Advertisements
Mwanamuziki nguli Koffi Olomide anatarajia kutoa wimbo mpya ambao amemshirikisha Koffi Olomide. Kwa mujibu wa habari ambazo Spoti Starehe imezipata inasemekana kuwa kwenye wimbo huo Koffi anaingia na kibwagizo chake cha Selfie ambacho kaimba kwa Kiswahili.
Mtoaji habari wetu anasema kuwa Kwa sasa Bella yuko yuko nchini ambako amerejea karibuni toka DRC ambako aliongozana na King Dodoo katika kufanikisha urekodiji wa Wimbo huo.
Kwa sasa Bella anatamba na wimbo ambao ametoa akiahirikiana na Ally Kiba. Spoti starehe inamtakia kila la heri katika kazi yake hiyo na kuosubiria kwa hamu sana single hiyo maana imejumuisha vichwa vya kazi.
Advertisements