Anaitwa AY wa Commercial!!

July 31, 2008
AY Aka Ambwene Yesaya

AY Aka Ambwene Yesaya

Ukiongelea mafanikio ya Muziki wa Bongo Flavour basi hutosita kumuongelea kijana Ambwene Yesaya au kama alivyozoeleza kwa jina la AY, Spoti na starehe katika kukuletea habari za wanamuziki na wanamichezo mbali mbali wa ndani na nje ya Tanzania wiki hii tunakuletea kijana nguli wa burudani katika sekta ya muziki wa kizazi kipya. ama kwa hakika hakuna mwanamuziki wa Bongo Flava aliye wahi kuwa nominated kwenye award za Kora isipokuwa yeye, AY alikuwa ndio mwanamuziki wa Bongo Flava wa kwanza kutajwa kugombea Award hiyo akiwa ni kwenye kundi la kutoka Afrika Mashariki na kati amblo lilikuwa ni Mwanamuziki bora wa Kiume (the best male artist) hii ilikuwa ni mwaka 2005. Baada ya hapo pia AY aliingia kwenye Kisima Award ikiwa ni kwenye kundi la wimbo bora toka Tanzania, akiwa na hit single yake ilokuwa inatamba kipindi hicho ya “Inategemea na mtu”. Read the rest of this entry »