Maisha Plus: Shindano linalofanana na Big Brother kuzinduliwa Tanzania

Masoud Kipanya, Mmoja wa waanzilishi wa Maisha Plus

Masoud Kipanya, Mmoja wa waanzilishi wa Maisha Plus

Kampuni ya DMB inatarajia kuanzisha shindano liitwalo Maisha Plus litakaloanza Desemba mwaka huu na kushirikisha washiriki 18 kutoka mikoa tisa nchini.

Akizungumza na waandishi wa habari, mmoja wa Wakurugenzi wa bodi wa kampuni hiyo Masoud Kipanya alisema kuwa shindano hilo la aina yake linafanana na lile la Big Brother Africa linaloendeshwa Afrika Kusini.

Kipanya alivitaja vigezo vitakavyotumika kuwapata washiriki hao kuwa ni wale wenye umri kati ya miaka 18 hadi 27 na pia watazingatia mwonekano, ujasiri, ukakamavu na masuala mengine muhimu.

Kipanya alisema shindano hilo litawashirikisha wanawake tisa na wanaume tisa wenye tabia na mienendo tofauti ambao watalazimika kukaa kwenye kijiji cha mashindano kwa zaidi ya miezi mitatu.

Alisema wameanza matayarisho ya ujenzi wa kijiji kitakachotumiwa na washiriki hao, eneo la Geza Ulole, Kigamboni. Kipanya alisema katika shindano hilo mshindi ambaye atapatikana kwa kura za wananchi atazawadiwa Sh milioni 10.

Akizungumzia undani wa shindano hilo alisema washiriki hao watakaa ndani ya jumba hilo kwa mwezi mmoja kabla ya watu kupiga kura za kumtoa mshiriki mmoja baada ya mwingine. Kipanya aliitaja mikoa hiyo kuwa ni Morogoro, Dodoma, Mwanza, Arusha, Tanga, Mbeya, Mtwara, Iringa na Zanzibar na fomu za ushiriki zitaanza kutolewa wiki ijayo.

174 Responses to Maisha Plus: Shindano linalofanana na Big Brother kuzinduliwa Tanzania

  1. DAVID says:

    PLEASE POST NEW INFORMATION ABOUT MAISHA PLUS

  2. stegho says:

    hey! wat abt maisha plus,is it started? we more info.

  3. ayoub says:

    oyaaa mbona hatuelewi ni likitu gani hilo.

  4. lina says:

    hallo natumaini wazima.

    mimi nauliza inamaana washiliki mumewaachia cm. kama mmewaachia haifai kabisa inatakiwa wasiwasiliane na mtu yeyote
    by lina

  5. Mange says:

    Nawasifu sana kwa mchezo mzuri wa maisha yetu halisi ya kiafrika au tanzania, (kijijini) ila naomba washiriki wasiwe wanafanya kazi bila kuvaa viatu yaani kwa ujumla naamanisha usalama wao kwanza hata huko kijijini wanavaa katambuga zile za wamasai watafutieni wavae…sipendi kuona wanavyoumia halafu kijijini huwa sio maharage tu hata visamaki vidogo vidogo vikavu vinapatikana…usalama kwanza hata wa matumbo yao wapendwa… na mwisho mtafute muda wa marudio ya wiki nzima ukikosa siku moja basi uone hata jumamosi usiku saa nne hivi…otherwise show inatia moyo na sikosi kuangalia.

  6. Anonymous says:

    HUYO BONGE AONDOKEEEEEEEEEEEE! JUMA UNATUANGUSHA KAMA VIPI TIMUA

  7. Bariki says:

    Hi maishaplus, fanyeni mpango wa kuwa na muda maalumu wa kuonyesha TBC

  8. ninapenda sana pia waweke kipindi cha maisha plus kwa muda wa wiki nzima hasa wikiend kila mtu apate kuona pia bado sijaona hasa vigezo vya watu kutolewa

  9. MAFTAH MASONGA says:

    hi maisha plus,
    2 b honest i become so interest with this program of maisha plus but a little discourage is that we dont see the rest of their time when they are at that Kijiji we don real sure if they sleep or not.
    apart from that, what if there was Albinism as one of the participant, dont you think we could have a little ratio we thiz ndugu zetu!!

    its,
    maftah masonga rukombe

  10. Grace Kyaruzi says:

    hi maisha plus.
    ningependa kujua ni vigezo gani mnatumia kumtoa mshiriki katika kijiji cha maisha plus.

    ni mimi

    GK

  11. MAMA LAUREN says:

    Kwanza kabisa nawashukuru sana kwa kuweka kipindi hiki ila na mie naungana na wale wanaosema kuwa iwepo siku maalumu ya marudio ya wiki nzima. kwani sio wote wanaoweza kufuatilia hicho kipindi kila siku.Ahsante.

  12. Anonymous says:

    Ebwana mbona unatunyima uhondo na mi najua hapa ndio ningepata kila kitu kaka?

  13. Anonymous says:

    So haki Mkuu mi nakuwa kazini kila siku nime search online nikaona hii yako nikajua hapa nitapata info zote na latest sasa inakuwaje?

  14. Asnath says:

    Je ni nani atatoka?
    NApenda Bonge atoke lakini nimesafiri siwezi kuona tena huwezi kuwa unaweka walao mara moja kwa wiki hii habari?
    Mdau

  15. Anonymous says:

    Naungana na wadau
    Mdau Mwanza

  16. Philip - Banana Ukonga says:

    Big up KP kwa ubunifu wako, ila wawekee wazo jipya walichambue kila baada ya siku tatu hivi ili tuweze kupima IQ zao pia, tusije bakisha watu MP kwa kutazama sura zao. Tunawapongeza METL kwa udhamini wao.

  17. Asnah Nchimbi says:

    jamani abdul asitoke kwani akitoka kipindi hakitanoga hata kidogo abdul ni mcheshi na mchangamfu sana tunamfagilia vibaya

  18. Asnah. says:

    aah nilisahau kipindi chenu kinatupa burudani tosha nimehuzunika sana pale alipotoka efransia walipendezeana na maulid vibaya. lakini yote ni matokeo abdul ni kiboko ya wote mkimtoa tutaboreka vibaya

  19. ANDREW LAWSON BRACKEN says:

    HI,ME HAPPY TO HEAR FROM ALL OF U WHAT THEY WERE SUCCESSED IN YOUR INTENTIONS.ITS TRUELY, CAUSED PEOPLE LEARN HOW TO LIVE IN VILLAGE REAL LIFE IN DIFFICULT TIME.EXAMPLE HUNGRY. ME WATCH CARE FUL INTO TBC STATION. SO THAT ME ATTRACTED SO MUCH ONE’S OF PARTICIPANTS NAME’S UPENDO THAT SHE HAS OPENED MIND & HONEST,SO NEED LEARN MORE THE WORD OF GOD.GOD’S THERE WHERE ELSE. ME WANT TO CONTACT WTH HER THAT ME NEED SO MUCH. PLEASE HELP ME HOW TO GET HER. ME NOW THERE NAIROBI FOR TRANSLATION BIBLE TO HELP DEAF PEOPLE UNDERSTAND.
    THANK YOU IN ADVANCE.
    ME DEAF PERSON,
    ANDREW LAWSON BRACKEN

  20. buluka says:

    Sijajua na sioni logic ya kuwa na maisha plus hapa nchini. Nchi ni changa na maskini sana, na hivyo kuiga mambo ambayo hayana tija kwenye uchumi wa taifa letu ni njia mojawapo ya kuendelea kudidimiza uchumi wetu.Mambo hayo yangetakiwa kufanywa zaidi na mataifa tajiri na siyo taifa maskini kama Tanzania.Aidha, maisha plus ni kielelezo kuwa elimu tunayoipata mashuleni haijatusaidia kubuni mambo ambayo ni ya msingi, endelevu na yatakayomsaidia kijana wa Taifa letu.
    Kwa mtazamo wangu, ningeliridhika kama maisha plus ingechochea vijana kuandaa andiko la miradi au kutoa mawazo ambayo yangelimsaidia kijana wa kawaida kuweza kumudu maisha kwa njia halali. Vitu wanavyovifanya hapo “kijijini” ni mambo ya kawaida yanayofanywa na vijana katika vijiji nchini Tanzania. Ingekuwa ni kitu muhumu kama hao vijana wangelifundishwa fani yoyote ambayo ingewasaidia wao wenyewe na pia kuwa mabalozi pindi warudipo walipotoka, vinginevyo ni kuwapotezea muda wao tu. Fikiria wengine waliacha vibarua/kazi zao wakidhani huko itakuwa zaidi, kinyume na matarajio yao wemerudishwa nyumbani. Hana kazi tena na hakuna lolote jipya alilopata huko, je huku ndiko kumwezesha mtanzania???
    Naiomba Serikali ipitie kwa kina programu kama hizo (maisha Plus) kwani kwa namna moja au nyingine zinaweza kuchochea vijana kuwa wasiokuwa na uelekeo katika mila na desturi zetu.
    Wadhamini wa Maisha Plus afadhali wangelichangia watoto yatima.

    • Natural Cbd says:

      You appear to know a lot about this topic. Looking forward to seeing more of your articles. You really need to produce a lot more content if you want to be an authority in this market. I got to bookmark your blog.

