alfred
Thanks for the wise words
but i wish i cud know which topic u referred to?
Mimi nina malalamiko kuhusu Paroko wetu wa Ubungo Msewe. Paroko huyu ni wa siku nyingi sana Wananchi wa hapa Msewe walishawahi kumwomba Askofu Mkuu Pengo kumwamwisha huyu Paroko kwasababu Wananchi wa hapa wamechishwa na vitendo vyeke vya unyanyasaji si kwa waumini wa hapa tu hata kwa watu wa nje. Paroko huyu amekuwa akifukuza watu wenye shida kama mbwa. Watu wa hapa walikiwa na imani kuwa kwasababu yeye ni Padre basi angeweza kutuhudumia kwa huruma hata kimawazo, lakini Paroko huyu amekuwa akifukuza watu wanaotaka kubatiza watoto, amekuwa akifukuza wanandoa kanisani, amekuwa akifukuza hata wale wanaomfanyia kazi. Kwakweli Paroko huyu ni myanyanyasaji. Wananchi wa Ubungo Msewe tungependa Paroko huyu arudishwe kwao kwani hafai kuhudumia wananchi watanzania. Yeye ni tofauti na mapadre wengine wa Parokia zingine.
Kwa umefungwa kwa kusali hapo tu?
hallow!for real your doing a great job brother,i have never seen b4, you are more up to date since most of your information and tips are most recent and very clear,i real like it bror bravo and keep it up, but you should increse creativity coz what i see here is very normal,creativity is highly needed,work on it please
Thanks very Much Upendo
Just tell me what u want to c n read here.
Thanks
mimi ni maombi nataka kuja mwamziki mmoja wa koffi olomedi aitwae suzuki alipotelewapi tangu atoke kwa koffi alitoa album na wenge music alafu sija mmsikia tena.
mimi unanifurahisha pale unapoleta news za ile iliekua ikiitwa wenge musica 4×4 maana mimi mpaka leo ndio starehe yangu nawapenda sana kuanzia Alain Prince Makaba , Titina Alcapone , Werrasone Ngiama , JB Mpiana ,Didie Masela , Aimelia Lias , Roberto Wunda , Tutu C aludji , Blaise Bula , Adolph Dominguez , Alain Mpela Afande , Burkina faso Kasongo , Patient Kusangila , nina uhakika haitotokea tena duniani watu wakapiga mziki mtamu kama hawa jamaa hio ni never hasa guitar la Makaba ndio kabisa hakuna atakaemleta atabaki kua Legend ,karibuni muone baadhi ya wanawenge tulikua pamoja
http://www.facebook.com/album.php?id=1477585379&aid=2077193
hauna mpinzani wangu kazabuti tu !!
Starehe ina watu wake na wewe ndio kiongozi wake,
Mzee napenda sana pale unapoleta habari za Muziki na hasa Wenge,
NAMUAMINI JB MPIANA HAPA BONGO TUKITAKA MPUNDA SHOW LIVE TUTAFANYIA WAPI!!!
MESIII SPORT STAREHE !! MIMI NI SHABIKI NAMBARI WANI WA WENGE BCBG SWALI KWENU MASHABIKI…. SHOW LIVE ZA WENGE WAKITANGAZA BIA YA PRIMUS …. NIMEONA MAMIA YA WASHABIKI LIVE JE BIA ZETU TUNAZO KUNYWA KAMA SAFARI ,KILIMANJARO NK WANAUBAVU WA KUGAWANA MAPATO NA WADAU WA BIA ZAO!! BRAVO….. PRIMUSIIIIIIIII
NAMALIZIA … MAKABA AMEFUNIKWA NA PATUUUU SOLOOO ALIZILA AKATUPIGIA GITAA KWA KUBEMBELEZWA MWAMBIENI KUNA KIJANA NOMAAAAA PATU SOLOO TAZAMA MPUNDA UTAMJUA NA KAKA YAKE …..FIKARE ….. NOMA!!!…NO,MA …GENTA….NOMA….SUNDA BASIII NOMA….
Nakubaliana na wewe 100%
Sidhani kama unamjua vizuri Alain Prince Makaba ,pengine umemsikia tu kwa watu wakizungumza, Mimi nakushauri rudi katika video za wenge ili umju Makaba ni nani na alifanya kitu gani katika muziki, Africa au pengine hata dunia nzima hakuna anaemfikia kabisa kwa giutar la solo na mwenzake anaemkaribia kidogo kwa kipaji ni yule Roga Roga wa Extra Musica basi hakuna mwengine tena .
