Hepi besdei tu mi…
July 28, 2008The Ngoma Africa Band kupelekana mchaka mchaka na mashabiki Frankfurt
July 28, 2008Michezo mingine bana…!!
July 28, 2008
Michezo mingine bwana..!
Pichani ni moja ya wachezaji wa mchezo wa soka la kwenye tope unaitwa “Mudflat football”, Mchezo huu huuchezwa kwenye fukwe za bahari maji yakipwaa na kuacha sehemu ya tope, Hii ilikuwa huko Kaskazini mwa Ujerumani mji unaitwa Brunsbuettel (PHOTO ROLAND MAGUNIA)
Man U yailamba Portsmouth 2-1 – huko Nigeria
July 28, 2008
Mambo ya Mashabiki
Mashabiki wa Manchester United na Portsmouth FC kila mmoja akitamba kivyake wakati wa mchezo wa kirafiki baina ya Manchester United na Portsmouth uliofanyika jana jumapili huko Abuja Nigeria, Manchester ilishinda 2-1.
Chelsea watua Malaysia kwa mchezo wa kirafiki
July 28, 2008
Deco
Mchezaji wa Chelsea Deco akiwasili kwenye Hotel waliofikia jijini Kuala Lumpur Jana tarehe 27 July 2008, Chelsea wamewasili Malaysia wakiwa na kikosi chao cha kwanza chote isipokua Drogba na kesho watacheza na timu ya Taifa ya Malaysia katika uwanja wa Shah Alam.

Posted by piusmickys 
Posted by piusmickys
Posted by piusmickys 









