Brazil yaitungua Chile 3-0

Robinho

Robinho

Mchezaji wa Brazil Robinho akishangilia bao lake kwenye mchezo wa kuwania kucheza Fainali za Kombe la Dunia Afrika Kusini 2o1o dhidi ya Chile. Kwenye mchezo huo Brazil ilishinda 3-0. Robinho amesajiliwa na Man City ambao kwa sasa wanataka kumsajili Ronaldino pia.

Leave a Reply