  21. Japolo-Kipawa says:

    Hongera wabunifu na wafadhili wa MAISHA PLUS!nawapa pole waliopoteza fahamu baada ya kupata majibu yao(Levina na Teddy)na big-up sana binti Jasiri aliepokea majibu na kuyakubali.HOFU yangu ni kwa video shooter kuwa bias katika shooting!hali hii imepelekea kila mshiriki anajitahidi kuwa karibu na Abdully ambae anapewa muda mwingi ili nae aonekane,labda sio shooter!basi na maanisha yule anaetuletea matangazo TBC1 recorded periods
    Mwisho nakupongeza KP kwa uwezo wako mkubwa wa kujua saikolojia ya wa-kijiji na kuweza ku-predict hali iliyowatokea hao akina dada the positive and negative side

  22. Given says:

    jitahidi kushoot washiriki wote maana wengine hawajulikani kabisa!pia fanya programme ya kuonyesha kila mshiriki na jina lake maana kuna watu hawawajui ambao hawakuangalia mwanzo.

  23. MAMA BRENDA - MRS GEORGE says:

    ok kwanza napenda kuwapongeza kwa kuanzisha kipindi hiki ni latest for sure but pls kama mtaweza atleast kufanya marudio per week for one day mie kama mimi nimeangalia jpili washiriki wawili walipozimia so ila ktk sms watu wengi wanamfagilia Abdul ilihali simjui jaribuni kuwaonyesha ili tuweze kuwajua pls inaelekea kipindi chenu ni kizuri kipanya kaza buti

  24. MRS GODSON says:

    OK KWANZA KABISA NAPENDA KUWAPONGEZA KWA KUANZISHA KIPINDI HIKI CHA MAISHA PLUS. INAWAPA VIJANA CHANGAMOTO YA MAISHA MIMI KAMA MIMI NIMEKIFURAHIA SANA MAANA VIJANA WENGINE WAMEWEZA KUPATA AJIRA SO INAPUNGUZA WIZI, UVUTAJI BANGI NA VITU VINGNE AMBAVYO SI VIZURI KWA VIJANA. SINA MENGI ILA ATLEAST JARIBUNI KURUDIA KWA WIKI. PIA PUNGUZENI UKALI WA MANENO KATIKA KUWATOA MAANA WENGNE WANAFIKIA HATUA YA KUZIMIA TUMIENI MANENO YA FARAJA.

  25. GOLLAN says:

    Yes brothers,hope you are doing fine.Kindly i would like to congratulate on the fairness you acquire in the progressive of maisha plus keep it up.
    Would you pse receive and regard my request on th following 1.TRY TO INFORM THE ONES TO BE WITHDRAWN OR SUSPENDED OUT EVEN TWO DAYS OR THREE IN ORDER TO MAKE THEM EXPERIENCE AND LOQWERING THE MOLARITY OTHERWISE YOU WILL BE ANSWERABLE FOR ANY SHOCK,STRESS OR DEATH MIGHT OCCUR AS U SAW YESTERDAY TO TEDDY,TRY TO LEARN THROUGH WRONGS,2.DONT POINT FAVOURITE NEMBERS TOGETHER eg ABDUL&UPENDO OR MODESTA&teddy/PENDO, LET IT B IN THE 2ND ROUND OR 3RDROUND

  26. Hongera sana kwa ubunifu wa product kama hii ya maisha plus ambayo actually ina mafunzo mengi sana katika jamii.
    Hata hivyo kimsingi napenda kushauri yafuatayo:
    1.Washiri wa maisha plus wanaandaliwe kisaikolojia ili waelewe maana halisi na umuhimu wa product hiyo.
    2.Kwamba ushiriki huu ni wa hiari na kwamba kuna uwezekano wa kubaki kijijini au kurudi nyumbani.
    3. Kwamba katika maisha kuna umuhimu wa kujiandaa kukabiliana na lolote linaloweza kutokea kinyume na matarajio.
    4. Kwamba kuna alternative nyingi za maisha
    5. Kwamba ukikosa moja ufight kwa nyingine n.k.

    KUMBUKA KWAMBA KWASABABU YA MAPUNGUFU HAYA CHO CHOTE CHAWEZA KUTOKEA KAMA VILE KUHARIBU CV YA MSHIRIKI MAISHANI KAMA TEDY ALIVYOONESHA KUWA YEYE NI DHAIFU NA KWAMBA SI MVUMILIVU KTK KUKABILIANA NA MAISHA NA HATA PIA KIFO CHAWEZA KUTIKEA. Vile vile namna taarifa ile inavyotolewa na BABU inatisha. Yaani urudi…… Inampa mshiriki pressure kubwa huku akiwa hajui jibu litakuwa namna gani.

  27. Maisha plus is an investment for poor people. They just want to use it as a way of sourcing funds from big companies or rich people. It is approximated that the costs of living in Kijijini and rewards to winners will only count 23% of the total funds from sponsors.
    Furthermore, there is nothing to learn from maisha plus. It is an evil teaching the mass countrywide Adul’s nonesense acts and word of mouth. The way she hunts the girls, kissing and toucging them and even sadusing them openly. This can’t be tolerable.
    Wizi na upuzi mtupu! Pelekeni umalaya wenu huu kwingine na sio kuuonyesha kwenye screen.

  28. Better says:

    Big up 2 masooud kipanya and kaka bonda, ki ukweli programu yenu inatisha ni zaidi ya Big Brother Africa. Endeleeni na moyo huo huo kwani sio watu wote twajua maisha ya kijijini ni aibu mtu kutojua hata ngoma ya asili la kabila lenu. ilinishangaza kuona wanaimba na kucheza ngoma ya kabila la wahehe huku wanakata viuno kusema shakira ilihali ngoma ile ni ya kudua. kiukweli kama hawajui makabila yao basi wasituaibishe wanyalu.wapeni mazoezi ya kucheza ngoma za kabila lao.

  29. Mange says:

    Hongereni waandaaji na wadhamini wa maisha plus. Msikate tamaa kwa comments za wadau wengine. Watanzania hatuna utamaduni wa kupenda kilichobuniwa na watanzania wenzetu, keep it up Maisha Plus….. Kuna mambo madogo madogo ya kurekebisha kama yafuatayo
    1. tafadhali usalama wao kwanza nashukuru AURORA wapo wanawalinda ila ni pamoja na kulima mashamba na mikono…..hii sio
    2. Babu awafundishe au awakosoe wanapowafundisha wenzao ngoma za kwao wakati sio
    3. Wabuni vitu kama ufinyanzi, ili wapike kwa kutumia vyungu, na pia wapike na vyakula vya kwao mfano chakula cha Kihaya, cha kipare, kisambaa na wapewe marks kwa hayo itakuwa ni aina fulani nzuri ya kutoka kijijini ukichanganya na kura kwa ajili ya upishi huo

    Pia tusimsakame Ted, hata ingekuwa mimi ningezirai…Ted ni mwanakijiji kweli kweli bila ubishi. Ukipanda mahindi unategemea kuvuna mahindi….sasa ukaona zimekuja pumba za mahindi lazima uwe shocked. Thanks and keep going boys

  30. eddo jikime says:

    ninachokiona nasema maisha plus ni babkubwa. Cheki na vijana hao wengine hawajui hata kupka na kuni. Inafundisha kwa kweli. Nimeacha kula kangara nawahi nyumbani kuangalia hiki kipindi. Keep it up guys

  31. Habari Tanzania kwa Ujumla Maisha Plus ni maazuri kwani yamewafanya watanzania wote kuwa makini na kile ambacho wanachokibuni isitoshe yani kijijini ndiyo mwanzo wa mtu kuishi Hongera Founder Mr.KP big up Bro Mungu akulinde na akupe uwezo wa kubuni zaidi ya hayo

  32. Isack says:

    jamani hayo ni maisha ya kweli waishio watu wengine,so upendo kuleta mambo ya kizungu na kujifanya anajua kila kitu sio fresh.ila Abdul pamoja na vijsifa vyake namkubali

  33. Isack says:

    Hv mpango wa kusafisha nyota mnauchukuliaje?pia Bro Masoud jaribuni kukiweka kipindi cha Maisha plus on time{muda kamili}itapendeza

  34. twissy says:

    big up maisha plus,but i dont think if those people they behave da way their,coz hizo camera wakati mnashoot si wanajua,vip kuhusu nyuma ya pazia,

  35. twissy says:

    mtupe muda kamili, nadhani itakua mzuka zaid,

  36. priva says:

    kweli maisha plus mpo juu bt ningependa kushauri ingekuwa poa kama hizo kamera zisingekuwa zinaonekana kwan yawezekana wengine kufanya nidhamu mbele ya kamera na siyo baada ya hapo.bt mpo juu.

  37. Anonymous says:

    ssd

  38. Mange says:

    Maisha Plus Juu……,

    Masoud muwe na utaratibu wa kujibu basi baadhi ya maswali ya watu..kama vile hizo camera wanaziona zikiwa zinashoot??????? ila nakataa maana Maulid asingekula madafu vile siku ile….mtoto ana balaa huyu nilimhesabia alifikisha matatu.

    Ubunifu wa kijijini waambieni wabuni mambo ya kwao kama wapike vyakula vya kwao kuwe na ratiba na wapige kura, leo makande, kesho ndizi moshi, ugali na mlenda na kadhalika, hivi ndivyo vitu vilivyotukuza na makande waleteeni vinu wakoboe mahindi wenyewe kabisa.

    Nauliza swali, hivi zile bustani zao ziliishia wapi hata mchicha hauoti????

    Kaka Bonda hasikiki vizuri kwenye maisha plus hizo vitu vya kukamatia sauti vya kwake virekebishwe.

