Kilimanjaro Band ni bendi moja maarufu sana ambayo inapiga nyimbo za ku copy za kimataifa, Inawezekana hawa jamaa wakawa wameiga jina la The Kilimanjaro Connection ya Kanku Kelly ambayo ilijizolea umaarufu sana Malaysia, Singapore, Indonesia na nchi za jirani kwani takribani kwa miaka kumi sasa wamekuwa wakipiga muziki hasa nchini Malaysia kwa mkataba wa miezi sita kila mwaka.
Sijui jina hili kama walikubaliana ila si mbaya wanatutangaza au wadau mnasemaje?















