Maisha Plus: Nani kuibuka na M 10,000,000????????

maisha plus

Washiriki 10 tayari wamebakia kwenye mtanange wa Fainali ambapo hapo mmoja ndio ataibuka kidedea kwenye kinyang’anyiro cha Reality Show ya Maisha Plus.

Pamoja na vigezo vingine kura yako ndio itatoa mshindi hivyo shime piga kura sasa.

Namba za kupiga kura ni hizo hapo chini ikiambatana jina na namba ya mshiriki.

Abdul …………32
Maulid ……….33
Upendo …….18
MOdesta …..37
MOshy ….…..19
Charles ….…11
Steve ……….14
Boniface …..20
Hamis ………23
Teddy ………36

Je Nani anafaa kunyakua zawadi?

115 Responses to Maisha Plus: Nani kuibuka na M 10,000,000????????

  1. ainnothy says:

    what up there!!!!!!!!!!!!!!
    do charse ur the rockkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkk

    ur supose mennnnnnnnnnnnnnnnn.do men mkal kwe kwel

    ur the winner my home pot.

  2. ainnothy says:

    what up there!!!!!!!!!!!!!!
    do charse ur the rockkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkk

    ur supose mennnnnnnnnnnnnnnnn.do men mkal kwe kwel

    ur the winner my home pot.

  3. tabitha says:

    hi guys let me congr 2 ma men charse the wnner to be bellesed men all the best bigggggggggggg uppppppppppppp

  4. leah says:

    u guys are all good but a t the end of the day one has to win. . . as far as am concerned charles has proven himself to be very competent. . .keep it burnin man. . .coz u r the man!

  5. kivuyos says:

    do charsle ni sooooooooooooooooooooooooooooooo.

    anastahili mchongosssssssssssssssssssssssssssssssss.

  6. vote charsle

    vvote charsle

    vote charsle

    vote charsle

  7. redemta says:

    vote 11
    2b a king of kings

  8. aisha mohammed says:

    napenda kuwapongeza maisha plus pia nami napenda nihudhulie huko kijijini nije nione tu ni mtangazaji wa radio kheri fm ilipo jijini dar s pia ni mwanafunzi chuo cha uandishi wa habari dar (dsj) kilichopo ilala naomba niwe na nyinyi wakina masoud sababu nitajifunza mengi naomba niwe rafiki yenu jaman

  9. Seif says:

    Abdul, anastahili kuchukua hicho kitita.

    Naitwa Seif from Arusha.

    • Pure Cbd says:

      Each option has its own merits and demerits that can help decision making when broken down. This girl I recently met enjoys your post. Your writing is so awesome that my eyeballs exploded while reading it! I will bookmark this post. Any new information on this? People often ask me, Would I go back to that if I could? And I always tell them that I would.

  10. pendaeli says:

    aise bwana masuadi hizo kura ni vipi mnaziesabije??coz mchizi no 11 alikuwa juu kwa sasa amwporomoka?inakuaje????

  11. MAZIMPAKA from RWANDA-KIGALI says:

    abdoul ameshinda ngugu zangu,bahati hazipaganiwi

  12. zainab says:

    charles should be the winner

  13. jovita says:

    ABDUL apewe million kumi

  14. koku says:

    Abdul should be the winer MAISHA PLUS

  15. Six says:

    Whats up men Upendo yuko juu kwanza ana upeo wa mambo ni creative anajiheshimu kwanini asipewe m 10 hata msipompa Mungu atamsaidia.

  16. kivuyo says:

    aisee no 11 the winer

  17. kivuyoS says:

    CHARLESSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSS BIG UP MA MEN

  18. Amina says:

    Charlz is the winner of 10m.

  19. aneth says:

    11 Big up,guyz, u ar the winner

  20. Mdee says:

    Let Charles be the winner.
    I will be happy.

    From Zanzibar

  21. Msoffee says:

    Charles awe mshindi
    anafaa sana na kuweza kuendeleza masomo yake
    Beatrice

  22. Mang'he says:

    Charles No 11 awe mshindi wa mil 10
    anafaa sana wengine wachawi kama Upendo na Abdul

    Musoma

  23. Mama Ghairun says:

    Charles anafaa sana nashangaa kwanini hamumuonyeshi tatizo ni nini

  24. Nesta says:

    Charles apewe million kumi.Hatumwoni mtu wetu kwenye Runinga.Tatizo liko wapi?