    Otherwise Keep Going Boys

  39. Nelly says:

    hellow maisha plus
    me ilike the lakini kwa sasa capital ni ndogo maana washiriki walitakiwa wasione camera. wengi wana jifanyisha kuongea pointi but awako hinyo so pull up men mwaka kesho tafuta wazamini wa kutosha weka camera kira sehemu ila washiriki wasizione

    • bean bag says:

      You a user on Instagram? Are there other write ups you work for? This is a highly descriptive and well written post. I check your blogs about every single day. You’ve really opened my eyes to varying ways of looking at the subject with interesting and insightful content. You really need to be paid way more often than you are.

  40. Nelly says:

    Mambo
    maisha plus naiagalia but kuna washiriki wana endekeza sifa baada ya kutulia mfano Abdul na Maulid wao muda mwingi ni kujisemesha mambo yasio na maana .pia charles aache chuki dhidi ya Upendo maana wanataka wasikilizwe wao tu bila kuelewa mawazo ya wengine. pia mademu wengi wana baniana mno. nihayo tu obrigado

  41. Japolo-Kipawa says:

    Kp na Br.Bona mpo juu katika kazi,maanake hali yenu haikuweza kusomwa na washiriki ambao walionyesha kutoamini kama kweli jamaa wa kaskazini wametoka,big-up kwa usiri katika mchakato mzima.Hata Abdul amelia!hiyo imetulia.Wanakijiji wote hata leo mkitangaza kuwa wale ndio washindi hawatashangaa maanake wote wamebaki katika traffic lights.Issue ni namna gani kijiji kitawapokea hiyo jumanne au jumatano!Tunasubiri leo kwa hamu kubwa kujua kulikoni kwa jamaa wa kaskaz na hao wa kijijini

  42. Davy peka says:

    Bonge ajikatae anapenda kuongea akiona camera. Upendo anashin yupo juu. Nampenda kwa mengi+moshy

  43. kimbojo says:

    Masoud , kama hizo kamera zinaonekana kwa washiriki ,huwezi kukechi reality hata siku moja. watazamaji wanahitaji tabia zao za kweli zioneshwe sio wapretend.
    but mwanzo mgumu keep it up

  44. HANIFBAY says:

    MWANZO MGUMU….NAAMINI LENGO LITAFIKIA.,HATA KAMA NCHI MASIKINI LAKINI INAHITAJI KUWA NA ENTERTAINMENT,SO MI NAONA HAINA HAJA YA KUSEMA KUWA MASUOD ANAPOTEZA MDA.HAPANA MIMI NINA MTETEA.,NAUHAKIKA KADRI MDA UNAVYOENA NA MABADILIKO YATATOKEA..KAMERA MNAZOZITAKA ZA KIKAA AMBAPO HAZIONEKANI ZITAPATIKANA TU HAMNA SHIDA….0713871453

  45. HANIFBAY says:

    ILA MODE LINAKERA,..MI LINANIKERA MPAKA NAINGALIA VIBAYA TV YANGU……LITOOOOOOOOOKE LI MODE

  46. Edna says:

    Yeah,maisha plus luks gud atleast,kp it up k.p na kaka Bon.It seems those guys from kaskaz wapo juu thats y wanakijiji wengine wamelia walipotolewa,but make sure wanakijiji hawapretend mbele ya camera

  47. Hk says:

    masoud na banda ninyi ni wabunifu wazuri saana kwa kweli, cha kufany ani kukomaa kwa kua bado mazingira ni magumu ingawa mmekubalika kwa kiasi kikubwa, kipindi chenu ni burudani tosha kwa sasa na watanzania watakikumbuka kitakapo kwisha, cha kufanya ni kuhakikisha washiriki wenu wote wanawakilisha uhalisia wa mtanzania zaidi,swala la kamera kuonekana ni changamoto other wise nawapa hongera sana, kwa siku za usoni mtapata saport kubwa zaidi…. keep up!

  48. JM says:

    Hello,

    mnafanya vizuri katika maisha plus lakini
    tatizo ninaliliona mimi ni camera zenu sio za kutosha
    au hawapigi vizuri ili tuweze kuona vizuri zaidi
    ya tunavyoona sasa

    JM

  49. Joseph Fuli says:

    Masoud ningependa zaidi kama washiriki wapigwe camera bila wenyewe kujitambua, hapo ndipo tugeweza kuona tabia halisi ya mshiriki. Kuna wengine akiona camera ndio anaongea. Tafadhali naomba next time lifanyiwe kazi.

  50. Da Tu says:

    Hongera Masoud na kaka Bonda, Hii inatuonyesha nasi tunaweza, najua mwanzo mgumu lakini ninaimani next time mtaweza zaidi, namfagilia Abdul anaonyesha uhalisi wake, tena anajua kukaa na mtu yeyote hata atokee kusikojulikana.

  51. aisha says:

    nawapongeza kwa kutuandalia kipindi kizuri cha maisha plus ila sehemu nyingine hatuzioni abdul ni kiboko pamoja nna maulid

  52. anna mangowi says:

    kwanza Bonda na Kipanya mko juu.pili nawapongeza washiriki wote.zaidi charles yuko juu.ana mambo ya kiutuuzima,na akiwa mshindi ni haki yake.Pendo nae yuko juu.modesta na Mushi watoke.wanaboa.pia anadeka sana kwa Kipanya tabia ambayo haiwafurahishi watazamaji.KIPANYA BONDA MKO JUU.

  53. Edna says:

    nimependa style mliyotumia kuwarudisha Chars na Steve kijijini,ila swali langu ni kwamba mnatumia criteria gani kupata majina ya washiriki wanatakiwa kutoka,mnapendekeza nyie kp na bonda au ni washiriki wanapendkeza?

  54. Mahinda Nyanda says:

    yeh Maisha plus iko poa chamsingi sana ni wajaribu kuonyesha utamaduni zaidi sababu kipindi hiki kimevutia watu wa rika mbalimbali,yep kama mwanangu hupenda sana kukiangalia,akiwa na bibi yake washiriki wote wazuri ila hawajakaa kimashindano zaidi pia
    Hongera kwa wabunifu
    Tunataka kuona maendeleo kama haya
    nna swali wakitoka mtawatafutia vijikazi kutokana na vipaji vyao?
    .

  55. Cardos Johson says:

    Yah, maisha plus ni mchezo unavutia, lakini mr masoud huoni kama mambo mengi yanaangalia BIG BROTHER/Project fame ni kuwa umevua jumba la kifahari kufanya kijiji. mfano fake eviction! tutafute mambo yetu hayo yatafanya prediction kuwa nyingi na acting.Pili shindano la kutolala 48hrs umepata ushauri wa kidaktari kuhusu afya ya huyo mshindi! asije shindwa endelea nakazi nyingine siku zinazofuata.Tafuteni productive and creative tasks sio mambo ambayo yataharibu, anagalau ingekuwa masaa 24 kwani walinzi wanahumudu.Pia maisha ya kijijini unawadanganya watu,hatunywi maji ya chupa huku,sanasana ya kisima au bombani,Si mara nyingi asubuhi kula mikate au chapati,huliwa mihogo au viazi au maboga kutegemea eneo husika.Nawapa hongera kwenye upishi na kazi za kuchota maji kweli wanaonyesha mfano mzuri.Mwisho mnisaidie hizo kamera ni kama Bigbrother? nahisi kama washiriki wanawaona wapigaji kama ni hivyo wataigiza tu.Noamba uumize kichwa na kuzingatia maoni ya wadau ili kuboresha sio kuiga kila kitu tuwe na michezo yetu.Mwisho sherehe za vijijini sio bongofleva kwa sana, ni kina mpoki dogo mfaume au ngoma za asili ya makabila yetu nk.Mwisho wewe na Bonda si lazima muonene na washiriki mnatafuta nini? si waliwaona wakati mnawachagua? tafuteni njia nyingine ya mawasiliano hata kupitia kwa babu.kama nanyi mnaingia kijijini hamuoni kama mnataka kupangakitu? hata baathi ya washiriki wanachongeana kupitia kwenu.JIREKEBISHENI MCHEZO UVUTIE HATUTAKI ACTING NA BIGBROTHER

  56. ALMAS MSHAURI says:

    Hi,MAISHA PLUS.

    ITS TRUE MR CARDOS, SIDHANI KAMA KIJANA WA KAWAIDA WA KITANZANIA ATAJIFUNZA LOLOTE KUHUSU MAISHA YA VUJIJINI.NINACHOKIAONA NI UIGIZAJI TU,KAMA KUVAA SURUALI MATAKONI,KUTENGENEZA NYWELE NA UBISHOO MUNGINE.HAWA WANDAAJI WANGESOMA KWANZA VITABU VINAVYOHUSU MAISHA YA VIJIJI VYETU,KIJIJI CHA UJAMAA, DUKA LA KAYA NA VINGINE VINGI AU KUJUA HISTORIA YA NGUVU KAZI WATU WALIPOPELEKWA VIJIJINI MAISHA YALIKUWAJE HUKO.MIMI SINA UHAKIKA HAWA WASHIRIKI KAMA WAMEWAHI KWENDA KWA BIBI AU BABU ZAO,KWANZA HUENDA BIBI NA BABU WANAISHI MASAKI HAPA DAR! HATA VIBUSTANI SIONI WANALIMA! UNGA,MAJI ,AINA ZITE ZA VINYWAJI WANALETEWA KIJIJI GANI HICHO? HUYO AUROLA HAYO MABASI YA KIFAHARI SI BORA ANGEASAIDIA WANAFUNZI WANATAABIKA HAPA MJINI KUFIKA MASHILENI.TUNA VITUO VINGAPI VYA YATIMA WANAPATA MLO MMOJA KWA SIKU! UNAWAPELEKEA WATU WAKAFANYE MAIGIZO.
    MASOUD NAKUKUBALI KIUBUNIFU LAKINI KWA HILI TUELEMISHE ZAIDI SIJAJUA UNATAKA KIJANA AJIFUNZE NINI KWA MAISHA YA BAADAE ZAIDI YA HIYO MIL 10. NANYI TBC1 MAMBO MANGAPI YA KITAIFA MNAYAPA AIRTIME FUPI NA YANA ATHARI KATIKA MAISHA YETU AU MMEKUWA TV YA BIASHARA NA SI YA KITAIFA TENA? TUPENI MUDA WA KUTOSHA KUONA VIJANA WETU SHULE ZA MSINGI VIJIJINI WANAVYOLIMISHWA,WANAKAA CHINI, WANATEMBEA UMBALI MREFU,HAWANA CHAKULA CHA MCHANA,HAWANA VITABU,HAWANA MATIBABU-HAYO NDIO YANGEKUAWA MFANO WA MAISHA YA KUYAJARIBU KAMA MNAPENDA KUIGIZA.