MKUBWA MIMI BADO NABISHA
Makaba umefunikwa na dogo Patuu soloo AMINI usi amini kama wewe ni shabiki unayefuatilia wenge family basi MAKABA HAYUPO TENA na ukibisha zaidi aliyebaki ni Wera pekeyake lakini BCBG IKO STEBO!! angalia mfano Kaluji na Mpela Afande wamepepotea kabisaaa bada ya kujiengua BCBG je unamjua GENTALISIMO!!!
Sasa ndugu yangu ukitaka nikupe ukweli mimi nakwambia hivi, katika muziki wa zamani na mpaka wa sasa na pengine kwa kizazi kijao hatatokea mtu mwenye kupiga solo guitar kama Alain Prince Makaba , na watu wote wenye akili timamu na wenye kujua muziki wa Africa wanatamtambua hili.
Kaka Farid sikatai Makaba au Diblo wanapiga solo Kwakifupi mimi ni Shabiki wa WENGE nilianza kuusikia muziki wao kupitia sauti ya BBC miaka ya 80 na ushee wimbo Kalay boing jamaa walianza kwa kasi ya ajabu enzi hizo kupitia redia ya mbao (haina ikolaiza)…wiya music wiyaa musica…..huyo ni Baba Daida(MUKULU) upo kaka!!
sasa upande wa solo la Prince Makaba liliratibiwa sana maabala kwa nini nasema hivyoo..muziki wa Kin unaoaminika ni ule wa vyombo LIVE Mwana wa mfalme hakulipiga gita lake sana katika LIVE CONSERT lakini Solo la CHECHENKO( ) au Mwamba tume liona na kulisikia live bila kubadili au kuratibiwa na maabala katika CONSERT LIVE kama pale FIKIN na upigaji wa live vyombo haswa vijana wa BCBG unavutia wengi ila Kaka tafuta LIVE na ungalie solo la BUKINAFASO, MAKABA, CHECHENKO na FIKARE
hata PRINCE ALIAMINI AKIONDOKA HAKUTAKUWA NA PENGO ILA MAJIBU ANAYO
FARID hakika wewe ni shabiki wa WENGE swali kama shoo ya primus LIVE ya UKWELI ipigwe wapi hapa Bongoland.
NAWAKILISHA
Peter naona sasa unapoteza mwelekeo kaka, yaani unataka kuniambia Solo la Makaba limefanyiwa editing studio ndio maana linasikilizika vizuri katika record zake ? hahahaha nimecheka sana kuskia hivyo na sio kwamba nakudharau la hasha nimecheka kwa sababu miaka ya nyuma nimewahi kuhudhuria show live za wenge 4×4 na mara ya mwisho nakumbuka Alain Prince alipiga solo katika ule mwimbo unaitwa KAMA VUAMA na kisha akapiga KASKIN amini usiamini guitar lilikua linagonga moyoni kama sindano nikajikuta nalia machozi na pale ndipo hata rafiki zangu wakaamini kua mimi nateseka sana na guitar la Makaba ,na pia mwanzoni mwa mwaka huu nilikua na Titina Alcapone pamoja na Aimelia Lyase tumekaa hata wao walikubaliana na mimi kua bado hawajakutana na anaemfikia Makaba tizama hapa kwenye link hiizi
http://www.facebook.com/media/set/?set=a.1600821228581.2077193.1477585379&l=0ea87230b0&type=1
na mimi sikati tamaa kukushauri utizame vizuri katika live ambazo Makaba yumo halafu umpe haki yake na usimdhulumu kipenzi chetu.
kusema ukweli sijui maana mimi nimeondoka Bongo toka mwaka 1990 na nimewahi kuja mara mbili tu kutembea
FARID hakika wewe ni shabiki wa WENGE swali kama shoo ya primus LIVE ya UKWELI ipigwe wapi hapa Bongoland.
HII NI KWA WADAU WA WENGE BCBG:SOMA HIVYO VIPANDE KUTOKA MTANDAO BORA KUSINI MWA SAHARA SPORTSTAREHE KISHA CHAMBUA KWA MAKINI then nitakuuliza swali………
Bendi ikasafiri bila Blaize Bula mpaka Paris.Lakini wakiwa katika maandalizi kuelekea siku ambayo watapiga zenith ambako ndio walipangiwa kupiga kwanza kabla ya olympia,ulizuko mgogoro kati ya JB na Makaba,mgogoro ambao chanzo chake kilikua ni makaba kutokubaliana kabisa uamuzi uliochukukuliwa na bendi huko Kinshasa ku-recruit wanamuziki wapya ambao makaba aliona kama hawakuwa na uwezo wa kutosha kuwa wanamuziki wa wenge BCBG mpya,hapa tukumbuke kwamba katika mtiririko wa vyeo walivyopeana makaba alikua ndio artistic director hivyo hakuwakubali wasanii wapya yani Jules Kibens, Rio, Chai Ngenge na Genta.
