Nani Kama wewe Roga roga le liberateur de la Extra Musica,
Kitu Racines utunzi wake Roga roga..sikiliza sebene la ukweli hapa..i luv this song
Advertisement
Nani Kama wewe Roga roga le liberateur de la Extra Musica,
Kitu Racines utunzi wake Roga roga..sikiliza sebene la ukweli hapa..i luv this song
This entry was posted on Tuesday, January 17th, 2012 at 12:02 pm and is filed under Michezo. You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0 feed. You can leave a response, or trackback from your own site.

piusmicky@yahoo.co.uk
Mob: +60176452510
+255 713 666616
Ken Damansara Condo
SS 2/72 - Darul Ehsan
47400 Selangor
Petalling Jaya
Kuala Lumpur - Malaysia






| Anonymous on Ezau wimbo uliomaliza ubishi w… | |
| Anonymous on Ruge na Sugu mmemaliza tofauti… | |
| champagne on Yu wapi King Blaise?? | |
| Anonymous on AMPLIFIER ya Milard Ayo Ana kw… | |
| Hadj Le Jbnique on Zawadi ya Nono Fuji toka Soyon… |



Theme: Contempt by Vault9.
Blog at WordPress.com.
Nakubaliana mara 10 brother
Rogaroga na the late Musa Juma wanashare kitu fulani. Je ni gani?
musa juma ndio nani tena?please tufafanulie na pia ni kitu gani anachoshare na roga roga?
Kuna kitu kimoja tunajifunza kwa huyu mkaka,uvumilivu…brother ni mvumilivu sana maana tukikumbuka alivyoanza na wenzake kwa kishindo badae wakaanza kuondoka mmoja mmoja lakini akawa hatetereki akitoa kitu anaweka kitu,kwa kweli anastahili heshima sio siri,,
Pole Mkemini kwamba nilikosea kwa kutotangulia na maelezo sahihi. Musa Juma ni mwanamuziki wa Rhumba mkenya alieaga dunia mwaka jana, aliyenukuliwa sana kwamba alikuwa na ujuzi wa karibu zana zote za muziki, pamoja na kucharaza gitaa akiimba at the same time. Nakubaliana kwamba Roga x2 ni mstahimilivu na mtaalamu kwa kutambua talanta. Je Roga na Werrason wako sawa kwa kutambua na kusajili talanta mpia?
mi nadhani wanaweza kufanana cuz wote hawawezi kuimba sauti ya kwanza hivyo wanahitaji msaada kuoka kwa wenye sauti nyororo
By the way, nani alichukua nafasi ya Oxygene?