  57. Helen mmbando says:

    hi maishaplus,Kipanya na Bonda big up sana.napenda sana kipindi chenu,ila nina kaushauri kadogo kwenu.inaonekana washiriki wakiona kamera ndo wanauza sura,wako wengine wako kimaisha ya kijijini kabisa.mfano Nasibu anayajua sana maisha na haishi kwa kuigiza kama Maulid na wengine.Charles yeye ana akili sana na anavyokaa na wenzake habagui na sio mwoga wa kazi kabisa.Abdul nampa big up coz yeye ni msanii.na anachangamsha kijiji.wanakijiji wanaishi maisha ya raha sana.Hongera sana Masud na Bonda. je haiwezekani mchukua kamera akachukua wakiwa hawamwoni?Helen toka Arusha.

  58. JAQLINE says:

    HUYU TEDDY NOMA SANA,ATOKE.MAISHA YA BINADAMU WAKISHAKAA SEHEMU MOJA WAWE WAWILI AU WATATU LAZIMA UMBEA UWEPO SASA YEYE KWANINI ALIMTAJA KISA NA UPENDO KWAMBA NI WAMBEA WANASENGENYA WENZAO.
    HAFAI KWANZA HANA NGUVU YA KISHINDO KUTOKA.ATOKE KWANZA YEYE HAFAI

  59. ANTY RENE says:

    MUACHE UBAGUZI.SIO KUMWONYESHA ABDUL,UPENDO TU KWENYE CAMERA PIA MAULIDI.KILA MTU ANASEHEMU YAKE KWA HIYO WOTE WAONYESHWE ILI MAISHA PLUS IPENDEZE ZAIDI.WOTE WANAJITAHIDI HALAFU KITENDO CHA KUWAPENDEKEZA CHARLES NA STEVE PIA ASHA SIO CHA KIUNGWANA HIYO NI KUBAGUANA YOTE NI UONGO MTUPU KILA MTU ANUSE AU AGUSWE NA KUTOKA KUWA ITAKUWAJE SIO KUPANGA KUKOMOANA HAO WAWILI KUTOKA ARUSHA WANA MVUTO MAISHA PLUS

  60. Jackie says:

    Mimi nadhani kila mtu awekwe kwenye chujio sio mtu mmoja anakuwa kwenye eviction mara mbili mfululizo.Halafu tabia za Abdul si nziri sana, kumbuka kuna watazamaji wa rika tofauti kwa hiyo mambo anayowafanyia hao mabinti mengine hayana maadili ya Kitanzania hata kidogo na especially kwa kijijini.
    Halafu mbona yeye hajawahi kuingia kwenye eviction? Mbali na washiriki kuchaguana,what other criteria do you use?coz you also need to be very carefull kwani wengine wanafanya hivyo kwa chuku binafsi. Infact sisi viewers ndio tungetakiwa kuchagua nani atoke na sio wao.
    Otherwise MP is my best prog so far japokuwa muda hautoshi

  61. Rose makundi says:

    Hili ni swali kwako Bonda na Kipanya.kuwahusu Charles na Stev,hawa walishakua Nominated last week,wamerudi tu kijijini wametajwa tena.nasema si sawa.pia waliowataja lazma wanabif nao,coz wako juu.na wametumia vigezo vipi kuwataja wkt hawakuwa hata kijijini?Hizo ni chuki binafsi na nyie kama wasimamizi muwe makini,Nasema Charles na Stive wabaki kijijini.wanakifanya kijiji king’are au sio?Abdul,Maulid,watoke.wanaboa mbayaaa.

  62. Jonh shango says:

    hi mp,big up sana.Charles na Stive wasitoke kijijini. wanakifanya kijiji kiwe kizuri.kwa madem Thedy na Upendo nawapa big up sana wanafaa,wanarizisha.Abdul na Maulid hawafai watokee kijijini.

  63. samira suedi says:

    jamani maisha plus iko juu but mimi i just want to meet charls live koz i lov him sana kupita kiasi

  64. samira suedi says:

    pls unko masoud please naomba nikutane na charles ngaja pls koz his ma role model pls pls pls pls

  65. PJ says:

    Napenda kuwapongeza kwa programe yenu mliyo ianzisha yakuonyesha maisha halisi ya mwanakijiji ambaye ni mtanzania… Inavutia na inapendeza kwakweli.. Labda ningependa kutoa ushauri kitogo kwa maandalizi yatakayofanyika kwa next programe after this au kwenyehii kama yawezekana, 1; kungekuwa na Hiden Cammera ambazo washirika hawakakuwa wanaziona kuliko hii ya mtu kuwafuatilia nakuwa shoot hiyo itapelekea kuona nakufahamu fika tabia za washiriki, 2: kungekuwa na wireles mic ambapo kila mshiriki atatakiwa kuivaa nakuto izima.

  66. Joseph Ng'wanisanda says:

    Masoud na Bonda nawapongeza sana kwa ubunifu wenu mlioonyesha kuhusu maisha plus. Mimi natoa ombi kwenu kuhusu mshindi wa maisha plus, ningependa vile vile watazamaji na wafuatiliaji wa shindano hili wapewe fulsa ya kubashiri nani atakuwa mshindi, mnaweza mkatenga zawadi kwa mtu atayepatia mshindi.

  67. mrs benedict says:

    jamani kama kurudi kijijini nasibu alistahili hilo.kp mnajitahid sometmes mnachemka.mtu kama pendo hafai kabisa,kwanza ni mbishi,anajifanya kujua sana.pili ile hirizi itamshushia abdul points zake.kama muliiweka nyinyi wenyewe ktk kuwapima fikra zao nibora mukawaweka open kuliko dhana waliyonayo.mimi binafsi wameniboa sana jana.kama abdul alikuwanayo sikuzote wasiione?pia kwanini wakati wanaingia kijijni musiwasachi mabegi yao?hebu jaribuni kuyaweka sawa haya mambo.hayapenezi kabisa.pendo hatakiwi kabisa,yeye anajifanya mlokole kwanini asikemee ukweli uwe wazi?simpendi sana huyo mtoto.alinivutia ila ghafla nimemchukia.kilasiku kukorofishana na wenzie,hafai.nanyi muwe mnapima nani anafaa nani hafai.na huyo mode pia aache mashauzi.atoke upendo arudi nasibu.hata huyo kingunge hajui lolote.

  68. saydat says:

    ILI KUWA WASTAARABU ZAIDI NI VYEMA MKAYAFANYIA KAZI NA KUYAJIBU MAONI YETU.HASA HUYU MRS BENEDICT KAONGEA POINTS NZURI SANA.MJITAHIDI JAMANI.NAWAPONGEZA KWAKAZI NZURI.

  69. kamamaaaaa says:

    Upendo ananiboa sana,anatudhalilisha wasomi na waschana, moode ni mwanga haiwezekani awe after ushirikina evry mnts,kumtoa nasibu na kumuacha mode hamtusikilizi audience wenu the man is hardworker but the probnlem is not talkertative,mna vgezo gani vngne zaid ya mtu kujituma?Mode namuomba arudishe deko kwa boyfriend wake na asitutletee kwenye maisha plus,Abdul nampenda zaidi ya sana na ndo ananifanya niache kukaa library na kurudi room kueaza kuangalia maisaha “P” MPENI MDA aBDUL ALIZUNGUMZIE SWALA LA HIRIZI. na wewe masud uliongelee pia tujue reality on that. 10ml to ABDUL or CHAZ otherwise cpotez mda kuangalia tena. upendo umejishushia thamani sikupend

  70. kamamaaaaa says:

    Naomba kamamaa mnijibu mesage yangu ya vgezo,mode, na Abdul pls,,,

  71. piusmickys says:

    Nashukuru kwa Maoni ninachofanya ni ku compile na kuyawakilisha kwa wahusika ambao wao wanawezakutoa majibu.
    Nashukuru kwa wachangiaji wote.

    • You really need to create a lot more articles if you want to stay a recognized authority in this market. I truly feel your website needs a lot more attention. Might you someday tell us more about thisstuff? I’m impressed!