Mgogoro huo ulidumu mpaka siku ya show yenyewe ndani ya zenith dakika chache kabla ya kupanda stejini kuanza show kulitokea majibizano ya maneno baina ya marafiki hao yaliyopelekea mpaka JB Mpiana kulia machozi baada ya Alain Makaba kutumia maneno makali sana yaliyofanana na matusi dhidi yake, JB aliumia sana moyoni kwani kazi ya ku recruit aliifanya Blaize Bula, Jb akasusa kupanda jukwaani hali iliyopelekea showa rasmi ichelewe kuanza huku kina Alain mpela na Aimelia wakiwa wanaendelea kuimba nyimbo za utangulizi stejini, ikabidi mkewe Jb, mama Amida Shatur pamoja na rafiki yake JB waliekuwa pamoja maisha ya utotoni JDL ambae wakati huo alikua ni mpiga keyboard wa Wenge El Paris waingilie kati kumsihi JB apande stejini kwani wapenzi hawatawaelewa kabisa hasa ikizingatiwa Blaize Bula nae hayupo (JDL kwa sasa yuko na bcbg kama muimbaji).
Sehemu ya Show ya Zenith ilivyokuwa
Baadae Jb akakubali na kupanda stejini akiwa amevaa crown ya mfalme kichwani na koti refu lenye rangi ya dhahabu akisindikizwa na Tutu Kaludji ukumbi mzima ukizizima kwa kushangilia na moja kwa moja akashika mic na kuanza kuimba wimbo wake COURAGE kwa hisia kali na masikitiko makubwa, huku akiwataja wakongwe Papa Wemba, Pepe Kalle, Adui yake wakati huo Koffi Olomide (japo alipomtaja watu walizomea) huku akisema kwamba yeye ni mdogo kwa hao wote, unaweza kutazama hapo chini jinsi alivyokua akiimba kwa hisia kali wimbo huo siku hiyo,ambapo baada ya huu akaamba mulolo, Parie Bouge (Kin e Bouger) na n.k. mnaweza kuitafuta video hii kamili kwa ambao hamjaiona, mimi huwa hainichoshi kuitazama, ni nzuri sana,imeandikwa JB Mpiana & WENGE bcbg Zenith 1999!
vIDEO:
Wenge alikomelea kwenye kutunga zaidi na vijana walipewa nafasi vijana zaidi, Wimbo huu unaitwa Serge Palmi ukiwa ni utunzi wa kinaja Burkina Faso Mboka Liya aka Burkifaso Kasongo mmoja wa vijana wakongwe kwenye BCBG.
Katika show hii kwa upande wa makaba nae alisusa kabisa kupiga solo, akakaa back stage, mpaka mwishoni kabisa alipobembelezwa sana na wadau wa bcbg ndio akapanda stejini akapiga solo kwenye wimbo omba ambao hupendwa sana na wamama wa congo, tena hakua yule makaba tunaemjua, mcheshi, mchangamfu na mbwembwe nyingi stejini,bali alikua amenuna, mwenye hasira akipiga solo lake huku akiwa amewapa mgongo mashabiki!!mimi mwenyewe nilipoiona hii video enzi hizo 2000 kabla ya kujua kilichotokea nilimshangaa
sana makaba kwa style ile ya upigaji gitaa huku amewapa
mgongo mashabiki, niliona kama ilikua ni dharau!tafuta video ya live concert hii bora kabisa uangalie vituko hivyo vya prince makaba.
NAWASILISHA
Kwa kua sijaona mchango wa BANAWENGE BCBG nakupa taito ya kesho
MANYUU 3 CHESII 1 upo papaaa Man wanatishaaa!! ETI wanasema wamecheza chini ya KIWANGO mashabiki wa MAN kaka…..
MASHABIKI WA SPORT STAREHE MAN UNITED INATISHA!!PIUS ……TUBAKIZE STAREHE…..SPORT,,,,,,,??? HATUONI
Sport is where an entire life can be compressed into a few hours, where the emotions of a lifetime can be felt on an acre or two of ground, where a person can suffer and die and rise again on six miles of trails through Dar Es Salaam City park. Sport is a theater where sinner can turn saint and a common man become an uncommon hero, where the past and the future can fuse with the present. Sport is singularly able to give us peak experiences where we feel completely one with the world and transcend all conflicts as we finally become our own potential.
