Shirikisho la mchezo wa mpira wa miguu la Spanish la Spanish Football Federation (RFEF) limemhukumu mchezaji Frederic Kanoute kulipa fine kwa kitendo chake cha kuvua jezi na kuonyesha fulana yenye maneno ya kulaani mauaji PAlestine katika mchezo wao na Deportivo La Coruna baada ya kushinda goli la pili.
Ingawa taarifa ya Shirikisho hilo haikusema kiwango cha Fine lakini habari zinasema kuwa Faini hiyo ni dola 4,000 za kimarekani. Wakiongelea adhabu hiyo mashabiki wamesema kuwa fulana ile haikuandikwa kingine bali ni neno Palestina kwa lugha mbalimbali na hilo halistahili adhabu hiyo, Ikumbukwe Kanoute ni Muislam aliyezaliwa Ufaransa mwenye uraia wa Mali.
kafanya kitendo kizuri..nipo upande wake..we must rise voice and say “stop killing civilian in palestina
Mi nafikiri angeandika “Let us pray for them”so that they can reach a parmanent renconciliatin insteadyof doing that he did.wa nje tuwe newtrol.
Mi nafikiri angeandika “Let us pray for them”so that they can reach a parmanent renconciliation insteadyof doing that he did.wa nje tuwe newtrol.
imekula kwake
MUNGU AMBARIKI KWA KUONESHA HASIRA ZAKE KWA MAKAFIRI WANAONYANYASA BINADAMU WENZAO TENA BILA HATA HURUMA
Angeandika the end of crimes
ARSENAL.FC.PATO.PHOTO