Michael Ballack aoa jana

Balack na Mkewe baada ya ndoa yao jana.

Balack na Mkewe baada ya ndoa yao jana.

Mwasoka wa Ujerumani na klabu ya Chelsea Michael Ballack, na mkewe Simone wakiwaaga ndugu, jamaa na marafiki baada ya kufunga Ndoa jana huko Kempfenhausen, kusini mwa Ujerumani, (AP Photo/Christof Stache).

Leave a Reply