Sport is where an entire life can be compressed into a few hours, where the emotions of a lifetime can be felt on an acre or two of ground.
Asalaam alaikum wapenzi wote wa ukumbi huu ,
nimepata khabari kutoka kwa rafiki yangu mmoja aishie Europe kua Alain Prince Makaba amefiwa na Baba yake mzazi , je kuna yeyote mwenye khabari zaidi ?
Kaka pius heshima yako mkuu…nitaomba kama unaweza
kuchambua historia ya Quartier Latin walau kuanzia kipindi
cha kina Bouro Mpela mpaka Fally Ipupa…
Ahsante,
Mdau India.
Wazee wenzangu hebu nisaidieni kushangaa hapa au nyie mmewahi kuona kitu kama hiki kwa huyu jamaa Werrason http://www.youtube.com/watch?v=spShSvmYP2k&feature=related
kisha tizameni na hii pia http://www.youtube.com/watch?v=d6rXc1mBhA0&feature=related
Naomba maoni yenu kwa jinsi mlivyoitizama hii.
hallo sir
nimekuwa nikifuatilia habari za muziki wa kongo kwenye mtandao huu,nafurahishwa sana na jinsi unavyotufumbua macho, mimi ni mpenzi wa bendi ya wenge musica bcbg kabla hajasambaratika na pia ni mpenzi wa bendi ya zaiko langa langa,kwa leo sina mengi ila nakushukuru kwa kutupa detail nyingi za wanamuziki wa kongo ambazo nilikuwa sizifahamu.
Mheshimiwa Alfred
karibu sana, wewe na sisi sote ni wanafamilia moja ya wenge musica bcbg 4×4.
Nashukuru saana kwa gazeti lenu kwani nimeweza mpaka kulisoma katika simu ya kiganjani
YEKOLA LINGALA – JIFUNZE LINGALA
LINGALA KISWAHILI
ABALI AMEOA
ABALUKI AMEGEUKA
ABANGI ANAOGOPA
ABEBA AMEHARIBIKA
ABELA ALIUGUA
ABELI AMEUGUA
ABENDA ANAVUTA
ABENGANI AMEFUKUZA
ABENGI ANAITA
ABENGWI ANAITWA
ABETI AMEPIGA
ABONGOLI AMEBADILISHA
ABOSANI AMESAHAU
ABOTAMI AMEZALIWA
ABOTI AMEZAA
ABOTOLI AMENYANG’ANYA
ABOYI AMEKATAA
ABUKI AMEVUNJA
ABUNDI AMEPIGANA
ABUNGI AMEPOTEA
ALOBI ANASEMA
ASALI AMEFANYA
ASANZI AMEPIKA
ASOTE AMERUKA
ATALI ANAANGALIA
ATANGI AMESOMA
AVANDI ANAKETI
AWA HAPA
AWA TE’ SI HAPA
AZANGI AMEKOSA
BABOTI(MOBOTI) WAZAZI (MZAZI)
BOKILA WAWINDAJI
BALA (KOBALA) OA (KUOA)
BALOBI (ALOBI) WANASEMA (ANASEMA)
BANA (MWANA WATOTO (MTOTO)
BANGA OGOPA
BANGO WAO
BASI (MWASI) WASICHANA
BATO (MOTO) WATU (MTU)
BELA UGUA
BENGA ITA
BIMA TOKA
BENDA VUTA
BISI BASI (ENGLISH BUS)
BINO/BISO NYIYI/SISI
BOBOTE UPOLE
BOKILO MKWE (MAMA BOKILO MAMA MKWE)
BOLIMBISI MSAMAHA
BOLINGO MAPENZI
BONDELA OMBA
BONGO HIVIO
BONI VIPI
BOYE HIVI
BOYE TE SIO HIVYO
BUKA VUNJA
BULA MWAKA
EBALE MTO
EBEBA IHARIBIKE
EBEBI IMEHARIBIKA
EBELE NYINGI
EKEKO SANAMU
EKOLI IMEKUWA/IMEMEA
ELAMBA (BI) VAZI (MA)
ELANGA SHAMBA
ELOMBE KIJANA
ELONGO PAMOJA
ELONGWA IMETOKA
ESANGA KISIWA
FUNGOLA FUNGUA/FUNGUO
KALA ZAMANI
KANDA HASIRA
KOBETA KUPIGA
KOBINA KUCHEZA
KOBOTA KUZAA
KOKENDE KUENDA
KOKOMA KUANDIKA
KOKOMA KUFIKA
KOKUFA KUFA
KOLA KUKUA
KOLALA KULALA
KOLELA KULIA
