Ballack na Mkewe baada ya ndoa kanisani jana.

.

.

Mchezaji Michael Ballack, wa timu ya Taifa ya Ujerumani na Klabu ya Chelsea akiwa na mkewe Simone Lambe huko Berg, Kusini mwa Ujerumani jana jumanne, July 15, 2008. Ballack na Simone wanasemwa kuwa kwenye urafiki wa siku nyingi na ulidumu kwa muda mrefu kabla ya kuoana juzi jumatatu kwa msajili wa ndoa na kumalizika kikanisa jana jumanne. (AP Photo)

Leave a Reply