  72. patric mgama says:

    HELLO MR KP,
    KATIKA KITU AMBACHO NAKUPONGEZA KATIKA MAISHA PLUS, PAMOJA NA UBUNIFU WAKO NI JINSI ULIVYO JARIBU KUWEKA SAWA SUALA LA USHIRIKINA.NILITAKA KUJITOA KUANGALIA KIPINDI CHAKO KWANI HAO MABINTI WANAOJIFANYA WALOKOLE WALINIBOA SANA!!!! HASA PENDO NA HUYO MWENZAKE. KP HAKUNA KITU KIBAYA KAMA DHANA,HISIA KUTUHUMU BILA USHAHIDI.HAO MABINTI WALITUMIA DHANA DHIDI YA ABDUL HASA IKIZINGATIWA WAMESHAHISI NI TISHIO KWAO. KWA KWELI WAMEMDHALILISHA SANA HADI MCHEZO NIKAUONA MBAYA.NILICHOTEGEMEA ULIPOWAWEKA PAMOJA KUTOA USHAHIDI WANGETOA WA MOJA KWA MOJA KUWA WAMEMUONA ABDUL, CHA AJABU WALIBABAIKA NA KUTOA USHAHIDI WA HISIA ZAO MBOVU ZA KISHIRIKINA!!!ETI ALIWAHI KUWEKA KITU KWENYE MOTO KIKAWAKA!! KWANI HATA GOME LA MTI UKIWEKA KWENYE MOTO SI LINAWAKA? HAO NDIO WASHIRIKINA WANAOJIITA WALOKOLE. NAWAPONGEZA WASHIRIKI WENZAO WALIOONGEA KWA DHATI YA KUWA HAWAJUWI NA HAWAAMINI MABO HAYO. NA KAMA IMETOKEA CHOO CHA WANAWAKE KWA NINI ASITUHUMIWE MSICHNA?HOUNI KAMA WANAFICHANA HAWA KUPITIA MGONGO WA ABDUL.PIA KP NYIE NA CAMERAMEN WENU MPO HAPO MASAA YOTE JE HAMJAMUONA ALIEFANYA KITENDO HICHO? AU NI SEHEMU YA MCHEZO UMETEGA ILI MUWAPIME AKILIZAO HAO WALOKOLE FEKI.NILIHOFIA SANA SUALA YA UDINI LILITAKA KUCHUKUWA NAFASI KWANI KWA KUWA ABDUL MUISLAM NA WAO HUJITANGAZA WANASALI SANA HIVYO JICHO LAO LILIKUWA KWA ABDUL TU.MTU WA MUNGU HAJITANGAZI NA KUJISHAUWA KAMA WAFANYAVYO PENDO NA MWENZAKE, BALI WATAONEKANA KWA MAMBO YAO NA MIELEKEO SI KUJINADI HUO NI UN AFIKI.IKIBIDI KP HAO MABINTI WATOLEWE WATAHARIBU MCHEZO, ACHA PENDO NA MNAFIKI MWENZAKE WAKATANGAZE DINI URAIANI NDIO KAZI INAOWAFAA.MAISHA YA KIJIJINI UNAOGOPA HIRIZI? GOME LA MTI KUWASHA MOTO? WALIFIKIRI KIJIJI NI MAHALI PATAKATIFU SANA. MBONA MABO YA MBUYUNI PENDO ALIDAI HAYAHOFII, VIP LEO KUMTUHUMU MWENZAKE USHIRIKINA. KAMA UNATUHUMU BASI UNAUJUWA MOJA KWA MOJA HIRIZI NI YE PENDO AU HUYO MNAFIKI MWENZAKE.PLEASEEEEE PENDO ATOKE ANABOA SANA SANA, MBISHI MUONGO NA KUJIFANYA ANAJUWA KILA KITU. KP KEEP IT UP WAUBUE WANAFIKI TUWAPIGIE KURA ZA KUTOKA.

  73. hamisi saidi says:

    pendo atokeeeee kwani anaalibu sana mchezo Abdul yuko juuuuuuu.

  74. BUDA PEST says:

    OYOOO Masood nilizani kwamba on net kilakitu kingeoneshwa sasa inakuaje tuonesheni vipindi vyenu live kwenye net Hee eee eee eeeee nacheka kimaisha plus.

  75. viola says:

    hi bro masoud nd bro kp,big up 2u,i like miasha plus, im a student bt never miss maisha plus,big up to Charls nd Steve,it’s so good,in general i like all maisha plus participant,

  76. PRIVATE NUMBER says:

    Upendo atoke na ujinga wake

  77. PRIVATE CALL says:

    Upendo aache ushamba wa mza.Kwanza ni mtoto mdogo.Anajifanya anajua huku hajui.Mimi vilenaweza kuonelea yuko kama mtoto wa kitaa kwasababu vile anaongea vitu vile ajui vinaenda.Vile kanids ni pale anasema ati Abdu ni mwangwa asie. namuomba amtake lasi Abud Kabla sija mkuijia huko.Sijui nita mkuma niaje kama nikimshika.

  78. Animal says:

    Upendo aache ushamba wa mza.Kwanza ni mtoto mdogo.Anajifanya anajua huku hajui.Mimi vilenaweza kuonelea yuko kama mtoto wa kitaa kwasababu vile anaongea vitu vile ajui vinaenda.Vile kanids ni pale anasema ati Abdu ni mwangwa asie. namuomba amtake lasi Abud Kabla sija mkuijia huko.Sijui nita mkuma niaje kama nikimshika.

  79. PRIVATE NUMBER says:

    Upendo aache ushamba wa mza.Kwanza ni mtoto mdogo.Anajifanya anajua huku hajui.Mimi vilenaweza kuonelea yuko kama mtoto wa kitaa kwasababu vile anaongea vitu vile ajui vinaenda.Vile kanids ni pale anasema ati Abdu ni mwangwa asie. namuomba amtake lasi Abud Kabla sija mkuijia huko.Sijui nita mkuma niaje kama nikimshika.

  80. PRIVATE NUMBER says:

    Upendo atoke na ujinga Upendo aache ushamba wa mza.Kwanza ni mtoto mdogo.Anajifanya anajua huku hajui.Mimi vilenaweza kuonelea yuko kama mtoto wa kitaa kwasababu vile anaongea vitu vile ajui vinaenda.Vile kanids ni pale anasema ati Abdu ni mwangwa asie. namuomba amtake lasi Abud Kabla sija mkuijia huko.Sijui nita mkuma niaje kama nikimshika.

  81. beatrice says:

    let steve stay!!! maisha ya kijijini anayaweza. pendo AONDOKEEEEEEEEEEEEE!!!! TUMECHOKA KELELE ZAKE JAMANI. THEN NI MSHAMBA

  82. Hamisi, from nairobi kenya says:

    Vipi? Next time mfanye maisha plus E.Africa, inabamba hapa. Abdul yuko safi mzee, pengo ana pan’ga n’ga sana aombe abdul msamaha au aishie. E he heeeeee…

  83. Hussein scaba scuba. says:

    Hy masudy!dah wanawake hawana haya hata kidogo kumtaja mtu mzima kama abdul.hahaha au wanamtaka coz ni mweupe!hey maulidi atembee na dictionary coz anabambanya kizungu!ohe rasta juu!jah bless!!Pendo na abdul fungeni ndoa mkimaliza game!!!

  84. jimmy kirunda says:

    HI KP, MAISHA PLUS SASA SAFI BAADA YA MNAFIKI PENDO KUOMBA MSAMAHA KWA ABDUL JAPO HAITOSHI, ATOLEWE MWANGA MKUBWA PENDO. SASA KP KAMA WASICHANA WAMEKIRI KWAKO MBONA HAWATAJANI? USIWAONEE HAYA HAO MWANGA YUPO MIONGONI MWAO HASA PENDO.NASHANGAA JUZI WALIMTAJA ABDUL KWA JAZBA, JANA WAKAWA KIMYA! MAANA YAKE NINI? HAWAFAI HAO.PENDO,TEDY WANGAAAAAAAAA!!!!! TOKENI MWACHENI STEVE,ABDUL,RASTA KEEP IT UP.KWA KUWA AKILI ZA PENDO,TEDDY ZIMEONYESHA WANAONGEA TU WAKIONA KAMERA HATA BILA UHAKIKA WA JAMBO, JAMANI TUSIWAPE KURA WANAFIKI KAMA HAWA NDIO WANAOTUSUMBUA HATA KWENYE JAMII YETU TANZANIA.DUNIA HII HUWEZI ISHI KWA NGUVU ZA GIZA

  85. linda chocky says:

    hello KP,BONDA,PIUS-please,please ,please respond to viewers comments so that you can keep us on right direction to make proper decisions.

  86. Binti says:

    Kwa kweli kwa kitendo cha Pendo kuomba msamaha kwa Abdul kwa jinsi alaivyomshuku kuwa ndiye aliyeweka hirizi kidogo kimeonesha kuwa amegundua kosa lake. Na siku zote twapaswa kuomba msamaha pale tunapogundua makosa yetu au tunapogundua kuwa tumewakwaza wenzetu. Abdul naye amekubali kuwa ishu imeisha na ndio maisha tunayopaswa kuishi maana vikombe tu vinagongana itakuwa sisi binadamu? Maisha plus inatufundisha sote, wanaokaa huko nasi watizamaji twajifunza mengi anayeangalia kwa ajili ya kujifurahisha huyo ajiulize mara mbili. Big up KP na Bonda

  87. Jackie says:

    Binti umeongea vizuri sana. Kwani kijijini watu hawahisiani vibaya? haya mambo yapo kabisa na Pendo ameonyesha ujasiri mkubwa sana kwa kitendo chake cha kumuomba Abdul msamaha. Wote hao ni binadamu na wanaweza kukosea kwa namna moja au nyingine. Hata sisi watoa maoni ni vizuri kuiangalia mioyo yetu kabla ya kufanya judgement yoyote. Am very sure hakuna mtu ambaye hajawahi kumuhisi au kumsema mwenzake either kwa uzuri au ubaya, again ni watu wangapi kati yetu (sisi tuliotoa maoni) tumeshawakwaza wenzetu then tukawaomba msamaha? Pendo is a lady and a half. Hebu fikiria ni jinsi gani kitu kile mimemkera hadi afikie hatua ya kuomba msamaha and i can say this has been done in public coz ni watanzania wengi wapenzi wa Maisha plus walikerwa na kitendo cha kumshtumu Abdul lakini aliweza kujirudi na kuomba msamaha sio tu kwa Abdul bali hata kwa wapenzi wa MP…jamani tumsamehe huyu mtoto..mbona wenzake hawajamuomba huyo Abdul msamaha? What if she was your daughter? At times ubishi wake unatia changamoto hapo kijijini coz hata sisi tunapotoka mjini na kwenda shamba tunapenda watu wajue tupmeingia shamba kwa namna yoyote ile na vijijini kuna watu waliosoma na ambao hawajasoma and so is Maisha plus.