KOLIA KULA
KOMBA FAGIA
KOSEKA KUCHEKA
KOTANGA KUHESABU
KOTANGA KUSOMA
KOTIKA KUACHA
KOTINDA KUTUMA
KOYAMBA KUKARIBISHA
KOYEMBA KUIMBA
KOYOKA KUSIKIA
KOZANGA KUKOA
KOZONGA KURUDI
KOZUA KUPATA
KUNA HUKO
LALA LALA
LAMBA PIKA
LEMBA/LEMBISA KUCHOKA/KUCHOSHA
LIBELA MILELE
LIBOTA/MABOTA KIZAZI/VIZAZI
LILOBA (MA) NENO (MA)
LISUSU TENA
LIYA KULA
LOBA/LOBELA SEMA/KUSEMA
LOBOKO MKONO
LONGOLA ONDOA
LONGWA TOKA
LOSO MCHELE
LOTA OOTA
LUTU KIJIKO
MABE MBAYA
MABOKO (LO) MIKONO (MK)
MAKOLO (LO) MIGUU (GU)
MALAMU MZURI
MALEMBE “UPOLE,POLE POLE”
MALILI BARIDI
MALOBA MANENO
MAMA MAMA
MAPOLONGO MAGOTI
MASASI RISASI
MATOI (LI) MASIKIO (SI)
MAWA SHIDA/HURUMA
MBELI KISU
MBOTE SALAMU/HUJAMBO
MBOKA NYUMBANI
MBULA MVUA
MBULA MWAKA
MINGI MINGI
MINO (LI) MENO (JI)
MISO (LI) MACHO (JI)
MOBANGE MZEE
MOBIMBA MZIMA
MOBU MWAKA
MOKANO KIAPO/MAAGANO
MOKUSE MFUPI
MOLAI MREFU
MONINGA RAFIKI
MONOKO MDOMO
MOKONZI KIONGOZI
MOSALA KAZI
MOSAPI (MI) KIDOLE (VI)
MOSISA MSHIPA
MOSUSU MWENGINE
MOTEMA ROHO
MOTO KICHWA
MOTO PASSI KICHWA INAUMA
NABOYI NIMEKATA
NANDIMI NIMEKUBALI
NGAI MIMI
NGOLU NEHEMA
NGUYA NGUVU ZA KIUNGU
NKOLO MWENYE ENZI
NYOSO YOTE
NZAMBE MUNGU
NZONGA RUDI
OBALA UMEOA
OBALUKI UMEGEUKA
OBANDI UMEAANZA
OBANGI UNAOGOPA
OBANZI UNAFIKIRI
OBOI UMEKATAA
OBUNGI UMEPOTEA
OFUNDI UMESHITAKI
OKANGI UMEFUNGA
OKIMI UMEKIMBIA
OLALI UMELALA
OLANDI UNAFUATA
OLANGWI UMELEWA
OLELI UMELIA
OLONGWI UMETOKA
OLOTI UMEOTA
OSEKI UMECHEKA
OVANDI UMEKETI
SALA KEBA JIHADHARI
SANGO HABARI
SIMBA SHIKA
SOKI IKIWA
SOPELA MWAGIA
TAMBUISA TEMBEZA
TIKALI /ETIKALI KUBAKI/EMEBAKI
YO MOTO WE MTU
SWALI JIBU
Mbote? Hujambo?
Sango nini? Habari gani?
Sango ya tongo? Habari za asubuhi?
Sango ya moi Habari za mchana?
Sango ya pokwa? Habari za jioni?
Ozoli kokende wapi? Waenda wapi?
Outi wapi? Watoka wapi?
Nalingi yo Nakupenda
Naboyi yo Nimekukataa
Ee mbote Naam sijambo
Sango malamu Habari njema
Malamu Njema
Nazali kokende na nzando Naenda sokoni
Nauti na ndako Natoka nyumbani
Nalingi yo te Sikupendi
Naboyi yo te Sijakataa
By
https://www.facebook.com/shemeji
big up mtwangu carry on.
ndugu zangu wote mwenye kutaka kufurahi na a click link hii halafu aniambie amefurahi vipi ni burudani ya zaidi ya saa nzima
I almost never leave a response, but i did some searching and wound up here
Maoni yako Spoti na Starehe. And I do have a couple of questions for you
if you usually do not mind. Is it just me or
does it look like some of the responses look as if
they are coming from brain dead folks? 😛 And, if you are writing on
additional social sites, I’d like to keep up with anything fresh you have to post. Would you make a list of all of your communal pages like your Facebook page, twitter feed, or linkedin profile?