    Arusha

  25. Sia says:

    Charles anastahili milion 10 maana ametulia atazifanyia kazi

  26. Key says:

    Charles ana kura nyingi mbona hatuzioni?
    Masudi angalia my friend.
    Na hatumuoni kwenye Runinga.anaumwa?

    Naomba Charles awe winner wa Milion kumi.

    From Mwanza.

  27. Godliving Mkindi says:

    Charles anafaa

    arusha

  28. JUMA ADAM says:

    ABDUL APEWE M 10

  29. JUMA ADAM says:

    ABDUL MSHINDI WA MILIONI 10

  30. nasra says:

    Abdul ndie mshindi apewe million kumi jamni

  31. upeno marwa says:

    mimi naona ABDUL anafaa kw izo million kumi kupewa kabisa

  32. frida says:

    addul yuko juu sana kama zain vile mi nampa million kumi

  33. fatma says:

    ABDUllllllllllllllllllllllllllllll apewe

  34. STEVE says:

    Heeeeeeeeeeeeeeeeeeee ni kimaisga plus iyoooooooooooo mimi mtoo wa kijito napenda mzee wa kijiji awe Abdul ndio baba yo atuangalii chaz kakaa kibitozi wakati yupo kijijini msiseme mstacharabu ana chochote mi ananiboa uyo chaz wenu yuko ki artificial sana ila ADBUL yupo natural sanaaaaaaaaaaa

  35. kihongo says:

    Abudul ni Nimo jamani apewe izo million kumi

  36. Godliving Mkindi says:

    charles anafaa

  37. Sarah says:

    acheni uswahili charles anafaa tena sana,

  38. Joakim says:

    Hamisi apate hizo milion kumi.
    namfagilia sana.

    From Mbeya

  39. Anonymous says:

    abdul anafaa kupata kitita cha million 10.

  40. Anonymous says:

    namfagilia abdul

  41. Anonymous says:

    Abdul is the winner!!

  42. Anonymous says:

    Adul Hana Mpinzani

  43. Anonymous says:

    Abdul ashinde

  44. gift says:

    Jamani Charles anafaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

  45. christer says:

    Charles anafaa sana kupata m. 10

  46. dayness says:

    11 anafaa kumpa milioni 10

  47. Rita says:

    Moshy anafaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

  48. petro says:

    moshy mpeni m. 10

  49. juma says:

    Abdul safi million kumi zake izo

  50. hussein says:

    ABDUL anafaaaaaaaaaaaaaa sanaaaaaaaaaaaaaa

  51. kadidi says:

    Abdul yuko juuuuuuuuuuuuuu

  52. jacob tarime says:

    ABDUL ANAFAAAAAA SANA JAMANI

  53. SIS FAMILY says:

    ABDUL mzenji yuko juu sana au sio kipanya

  54. malebo says:

    Abdul million kumi yako baba bado wiki moja tu komaaa au sio

  55. mary songea says:

    ABDUL nakufagilia uko juu upate million kumi baba

  56. solder group says:

    Abdul uko juu sana sisi tunakuombea dua upate million kumi au sio

  57. lusekelo says:

    Abdul uko juu sana

  58. fred says:

    BIG UP ABDUL MILLION KUMI NI ZAKO KAKA

  59. MABULA says:

    Abdul uko juu sanaaaaaaaaaaaaa mi nakukubali wakupe million kumi faza

  60. mutashobya says:

    Abdul uko juuuu sana kaka yangu infact napenda wakupe million kumi waitu

  61. yusuph says:

    izo apewe HAMIS hana makuu na wenzake kabisa yupo juu sana hamis ajawai kuingia kikoangioni han makuu

  62. george says:

    ABDUL OYEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE UDUMU KAMA CCM NAPENDA MILLION KUMI UPATE WEWE

  63. MAZIMPAKA from RWANDA-KIGALI says:

    ABDOUL AMESHIONDA NDUGU ZANGU.BAHATI HAIPIGANIWI KWANI BAHATI UNAZARIWA NAYO/JAMAAA AMEPEREKA MIRIONI KUMI/YAANI AMEFANYA KAZI KWA MIEZI MIWIRI AMEPATA 10.000.000 WAKATI KUNA WAZEE AMBAO WAMEFANYA KAZI MIAKA KARIBU ISHIRINI BIRA KUPATA PESA HIZO.SO HIYO NI BAHATI ZAKE KWAHIYO MUMUACHE ABDOUL APEREKE PESA AMESHINDA
    HONGERA ABDOUL CHUKUA PESA HIZO NA UZIFANYE MTAJI IRI UANZE BIASHARA YAKO

  64. MAZIMPAKA from RWANDA-KIGALI says:

    ABDOUL AMESHINDA NDUGU ZANGU.BAHATI HAIPIGANIWI KWANI BAHATI UNAZARIWA NAYO/JAMAAA AMEPEREKA MIRIONI KUMI/YAANI AMEFANYA KAZI KWA MIEZI MIWIRI AMEPATA 10.000.000 WAKATI KUNA WAZEE AMBAO WAMEFANYA KAZI MIAKA KARIBU ISHIRINI BIRA KUPATA PESA HIZO.SO HIYO NI BAHATI ZAKE KWAHIYO MUMUACHE ABDOUL APEREKE PESA AMESHINDA
    HONGERA ABDOUL CHUKUA PESA HIZO NA UZIFANYE MTAJI IRI UANZE BIASHARA YAKO

  65. asra mamah gilibwa2 says:

    pendo anafaa kupata milion kumi ni zake ili aweze kizitumia kama alivyo ahidi kusaidia watoto waishio katika mazingira magumu

  66. asra mamah gilibwa2 says:

    pendo millioni 10 zako

  67. abduly says:

    acha sifa utashinda

  68. janeth says:

    Charles anafaa saaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaana
    kupata m. 10,000,000

  69. silvia says:

    charles apewe m. kumi

  70. Burugu says:

    jamani charles mshindi wa m. 10,000,000

  71. Rhoda says:

    milion kumi ziende kwa charlessssssssssssssssssss

  72. Agnes says:

    chaz apate hizo fedha, kwanza anastahili, hana skendo yoyote ndani ya maisha plus

  73. ainnothy says:

    charles the winner

  74. tanu siri says:

    aisee charse ni noma anafaa kuchukua hayo mapesa

  75. jamanieeeeeeeeeeeeeee charse ni mona mchizi ndyo mshindi wetu babu

  76. jamani no 11 ndiyo winer nani anabisha?

    from serengeti

  77. green term says:

    chaz babake ni king mpeni majala yake tafathali!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!do hiyo ni soooooooooooooooooo asikuambie m2

  78. aisee masudi mnampendelea huyo jamaa wa kipemba kila dakika mnamuonyesha yeye hadi ndiyo mwenyewe analitambua hili nini maana ya ushindani kama ndyo kubebena????????????kuna watu wengi sana wazungumza kuusu hilo syo fea kama tayari mnamjua mshindi.si bora basi mkatishe 2 coz tayari mnataka kumpa huyo jamaa ama ndyo undugu naizasheni.cjui mtaaribu kama bongo starserch walivyo boronga.cc watazamani msitufanye vitoto.inaumaa masela

  79. Triple P says:

    Chaaaarles anastahili hizo M 10

  80. ainnothy says:

    chaz ur the winer ma men

  81. BEATRICE MBUHILO says:

    Steve no 14 anastahili m 10,000,000. Ametulia

  82. ramadhani salehe lugoma says:

    ABDUL ameshinda kwanini msimpe pesa zake coz anafaa sana

  83. Ramadhani Mujuni Abdul Ismail says:

    Abdul apewe kwani mambo yake yanatufurahisha yaani utafikiri kazaliwa huko huko kijijini. Tunamfagilia wa waaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

  84. emypoyo says:

    ABDUL Ana haki ya kushinda. pamoja na majungu.fitna, na ubaguzi anaofanyiwa. dharauzote anazoonyeshwa habadiliki.APEWE 10M. Anastahili.

