Picha mwanana ilopigwa na Mpiga picha maarufu Issa Michuzi, ikimuonyesha Diabate wakati wa Tamasha la Ziff mapema wiki hii.
Baada ya kujifua kwa siku tatu na Watanzania waishio Bara, Kundi la Wazee Sugu, mcharaza gita maarufu wa Guinea Sekou Bembeya Diabate aliwaliza wapenzi wa muziki wakati alipotumbuiza kwa mara nyingine katika ukumbi wa Mambo Club.
‘Mchawi’ huyo wa gitaa ambaye alitumbuiza siku ya kwanza ya tamasha la ZIFF akiwa peke yake na kuwafanya watu wachanganyikiwe kwa furaha kutokana na nyuzi zilivyokuwa zikikamatwa kiustadi, juzi aliwafanya wapenzi wa muziki wa dansi kutambua kwamba lugha si tatizo, tatizo ni muziki.
Akiwa na kundi zima la King Kiki (wazee sugu), Diabate ambaye ni gumzo katika anga za muziki wa kimataifa, aliwaonyesha wapenzi wa muziki nchini Tanzania kuwa wanaweza kwenda pamoja naye katika burudani.
Akiwa anacharaza kwa mfumo wa Mande na jazi, Diabate ambaye anajulikama kama mtu mwenye vidole vya kito cha almasi, aliwadhihirishia Watanzania kwamba anapoitwa yeye kama kisasili cha gita la Afrika Magharibi, si kumkweza.( Habari hii ni kwa mujibu wa Beda Msimbe, Zanzibar, Habari Leo) Pata Kionjo toka kwa Diabate akiwa na bendi yake ya Bembea Jazz, Hii ilikuwa katika Tamasha la African Festa 2008, huko Yokohama Japan mwaka huu.
Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda akijadili jambo na Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo Mh. George Mkuchikaijamsikia tena, katika hafla aliyoawaandalia vijana wa Under 17 kuwapongeza.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda amesema serikali itasaidia kuwasomesha wachezaji wa timu ya soka ya vijana chini ya miaka 17, iliyotwaa ubingwa wa Kombe la Copa Coca-Cola nchini Brazil wiki iliyopita. Read the rest of this entry »
Goli la dakika za mwisho la toka kwa Ifeanyi Onigbo liliipa Al Hilal ya Sudan ushindi dhidi ya Enyimba ya Nigeria kwenye mchezo wa fungua dimba kwenye makundi kwa ajili ya michezo ya Kombe la mabingwa 2008.
Enyimba ndio walioanza kuliona lango la wapinzani wao kupitia kwa Cletus Itodo mnamo dakika ya 35 ya mchezo kipindi cha kwanza. lakini goli hilo halikudumu sana kwani Al Hilal walisawazisha dakika tano baadaye kwa mkwaju wa Penatiuliopigwa na captain Haitham Mustafa na kufanya mabao kuwa 1-1.
Yousuf Mohamed alipachika goli kwa upande wa Al Hilal dakika moja kabla ya mapumziko kufanya Alhilal kuongoza kwa 2-1.
Stephen Worgu wa Enyimba alisawazisha na kufanya 2-2 dakika ya 86, kabla ya mchezaji wa Al hilal anayetoka Nigeria Onigbo, kufunga bao la ushindi kwa timu yake.
Leo jumamosi Coton Sport ya Cameroon inawakaribisha TP Mazembe toka DR Congo kwenye mechi za kundi B.
After being sacked as Bolton Wanderers manager on Wednesday, Gary Megson has defended his record at the club despite the antipathy shown to him by Trotters supporters.
Tottenham striker Roman Pavlyuchenko may well have hastened his likely departure from White Hart Lane by accusing manager Harry Redknapp of "mocking" him.
ESPN Soccernet can reveal that Portsmouth plan to take out an injunction against the decision by HM Revenue and Customs (HMRC) to issue them with a winding-up order.
Liverpool defender Glen Johnson suffered a medial ligament injury to his right knee during Tuesday night's 1-0 victory at Aston Villa, but it has not yet been confirmed how long he will be out for.
Manchester City midfielder Stephen Ireland will be out of action for two weeks after a scan revealed he suffered a damaged hamstring in the 3-0 victory over Wolves.
Fulham manager Roy Hodgson has signed a new twelve month rolling-deal with the Cottagers. The former Inter Milan and Switzerland boss has been rewarded for guiding Fulham to seventh place in the Premier League last season - their highest top-flight finish - and for a strong start to the current campaign
Wigan Athletic have taken Sporting Lisbon's Serbia goalkeeper Vladimir Stojkovic on loan to provide cover until the end of the season, the Portuguese club have revealed on their official website.
Manchester United boss Sir Alex Ferguson has slammed England coach Fabio Capello and Inter Milan manager Jose Mourinho for claiming that the Old Trafford club are in decline. Ferguson was responding to comments made by Capello that United are no longer a "war machine".
Chelsea have announced that, as of the end of 2009, the club have cleared virtually all of their outstanding £340 million debt, and also revealed reduced losses for a fourth consecutive year.