I like it whenever people come together and share views. Great website, stick with
it!
It’s wonderful that you are getting ideas from this paragraph as well as from our argument made here.
Somebody necessarily help to make critically posts I would state.
That is the very first time I frequented your website page and so far?
I amazed with the analysis you made to create this particular put up extraordinary.
Great process!
Keep on writing, great job!
Your style is really unique in comparison
to other folks I’ve read stuff from. Many thanks for posting when you have the opportunity, Guess I will just book mark this blog.
I’m impressed, I have to admit. Rarely do I come across a blog that’s both educative and amusing, and without a doubt, you have hit the nail on the head. The problem is something that not enough men and women are speaking intelligently about. I’m very happy that I found this during my hunt for something relating to this.
I’m truly enjoying the design and layout of your site. It’s
a very easy on the eyes which makes it much more pleasant for me to come here and
visit more often. Did you hire out a designer to create your
theme? Great work!
My spouse and I absolutely love your blog and find the majority of your post’s to be just what I’m looking for.
can you offer guest writers to write content for you?
I wouldn’t mind producing a post or elaborating on most of the subjects you write concerning here. Again, awesome web log!
You really make it seem so easy along with your
presentation however I in finding this topic to be really something that
I think I would by no means understand. It seems too complicated and very large for me.
I am looking ahead on your next publish, I’ll attempt to get the cling of it!
Habari za leo,kwa habari ni kiboko,tena linatisha mengine ya nafata mkia,mimi pia huwa nalisoma kila sk.
Outstanding post however , I was wondering if you could write a litte more on this
topic? I’d be very grateful if you could elaborate a little bit more. Cheers!
Simply wish to say your article is as surprising. The clarity in your post is simply
cool and that i can think you are knowledgeable in this
subject. Well along with your permission allow me to take hold of your feed to keep updated
with coming near near post. Thank you a million and please carry on the rewarding work.
Undeniably believe that which you stated.
Your favorite reason seemed to be on the web
the simplest thing to be aware of. I say to you, I certainly get irked while people consider
worries that they plainly don’t know about. You managed to hit the nail upon the top as well as defined out the whole thing without having side-effects , people could take a signal. Will likely be back to get more. Thanks
You could certainly see your enthusiasm in the work you write.
The sector hopes for more passionate writers like you who aren’t afraid to say how they believe. All the time follow your heart.
BARAKA N SWALLO (DIZZO DUMZI)
kazi imekaa vizuri ongeza juhudi
watu tuwe wastarabu hasa kwakupima chafya kwenye umati wa watu
I like the helpful info you provide on your articles.
I will bookmark your blog and test again here regularly.
I’m somewhat sure I will be informed lots of new stuff right here! Best of luck for the next!
nauza fiat na toyota
What i don’t realize is in fact how you are no longer actually a lot more smartly-preferred than you may be right now. You’re so intelligent.
You understand therefore significantly in the case of this subject, made me individually believe it from a lot of numerous angles.
Its like women and men don’t seem to be interested until it’s something to accomplish with
Woman gaga! Your personal stuffs outstanding. All the time take care of it up!
Hurrah! Finally I got a weblog from where I can in fact take valuable data concerning my study and knowledge.
I was very happy to find this great site. I wanted to
thank you for your time for this fantastic read!! I definitely appreciated every bit of it and i also have you saved to fav to look at new stuff on
your web site.
My relatives every time say that I am killing my time here at web, except I know I am getting experience every
day by reading such good articles or reviews.
Really pleased with your type of authoring actually, something tells
me you may very well be a master! ? !
Thank you for the good writeup. It in truth was a entertainment
account it. Glance complex to more introduced agreeable from you!
However, how could we keep up a correspondence?
That is a very good tip particularly to those new to the blogosphere.
Simple but very precise information… Thank you for sharing this one.
A must read article!
I every time spent my half an hour to read this webpage’s posts every day along with a cup of coffee.
Ningeomba kusema kwamba hilo swala la shule liendelee kuzungumziwa kabisa kwan hata mimi nasoma.shaooo
This is precisely what I was looking for!
Thanks a lot! My sole complaint is that it took me over an hour with 30
different searches to find your web site. Why is high-quality
content like this so far down in the google search results.
It is beyond horrible.
Thank you for the awesome article! It requires some bold action on their part. I discovered your write ups via Twitter while searching for a related topic, your blog came up and I am glad it did I really hope the problem is solved soon. If it is not really important to you then just don’t do it. You are totally right on with this.
Wow that was odd. I just wrote an really long comment but after I clicked submit my comment didn’t show up. Grrrr… well I’m not writing all that over again.
