Napenda kuchukua nafasi hii kuwatakiwa wapenzi na wasomaji wa Blog hii Sikukuuu njema ya Eid, tusherehekee kwa amani bila kuvunja sheria na kwa wale wenzangu na mimi wa Ugimbi basi tusipitilize, tugusie kidogo tu kwa Suna, wale tunaofunga 6 usithubutu kuugusa uyimbi.
Thanx man same to you
Mkuu twashukuru sana ila zikurudie na wewe