Familia ya Mikongoti wa Dar Es Salaam na Familia ya A.Goa wa Ifakara – Kilombero, Inasikitika kutangaza kifo cha ndugu yao Jackson Goa au Jack Bai kilichotokea leo katika hospitali ya buruhani. Mipango ya mazishi inafanya nyumbani kwa Kaka wa Marehemu Dar es Salaam. Habari ziwafikie ndugu jamaa na marafiki popote pale walipo.
E. Mikongoti – 0784 431154

Posted by piusmickys 
Posted by piusmickys
Posted by piusmickys 