Regardless, just wanted to say wonderful blog!
Awesome article.
Very great post. I just stumbled upon your blog and wanted
to mention that I’ve truly loved browsing your weblog posts. In any case I will be subscribing to your rss feed and I’m hoping you write once more soon!
I go to see daily a few blogs and blogs to read content, except this
website offers feature based articles.
Remarkable things here. I’m very happy to look your article. Thank you a lot and I am having a look ahead to touch you. Will you please drop me a e-mail?
Thanks for sharing your thoughts on werbeagentur. Regards
I really like reading through a post that can make men and women think.
Also, many thanks for allowing me to comment!
I used to be recommended this website by means of my cousin.
I am no longer certain whether this submit is written by way of him
as nobody else know such special about my problem. You’re wonderful! Thank you!
We’re a gaggle of volunteers and starting a brand new scheme in our community. Your site offered us with helpful info to work on. You have done a formidable process and our entire group will be grateful to you.
Hey! I’m at work surfing around your blog from my new iphone 3gs! Just wanted to say I love reading through your blog and look forward to all your posts! Keep up the excellent work!
Hey there I am so excited I found your blog page, I really found you by accident, while I was researching
on Aol for something else, Anyways I am here now and would just like to say kudos for a marvelous
post and a all round thrilling blog (I also love the theme/design),
I don’t have time to go through it all at the minute but
I have saved it and also added in your RSS feeds, so when I have time I
will be back to read much more, Please do keep up the superb work.
You really make it seem so easy with your presentation but I find this matter to be actually
something that I think I would never understand. It seems
too complicated and extremely broad for me. I am looking forward for your next post, I’ll try to get the hang of it!
Because the admin of this site is working, no uncertainty very rapidly it will be famous, due to its feature contents.
Hi to every one, the contents existing at this web page are really awesome for
people experience, well, keep up the nice work fellows.
I quite like reading through an article that can make
people think. Also, many thanks for allowing me to comment!
Hiya folks, I am something of a zombie addict. I personally ended up
looking over this page and so I absolutely enjoyed it.
It offers several truly nice tips for me to absorb. I
have to bring up, I’ve become depressed nowadays because my best friend isn’t with me.
Looking through the internet gives me a tiny piece of mind .
I’d love to say thanks to you with this awesome web post which helps pass the message in regards to zombies even more! I really was thinking about if you have got an e-mail opt-in list so I could routinely keep up to date on this site.
Hey There. I found your blog using msn. This is an extremely well written article.
I will make sure to bookmark it and come back to read more of your useful info.
Thanks for the post. I will certainly return.
Hey there, You have done an incredible job. I’ll certainly digg
it and personally suggest to my friends. I am confident they will be benefited from
this web site.
napendekeza muendelee kufanya kazi nzuri
Heya i am for the first time here. I came across this board and I
find It truly useful & it helped me out much.
I hope to give something back and aid others like you helped me.
Good way of describing, and good piece of writing to take data
on the topic of my presentation topic, which i am going to convey
in school.
Greetings! Very helpful advice in this particular post!
It’s the little changes that produce the largest changes.
Thanks for sharing!
Wonderful post however , I was wondering if you could write a
litte more on this subject? I’d be very grateful if
you could elaborate a little bit further. Appreciate it!
Hey there! I know this is kind of off topic but I was wondering which blog platform are you using for this website?
I’m getting fed up of WordPress because I’ve had issues with hackers and
I’m looking at options for another platform. I would be awesome if you could point me
in the direction of a good platform.
Kwanin cku huwek taarifa mbali mbali za wanamziki,naomba uendelee kutuhabarisha.
The other day, while I was at work, my cousin stole my apple ipad and tested to see if it can survive a 40 foot drop, just so she can be a youtube sensation.
My iPad is now destroyed and she has 83 views. I know this is completely off topic but I had
to share it with someone!
kanumba alikuwa na mkemmoja!.naomba picha ya lulu mke wa kanumba.
What’s up everyone, it’s my first pay a visit at this site,
and piece of writing is truly fruitful designed for me,
keep up posting these articles or reviews.