  85. emypoyo says:

    ABDULLLLLLLLLLL.10M

  86. iftihaam says:

    abdul kiboko milioni kumi zako mzee huna shaka.
    abdull ana subira mungu akuzidishie.

  87. emypoyo says:

    ABDULL Apewe 10m zake

  88. emypoyo says:

    ABDUL Anastahili kupata 10m kwanza anajua jinsi ya kuishi na watu,Mvumilivu,Anaakili,maarifa na juhudikubwa ktk kutafuta Maisha.na anamjua Mungu.

  89. emypoyo says:

    nilimpenda sana upendo haswa kwa kiwango chake cha ufahamu kama mschana,Lakini lo! MBAGUZI,MMMBEA YEYE NAHUYO MODE.Wanajitia kujuasana kila kitu haswa huyo Pendo.siwapi kura yangu ng’ooo.KURA YANGU NAMPA ABDULL

  90. Georgina says:

    18 yuko juu mpe milioni kumi zake msimbanie

  91. nyanjobhe says:

    daa! abdul uko juuuuuu bana japo sumtymz huwa unaropoka ila kimaisha plus bana unayawezeaaaaaaaaaaaa.

  92. nyanjobhe says:

    jamani hata stive nampa hieeeeeeeee, japo nindugu yangu ila daaaaaaa! unafaa ila uko mpole sasaaaaaaaaannaaaaaaaaa babaaaaaaaaaa

  93. emypoyo says:

    ABDUL Simama imara kaka unastahili ushindi. na hakika upo hapo kwa ajili ya 10m nasio wanawake uchwara hao ndio mana wana jazbaaa hehehe nacheka kimaisha PLUS. ABDUL ANASTAHILI 10M

  94. Kaijage says:

    Mpeni Teddy hizo milion 10 acheni kumbania yupo juu
    ebana teddy komaaaaaaaaaaaaaa.

  95. john says:

    yap!! ebwna abdul anatisha apewe hizo pay apeleke ushindi zenji

  96. Michael says:

    dahaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!! Upendo yupo juu.
    anastahili kupewa milion 10.

  97. Michael says:

    Ukweli unabaki palepale kwamba Upendo anastahili kupewa million kumi kwani maisha anayaweza.

  98. faisal says:

    Adull anafaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa kula uo mkwanja coz mshkaji anatisha.

  99. ABDUL IS THE WINNER MEN

  100. NI ABDUL TU 10M CHUKUA KAKA

  101. WOTE TUMKUBALI ABDUL KWANI ANATISHA SANA 10 MILION NI ZAKE

  102. Michael says:

    upendo yupo juu apewe million kumi

  103. pn says:

    charlceeeeeeeeeeeeee go for the money boy. unafaaaa saaaanaaaaaaaaaaaa

  104. noely says:

    hoyaa masela charles ni noma anafaa usipime mpeni hayo majala,,,,,,,JAMAAAAAA ANAWA!!!!!!!!

  105. SALAMA WAA says:

    Mwadela bhabha!!!!!!!!Charles ni kiboko mpeni mahera

  106. vote no 11 ninhage mahela

  107. Anonymous says:

    BON APEWE CHAKE ANASTAILI KAKA

  108. Fantastic post but I was wondering if you could write a litte more on this subject? I’d be very grateful if you could elaborate a little bit more. Bless you!

  109. Nice information, excellent and useful style, as share excellent stuff with fantastic tips and concepts.

  110. Currently it sounds like Expression Engine is the top blogging platform available right now. (from what I’ve read) Is that what you’re using on your blog?

  111. At this time it looks like WordPress is the top blogging platform available right now. (from what I’ve read) Is that what you are using on your blog?

  112. Appreciating the hard work you put into your blog and in depth information you offer. It’s great to come across a blog every once in a while that isn’t the same out of date rehashed information. Great read! I’ve saved your site and I’m adding your RSS feeds to my Google account.

Leave a reply to Anastasia kilonda Cancel reply