  88. Jackie says:

    Naomba kuuliza ni kwanini Mode anapenda kulegeza sauti anapoongea na Masoud? That’s irritates and really gets into my system. I really love / admire Moshi, Charles and Bony. Ila next time jaribuni kuwa na cameras za kutosha ili zimulike kila mahali apart from the washrooms and maybe bedrooms for their privacy as am sure everybody would need that, and that will not give MK a room to interract with the participants as it is now hence a good coverage for each participant.

  89. Clara Ruzibuka says:

    Yaani kaka Masoud na kaka Bonda sijui niwaelezeje jinsi ninavyokifagilia kipindi chenu ama chetu cha Maisha Plus,pamoja na shughuri za kila siku ni lazima Maisha Plus niifuatilie.kwanza kabisa nilikuwa namfagilia Upendo lakini sasa kaonyesha hafai tena na anaefaa ni Abdul so tutaendelea kuwapa maoni yetu.ila nasikitika mmekataa kunipa contact zenu ili angalau niwe nawapigia simu au hata email kwani mie niko Rwanda (MNYARWANDA)

    Clara. Kigali, Rwanda.

  90. PROSPERITY says:

    Ongezeni idadi ya cameras za kutosha ili zimulike kila mahali apart from the bathroom and maybe bedrooms for their privacy as am sure everybody would need that, and that will not give MK a room to interact with the participants.

  91. viola says:

    mambo niaje?naifagilia maisha plus ile mbaya, ila kuna baadhi ya mambo yananikwaza kama vile Upendo kuwa na ujasiri wa kusema kuwa Adbul ni mwanga bila ya kuwa na uhakika, pia kaka masoud kwanini hamkutuonyesha katika mahojiano ya jana na Abdul anansemaje kuhusu suala zima la hilizi?Charles,Steve,Moshi,Rasta,Kingunge,Teddy,na Maulidi wote mpo juu na nawafagilia sana na ninawapenda sana BT Moulid kujiproud sana,Abdul acha kupenda sifa sana Pendo acha kuongea sana,all in all NASSIB hakutakiwa kutoka the guy is so attractive.

  92. MAZIMPAKA says:

    UPENDO AONDOKE kwani ni mwanga
    from kigali rwanda

  93. MAZIMPAKA says:

    ABDOUL ANAFAA KUCHUKUA HIZO PESA

  94. Hamisi, from nairobi kenya says:

    Abdul sasa jipange uko mpangoni, msamehe upendo hiyo ndio tabia yake anajiona anajua kushida kila mtu,awache werevu wa vitabu. Aishi maisha halisi kama wengine.

  95. MSWAHA K G says:

    Hi maisha plus,
    Jamani pendo si peke aliemtuhumu Abdul msameheni ameomba radhi,lakini kuna bint mwingine ndie aliemtuhumu direct akidai anasali kila siku na kuomba ndio maana yametokea(nisaidieni jina lake) mbona yeye hajaomba msamaha? tena anapenda sana umbea kuwasema wenzake.Pendo alifuata mkumbo kwa sababu ni mpenda sifa lakini wakulaumiwa alikuwa bint wa kwanza.Maisha plus si sehem ya mzaha au acting, tunataka reality. KP hatujasikia Abdul alichoongea baada ya pendo kuondoa tuhuma kwake,tuwekeeni sehemu hiyo.

  96. kabenga2005@yahoo.com says:

    HI KP, ANGALIZO!!!!!! WANAPIKIA KUNI NDANI NA NYUMBA ZA MAKUTI JE MMEJIANDAA KWA MAJANGA YA MOTO? MSITUUWIE WATOTO WETU BURE,ZIMAMOTO ZA DAR SI MNAZIJUWA.PILI MAJI WANAYOPIKIA HAYACHEMKI VIZURI WATAUMWA HAO.NIMESHANGAA MABINT MIAKA 20 NA KUENDELEA HAWAJUWI KUPIKA PILAU?WANAISHI VIPI HUKO MAKWAO, HEBU WALIMISHENI HATA TUTA MOJA MOJA KWA SIKU ,WAKICHOKA WATAPUNGUZA MAJUNGU NA UWONGO HASA PENDO.

  97. athumani kadenge says:

    mode acha mashauzi kwa masoud mbinu chafu hizo, wewe na pendo mkitoka nendeni mkatubu kwa kusema uongo. abdul wewe mtu mzima wasamehe hao wasichana huo ni mpango waliupanga na mungu kawaumbua mchana kweupe.mtu wa dini hadi ajinadi? sijaona au ndio kuomba kura za walokole?kuweni neutral sisi watazamaji tunawajuwa na kuwachambua haiitaji mjitambulishe kwa imani zenu jamani wote ni watanzania.pendo na mode wewe inaonyesha ndia first time kufika dar na bila maishaplus sijuwi mngejaribu kitu gani may be maigizo.

  98. mama evans says:

    Yap, KP jana tumeoona uhalisia wa dada zetu katika maisha plus walipowekewa kinasa sauti bila kujuwa.hii inadhihirisha wanapoona kamera wana pretend na hwana uhalisia.jinsi walivyomjadili dada aliefanya maboz kenye gari wenyewe(hasa mode na pendo)wanasema haujuwi vichochoro vya jijini vya kufanyia mambo hayo!!! nilishangaa kuwasikia watu waliolelewa mazingira ya kidini na waumini safi wakijadili mambo yale.Mode,pendo,moshi,teddy acheni unafiki onyesheni uhalisia wenu.Pia kitendo chenu cha kuwachambua wavulana walioshatoka sijawaelewa,kwa vp hisia zenu hatujaziona walipokuwepo huko kijijini? au mnatafuta suluhu kwa kampeni chafu mliowafanyia? KP endeleeni kuwategea vinasa sauti kila siku hata wavulana ili tuwajuwe vizuri hatutaki wanafiki.

  99. viola says:

    namuunga mkono mama evans, njia mliyoitumia jana ya kuwategea vinasa sauti nimeipenda sana, wekeni na kwa wavulana.kinachotakiwa ktk maisha plus ni reality and not pretending.bt nawapa pongezi kwa kuweza kujaribu maisha ya kijijini.Wasichana wenzangu mnanitia aibu kwa kuto weza kupika pilau,ni aibu kubwa sana ndugu zangu

  100. MAZIMPAKA from RWANDA-KIGALI says:

    Inaonekana kwamba wasichana wameshinda kuishi kijiji cha maisha plus,wawarudishe nyumbani kabisa,hawo sityo watu wakuishi kijiji hicho kabisa,wanaumbea sana hasa upendo na teddy.

  101. MAZIMPAKA from RWANDA-KIGALI says:

    WASICHANA WAMESHINDWA KUISHI KIJIJI CHA MAISHA PLUS WARUDI NYUMBANI IRE UMBEA UISHI

  102. Patra says:

    Chares anafaa kulamba mill kumi

  103. Christina wa dodoma says:

    Chares moto wa kuotea mbali anafaa kuchukua millioni kumi

  104. Rose - Dom says:

    Chales mtoto wa arusha ndio mmenyewe mpeni hizo kumu zake

  105. Christa says:

    Charles yupo juuuuuuuuuuu tena sana, mpe ten millioni

  106. Binti says:

    Wadau mnahasira mpaka raha, hiyo inaonesha ni kwa kiasi gani maisha plus imeweza. Na KP mtaweza zaidi mkifuata ushauri wa wadau maana sisi tunaona mapungufu na nini kiwe vipi ni matumaini yangu kuwa next shindano haya mambo yatafanyiwa kazi na itakuwa bomba zaidi. Ndugu yangu Mazimpaka naona una hasira na wakina dada kuwa ni wambea sana je huwasikii na wakina kaka wakiwa wanawajadili wakina dada hao? kama hujaelewa sasa kuwa mmeguko kwa wavulana na wasichana, na dhambi hiyo ipo pia kwa mmoja mmoja maana sasa wameshajua kuwa kile kilichowapeleka kimekaribia. Fikiria kuwa kila mtu ameacha shughuli na familia kwa ajili ya hiyo bahati nasibu. Hayo ndiyo maisha Mazimpaka, maisha ya kawaida kuna kusemana (umbeya), fitina, kupendana, kulogana na kila aina ya mambo. Hiyo ndio dunia ndugu yangu kwa hiyo hapo twaona kuwa Bonda na KP wameweza kutuonesha maisha yalivyo japo sisi twayaona ya wenzetu, sisi je? sehemu zetu za kazi, majumbani na kwenye jamii kwa ujumla hatuko kama hao wadada au wanamaisha plus? tujiangalie vizuri na turekebike ili maisha plus ya kwetu yawe bomba!