Kwa kweli Japo nilikuwa Mdogo enzi hizo lakini mpaka leo bado nampenda sana Mzee Bozi Boziana. Yaani anatisha na kufunika mbaya pamoja na kundi lake akiwemo Scola Miel, Betty, Rose na Lili. Hawa walikuwa wanenguaji wenye viuno bila mfupa na vilevile wanna sauti nzuri ya kuimba. Pia hatuwezi kuwasahau waimbaji na wachezaji na vilevile wapiga vyombo wa Boziana akiwemo Koffi Alibaba, Deo Bronzo nk. Kwa kweli hadi leo huwa nikisikiliza nyimbo za Bozi nafarijika sana natamani kupaa. Na muda mwingi sana huwa nazisikiliza kwenye gari yangu ninaposafiri. Congo imebarikiwa sana kwa wanamiziki wenye vipaji kwa enzi hizo. Wakiwemo; Papa Wemba, General Defao, Zaiko Langalanga, Pepe Kale, Kanda Bongo man, Madilu System, Aurlus Mabele, JB Mpiana. Haloooo muda umesongaaa na ladha zao haziishi midomoni mwetu.
great issues altogether, you simply won a new reader. What might you
suggest in regards to your submit that you
just made some days in the past? Any sure?
nilikutumia unisaidie jina la mwanamuziki wa kike wa kongo ambae anajina kama adams lakini sina uhakika. Ameshiriki pia kwenye tangazo kama sio la sigara ni coca cola.Wimbo wake mmoja unakiitikio cha ile ile ile, ile ileee.Rhythm guitar imepigwa na Lokasa ya mbongo
ndapole nisana
Muace raisi wa sudan kuongoza inci yake.siyo tu ma raisi wa afrika ndio wanalazimishwa kwenda uholanzi
Why Choosing Us?
Experience on Tanzania Safaris & Hotel Deals in Arusha
100% Your Safari on Recommended Tour Operators
Best on Safari Planning & Travel Directory in East Africa
Arusha Travel Agency The Most Trusted Travel Agent Ever
Read More ..www.arushatravelagency.com – Alfred Dansan Mlaki
Ni jambo linaloleta utata kwamba,ulimwengu unaotarajiwa kupiga hatua katika kuimarisha amani ndio kwanza mataifa yenye nguvu kiuchumi ulimwenguni ndio washirika wakubwa was kuongoza vitendo vinavyohatarisha amani duniani .
Naomba tutafakari nafasi yetu binafsi tuepuke na tuwe msaada tunanafasi pia.
Naeza pata namba ya Aslay isihaka nifanye nawo kwa muziki
jamani mnisaidie maumivu Makalu wakati WA kubleed usababishwa ni tuba ni ? ni nini?
Mm nawaombea mendelee kuelimsha jamii wakubwa nawa dogo mana tucposhikamana hatutaokowa kizaz kijao na watakia kazinjema?
Your webpages have got outdated information try to be up to date. Looks like not daily newspaper
habari za ngu mi mi niko uki bmi zi n si na ma e nde re oha pa a fri ka n vi ta tu ya ki uka bi ra ni na wa ombe i chi ye nu i we na ama n mu da wo wo te ra ki ni na o bma mu si je mu ni a che ku wa tu na tu mi a n a t ri fa a sa nte
si na me ngi ya kuo nge ya ira ni na usi ngi zi na ta ka ni ra reni ki andi ka ni ta a ndi ka vi ba ya kwa sa ba bu ya u si ngi si ngi z hmi ngi
naipenda sana yanga
kwanini congo haishi vita ?
ALIKIBA
Great – I should definitely pronounce, impressed with your web site. I had no trouble navigating through all the tabs as well as related info ended up being truly easy to do to access. I recently found what I hoped for before you know it in the least. Reasonably unusual. Is likely to appreciate it for those who add forums or anything, site theme . a tones way for your client to communicate. Nice task..
Right now it seems like Expression Engine is the best blogging platform available right now. (from what I’ve read) Is that what you’re using on your blog?
APPLICATION FOR A JOB VACCANCY
Hi! This is my first visit to your blog! We are a group of volunteers and starting a new project in a community in the same niche. Your blog provided us useful information to work on. You have done a outstanding job!
I am really enjoying the theme/design of your site. Do you ever run into any internet browser compatibility issues? A small number of my blog visitors have complained about my blog not working correctly in Explorer but looks great in Chrome. Do you have any suggestions to help fix this problem?
At this time it appears like Drupal is the preferred blogging platform out there right now. (from what I’ve read) Is that what you’re using on your blog?
My spouse and I stumbled over here different web page and thought I should check things out. I like what I see so now i’m following you. Look forward to going over your web page for a second time.
Nitawapateje
I’m really loving the theme/design of your blog. Do you ever run into any internet browser compatibility issues? A few of my blog visitors have complained about my blog not operating correctly in Explorer but looks great in Safari. Do you have any suggestions to help fix this issue?
very nice post, i definitely enjoy this excellent website, persist in it
Fc Barc vs Rea m