  107. Hamisi, from nairobi kenya says:

    Abdul na charly muko sawa

  108. Japolo-kipawa says:

    Big-up sana KP na Bro.Bonda kwa kazi nzuri!tunaomba tupate maoni ya Abdul(32)kuhusu tuhuma hiyo toka kwa Ma-dada wa hapo Kijijini.
    Kwa vile bado siku kama kumi hivi ingependeza kama kila baada ya siku mbili mnatupa msimamo wa GAME,namaanisha kutoa bar chart au tarakimu kuonyesha nani yupo wapi ili wadau tuongeze effort katika upigaji kura(hii nayo inaweza kuwaongezea VODA,TIGO,na ZAIN kiasi fulani katika mapato yao na kushawishika kutoa zawadi kwa mshiriki/mpiga kura/mbunifu)Na pia kuimarisha/kushawishi/kuaminisha UWAZI katika GAME.KATIKA YOTE MPO JUU

  109. lailah issah says:

    jamani pendo na huyo mtumzima mode watokeee kwani hawana tabia ya uzalendo na huyo mode aache kumbania sauti masood tumesha mjua akiwa na wenzie anaongea fresh

  110. lailah issah says:

    chales anafaaa apewe 10mln

  111. Ikula says:

    Hi Masoud and all Team

    We appreciate ur effort but we want to hear anything from Abdul and Upendo concerning prediction of wizard (uchawi) so who exactly conserning with Hirizi.
    Please kuweni wazi so that to stimulate maisha plus

    Regards
    Ikula from Dsm

  112. lindachocky says:

    Nakuunga mkono Japolo, hii michezo au mashindano hapa bongo kumekuwa na usanii fulani katika kumpata mshindi.Hivyo uwazi katika kura unatakiwa, hilo si ombi.KP,BONDA na waandaaji wengine zingatieni hili.sio sisi tunajuwa tunampigia kura anaefaa kesho tunepewa matokeo kinyume!! eti kura nisiri.siri ya mshiriki si siri kwa mtazamaji.Tumeona usanii kwenye mashindano kama bongo star search,kili awards,miss tanzania nk. yote hayo hayana uwazi kwenye uchaguzi wa mshindi,kiichopo ni waandaji kuwa na mshindi wao kwa manufaa wanayoyajuwa.nimeliona hili hata kwa washiriki waliotolewa mbona hatujaonyweshwa kura chache walizopata? japo kp na bonda walisisitiza ni watazamaji walioamua.wekwni matokeo kila mwisho wa wiki tujuwe.

  113. viola says:

    Jaman charles na Steve mko juu sana na nawafagilia sana,kuhusu mambo ya umbea hata kaka zenu nao wanamambo hayo, tena wao huwa wanaponda sana,sema mvulana hata kama mkigombana ni wepesi kusameheana na kurudi katika hali ya kawaida.bt mnajitahidi sana

  114. Japolo-Kipawa says:

    Hi!WADAU
    Hawa jamaa zetu yaani KP na Bro.BONDA,waeleze umma wa watazamaji wa MAISHA PLUS aina ya kura inayohesabiwa;kuna wale(1) wanaoandika message kutumia majina(2)wanaoandika namba na maoni yao(3)wanoaponda mshiriki,wote hawa wanalenga kushiriki na kutaka mwana KIJIJI fulani apate hiyo millioni kumi.BASI watoe msimamo wao mapema na sio baadae ndo waseme hizo criteria.Pamoja na hayo nasi tufate maelekezo.(MP #)then tuma kwenda 15522,bila kuongeza maoni yako UNLESS wametoa kauli kuwa haina madhara katika kuhesabu vinginevyo itakula kwetu.

  115. Jackie says:

    mmmhhh…job true true. Hapa kuna changamoto nyingi sana kwa Massoud na Bonda. mimi yangu macho na masikio ila Charles yupo juu

  116. Jackie says:

    Mimi naomba turuhusiwe kuwapigia kura wanakijiji kwa njia ya email pia au wadau mnasemaje?

  117. MAZIMPAKA from RWANDA-KIGALI says:

    Mi naona upendo ameanza kujirekebisha,naninakubariana na mwenzangu ariye sema eti hayo ndiyo maisha,nashukuru sana anaye itwa binti kwani ana ukweri kabisa,ira tu naomba wasichana wa kijiji hiki waache umbea na kuwagombeza wavurana,please upendo gawanya maneno yako,kwani mi mara yakwanza niri kua nakupend lakini uripo anza umbea sasa nimepigia debe abdul.asante salaam kutoka kigali-Rwanda

  118. MAZIMPAKA from RWANDA-KIGALI says:

    Tumekubariyana binti,nimekubari kabisa urivyo sema,it is true,people do share every thing,comments,rummers,lies,educations,gerous,so i accept the comments from BINT,but i request those girls to put a side those boys while conversing.

    Thanks

  119. Hamisi, from nairobi kenya says:

    Jamaa simtukubalie kupiga kura hata sisi…. Kenya

  120. lindachocky says:

    Hi team,mi msimamo wangu utabaki kutopenda umbeya,kusengenya na aina yeyote ya dhana mbaya dhidi ya wanakijiji.MZIMPAKA huo ni msimamo wako,huyu BINT nadhani ni ndugu wa PENDO sasa anamkinga kupita kiasi wakati ayafanyao wote tunayaona nakumsikia.Yeye alijitangaza sana amelelewa ktk familia na malezi ya kidini,sasa nauliza dini gani inafundisha au inakubali kusengenya,kuseme uongo,kugombezana nk.ajirekebishe hata akitoka huko nakuomba BINT msaidie sana,kama ni mbinu ya kushinda ameshakosea hasa kumshabulia abdul kuwa ni mwanga.Na washiriki wote wenye tabia hizo hawafai si pendo pekee.

  121. dayness says:

    abdul yupo juu na ndo maana hata wakati ule pendo alivyoita wenzake kule bafuni na kuwaambia kamwona abdul ndio katokea bafuni hapo, kwani nilimpenda abdul yeye alivyotulia na sio kama watu wengine wenye jazba kwani mi nilipenda uungwana aliouonyesha abdul.

    kwanza hiyo ni moja ya pendo kujipunguzia kura zake kwa kujiona mtoto wa dini na kumbe hakuna lolote zaidi ya umbea wake hapo kijijini kwani hata kama wazazi wake wanasali ndio aongee maneno ya kudhalilishana, kwanza cha msingi mpaka hapo ndio anazidi kumpandisha abdul chati ni hajajua tu abdul na chazz big up.

  122. MAZIMPAKA from RWANDA-KIGALI says:

    Abdul is still ahead my friends,may he will be the one to take that money

  123. MAZIMPAKA from RWANDA-KIGALI says:

    Abdul is still ahead my friends,may be he will be the one to take that money

  124. Farida Chuma says:

    ninachoona Abdul aendelee kubaki kwanza nimcheshi, anajituma,pia anavutia na anastahili kupewa hicho kitita cha million kumI.Big up kwa Masudi Kipanya na Kaka Bonda.

  125. Farida Chuma says:

    napendekeza Abdul anastahili kupewa kitita fedha million moja,kwanza anajituma mcheshi yaani masudi kwa huyu kijana anastahili kwakweli

  126. Japolo-Kipawa says:

    Hi KP na Bro.BONDA
    Chondechonde kama hizi mail na sms kweli zinawafikia tunaomba issues ambazo zinawagusa na mki-respond haita leta BIAS mfanye hivyo,mfano(i)namna sahihi ya kupiga kura(ii)muda maalum wa huo mchujo hiyo siku ya Jumapili sio kusema asubuhi watatu,mchana wawili,jioni wawili,hatimae usiku wale watatu atapatikana mshindi(iii)Nasibu et el 333,333.3333 giving ceremony clue if any
    Hii itakuwa rahisi kwenu iwapo hakuna UJANJA-UJANJA katika siku hizi za mwisho ambapo huenda biashara hakwenda mlivyo tarajia
    I remain,WADAU tuwe pamoja katika kupiga kura zetu kwa njia wanayotuambia yaani(MP #)tuma kwenda 15522

  127. Japolo-Kipawa says:

    Hi David na Julieth!
    Tumekuwa kila wakati tukiwaruka katika pongezi za PROGRAM ya MAISHA PLUS,na huenda ndo maana hata maombi yetu hayatimizwi.Tunatambua mchango wenu katika KAMPUNI hiyo.

  128. Japolo-Kipawa says:

    Kijana wa mzee SEVURI,na binti KULANGWA!
    Tafadhalini waelezeni hawa jamaa wa TRUE VISION PRODUCTION wa “shoot” washiriki wote sio baadhi manake hizi ndio dakika za LALA SALAMA,Japo mmewaambia wasiuze SURA!Vinasa sauti vya SIRI viongezwe tupate story zao halisi kwa wote sio ma-dada tu

  129. MAZIMPAKA from RWANDA-KIGALI says:

    ABDOUL AMESHINDA NDUGU ZANGU.HE HAS WON THAT PACKAGE OF MONEY.BAHATI HAIPIGANIWI ARIZARIWA NA BAHATI

  130. STEVE A WAINAGE says:

    aiseeeh murrrah Steve Anatisha kwani kwani namfananisha na mimi mwenyewe kamanda kama Panthera leo namanisha simba siunaoona hata nyweleeh kama sijui nani mil ten zake.
    from
    musoma mara

  131. lindachocky says:

    Abdul, chonde chonde achana na huyo teddy ni mnafiki huyo kumbuka ndio alikupakazia ushirikina.sasa nashangaa unaenda nae kuvua samaki! hakupendi huyo achana nae anatafuta kura kupitia mgongo wako.Jamani mimi namshangaa huyu pendo,wakati washiriki wanaulizwa ushabiki wao juu ya simba na yanga yeye alikataa katakata hana timu kati ya hizo wala huwa hashabikii mpira,cha ajabu goli la yanga akashangilia kushinda hata hao washabiki!! alishangaza watu hata kp ulistajabu.sasa hii inathibitisha unafiki na uwongo wa binti huyu.si mkweli hamaanishi anachoongea ila huwa anapenda kuonekana tofauti wakati sivyo alivyo.Please vote fo ABDUL,STIVE OR BONE.

  132. yoely sangana says:

    kama ni maisha halisi ya kijijini yanaoneshwa na Abdul haina ubishi,jamaa kaenda kutafuta si mchezo.

  133. lindachocky says:

    ABDUL 45%, Charles 19%, Bone 11%,Teddy 1%,Upendo 10%-haya wadau tuendelee kupiga kura zetu kwa ABDUL Mhalisia wa maisha plus.Keep it up!!!!!

  134. Mlay N.Y wa DAR says:

    ABDUL YUPO JUU,APATIWE HIZO MIL 10,SIKU YA J2 ATAANZA KUTOKA MODE,MOSHI NA KHAMIS WATAFUATA TEDDY NA BONIFASI,BAADAE WATATOKA STEVE,MAULID NA MWISHO WATABAKI ABDUL,CHARLS NA UPENDO.MSHINDI ATAKUWA ABDUL AKIFUATIWA NA CHARLS NA WA TATU ATAKUWA UPENDO

  135. MAZIMPAKA from RWANDA-KIGALI says:

    HONGERA ABDOUL KWA USHINDI KAMA WA ZUMA

  136. emypoyo says:

    kama ni maisha ya kijijini anaeyaweza ni abdul. mtu huwezi kuishi kijijini haswa mvulana ukawa na muda wa kusuka nywele huo ni mfano gani? mtoto wa kike hajui kupika? anategemea nini? mchana kutwa anashinda na kimini hata kipande cha kanga hajui kukifunga? kazi uzushi na umbea! huyo kibibi kazi kubana pua tu, maisha ya sasa siya mwanamke kutegemea MWILI.wana wake tunajituma, kusoma na kufanya kazi kwa bidii.mpeni ABDUL HIZO 10Manastahili ili zimpoze na kashfa za hao mafisadi dagaa.

  137. ngonzi says:

    Abdul, Charles,Steve wako juu

  138. Japolo-kipawa says:

    Hi Mlay N.Y wa DAR,
    (1)HONGERA kwa UTABIRI mzuri MUNGU aendelee kukupa MAONO
    (2)KAMATI nzima ya maandalizi HONGERA wape salaam wote waliowezesha
    (3)Tunatarajia kusikia toka kwenu(KP,BONDA et el) GAME HILI
    (4)HONGERA WANAKIJIJI WOTE kama MAULIDI alivyosema MAISHA PLUS imewapa ZAIDI YA HIYO million KUMI

  139. mloka says:

    mmefanya vizuri. ila na washiriki wengine wapate zawadi

  140. rs says:

    Habari kaka Masoud, na hongera na pole baada ya kumaliza hii shughuli kubwa ya kutuburudisha.
    Hapa nilikua na swali ambalo lilikua likinitatiza wakati nikifuatilia hiki kipindi cha MaishaPlus.
    Hivi kule kijijini Camera uliwekaje au wanakijiji wa maishaplus walikuwa wanachukuliwa vipi matukio yao kulikuwa na camera man? naomba jibu kwa kupitia e-mail yangu kaka.
    Natanguliza shukrani.

  141. shania mussa says:

    upendo kweli alikuwa ana boa kama ingekua anaua jinji watu wanavyo mchukiaasinge jishaua abduli yuko juuuuuuuuuuu tena sana

  142. MONGIFT says:

    mmewaonea sana wale vijanaaaaaaaaaaaaaaaaaa

  143. siya says:

    janani vijana wapo wengi kama mtuchukua mwuanzie kuchukua mwaliomaliza darasa la saba kama miaka hiya kuanzia miaka kumi na saba na kuendelea kwani wapo wengi. mkiwa mpo kijiji msitumie maji ya kilimanjaro mtumia kisimani kwani kijijini amna maji hayo tunakunjwa ya kisima au sio masudi natamani na mie niengi ikianza kwani nimependa sana je? mnaanza lini kuchukua kwani watu wameipenda mkianza mtangaze kwenye tbc1.

  144. neema matemba says:

    hi maisha plus,nikopoa wakubwa nafagilia sana maisha plus huwa sikosi kuangalia tbc,wanaosema big brother wamechemsha acheni hizo jamani nyie mmeanzisha vipi?dhiki tu zinawasumbua,maisha plus ipo juu na watu wanajifunza mambo mengi kama hupendi kuiangalia basi haina tabu ipotezeeeeeeee,nategema sana season hii itakuwa na mambo mazuri zaidi,big up kipanya,ila tunaomba uwe unatuwekea marudio ya wiki nzima manake wengine huwa tunakuwa kazini,kila la kheri kazeni buti!!!!!!

  145. viola says:

    maisha plus 2010 mpo juu, ila watu wengi wanaigiza na hawawezi maisha ya kijijini.wawekewe kaera na vinasa sauti kila kona.

  146. viola says:

    not kaera ni kamera
    mimi bado sijajua muda maalum wa hiyo maisha plus na siku maalum ni lini?

  147. g2 says:

    viola we mgogo nn?

  148. deo says:

    ebana maisha plus ya sasa inatoa mafunzo tofauti na matarajio ya watanzania wengi coz inatufundiha MAJUNGU, UNAFIKI sasa sijui kama taifa letu litaendelea if mafunzo ni hayo, najua hata we bro masuud wa kipanya umewasoma. nichekin through jrdizzled@yahoo.com for girl onlyyyyyyyyy.
    mida wa kipanya

  149. Dismas Wachudi says:

    What u’re discusing ni fit sana but iwould also like to be included inthe discussion ithink ican also participate vzuri sana plz’ mniletee habari mapema sana nahdani ni hayo tu sina mngi.

  150. Dismas Wachudi says:

    But ihave seen somehting funny with u’ p’ple coz the time that idelivered my message and uas here there is differances sjajua kama saa yenu iko mble au nyuma niambeeni afadhali.

  151. joachim urassa says:

    maisha plus inaanza lini season ya mwaka 2010 kuelekea 2011?

  152. Ramadhan mnonda says:

    kaka kp!!
    ongera sana kwa kipndi ambacho ni mkombozi wa watu wachini tusioweza kushiriki big brother tutaweza wapi sisi vijana pori hata michongo ya kushiki hatushilikishwi lakini wewe umeliona hilo big upu sana kaka!!!!
    Nimatarajio yetu mwaka huu kuona vijana ambao wanatoka mitaani hasahasa kutoka katika mazingira magumu (uswahilini ) kwani wanavitu vya ukweli hawana pa kuvipeleka wape nafasi tuone. kaka masoud.
    mnonda wa mburahati

  153. MYTANZ says:

    Angalia hii site.. utacheka

  154. samwel jesse says:

    big up

  155. Anonymous says:

    Fomu zitapatikana wapi na kuanzia cku gan

  156. ibrah madega says:

    dar usaili lini?

  157. nauliza usaili ni wapi na saa ngapi

  158. dar usaili ni wapi nasaa ngapi

  159. sulula says:

    Naomba waandaji wa maisha plus waweke kamera zitazowavuta kwa kwa karibu ili waonekane kwa karibu kama wanavyofanya bid brother.

  160. Hello, I would like to subscribe for this website to take newest updates, thus where can
    i do it please help out.

  161. Anonymous says:

    G VAN DULLY
    nataka kujua vipi mwaka usaili au hamuna shindano? naombeni majib

  162. With havin so much content and articles do you ever run into any problems
    of plagorism or copyright violation? My website has a lot of completely unique content
    I’ve either written myself or outsourced but it appears a lot of it is popping it up all over the
    web without my permission. Do you know any solutions
    to help reduce content from being ripped off? I’d really appreciate it.

  163. Its my terrific pleasure to go to your blog site and also to delight in your excellent posts right here. I like it quite a bit. I can really feel that you just paid considerably awareness for those articles or blog posts, as all of them make sense and therefore are really useful.

  164. Thanks on your marvelous posting! I quite enjoyed reading it, you could be a great author.I will be sure to bookmark your blog and definitely will come back down the road. I want to encourage you continue your great posts, have a nice evening!

  165. Thanks for the marvelous posting! I seriously enjoyed reading it, you could be a great author.I will make certain to bookmark your blog and will come back in the future. I want to encourage continue your great posts, have a nice morning!

  166. Thanks for the writeup. I definitely agree with what you are saying. I have been talking about this subject a lot lately with my father so hopefully this will get him to see my point of view. Fingers crossed!

  167. Exec Leads says:

    Thanks for a marvelous posting! I certainly enjoyed reading it, you’re a great author.I will be sure to bookmark your blog and will eventually come back later on. I want to encourage you to continue your great writing, have a nice day!

  168. what does cbd feel like says:

    What a great read – I’ll be sharing with my colleagues. This is appreciated!

Leave a reply to Nelly Cancel reply